MNAOWEKA PIKO KICHWANI,SIKILIZENI USHUHUDA HUU, KILICHOMTOKEA JESCA. Sambaza Ujumbe huu.

  Рет қаралды 368,247

KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI

KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI

10 ай бұрын

Пікірлер: 530
@peterkarimu00
@peterkarimu00 10 ай бұрын
PIKO NI ILE RANGI NYEUSI AU RANGI YEYOTE INAYOBADILISHA NYWELE ILI ZIWE NYEUSI AU VINGINEVYO, WENYE MVI KICHWANI WANAITUMIA ILI KUONDOA MVI KICHWANI.
@catherineawinja7417
@catherineawinja7417 10 ай бұрын
Asante
@rakaieva5472
@rakaieva5472 10 ай бұрын
Oho ok Asante sana kwa ufafanuzi nilikuwa najiswali kama piko ni nini. Mubarikiwe sana Watumishi wa Mungu.
@BerylSeer1
@BerylSeer1 10 ай бұрын
Piko kama ni dye si Kuna rangi tofauti, sio tu nyeusi pekee.
@nancymerinashaidi6525
@nancymerinashaidi6525 10 ай бұрын
Ubarikiwe
@nancymerinashaidi6525
@nancymerinashaidi6525 10 ай бұрын
Jaman up wap
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 6 ай бұрын
Mwenye sikio la kusikia na asikie ujumbe huu wa Bwana. Mimi nimesikia na kutii. Naomba Mungu anisamehe kwa niliyoyafanya kimakosa. Ninatubu sasa na kumrudia Mungu aniongoze hapa duniani na hata atakaponichukua mbinguni nikae naye milele yote. Amina.
@FelicianAndrea
@FelicianAndrea 22 күн бұрын
Asante mama mtumishi nashukulu kwa ushuhuda wako umenibaliki amy
@janewaititu8051
@janewaititu8051 3 ай бұрын
I must commend the host..amemwachia mgeni ajieleze bila interruptions...the flow is awesome.barikiwa sana
@naketizainabu7803
@naketizainabu7803 8 күн бұрын
👏👏👏vizuri sana
@aidaraphael1956
@aidaraphael1956 10 ай бұрын
Amina, mwenye kujitakasa aendelee kujitakasa na MWe kujichafua azidi kujichafua, UJUMBE HUU KUNA MTU AMEPONA.
@annethiongo6899
@annethiongo6899 9 ай бұрын
Ahsante sana kwa ushuhuda wako. Nilionywa pia juu ya kupaka piko na kubadilisha nywele zangu rangi. Ni makosa kumtoa Mungu makosa kwani nywele nyeupe ni yeye huwa anatupa.
@daudindelembi6206
@daudindelembi6206 6 ай бұрын
Asante sana kwa ushuhuda wako naamini umenibadilisha na kuwa na mwelekeo mpya wa Imani . MUNGU azidi kukutia nguvu.
@doricemrema2177
@doricemrema2177 10 ай бұрын
Amen Amen, asante Kwa Ujumbe ubarikiwe
@cyprianmwasanga6041
@cyprianmwasanga6041 10 ай бұрын
Amen Mungu Akubariki sana,kwa kutufikishia Ujumbe huu utatuokoa wengi.
@user-qp6bc2fu6d
@user-qp6bc2fu6d 10 ай бұрын
Amen,Asante kwa ujumbe mtumishi wa MUNGU
@user-du2gt8ff1r
@user-du2gt8ff1r 10 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda na MUNGU Yehova Asifiwe kwa kukutosha mbali.Habari za mtoto aliyezaliwa Mungu Muumbaji wa vyote awabariki katika jina la YESU KRISTO Amen
@user-wy6cs8kj4y
@user-wy6cs8kj4y 10 ай бұрын
Amen asante sana kwa ujumbe wako ubarikiwe
@user-sc7pl4pi2v
@user-sc7pl4pi2v 6 ай бұрын
Amina mama nimeogopa sana mungu nisamehe kwa yote👏
@Farijimvela-fp8jy
@Farijimvela-fp8jy 10 ай бұрын
Amen watumishi wa Mungu
@user-dv4ch3sy8l
@user-dv4ch3sy8l 9 ай бұрын
Be blessed mum for your powerful testimony I'm so blessed pia Mimi nilionywa kuhusu nywele
@rebecca-nj6wl
@rebecca-nj6wl 10 ай бұрын
Asante Bwana akubariki Ila muombe Mungu akufunulie mengi kwa maono ili utufunulie zaidi tumrudie mungu wetu kwa ukamilifu
@justinekalunga8488
@justinekalunga8488 10 ай бұрын
Amina. Mungu aendeleye kuku jaza na Roho wake milele yote Amina.
@consolataanyambililemwakib1111
@consolataanyambililemwakib1111 10 ай бұрын
Asante kwa ujumbe nzuri maana umetufundisha mengi tusiyoyajua na mungu akubariki
@RachelThomas-ox3jr
@RachelThomas-ox3jr 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama kwa ushuhuda huu kweli tumejifunza.
@DominaPatrick-ri8sc
@DominaPatrick-ri8sc 6 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@liesharehema5193
@liesharehema5193 10 ай бұрын
Barikiwa sana mama yetu kwa ujumbe huu
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 6 ай бұрын
Shida so kupka piko,shida Ni hiyo piko uliyopaka ilikuwa na nguvu za kuzimu.Shukuru Kuna walikuwa wanakuombea.Simama Sana na Mungu katika Roho na kwel.Ni mkono wa Mungu ulikuchomoa walikokuwa wamekuchua.Sio kufufuka,Yesu tu ndiye alifufuka
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 10 ай бұрын
Mungu Akubariki madam Ujumbe Umeutoa mungu yupo pamoja nawe
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 10 ай бұрын
Mungu wetu na BWANA wetu Yesu Kristo UNIREHEMU na uturehemu
@RebekaMwangomale
@RebekaMwangomale 10 ай бұрын
Asante mtumish mungu anisamehe kwakutenda dhambi
@felicitemihungo3600
@felicitemihungo3600 10 ай бұрын
Amen Mungu nimwema ubulikiwe kwakufikisha ujumbe . Mungu anapenda waliyo wake azidi kufundisha nawengine maana sisi wa mama ulembo utasababisha tunayikosa Mbingu pamoja na dawa zagupanga uzazazi wengine wanasema za kuachanisha mimba. Nimakosa sasana nimauwaji tunafanya Mungu arinionya kwahivyovyote.
@JudithElias-ig5nb
@JudithElias-ig5nb 9 ай бұрын
Asante YESU KRISTO kutufunulia haya
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 8 ай бұрын
Mungu tusaidie tupe kuyatambua mapenzi yako maana yapo mambo mengi tunayoyaona ya kawaida kumbe ni machukizo kwa Mungu
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 10 ай бұрын
Nimebarikiwa sana, Mungu wa mbinguni akubariki sana
@user-ot7kw4kl2j
@user-ot7kw4kl2j 10 ай бұрын
Amina Asante Sana nimejifunza mengi ubarikiwe
@fortunadafura
@fortunadafura 6 ай бұрын
Natumbu Mungu anisamehe sana kwa yote nimetenda ya siyo mupendeza asante mama kwa ujumbe🙏
@FatimahAlshehri-gt1gj
@FatimahAlshehri-gt1gj 9 ай бұрын
Amen mungu atusamehe kabisa
@elizabetheliza4751
@elizabetheliza4751 10 ай бұрын
Asante nimepokea ujumbe ubarikiwe Sana mama
@user-tx4ze8kq3x
@user-tx4ze8kq3x 10 ай бұрын
Siludii. Kupaka .piko Tena Asante mtumishi wa mungu
@ernestmshana3752
@ernestmshana3752 10 ай бұрын
Hili ni kweli kabisa, pia Mungu alinionya sana kuhusu jambo hili la kubadili rangi ya nywele.
@mmangasalum2195
@mmangasalum2195 8 ай бұрын
Mwenye sikio na asikie,Asante kwa ujumbe tumeupokea
@DiarraLimited-nt2th
@DiarraLimited-nt2th 9 ай бұрын
Hakika ashukuriwe MUNGU Asante mama kwa ujumbe mzuri nimejifunza kitu nanimeelewa sana
@user-is9gg5cg1n
@user-is9gg5cg1n 9 ай бұрын
Emen,emen,asanti sana mchungaji ume nijenga sana hakika mungu wacha aitwe mungu naomba roho mtakatifu aniongoze❤
@MamaIbra-kx4hm
@MamaIbra-kx4hm 8 ай бұрын
Nisamehe Mungu wangu kama ulivyomtendea HUYU mama nitendee na mimi. Kwani nimekukosea kwa mengi hta Kwa kubadili nywele rangi ujumbe umenigusa sana niurumie Mungu wangu
@joycelongo1213
@joycelongo1213 9 ай бұрын
Mungu akubariki huu ushuunda umenibaliki sana 🙏🙏
@mercykibunguchi9581
@mercykibunguchi9581 10 ай бұрын
Please ujumbe mzuri kweli kweli mama Mungu akubariki saana....uendelee kutufundisha mengi
@user-mb4lt2cx7j
@user-mb4lt2cx7j 9 ай бұрын
😭😭😭😭😭Asante Sana Kwa huo ujumbe nitatubu na ninajua Mungu atanisamehea, Kwa maana simu nimejaribu,kujinyonga pia,na hata ajali,Bwana wamajeshi azidii kuinuliwa❤❤
@tumsiimekente1656
@tumsiimekente1656 10 ай бұрын
Mama asante kwa ujumbe mzuri ,mungu aendelee kukutunza.
@user-xy7py7up5g
@user-xy7py7up5g 6 ай бұрын
Asante Yesu
@user-pv3nt6wd3y
@user-pv3nt6wd3y 5 ай бұрын
asante yesu
@richmwaij3368
@richmwaij3368 Ай бұрын
Hakika mungu yupo kwajili yetu anatulinda kupitia watumishi wake anatufundisha mungu akubaliki zaidi mamaangu mungu ametufikishia elimu ya uzima wa milele kupitia wewe ubalikiwe sana
@abigaelwamboi8149
@abigaelwamboi8149 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana dada... nilikua nimepanga kuweka piko kwa sababu nilinyoa..lakini kwa ujumbe huu sitafanya hivyo.Nimejifundisha mengi kupitia ujumbe huu
@user-wy2bz6tr9s
@user-wy2bz6tr9s 10 ай бұрын
Mungu nimwema sana ubarikiwe mama ukawe mwalimu wa wote walio hai
@hellen9467
@hellen9467 7 ай бұрын
Ameeen waaah dadangu ameyaona mungu azidi kukutia nguvu
@RebekaShumbi
@RebekaShumbi 10 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana 29:50
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg 10 ай бұрын
Asante mama kwa ujumbe mzuri, Mwenyezi Mungu akubariki umenifundisha sana.
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 9 ай бұрын
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako Mungu alivyokuokoa kwa Neema yake kuu hata ukaweza kutufikishia ujumbe huu muhimu kwa Binadamu wote. Mimi nimeokoka nampenda sana Yesu lakini nilikuwa bado napaka piko. Ujumbe huu umekuja kwa ajili yangu na sitajipaka tena piko. Uzuri ni wa kumjua Mungu na si wa kujipendezesha mwili huu wa udongo ambao hautamwona Mungu bali Roho yangu iwe salama mikononi mwake. Ubarikiwe sana Dada yangu. Mungu akuzidishie Neema.
@julianawairimu801
@julianawairimu801 10 ай бұрын
Asante kwa ushuhuda nimebarikiwa
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu kusikia nimesikia tena Roho wa Mungu amenishuhudia kabisa ila Mungu nisaidie niwe mtii A
@user-iz4lp3yd9c
@user-iz4lp3yd9c 10 ай бұрын
Amina sana mtumishi wa Mungu
@gobregobre9964
@gobregobre9964 10 ай бұрын
Asanteee kwa ujumbe mzuri mama tumepona
@anithasanga361
@anithasanga361 6 ай бұрын
Mungu tusaidie kupitia roho wako mtakatifu atufundishe jinsi ya kuenenda ktk maisha ya hapa dunian
@salomemmari3880
@salomemmari3880 10 ай бұрын
Amen ubarikiwe mama
@deooisso-wv3ex
@deooisso-wv3ex 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi nikweli kabisa ata mm majaribu kama hayo nimepitia mepelekwa huko kuzimu acha tu mungu atusaidie
@user-kd8re3no2s
@user-kd8re3no2s 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mama kwa ushuhuda mzuri mwenye sikio na asikie
@user-vw4te3lq5x
@user-vw4te3lq5x 10 ай бұрын
Asante. Sana. Mama. Mungu. Akubariki na aendelee. Kukulinda ili. Uendelee. Kutoa. Ushuhunda wa. Mungu
@user-jq2ru8kf8x
@user-jq2ru8kf8x 9 ай бұрын
Asante mama yetu kwa ushuhuda huu Mungu tusaidie
@elizakituzaleyaapoline5283
@elizakituzaleyaapoline5283 10 ай бұрын
Mungu akubariki
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 8 ай бұрын
Ee Mungu Baba turehemu maana tumekutenda dhambi sana sana hata kulijua hili ni kwa neema yako Baba🙏🙏asante mama kwa ujumbe mzito
@maryeer6392
@maryeer6392 10 ай бұрын
Hizo piko na nywele badia na masuruhali nikama vili mwagwa hapa kwetu Kenya 🇰🇪.
@reginahghati160
@reginahghati160 7 ай бұрын
Amen umezidi kunifuta karibu na Mungu
@chumamasaka
@chumamasaka 9 ай бұрын
Amina tutatubu ujumbe mzuri
@rosemaryshayo7256
@rosemaryshayo7256 10 ай бұрын
Hongera mam jeska
@user-rs3ht5wm8p
@user-rs3ht5wm8p 5 ай бұрын
Asante MUNGU kwa sababu bado unatupenda Nina kutukuza sana
@user-rn9ep9mo4k
@user-rn9ep9mo4k 6 ай бұрын
Amen dada kwa ujumbe
@user-xj6sb9gg1z
@user-xj6sb9gg1z 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@user-eq4hs7xq8u
@user-eq4hs7xq8u 10 ай бұрын
Yesu unipendae kwako nakimbilia niww utoshae nisaidie kutenda mema
@RubaR-nr5wz
@RubaR-nr5wz 6 ай бұрын
Ak ubarikiwe sana mamangu umenifungua akili na ujumbe huu akika ntakufanyia kazi nahata wengine ntawaambia ili wajihadhari na haya
@ErneusMlelwa-vk3pu
@ErneusMlelwa-vk3pu 9 ай бұрын
Haleluya acha Mungu atujalie kuwa watii ,ubarikiwe sana mama yangu mwenye sikio na asikie
@bajkljs9058
@bajkljs9058 9 ай бұрын
AMEN Glory to God ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU mimi pia nikua namaswali juu yahizi vitu lakini Ashukuruwe MUNGU wambinguni kwa kunijibu maswali yangu wacha nikae kama alivyo niuumba MUNGU wangu❤❤❤
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 10 ай бұрын
Abarikiwe Sana kwa kutumika kwamafundisho hayo mungu amemtendea kwani nimesadiki kwani yamenitoke japo Mimi niwatofauti kidogo mungu atukuzhwe
@jeannealmasi9569
@jeannealmasi9569 8 ай бұрын
Asante sana ubari kiwe sana
@RachelKihombo-qh1jb
@RachelKihombo-qh1jb 7 ай бұрын
Amina mama ubarikiwe Sanaa ujumbe tumeupata
@user-xn9qw8ew5v
@user-xn9qw8ew5v 8 ай бұрын
Amina mama yetu mwache Mungu aitwe Mungu
@user-rt2fr3ri6d
@user-rt2fr3ri6d 10 ай бұрын
Amen na mungu aku bariki kutu leteya neno na message njema kwetu
@neemamwakasaje2801
@neemamwakasaje2801 9 ай бұрын
Amen
@angle3600
@angle3600 10 ай бұрын
Muhimu ni tujitahidi kuacha Madhambi Tumuabudu mola wetu,Madhambi ni mengi sana hata ukiatafakari sioni wa mbinguni hata mmoja,Ila ajuaye zaidi ya yote ni Mungu.wanadamu hakika tuko kwenye pazia
@christinashaban7262
@christinashaban7262 10 ай бұрын
Yaan kama ni hivi wote ni WA moton maana hakuna tulilokuwa hatujalifanya
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 9 ай бұрын
Kuacha kutubu,Msalabani tulikombolewa Wapo Watakatifu Wanaompenda Mungu
@user-vz2mu8ze9u
@user-vz2mu8ze9u 10 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mum mungu atusaidie tuenende katka mapenz yake
@MoraaLilian-fp5ny
@MoraaLilian-fp5ny 6 ай бұрын
Glory to God mungu yuko ameni
@user-hs8zv5ws9s
@user-hs8zv5ws9s 10 ай бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe huu
@KeziaAbel
@KeziaAbel 7 ай бұрын
Amen mungu atusaidie kuyashinda yadunia tuishi kwenye kusudi lake
@user-gh2kk2et5r
@user-gh2kk2et5r 10 ай бұрын
mungu azidi kukulind na kukuonesh mengi.maan sis binadam hatuamni kuwa mung anaponya mung atusaidie amen
@user-bs2cw8xn6h
@user-bs2cw8xn6h 6 ай бұрын
Mungu atusaidie sana
@UpendoNicholaus
@UpendoNicholaus 6 ай бұрын
Amina kubwa sana
@yohanajames7269
@yohanajames7269 9 ай бұрын
Asant Ubarkiwe mama kwa ushuhuda tumejifuza kutoka kwako amen
@kizachance7745
@kizachance7745 9 ай бұрын
Amina mama Mungu atusaidiye
@NshimirimanaGerardine-xo3ht
@NshimirimanaGerardine-xo3ht 9 ай бұрын
Wana WA Mungu Wana Roho WA Mungu wakuwaelekeza ndomaana MTU hawezi kujipeleka kihivohivo Tu sababu anae Roho WA Mungu wakumuelekeza,mbinguni ni pazuri ndugu zangu kwahiyo tusije tukampinga Roho waMungu,ukimpinga siku nyingi naye atakuacha
@LuciaElias-dc8vd
@LuciaElias-dc8vd 10 ай бұрын
Barikiwa
@user-yj2dl3cr5o
@user-yj2dl3cr5o 7 ай бұрын
Asante Mama hili jambo limekuwa ngumu sana kufunza kanisani hasa Wake wachaga
@MasamElisha-zu5ve
@MasamElisha-zu5ve 9 ай бұрын
Ubarikiwe sana nimejifunza mengi ila nikwa neema 2 nimesikia
@EsterMbise-pj4vd
@EsterMbise-pj4vd Ай бұрын
Kiukweli ilo la jirani ni la ukweli ila la piko sijalielewa kabisa maana ata bibilia imeandika mpende jirani yako kama mboni ya jicho lako ila mungu atuurumie wote wakosaji
@StrongWomen-ob8yq
@StrongWomen-ob8yq 10 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa shuhuda kama hii inatujenga sana na inatusaidia sana naomba mungu anisaidie niyatende kwa upendo na amani yake
@user-dc2bt3hy7s
@user-dc2bt3hy7s 6 ай бұрын
Asante sana mama Kwa ushuhuda
@bahatikilingo7176
@bahatikilingo7176 6 ай бұрын
Ameeni ameeni mungu aturehemu tusimame ktk kristo yesu
@angelamugoywa4917
@angelamugoywa4917 6 ай бұрын
Mungu atusiitiye sana🙏🙏🙏
@user-co8bb7gz8c
@user-co8bb7gz8c 8 ай бұрын
Glory be to God
@ElizaMakaranga
@ElizaMakaranga Ай бұрын
Amena mama mungu anisaidie na mm
MNAOPENDA KUNYWA ENERGY DRINKS ,COCACOLA, SIKILIZENI USHUHUDA HUU.share ujumbe huu.
11:10
KANISA TAKATIFU LA YESU KRISTO-CHAMAZI
Рет қаралды 30 М.
Dr. Chris Mauki: Mke mwenye busara humpa mumewe haya manne (4)
6:44
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 49 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 15 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 62 МЛН
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
Kuzimu ni halisi sio hadithi na majini yapo fatilia ushuhuda huu.
56:28
Huduma ya Madhabahu ya Kristo.
Рет қаралды 19 М.
SIKIA KINACHOTOKEA HUKO KUZIMU PALE WALOKOLE WANAPO OMBA.
1:12:16
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
KIBOKO YA WACHAWI AFUCHUA SIRI KWA KIJANA ALIYEKUA AKIMDHANIA MAMA YAKE MZAZI KUA NI MCHAWI
8:00
Part_1 USHUHUDA WA ALIYEKUTANA NA  YESU NA SHETANI LIVE
49:08
PROMOVER TV
Рет қаралды 101 М.
USHUHUDA WA KILICHO MFANYA OSINACH KUTOKUINGIA MBINGUNI
23:22
SHUHUDA ZA KWELI
Рет қаралды 43 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 49 МЛН