MKE wa MZEE YUSUF afunguka:Tunapitia tabu, Madeni, SHILOLE amekosea, Tunafanya muziki ni SHIDA tu

  Рет қаралды 294,647

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

4 жыл бұрын

Tazama wimbo wa Malikia Leyla Rashid "Yale Yale" kupitia link hii
• Video

Пікірлер: 541
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Kaka mtangazaji Leo tena narudia kukusifia uko vzr katika kuhoji mtu Hongera saan
@yusufsalim8906
@yusufsalim8906 4 жыл бұрын
Mafurahi sana bi laila kua muwazi kwa maisha yenu na mzee yusuf mungu awajaalie kila la kheri inshallah.
@aiysharamdhan899
@aiysharamdhan899 4 жыл бұрын
Nakupenda Leila ww nimzuri kweli hauchushi ndio mana umepungua mungu atAwapa Tena inshaallah
@jahabdallah1829
@jahabdallah1829 4 жыл бұрын
Daaaaa uyu dada yuko poa..very good story. Mungu hatakubariki dada.uko poa....sana unatowa ya moyoni..yahani mimi nakuangari hapa south africa..unajielewa.hasante kwa interview yako so best...imeeleweka makufuri oyeeeèee.m south africa ja
@mlasinyongolo3256
@mlasinyongolo3256 4 жыл бұрын
Hongera sana kwa Uzazi, Allah bless you Amen
@mamunote3507
@mamunote3507 4 жыл бұрын
Mabrukeen kwa mtt mpya M.mungu amkuze awe mtt mwema Salihin Bii Idhinillah Ameen
@dorambilinyidyfjkf7149
@dorambilinyidyfjkf7149 4 жыл бұрын
,
@hafsaally34
@hafsaally34 4 жыл бұрын
Subhannallah uliumia mumeo kuingia mskitin Allah atuhifadh na vizaz vyetu mtihan huu km so mtt wakiislam Allah akusameh na akuongoe
@halimakibwana7188
@halimakibwana7188 4 жыл бұрын
Ameen
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 4 жыл бұрын
Msimtaje marehemu kwa mabaya
@vevo3130
@vevo3130 4 жыл бұрын
ni kama tu mimi ninavyoumia wewe hela ya bundle ungetoa deni la zakhat au sadaka hahahaaaaa…...utaniukweli usimind
@mk-ed5py
@mk-ed5py 3 жыл бұрын
Ameen
@mariabahati1264
@mariabahati1264 4 жыл бұрын
Wow 16 years Mashallaah kwenye ndoa that is bloody amazing
@wazirshaame8025
@wazirshaame8025 4 жыл бұрын
Aslm alaykum dada yangu Kwanza nikuombeeni dua kwa Allah awaondoshee dhiki awape faraja Ila la Pili Allah ametwambia tutubu madhambi yetu nanyeye atatusamehe mumeo ametubu anachotakiwa aendelee kufanya mema na ww umuhimize acfikirie kurud kuimba akaharibu hija yake kwa Mambo ya dunia nibora umaskini wa duniani ili ukapate utajir wa akhera
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 жыл бұрын
lLove you Leila Rashid. May ALLAH guide you all the time I LOVE 💕 your Music mashaalah 🤲💓💜💗💕💕💐🇸🇸🇸🇸
@hassankassim5740
@hassankassim5740 2 жыл бұрын
Bui
@edgersenyagwa3583
@edgersenyagwa3583 4 жыл бұрын
Mambo vp chric hongera kijana wangu kaka ako sengeri hapa, unakipaji Cha utangazaji Good.
@lydiahrweyemamu7305
@lydiahrweyemamu7305 4 жыл бұрын
Leyla mwanamke wa kuigwa, MWENYEZ MUNGU akuzidishie mpendwa wangu
@fahimayussuf8486
@fahimayussuf8486 4 жыл бұрын
Aigwe lipi? Yy kama muislamu?
@chainbre275
@chainbre275 4 жыл бұрын
Nakwambia haya mambo yakudhamni mtu afu ukuweke matatani inauma munooo Dah pole sana mzee Yusuf
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 4 жыл бұрын
Mie kama kwaida yangu nawapenda sana 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
@fatumaally3266
@fatumaally3266 4 жыл бұрын
Hapo umeongea leyla nakupenda mwanamke unafaham nini maana yandowa 🙏🙏🙏
@user-jv1ch4tr8q
@user-jv1ch4tr8q 3 ай бұрын
Da leyla nakupendaga angalia uache miziki shuhuli ka na biashara mshauri pia mumeo mn muda mfupi wa kuishi ndugu Yangu Allah atuongoze
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 3 ай бұрын
Sio Kila mtu ana mkono wa biashara kama ambavyo sio Kila mtu ana kipaji Cha muziki. Angalia fursa na nguvu Yako iliko ktk kujenga uchumi wako binafsi usikariri na kuiga wafanyayo watu wengi,huwezi jua nyuma ya pazia,fursa na nguvu zao walizonazo. Binadamu ni mmoja lkn Kila mmoja na hulka na vipaji vyake
@bernadethakilegu2142
@bernadethakilegu2142 4 жыл бұрын
Nani anaangalia hii show huku anasoma comments kama mimi🙄
@ummoislam4832
@ummoislam4832 4 жыл бұрын
Wakwanza mm
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 жыл бұрын
Yani hii ni kama uji na mgonjwa
@hasnaramadhani1651
@hasnaramadhani1651 4 жыл бұрын
Yani
@mossisilima2309
@mossisilima2309 4 жыл бұрын
Mm
@user-eg1dr6so4c
@user-eg1dr6so4c 4 жыл бұрын
Mm
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 4 жыл бұрын
Mungu naomba nijaalie niwe mke mwema na nitamani riziki ya halali na niepushe na mitihani
@salumsaid6572
@salumsaid6572 4 жыл бұрын
INSHAALLAH ALLAH akujaalie
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 жыл бұрын
Leyla kila jambo ni kuwa na subira inshallah 🙏
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
Nampenda huyu dada, maa sha Allah, mungu akupe nuru
@tiamo726
@tiamo726 4 жыл бұрын
Mi kristo lakini nampenda huyu we acha tu yani utaratibu wake
@hadijapazia8255
@hadijapazia8255 4 жыл бұрын
Nakupenda sn Leyla Rashid 😍😍😍
@sponsor7882
@sponsor7882 4 жыл бұрын
Mm simpendi
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 жыл бұрын
@@sponsor7882 acha roho mbaya
@sponsor7882
@sponsor7882 4 жыл бұрын
@@aminamohamedy8466 sawa
@allyzicko8149
@allyzicko8149 4 жыл бұрын
@@sponsor7882 😂
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 жыл бұрын
@@sponsor7882 acha kinyogo.
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 4 жыл бұрын
Mashallah madam, karibu mjini
@mariamothman7404
@mariamothman7404 4 жыл бұрын
Sema Alhamdhulillah MUNGU kamuongoza
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 жыл бұрын
Supper good Leila 👍
@hadijakabona955
@hadijakabona955 4 жыл бұрын
Nampenda uyu Dada mie
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
Allah awatie nguvu 🙌🏽 mtihani wallah
@haikha-vn8sb
@haikha-vn8sb 4 жыл бұрын
Jaman leilah kafanana na Amina wa alikiba
@aishatanzania1194
@aishatanzania1194 4 жыл бұрын
Ndio ni kweli
@bintykigan6236
@bintykigan6236 4 жыл бұрын
Kbs
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 4 жыл бұрын
Kweli
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Kabisa
@aiysharamdhan899
@aiysharamdhan899 4 жыл бұрын
Umeonee Sana mzuri mashaallah
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 жыл бұрын
Karibuni mjini,mrudi vizuri ila Mungu anaona,Allah huwa anamjaribu ampendae.Msiba sanaaaaaaaa huyu.
@rauhiyafasihi8908
@rauhiyafasihi8908 4 жыл бұрын
Hawa mmoja wao kati ya mume au mke atakufa juu ya stage anaimba
@asteriaaron3205
@asteriaaron3205 4 жыл бұрын
@@rauhiyafasihi8908 tema mate chini utubu, wewe unakujua kifo chako???😔😔
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 жыл бұрын
@@rauhiyafasihi8908 unafahamu ulimuimbia kasda
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzr kwa maswali
@alisalum6464
@alisalum6464 4 жыл бұрын
Yaanii kwelii tunamsahau Allah etii anafurahiya motoo unauchocheya mwenye amakweli qur_ani haina dhamanii kabisaa Allah tuswameh
@rashman3530
@rashman3530 4 жыл бұрын
gur -ani ina thamani kaka tengua kauli io
@ibrahimadam4272
@ibrahimadam4272 4 жыл бұрын
All the from 001 county.Dadangu duniya Ina hadaa turudini kwa mola wetu .kila mmoja na amal yake
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 4 жыл бұрын
A very beautiful and humble lady
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Of koz!!!!
@aasdfghrehema7204
@aasdfghrehema7204 4 жыл бұрын
Leyila muceshi nakupenda bure👏👏👏👏✌✌✌👌👌👌💛💛💛💝
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Leyla Mcheshi,Subra na Uvumilivu ln Shaa Allah. Mabrooq Kumbe Kapata Mgeni.
@maryndomba7028
@maryndomba7028 4 жыл бұрын
Nimekupenda bure leyla wngu😍😍
@salumallynannume6724
@salumallynannume6724 4 жыл бұрын
Poleni kwa kuvamiwa dada Leila Rashid mtoto wa mzee Gambus / Mmanga.
@chainbre275
@chainbre275 4 жыл бұрын
Mke mstarabu muchezi n'a Pia mwenye heshima zake mujini 🙌
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Mashaa ALLAH Leila
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Creez uko vizuri hongera
@majdimpaka1079
@majdimpaka1079 4 жыл бұрын
Duuh nice interview
@mariamnahodha2390
@mariamnahodha2390 4 жыл бұрын
Umesimama imara na Mimi nakuombea uendelee kusimama uamue mile mlichokipanga wewe na mumeo yote ni mithani ya maisha IshaAllah.
@ikhlassathman8782
@ikhlassathman8782 4 жыл бұрын
Leyla kuwa na subra kuna watu walala chini bt watafuta rizki za halali. Muache mzee asirudi kumuasi Allah. Naamini mwanamke ana power tosha
@barickprogrammer
@barickprogrammer 4 жыл бұрын
Nampendaga tangu mwanzo yaaan!! Sikuwahi penda mziki wa Taarabu, Ila langu rohoni ndo nyimbo niipendayo!!
@neemahamissi2740
@neemahamissi2740 4 жыл бұрын
From Burundi 🇧🇮❤️
@muhamedbakar4312
@muhamedbakar4312 3 жыл бұрын
Binamu yangu raila unakwama WAP? Mama ahmadi
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama
@zainabramadhan2109
@zainabramadhan2109 4 жыл бұрын
Mashaallah
@kabakajuma5916
@kabakajuma5916 4 жыл бұрын
Eeh mungu niondoshe na dhambi hii ( wew mama unaongea vizuri nice smile maashaallah )
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 жыл бұрын
Bro una improve Sana ktk ku-interview , keep t up.. see you somewhere in a couple of months.
@issaissah8832
@issaissah8832 4 жыл бұрын
Daah Dadaangu katika imani nakuomba uache mziki umri umekwenda lejea kwa Mola wako
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 4 жыл бұрын
kwa mnaomshauri aache muziki Mbona hamumpi matumizi mnafurahi anavyotaabika Muziki ni kazi kama kazi nyingine chamsingi wajiheshimu. Muzik ni biashara, Ajira
@shebaminde7656
@shebaminde7656 4 жыл бұрын
@@sabinaonline6575 kanywe soda nakuja kulipa!! Watu hawaelewi kuwa hakuna mkamilifu na hakuna ajuaye wakati wa mauti ya mtu ataongea nn na Mungu wake!! Anaweza akaacha mziki akafanya kitu kibaya sana kwahyo hakuna dunia bila dhambi na hakuna dhambi bila dunia ndo maana kuna toba
@hawakiza6067
@hawakiza6067 4 жыл бұрын
Kweli issa umeongea jambo la maana sana waache miziki watubu
@shaniabdallah2921
@shaniabdallah2921 4 жыл бұрын
Huo umri mnaosema umeenda umekwenda wapi pengine ww mwenye kusema hivyo ni.kibibi hatar
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 4 жыл бұрын
Mzee Yusuf na Leyla mnahitaji kua na subra ndugu zanguni. Allah amewapa mtihani huo ni mpasi au mfeli. Nawaombea wepesi katika hayo mazito yenu yalowafika ili huyo baba ashikane na Dini
@anitakamene5073
@anitakamene5073 4 жыл бұрын
Nice anita from Bahrain
@mariamali1887
@mariamali1887 4 жыл бұрын
SubuhanAllah mtoto wakiislam unasubutu kusema ulishtuka na kulia ati mume kenda msikitini kutangaza anatubu kwa Allah. 😟 wallahi huu ni msiba kwa sisi waislam
@peterchipasula1527
@peterchipasula1527 4 жыл бұрын
Dunia imeisha ,,kweli hajitambui
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
Bora alivyosema ukweli wake kuliko angeongea unafki
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 4 жыл бұрын
Tena msiba uso ndugu
@kidaumtumbwi1128
@kidaumtumbwi1128 4 жыл бұрын
Tena msiba mkubwa na mzee Yussuf anataka kurudi kuimba sababu itakuwa huyu huyu mkewe!! Yaani hautakuwa makini mwanamke aliyekuwa kuwa hamkhofu MOLA wake basi ukizubaa na mapenzi atakutia motoni
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 4 жыл бұрын
Mzito_mmm_Allah_atunusuru
@alwattanchinga
@alwattanchinga 4 жыл бұрын
Dah poleni sana aki
@asia9930
@asia9930 4 жыл бұрын
Kabisa wanafanana na amna mke wa alikiba
@safiaothman1098
@safiaothman1098 4 жыл бұрын
Mzee Yusuuf Kurudi katika Muziki wa Taarabu siyo Suluhisho la Kujikwamua Kiuchumi. Nakushauri ubaki katika Twa'a ya Allah, Biidhinillah Atakufanyia Wepesi, Aamiin. Vuta Subra usirudi huko Muziki ni Haraam.
@TeamKRX
@TeamKRX 4 жыл бұрын
Ndio iyo tamaa mziki pesa ndio mana sasa inaingia fitna
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 4 жыл бұрын
Kabisaa
@hafsanoman3952
@hafsanoman3952 4 жыл бұрын
StaaghfiruAllah unaweza tu kuwa na furaha dada yangu ila pia kuna nafasi ya mungu Hakika ya ukumbusho unawafaa wenye kuamin
@vbusolo865
@vbusolo865 4 жыл бұрын
Leila mungu yupo the God that closes opens the other door so God has a plan for you.
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Hongera sana tutakutazama ļ
@EstherClement-wb4jo
@EstherClement-wb4jo 2 ай бұрын
Hongera Sana dada leyla
@lovenessfelix5841
@lovenessfelix5841 4 жыл бұрын
Karibun mjini "Ila Da Leila biashara ni ngumu Sana nyakati hiz sio kwenu tu!njoo ukijua kipato Cha kipind kile kwa Sasa mmh nikupambana haswaa!
@rizikiali8149
@rizikiali8149 4 жыл бұрын
Innallillahi wainna ilayhi rajiuun ALLAH atayaondoa wana hizaya
@dashuusaalim1943
@dashuusaalim1943 4 жыл бұрын
Marehemu ndo Nani apo Sasa..marehemu aaah marehemu .... Allah amrehemu chiku
@franzfranz3009
@franzfranz3009 4 жыл бұрын
Nice 👍👍👍🔥
@missmannydxb
@missmannydxb 4 жыл бұрын
I like her alot 😍😍😍😍😍😍
@rehemamlenga4937
@rehemamlenga4937 Жыл бұрын
Nakupenda sana Leila Rashid mke Halali was Mzee yusuf
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 жыл бұрын
MALKIA REILA nampendaga sana huyu dada acha mbali kuimba taarab nampenda na busara zake tu
@mabrouksaleh2472
@mabrouksaleh2472 4 жыл бұрын
Bilisi huyu
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 3 жыл бұрын
Reila?
@rukiabari9431
@rukiabari9431 4 жыл бұрын
Heshima anayo nyingi penda sana Leyla R"
@ramadhanmtetu1947
@ramadhanmtetu1947 4 жыл бұрын
Muogope Allah muumba mbingu na ardhi
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 жыл бұрын
Yani leyla ww kutubu kwa MUMEO ww unasema ujui kitu gani kimemkuta wakati karibu kwa MUNGU wake jamanii mtihani uuu
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 жыл бұрын
Kiama yaani
@fatwimabintathmanbinthawa8155
@fatwimabintathmanbinthawa8155 4 жыл бұрын
Allah atupe mwisho mwema kbs
@zainabibrahim4183
@zainabibrahim4183 4 жыл бұрын
Mtihani mkubwa Mwenyezimungu amuonyeshe njia.
@jaliakamote5485
@jaliakamote5485 4 жыл бұрын
Laana huyu ibilisi
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 жыл бұрын
@@jaliakamote5485 na alichotaka kashapata mumewe kasharudi tena kwa shetwanii
@aminamwinyi4427
@aminamwinyi4427 4 жыл бұрын
ALLAH HUMUONGOZA AMTAKAE , 🇰🇪🇰🇪 tuombeaneni Msamaha kwa Allah..huu ni mtihani kwa kila muislamu.. ,ukimuombea
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
👏👏👏👏😍😍
@jumaabayo8617
@jumaabayo8617 4 жыл бұрын
Leilah ni mke mwenye subra
@mabrouksaleh2472
@mabrouksaleh2472 4 жыл бұрын
Subra kumuingiza mume ktk maasi
@rosearivitsa8125
@rosearivitsa8125 4 жыл бұрын
Ako vizuri
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Maisha mazuri ni pumzi Leyla
@mariabugingo4524
@mariabugingo4524 4 жыл бұрын
I love you ddear leila
@sjfamily8121
@sjfamily8121 4 жыл бұрын
Sasa huyu ndio mke wa kuoa japo kua mapungufu hakosi kama mwanadamu,, but kuna mijiwanawake mengine iko na mdomo Sana Kisha eti umuangalie tu aki kutusi
@khalfanifarsy7322
@khalfanifarsy7322 4 жыл бұрын
Hakuna mke hapa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 4 жыл бұрын
Na huyo ndio umeona ww mke? Mke ambaye ukimrudi Allah kwake nimajonzi? Na ukimkufuru kwake ni furaha?
@laythatsuleiman7184
@laythatsuleiman7184 4 жыл бұрын
Muhimu kula na makaazi Na mavaz kumbe mnapoz mnataka manene muingize mamilioni yaliokuwa ya haram shukuruni na mjue Kama huo ni mtihani wa mungu na nikipimo Cha Imani jitahidini msifeli
@salmakiungo2538
@salmakiungo2538 4 жыл бұрын
Nakupenda buure
@munynasser365
@munynasser365 4 жыл бұрын
Oman😍😍
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 жыл бұрын
Nakupenda sana
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 жыл бұрын
Me nimependa alipoongelea suala la shishi na uchebe mambo ya ndoa tuwaachie wao ndo wanaojua
@illuminathersunzura1153
@illuminathersunzura1153 4 жыл бұрын
Huyu ndo mwanamke anaejielewa CIO wanaokurupuka tu kina flan ,wao wanajuana hatukuepo ktk makubaliano yao shishi nae kakosea mno mambo ya bdani unaleta mitandaoni ,kioo cha jamiii funza usifunzwe anawaogopesha wasioa na kuolowa anawapa dhana CIO sahihi
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 жыл бұрын
Ni kweli
@aminamohamedy8466
@aminamohamedy8466 4 жыл бұрын
@@illuminathersunzura1153 kabisaa
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 жыл бұрын
Sura ya amina waalikiba ipo kwalaylarashid
@biubwajuma2968
@biubwajuma2968 4 жыл бұрын
Hakuna mfalme zaidi ya mungu tusijidanganye izo ni pumzi tu zinamuhadaa
@ebraawadh1693
@ebraawadh1693 4 жыл бұрын
Allah awaogoze wote walio potea hii ni Dunia sote tunapita
@leilamdoe9178
@leilamdoe9178 4 жыл бұрын
Wajina nakupenda sana
@hamidabaliyanga2584
@hamidabaliyanga2584 4 жыл бұрын
Asante
@annelyimo6065
@annelyimo6065 4 жыл бұрын
Nimependa interview ya Leyla anajielewa sana mashallah
@sitisaid8543
@sitisaid8543 4 жыл бұрын
Sisem kitu watching from 001
@allyshabani4776
@allyshabani4776 4 жыл бұрын
Nice mama
@user-en6qq3rs8j
@user-en6qq3rs8j 4 жыл бұрын
Mashalla 💓💓💕💕
@aliclauclau4208
@aliclauclau4208 3 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
So mlijidai na mumeo ohhhh hatuimbi, oooh tumemrudia Mwenyezi Mungu, oooh nime enda hijja kwa hivyo acha tu nibaki kwa Allah. Kwa hivyo Hijjah ilikua kwa ajili ya usanii
@Nims643
@Nims643 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ndio mkamilifu
@hassansunir6565
@hassansunir6565 4 жыл бұрын
huu ni mtihan Walah yan mwanamke wa kiislam anasema kabisa ALILIA aliumia kisa mume wake amemludia mungu dhuu
@festoboysaid7166
@festoboysaid7166 4 жыл бұрын
duu poleni bileila mzee wetu pia hakumskiliza mamayetu almuamini mtu akamtenda i say kumbe watu wengi wapatikana nammkasa kama wetu
@teychriss3248
@teychriss3248 4 жыл бұрын
Namukubali sana! Toka moyoni kabisa!
@chainbre275
@chainbre275 4 жыл бұрын
Waaaaah hakika ma tatizo ni ma baya munoo kumbe kajifugua juzi tu
@angeljasson4376
@angeljasson4376 4 жыл бұрын
SnS for life 🇹🇿🇦🇪
@fodrickjoseph1689
@fodrickjoseph1689 4 жыл бұрын
Umejibu vzr mke wa harali wa mzee mamb ya ndoa yana mengi so tusijudge upand mmoja
@sharifasalum532
@sharifasalum532 2 жыл бұрын
mashaallah nampenda sana
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 4 жыл бұрын
Ittaqillah_leila_Mungu_aliwatoa_sasa_Mnarudi_katika_Maaswia_loo_
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 4 жыл бұрын
Leila mm nakuombea Allah akuongoze usilifikilie tumbo fikiria Dunia Riziki mungu mtoaji
@faidhasaid9605
@faidhasaid9605 4 жыл бұрын
Huyu mtangazaji yupo vizuri Sana keep it up
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 31 М.
MZEE YUSUPH CHUPU CHUPU KUTOLEWA ROHO NA MREMBO
13:55
MAI TV
Рет қаралды 114 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 32 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 13 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2,2 МЛН
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 50 М.
SITAMANI TENA UKE WENZA|NAMPENDA MZEE YUSUF|JAHAZI NDO BENDI YA DUNIA
39:55
Maximum Tv Online
Рет қаралды 104 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН