Tazama wimbo wa Malikia Leyla Rashid "Yale Yale" kupitia link hii • Video
Пікірлер: 541
@aminasalum19544 жыл бұрын
Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan
@yusufsalim89064 жыл бұрын
Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.
@aiysharamdhan8994 жыл бұрын
Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah
@jahabdallah18294 жыл бұрын
Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja
@mlasinyongolo32564 жыл бұрын
Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen
@mamunote35074 жыл бұрын
Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen
@dorambilinyidyfjkf71494 жыл бұрын
,
@hafsaally344 жыл бұрын
Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe
@halimakibwana71884 жыл бұрын
Ameen
@hassaniidrissa59164 жыл бұрын
Msimtaje marehemu kwa mabaya
@vevo31304 жыл бұрын
ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind
@mk-ed5py3 жыл бұрын
Ameen
@mariabahati12644 жыл бұрын
Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing
@wazirshaame80254 жыл бұрын
Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera
@bintimohamed26464 жыл бұрын
lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸
@hassankassim57402 жыл бұрын
Bui
@edgersenyagwa35834 жыл бұрын
Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.
@lydiahrweyemamu73054 жыл бұрын
Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu
@fahimayussuf84864 жыл бұрын
Aigwe lipi? Yy kama muislamu?
@chainbre2754 жыл бұрын
Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf
@asinathasinath50904 жыл бұрын
Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
@fatumaally32664 жыл бұрын
Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏
@user-jv1ch4tr8q3 ай бұрын
Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze
@Youngchimodzi8233 ай бұрын
Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki. Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo. Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake
@bernadethakilegu21424 жыл бұрын
Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄
@ummoislam48324 жыл бұрын
Wakwanza mm
@Da-cr6ow4 жыл бұрын
Yani hii ni kama uji na mgonjwa
@hasnaramadhani16514 жыл бұрын
Yani
@mossisilima23094 жыл бұрын
Mm
@user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын
Mm
@rukiamwinyihija78494 жыл бұрын
Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani
@salumsaid65724 жыл бұрын
INSHAALLAH ALLAH akujaalie
@aminaabdallah36444 жыл бұрын
Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏
@naimasaid77634 жыл бұрын
Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru
@tiamo7264 жыл бұрын
Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake
@hadijapazia82554 жыл бұрын
Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍
@sponsor78824 жыл бұрын
Mm simpendi
@aminamohamedy84664 жыл бұрын
@@sponsor7882 acha roho mbaya
@sponsor78824 жыл бұрын
@@aminamohamedy8466 sawa
@allyzicko81494 жыл бұрын
@@sponsor7882 😂
@aminahamis93434 жыл бұрын
@@sponsor7882 acha kinyogo.
@baimarrajahbuayan62374 жыл бұрын
Mashallah madam, karibu mjini
@mariamothman74044 жыл бұрын
Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza
@bintimohamed26464 жыл бұрын
Supper good Leila 👍
@hadijakabona9554 жыл бұрын
Nampenda uyu Dada mie
@latriciah01augustino674 жыл бұрын
Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah
@haikha-vn8sb4 жыл бұрын
Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba
@aishatanzania11944 жыл бұрын
Ndio ni kweli
@bintykigan62364 жыл бұрын
Kbs
@zainabubakari84894 жыл бұрын
Kweli
@veeJesus4 жыл бұрын
Kabisa
@aiysharamdhan8994 жыл бұрын
Umeonee Sana mzuri mashaallah
@Kazubassyathyvry894 жыл бұрын
Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.
@rauhiyafasihi89084 жыл бұрын
Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba
@asteriaaron32054 жыл бұрын
@@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔
@rashidikanyama72272 жыл бұрын
@@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda
@naamohamed99644 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzr kwa maswali
@alisalum64644 жыл бұрын
Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh
@rashman35304 жыл бұрын
gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io
@ibrahimadam42724 жыл бұрын
All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake
@violinenyakara50284 жыл бұрын
A very beautiful and humble lady
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Of koz!!!!
@aasdfghrehema72044 жыл бұрын
Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.
@maryndomba70284 жыл бұрын
Nimekupenda bure leyla wngu😍😍
@salumallynannume67244 жыл бұрын
Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.
@chainbre2754 жыл бұрын
Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌
@aminasalum19544 жыл бұрын
Mashaa ALLAH Leila
@asiajuma83304 жыл бұрын
Creez uko vizuri hongera
@majdimpaka10794 жыл бұрын
Duuh nice interview
@mariamnahodha23904 жыл бұрын
Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.
@ikhlassathman87824 жыл бұрын
Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha
@barickprogrammer4 жыл бұрын
Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!
@neemahamissi27404 жыл бұрын
From Burundi 🇧🇮❤️
@muhamedbakar43123 жыл бұрын
Binamu yangu raila unakwama WAP? Mama ahmadi
@shakilamasoud29834 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama
@zainabramadhan21094 жыл бұрын
Mashaallah
@kabakajuma59164 жыл бұрын
Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )
@unjuusalvatory53314 жыл бұрын
Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.
@issaissah88324 жыл бұрын
Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako
@sabinaonline65754 жыл бұрын
kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu. Muzik ni biashara, Ajira
@shebaminde76564 жыл бұрын
@@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba
@hawakiza60674 жыл бұрын
Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu
@shaniabdallah29214 жыл бұрын
Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar
@khalekichambo11314 жыл бұрын
Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini
@anitakamene50734 жыл бұрын
Nice anita from Bahrain
@mariamali18874 жыл бұрын
SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam
@peterchipasula15274 жыл бұрын
Dunia imeisha ,,kweli hajitambui
@naimasaid77634 жыл бұрын
Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki
@Da-cr6ow4 жыл бұрын
Tena msiba uso ndugu
@kidaumtumbwi11284 жыл бұрын
Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni
@habibakhalfan10654 жыл бұрын
Mzito_mmm_Allah_atunusuru
@alwattanchinga4 жыл бұрын
Dah poleni sana aki
@asia99304 жыл бұрын
Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba
@safiaothman10984 жыл бұрын
Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi. Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin. Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.
@TeamKRX4 жыл бұрын
Ndio iyo tamaa mziki pesa ndio mana sasa inaingia fitna
@rukiamwinyihija78494 жыл бұрын
Kabisaa
@hafsanoman39524 жыл бұрын
StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin
@vbusolo8654 жыл бұрын
Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.
@mamunote35073 жыл бұрын
Hongera sana tutakutazama ļ
@EstherClement-wb4jo2 ай бұрын
Hongera Sana dada leyla
@lovenessfelix58414 жыл бұрын
Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!
@rizikiali81494 жыл бұрын
Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya
@dashuusaalim19434 жыл бұрын
Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku
@franzfranz30094 жыл бұрын
Nice 👍👍👍🔥
@missmannydxb4 жыл бұрын
I like her alot 😍😍😍😍😍😍
@rehemamlenga4937 Жыл бұрын
Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu
@mabrouksaleh24724 жыл бұрын
Bilisi huyu
@shifaaal-baity45033 жыл бұрын
Reila?
@rukiabari94314 жыл бұрын
Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"
@ramadhanmtetu19474 жыл бұрын
Muogope Allah muumba mbingu na ardhi
@farhatfarhat38164 жыл бұрын
Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu
@Kazubassyathyvry894 жыл бұрын
Kiama yaani
@fatwimabintathmanbinthawa81554 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema kbs
@zainabibrahim41834 жыл бұрын
Mtihani mkubwa Mwenyezimungu amuonyeshe njia.
@jaliakamote54854 жыл бұрын
Laana huyu ibilisi
@farhatfarhat38164 жыл бұрын
@@jaliakamote5485 na alichotaka kashapata mumewe kasharudi tena kwa shetwanii
@aminamwinyi44274 жыл бұрын
ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu.. ,ukimuombea
@maryamm77654 жыл бұрын
👏👏👏👏😍😍
@jumaabayo86174 жыл бұрын
Leilah ni mke mwenye subra
@mabrouksaleh24724 жыл бұрын
Subra kumuingiza mume ktk maasi
@rosearivitsa81254 жыл бұрын
Ako vizuri
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Maisha mazuri ni pumzi Leyla
@mariabugingo45244 жыл бұрын
I love you ddear leila
@sjfamily81214 жыл бұрын
Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi
@khalfanifarsy73224 жыл бұрын
Hakuna mke hapa
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Na huyo ndio umeona ww mke? Mke ambaye ukimrudi Allah kwake nimajonzi? Na ukimkufuru kwake ni furaha?
@laythatsuleiman71844 жыл бұрын
Muhimu kula na makaazi Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli
@salmakiungo25384 жыл бұрын
Nakupenda buure
@munynasser3654 жыл бұрын
Oman😍😍
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Nakupenda sana
@lilianjeremia10244 жыл бұрын
Me nimependa alipoongelea suala la shishi na uchebe mambo ya ndoa tuwaachie wao ndo wanaojua
@illuminathersunzura11534 жыл бұрын
Huyu ndo mwanamke anaejielewa CIO wanaokurupuka tu kina flan ,wao wanajuana hatukuepo ktk makubaliano yao shishi nae kakosea mno mambo ya bdani unaleta mitandaoni ,kioo cha jamiii funza usifunzwe anawaogopesha wasioa na kuolowa anawapa dhana CIO sahihi
@aminamohamedy84664 жыл бұрын
Ni kweli
@aminamohamedy84664 жыл бұрын
@@illuminathersunzura1153 kabisaa
@omanimujsa97564 жыл бұрын
Sura ya amina waalikiba ipo kwalaylarashid
@biubwajuma29684 жыл бұрын
Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa
@ebraawadh16934 жыл бұрын
Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita
@leilamdoe91784 жыл бұрын
Wajina nakupenda sana
@hamidabaliyanga25844 жыл бұрын
Asante
@annelyimo60654 жыл бұрын
Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah
@sitisaid85434 жыл бұрын
Sisem kitu watching from 001
@allyshabani47764 жыл бұрын
Nice mama
@user-en6qq3rs8j4 жыл бұрын
Mashalla 💓💓💕💕
@aliclauclau42083 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@bjzee19814 жыл бұрын
So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii
@Nims6434 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ndio mkamilifu
@hassansunir65654 жыл бұрын
huu ni mtihan Walah yan mwanamke wa kiislam anasema kabisa ALILIA aliumia kisa mume wake amemludia mungu dhuu
@festoboysaid71664 жыл бұрын
duu poleni bileila mzee wetu pia hakumskiliza mamayetu almuamini mtu akamtenda i say kumbe watu wengi wapatikana nammkasa kama wetu
@teychriss32484 жыл бұрын
Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!
@chainbre2754 жыл бұрын
Waaaaah hakika ma tatizo ni ma baya munoo kumbe kajifugua juzi tu
@angeljasson43764 жыл бұрын
SnS for life 🇹🇿🇦🇪
@fodrickjoseph16894 жыл бұрын
Umejibu vzr mke wa harali wa mzee mamb ya ndoa yana mengi so tusijudge upand mmoja