PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.
@catherineawinja741710 ай бұрын
Asante
@rakaieva547210 ай бұрын
Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.
@BerylSeer110 ай бұрын
Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.
@nancymerinashaidi652510 ай бұрын
Ubarikiwe
@nancymerinashaidi652510 ай бұрын
Jaman up wap
@charleskuyeko44006 ай бұрын
Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
@FelicianAndrea22 күн бұрын
Asante mama mtumishi nashukulu kwa ushuhuda wako umenibaliki amy
@janewaititu80513 ай бұрын
I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana
@naketizainabu78038 күн бұрын
👏👏👏vizuri sana
@aidaraphael195610 ай бұрын
Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.
@annethiongo68999 ай бұрын
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
@daudindelembi62066 ай бұрын
Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.
@doricemrema217710 ай бұрын
Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe
@cyprianmwasanga604110 ай бұрын
Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.
@user-qp6bc2fu6d10 ай бұрын
Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU
@user-du2gt8ff1r10 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
@user-wy6cs8kj4y10 ай бұрын
Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe
@user-sc7pl4pi2v6 ай бұрын
Amina mama nimeogopa sana mungu nisamehe kwa yote👏
@Farijimvela-fp8jy10 ай бұрын
Amen watumishi wa Mungu
@user-dv4ch3sy8l9 ай бұрын
Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele
@rebecca-nj6wl10 ай бұрын
Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu
@justinekalunga848810 ай бұрын
Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.
@consolataanyambililemwakib111110 ай бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki
@RachelThomas-ox3jr10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.
@DominaPatrick-ri8sc6 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@liesharehema519310 ай бұрын
Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu
@jescadeogratias52926 ай бұрын
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
@kotadapotar509410 ай бұрын
Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe
@leahenockmrina538110 ай бұрын
Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu
@RebekaMwangomale10 ай бұрын
Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi
@felicitemihungo360010 ай бұрын
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
@JudithElias-ig5nb9 ай бұрын
Asante YESU KRISTO kutufunulia haya
@user-rc1dp6ux3k8 ай бұрын
Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu
@aloycesilwela348510 ай бұрын
Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana
@user-ot7kw4kl2j10 ай бұрын
Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe
@fortunadafura6 ай бұрын
Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏
@FatimahAlshehri-gt1gj9 ай бұрын
Amen mungu atusamehe kabisa
@elizabetheliza475110 ай бұрын
Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama
@user-tx4ze8kq3x10 ай бұрын
Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu
@ernestmshana375210 ай бұрын
Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.
@mmangasalum21958 ай бұрын
Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea
@DiarraLimited-nt2th9 ай бұрын
Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana
@user-is9gg5cg1n9 ай бұрын
Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤
@MamaIbra-kx4hm8 ай бұрын
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
@joycelongo12139 ай бұрын
Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏
@mercykibunguchi958110 ай бұрын
Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi
@user-mb4lt2cx7j9 ай бұрын
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
@tumsiimekente165610 ай бұрын
Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.
@user-xy7py7up5g6 ай бұрын
Asante Yesu
@user-pv3nt6wd3y5 ай бұрын
asante yesu
@richmwaij3368Ай бұрын
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
@abigaelwamboi81499 ай бұрын
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
@user-wy2bz6tr9s10 ай бұрын
Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai
@hellen94677 ай бұрын
Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu
@RebekaShumbi10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana 29:50
@VioletNamz-tq4tg10 ай бұрын
Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.
@charleskuyeko44009 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
@julianawairimu80110 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa
@JemaMbwilo4 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila Mungu nisaidie niwe mtii A
@user-iz4lp3yd9c10 ай бұрын
Amina sana mtumishi wa Mungu
@gobregobre996410 ай бұрын
Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona
@anithasanga3616 ай бұрын
Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian
@salomemmari388010 ай бұрын
Amen ubarikiwe mama
@deooisso-wv3ex10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie
@user-kd8re3no2s10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mama kwa ushuhuda mzuri mwenye sikio na asikie
@user-vw4te3lq5x10 ай бұрын
Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu
@user-jq2ru8kf8x9 ай бұрын
Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie
@elizakituzaleyaapoline528310 ай бұрын
Mungu akubariki
@jacquelinelukambuzi50858 ай бұрын
Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito
@maryeer639210 ай бұрын
Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.
@reginahghati1607 ай бұрын
Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu
@chumamasaka9 ай бұрын
Amina tutatubu ujumbe mzuri
@rosemaryshayo725610 ай бұрын
Hongera mam jeska
@user-rs3ht5wm8p5 ай бұрын
Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana
@user-rn9ep9mo4k6 ай бұрын
Amen dada kwa ujumbe
@user-xj6sb9gg1z8 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-eq4hs7xq8u10 ай бұрын
Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema
@RubaR-nr5wz6 ай бұрын
Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya
@ErneusMlelwa-vk3pu9 ай бұрын
Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie
@bajkljs90589 ай бұрын
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
@AmerdaKavishe-pu3cf10 ай бұрын
Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe
@jeannealmasi95698 ай бұрын
Asante sana ubari kiwe sana
@RachelKihombo-qh1jb7 ай бұрын
Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata
@user-xn9qw8ew5v8 ай бұрын
Amina mama yetu mwache Mungu aitwe Mungu
@user-rt2fr3ri6d10 ай бұрын
Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu
@neemamwakasaje28019 ай бұрын
Amen
@angle360010 ай бұрын
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
@christinashaban726210 ай бұрын
Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya
@LucyKapinga-fg4dk9 ай бұрын
Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu
@user-vz2mu8ze9u10 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake
@MoraaLilian-fp5ny6 ай бұрын
Glory to God mungu yuko ameni
@user-hs8zv5ws9s10 ай бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe huu
@KeziaAbel7 ай бұрын
Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake
@user-gh2kk2et5r10 ай бұрын
mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen
@user-bs2cw8xn6h6 ай бұрын
Mungu atusaidie sana
@UpendoNicholaus6 ай бұрын
Amina kubwa sana
@yohanajames72699 ай бұрын
Asant Ubarkiwe mama kwa ushuhuda tumejifuza kutoka kwako amen
@kizachance77459 ай бұрын
Amina mama Mungu atusaidiye
@NshimirimanaGerardine-xo3ht9 ай бұрын
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
@LuciaElias-dc8vd10 ай бұрын
Barikiwa
@user-yj2dl3cr5o7 ай бұрын
Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga
@MasamElisha-zu5ve9 ай бұрын
Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia
@EsterMbise-pj4vdАй бұрын
Kiukweli ilo la jirani ni la ukweli ila la piko sijalielewa kabisa maana ata bibilia imeandika mpende jirani yako kama mboni ya jicho lako ila mungu atuurumie wote wakosaji
@StrongWomen-ob8yq10 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake
@user-dc2bt3hy7s6 ай бұрын
Asante sana mama Kwa ushuhuda
@bahatikilingo71766 ай бұрын
Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu