MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

  Рет қаралды 12,665

Yuhai media

Yuhai media

22 күн бұрын

MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

Пікірлер: 34
@leokamil6284
@leokamil6284 20 күн бұрын
Waambieni hao waamke wafunge macho Watanzania tuamke usingizini.
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 14 күн бұрын
🎉🎉🎉
@kassidpandu866
@kassidpandu866 20 күн бұрын
ukisema wachaga ukisema wakristo ni sawa Tu
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 19 күн бұрын
wape vidonge vyao kadogooo ingawa kuna wapuuzi wanaokubeza lakini usiogope
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 19 күн бұрын
✌️
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 19 күн бұрын
UNAKATA VIUNO BARABARA MBOVU 😢
@user-gx9jr5le2f
@user-gx9jr5le2f 20 күн бұрын
Kwani uongo ona sasa mlivyo na akili mbovu nyie ndio mmechoka
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 20 күн бұрын
Huna lolote! Njaa tu hiyo!😅😅😅
@danielphilipo9088
@danielphilipo9088 20 күн бұрын
Mimi napita tu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 20 күн бұрын
Nyumba watu wanajijengea wenyewe sasa unataka ccm iwajengee hata kipindi cha Nwalimu Nyerere hakuwajengea watu nyumb
@leokamil6284
@leokamil6284 20 күн бұрын
Majibu yako yanaonyesha ukosaji wa elimu ulionao .
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 18 күн бұрын
Huna akili tu tafakari nyoko wewe. Ccm imewafanya wasiweze kuinuka
@leokamil6284
@leokamil6284 18 күн бұрын
@@margarethpolepole7438 Usifananishe kipindi cha Mwalimu na hizi nyakati za wabinafsi wachumia matumbo hawajali maendeleo ya nchi wanajijali wenyewe na kujilimbikizia mimali ya ufisadi.Kipindi cha Baba wa Taifa Viongozi walikuwa na Uzalendo waliipenda Tanzania kulikuwa na upendo umoja mshikamano. Hakukuwa na ubinafsi maisha yalikuwa ya furaha sana. Baada ya vita na Uganda ndio nchi iliterereka sana na pale alipoanza Siasa ya Ujamaa na kubinafsisha makampuni viwanda na mahospitali tukalegalega ndio ikawa mara hivi mara vile mpaka leo ndio tumedidimia tumerudi nyuma mno viwanda hakuna Mashamba ya ngano basutu yamekufa ya mkonge Tanga kwisha Alizeti kwisha viwanda vya sukari vinahemea uzalishaji mdogo yaani tafrani tu .
@Gelenya-ne2ip
@Gelenya-ne2ip 20 күн бұрын
Huna lolote wewe!
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 20 күн бұрын
Kwa hiyo nyie mnaahidi kuwajengea watanzania wote nyumba bora kwa hela zako au kwa kodi zetu? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 20 күн бұрын
Umasikini uliyoko tanzania watu tunaishi maisha magumu Kodi juu tozo zinaongezwa kimyakimya vitu vyote vimepanda Bei miundombinu mibovu maji na umeme shida hayo yote yamesababishwa na ccm . Rasilimali zetu ziko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya hovyo ndio maana kila kukicha wanakopa maana hawawezi kutumia rasilimali za nchi kwa kuwa wamewapa wageni na wao wananufaika na familia zao wanaishi nyumba nzuri waktoto zao wanasoma shule za gharama wanatembelea v8 halafu ww unaleta hoja mrenda hapa
@LamsonMalenga
@LamsonMalenga 18 күн бұрын
Pumbu we iv umepita ata standard one
@youssefsanje8743
@youssefsanje8743 20 күн бұрын
Chama cha mbowe na mke wake
@leokamil6284
@leokamil6284 20 күн бұрын
Kwa hiyo wanachama ni watoto wao tumia akili wewe
@rogersiddy
@rogersiddy 20 күн бұрын
​@@leokamil6284Akili yake box kbs hajielewi kbs hana hoja msajili asingesajili Chama cha familia Chadema Chama cha wananchi
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 20 күн бұрын
Nawewe anzisha chako ukisambaze nchi nzima.
@georgesteven5185
@georgesteven5185 20 күн бұрын
Shoga ww Huna akili
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 20 күн бұрын
Acha upumbavu Mimi mnyakyusa Mimi sio mchaga lakini naipenda chadema sugu mchaga heche mchaga pambalu mchaga pumbavu wewe
@AmanaHassan-cy4fi
@AmanaHassan-cy4fi 19 күн бұрын
Ndg yangu hicho ni Chama cha Wachaga Wewe na Uislam wako wanakucholaa tuuu.
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 19 күн бұрын
Wewe chawa acha akili za ukoloni!
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 18 күн бұрын
Wewe chawa,uchawa na udini vimekujaa kichwani! N
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r 17 күн бұрын
Mim n mbondei lakin nakupenda chadema acha uwongo
@mwllughanosanga960
@mwllughanosanga960 17 күн бұрын
Wachaga wana chama kumbe! kwa mujibu wa sheria za nchi gani?
@AthumanDauda
@AthumanDauda 17 күн бұрын
Wangelikua wachaga wanachama Chao nais kasikazin nzima chadema ingerikua ishachukua viti vyote Hivyo kumbk chadema nichama Cha siasa
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 6 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 62 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 2,9 МЛН
MBOWE ACHOCHEA VURUGU NCHI IMESIMAMA MUDA HUU  MANENO YA UCHOCHEZI
18:00
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 6 МЛН