wape vidonge vyao kadogooo ingawa kuna wapuuzi wanaokubeza lakini usiogope
@emmanuelymganga573719 күн бұрын
✌️
@gowekogoweko580319 күн бұрын
UNAKATA VIUNO BARABARA MBOVU 😢
@user-gx9jr5le2f20 күн бұрын
Kwani uongo ona sasa mlivyo na akili mbovu nyie ndio mmechoka
@dorothmsuya168620 күн бұрын
Huna lolote! Njaa tu hiyo!😅😅😅
@danielphilipo908820 күн бұрын
Mimi napita tu
@margarethpolepole743820 күн бұрын
Nyumba watu wanajijengea wenyewe sasa unataka ccm iwajengee hata kipindi cha Nwalimu Nyerere hakuwajengea watu nyumb
@leokamil628420 күн бұрын
Majibu yako yanaonyesha ukosaji wa elimu ulionao .
@yosephatMasanyiwa-oh1rl18 күн бұрын
Huna akili tu tafakari nyoko wewe. Ccm imewafanya wasiweze kuinuka
@leokamil628418 күн бұрын
@@margarethpolepole7438 Usifananishe kipindi cha Mwalimu na hizi nyakati za wabinafsi wachumia matumbo hawajali maendeleo ya nchi wanajijali wenyewe na kujilimbikizia mimali ya ufisadi.Kipindi cha Baba wa Taifa Viongozi walikuwa na Uzalendo waliipenda Tanzania kulikuwa na upendo umoja mshikamano. Hakukuwa na ubinafsi maisha yalikuwa ya furaha sana. Baada ya vita na Uganda ndio nchi iliterereka sana na pale alipoanza Siasa ya Ujamaa na kubinafsisha makampuni viwanda na mahospitali tukalegalega ndio ikawa mara hivi mara vile mpaka leo ndio tumedidimia tumerudi nyuma mno viwanda hakuna Mashamba ya ngano basutu yamekufa ya mkonge Tanga kwisha Alizeti kwisha viwanda vya sukari vinahemea uzalishaji mdogo yaani tafrani tu .
@Gelenya-ne2ip20 күн бұрын
Huna lolote wewe!
@dorothmsuya168620 күн бұрын
Kwa hiyo nyie mnaahidi kuwajengea watanzania wote nyumba bora kwa hela zako au kwa kodi zetu? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂
@onesmojustice234820 күн бұрын
Umasikini uliyoko tanzania watu tunaishi maisha magumu Kodi juu tozo zinaongezwa kimyakimya vitu vyote vimepanda Bei miundombinu mibovu maji na umeme shida hayo yote yamesababishwa na ccm . Rasilimali zetu ziko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya hovyo ndio maana kila kukicha wanakopa maana hawawezi kutumia rasilimali za nchi kwa kuwa wamewapa wageni na wao wananufaika na familia zao wanaishi nyumba nzuri waktoto zao wanasoma shule za gharama wanatembelea v8 halafu ww unaleta hoja mrenda hapa
@LamsonMalenga18 күн бұрын
Pumbu we iv umepita ata standard one
@youssefsanje874320 күн бұрын
Chama cha mbowe na mke wake
@leokamil628420 күн бұрын
Kwa hiyo wanachama ni watoto wao tumia akili wewe
@rogersiddy20 күн бұрын
@@leokamil6284Akili yake box kbs hajielewi kbs hana hoja msajili asingesajili Chama cha familia Chadema Chama cha wananchi
@edsonkahesi860320 күн бұрын
Nawewe anzisha chako ukisambaze nchi nzima.
@georgesteven518520 күн бұрын
Shoga ww Huna akili
@user-bx3ko9ft5t20 күн бұрын
Acha upumbavu Mimi mnyakyusa Mimi sio mchaga lakini naipenda chadema sugu mchaga heche mchaga pambalu mchaga pumbavu wewe
@AmanaHassan-cy4fi19 күн бұрын
Ndg yangu hicho ni Chama cha Wachaga Wewe na Uislam wako wanakucholaa tuuu.
@justardzelphine652619 күн бұрын
Wewe chawa acha akili za ukoloni!
@gaagwasaugustino258418 күн бұрын
Wewe chawa,uchawa na udini vimekujaa kichwani! N
@user-lt1nr4tk9r17 күн бұрын
Mim n mbondei lakin nakupenda chadema acha uwongo
@mwllughanosanga96017 күн бұрын
Wachaga wana chama kumbe! kwa mujibu wa sheria za nchi gani?
@AthumanDauda17 күн бұрын
Wangelikua wachaga wanachama Chao nais kasikazin nzima chadema ingerikua ishachukua viti vyote Hivyo kumbk chadema nichama Cha siasa