MIMI SIWASHAMBULII TU KWA CHUKI MANABII WA UONGO,NI KWA SABABU NAWAFAHAMU TULIKUWA NAO|MCH.KATEKELA

  Рет қаралды 18,028

PROMOVER TV

PROMOVER TV

25 күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 107
@vicentraphael899
@vicentraphael899 23 күн бұрын
Mtumishi wa mungu huwa nakukubali sana na nabarikiwa sana na mahubili yako na shuhuda usipo sema mungu atainua hata maww yaseme we sema mpaka wawaachie watu waje kwa yesu.
@Mbingutv508
@Mbingutv508 23 күн бұрын
Ubarikiwe MTU. Wa Mungu Wacha watupige mawe lakini lazima tuhubiri ukweli mpaka KUFA
@marchymaziku6234
@marchymaziku6234 23 күн бұрын
Mwenye sikio na asikie Amen
@faridadauda3227
@faridadauda3227 20 күн бұрын
Napenda sana injili unayoitoa maana inatoka katika NENO NA NDIYE YESU MWENYEWE
@nyangiboke
@nyangiboke 23 күн бұрын
Napenda jinsi ulivyojasiri wa yesu kristo
@agustinohizza1395
@agustinohizza1395 21 күн бұрын
Katekela mimi binafsi akili yangu imepata uwanda mkubwa sana wa fikra nimepata mengi kupitia wewe Barikiwa sana
@faridadauda3227
@faridadauda3227 20 күн бұрын
Bwana hatakuacha mtumishi uangamizwe maana alikuokoa ili ukaifunue kweli . Nasi tunakuombea wigo wa Bwana Yesu uzidishwe sana kwako na familia yako, AMINA
@user-xn3vq1gq3p
@user-xn3vq1gq3p 22 күн бұрын
Mungu kweli anapatikana kwetu Kwa nguvu za maombi,kufunga na sadaka, Mtumishi utuokoe na manabii Hawa,Amina
@Mbingutv508
@Mbingutv508 23 күн бұрын
Mimi mwenyewe napigwa vita sana juu ya manabii hao Nikweli unachosema hakuna unafiki huo ni USHIRIKINA MTU Wacha wawanyweeshe DAMU ZA WATOTO Kwa ujinga wao wa kiroho mwenye SIKIO NA ASIKIE
@getrudeliyayi8050
@getrudeliyayi8050 22 күн бұрын
Twakupenda sana YESU asifiwe ,wengi wako uko ,Kwa ajili ya manjengo makumbwa magari ,na kutembea dunia nzima ,sifa ni YESU tuuu
@FaustineTz
@FaustineTz 22 күн бұрын
Napenda hii injili we wachane mch katekela manabii Wanazingua sana
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 3 күн бұрын
Barikiwa Sana katika Kristo Yesu, fundisho zuri sana
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 23 күн бұрын
Sema kweli mtumishi, bendera chuma mulingoti chuma
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 23 күн бұрын
Mutumishi kazi yako imebarikiwa Kwa sababu unatuonya kile wewe Mwenyewe uliona.
@Tutindaga
@Tutindaga 23 күн бұрын
kwanini huyo mtu anapiga keybord wakati mtumishi anahubiri???? *WACHA NENO LA MUNGU LITOKE KAVU KAVU NDUGU* inakuwa ni distraction wakati wa mahubiri unapiga keyboard!
@wilsonkombeyeri4623
@wilsonkombeyeri4623 23 күн бұрын
Alright that's a given
@servantofgod4340
@servantofgod4340 23 күн бұрын
Umeona .. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU. vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
@servantofgod4340
@servantofgod4340 23 күн бұрын
Mkatazeni huyo anayepiga Kinanda makelele mtumishi hasikiki yanadisturb wasikilizaji.. Kanisa linakuwa na makelele ya Kinanda wakati watu wapo watashangilia. Utadhani wapo kwenye kampeni ya siasa. Hapo ni Kanisani madhabuhuni paheshimike. Mtumishi anapohubiri isikike sauti yake na waumini wanapomshangilia YESU. vinanda visubiri wakati wa praise na worship.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
Ajabu saana ,Hawataki kusikiliza neno la Mungu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 21 күн бұрын
😂
@jovinmasekesa3272
@jovinmasekesa3272 21 күн бұрын
Hapa kweli bendera chuma mlingoti chuma Bwana akulinde
@jossyayielo7576
@jossyayielo7576 22 күн бұрын
Twakungoja 🇰🇪🇰🇪mtumishi
@SabinaEzekiel-vb5nh
@SabinaEzekiel-vb5nh 15 күн бұрын
Ubarikiwe mchungaji Katekela.
@verroallex9144
@verroallex9144 10 күн бұрын
Biblia inasema "Niliyowaambia sirini yasemeni waziwazi, mliyoyasikia gizani yasemeni nuruni" Bwana Yesu azidi kukulinda. Ukweli lazima uwekwe wazi, Neno la Kristo ni Lazima lihubiriwe.
@GoimNikodem
@GoimNikodem 22 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu aliyehai nakukubali na unaniongezea kiwango cha iman yangu sana
@ellyitete938
@ellyitete938 23 күн бұрын
Pianist anazingua jmn muda wa kubonyeza umeisha
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 22 күн бұрын
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU Kwa baraka za mbinguni naduniani Hallelujah
@nyangiboke
@nyangiboke 23 күн бұрын
Mungu akulinde
@JohnsonMpinga-gy5wt
@JohnsonMpinga-gy5wt 21 күн бұрын
Mtumishi Mungu akutunze zaidi na utumie nafasi hii kuhubiri ukweli maana wakati ukilala mauti hautasema
@annambembela6661
@annambembela6661 23 күн бұрын
SEMA tu ukweli wametuchosha manabii wa uongo jaman , yesu kristo aendelee kukutumia pastor umenifungua mambo mengii
@elijahwambugu8301
@elijahwambugu8301 5 күн бұрын
Amen, karibu Kenya
@deogratiasmnubi8783
@deogratiasmnubi8783 10 күн бұрын
Be blesded mchungaji
@samwelieliasi5730
@samwelieliasi5730 21 күн бұрын
Amina mtumishi barikiwa sana mtumishi
@mussamaro8068
@mussamaro8068 22 күн бұрын
Amen mtumish wa Mungu mwenye maskio na hasikiee na achukue hatua apone
@user-dd2xy3ey3k
@user-dd2xy3ey3k 9 күн бұрын
Wahoo ubarikiwe sanaa
@newbornhaule
@newbornhaule 22 күн бұрын
MTU HUYU WA MUNGU KANISA TUMUOMBEE SANA MAANA AMEJITOA KUISEMA KWELI...
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 18 күн бұрын
Ameeeen Ameeeeen pastor Mungu qkulinde sana
@edenparkhealingministrytz
@edenparkhealingministrytz 23 күн бұрын
Amen mtumishi, ila tunaomba ili kuondoa maswali katika jamii, tunaomba uwataje. Kwanini ukristo unakua na sura ya kuficha Mambo, kama umeamua kuwaumbua basi wataje utakuwa umesaidia jamii ya wakristo wengi. Hii kusema bila kutaja mnatuchanganya. Wataje Baba tunaomba..
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
mmh wewe unaweza kuwataja
@JorvinVedasto-ic3su
@JorvinVedasto-ic3su 22 күн бұрын
alishawataja manabii wanaotumia maji na chumvi hujaelewa nn tena
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 22 күн бұрын
Mambo ya kiroho hayana ushahidi wa kimwili, akiwataja na wakimwambia atoe ushahidi na asipotoa si sheria itambana.
@user-un2td1no5f
@user-un2td1no5f 19 күн бұрын
Kweli kabisa haifai kuwataja haina maana kabisa kwa kua anatuhubiria yatosha​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@fridahkwamboka6905
@fridahkwamboka6905 20 күн бұрын
Amen..mtu wamungu 🙏🙏
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 22 күн бұрын
Wanaohubirikinyume chaenjili auhatatorati ni mulipuko wa king'anng'anizi changuvu zashetani augiza enjili itaendeleakuwa neno lauzima nashetani ataendelea kupapasa gizanene nawafuasiwake. hiyo ikokwenye ufunuo alioonyeshwa Yohana naMungu kuwa hayana budi kutokea.
@annambembela6661
@annambembela6661 23 күн бұрын
Mungu akubarikii
@AnnaLwanda-oj4jn
@AnnaLwanda-oj4jn 20 күн бұрын
Mungu akubariki
@pastoreliya663
@pastoreliya663 23 күн бұрын
Akika Nami Nipo tayari Kufa kwajili ya kirsto lazima tuubiri ukweli ,Kuna manabii Waongo ,Wengi
@myself4128
@myself4128 23 күн бұрын
sio wengi wote mitume na manabii ni Feki
@onalinasozigwa3167
@onalinasozigwa3167 20 күн бұрын
Kabisaa mtumishi naungana na wewe tumhubiri kristo wa kweri tukemee dhambi tuwatoe watu gizani kuwaleta nuruni watumishi tumelogwa nani tumeiacha kweri ya Mungu Mungu atusaidie sana
@mishlay8164
@mishlay8164 19 күн бұрын
Wewe mtumishi wa Mungu watumishi wa kweli wako wapi sasa ???
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 22 күн бұрын
Endeleya kusema ambaye nifilimasoni akasiliketuu SEMA TU mutumishi hata yesu walimuchukia kwakuwa alisema ukweli
@EunnyNicks
@EunnyNicks 22 күн бұрын
Aminaa
@HappyJohn-kk1pr
@HappyJohn-kk1pr 14 күн бұрын
Shda ya watu awataki ukweli
@ajuayearon5760
@ajuayearon5760 21 күн бұрын
Ameen
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 22 күн бұрын
Sema Mtumishi tupate kupona
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 20 күн бұрын
Hakika uko vzr sana
@VeeSunshine-zr3iv
@VeeSunshine-zr3iv 22 күн бұрын
Sema usimuogope mtu Mungu ndiye aliyekutuma
@ryobanchagwa2499
@ryobanchagwa2499 20 күн бұрын
❤❤❤❤❤ ubarikiwe sana
@lilyg2134
@lilyg2134 19 күн бұрын
TENA KATIKA HAO MANABII WA KUZIMU, MZEE WA UFOKO AKIWEMO
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 18 күн бұрын
Njoo kenya mtu wa Mungu
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 20 күн бұрын
Kweli mchungaji yaani kuna maruerue ktk haya makanisa cjui nini kinachoendelea ktk nyumba za baba yetu ni vtuko ni vtuko 8:52
@rosemarygelas1473
@rosemarygelas1473 23 күн бұрын
Sema kweli mtumishi watu wapone , hao manabii ni kama waganga wa kienyeji tu
@ElvisReinhard
@ElvisReinhard 22 күн бұрын
Mimi huwa nampenda huyu mtumishi wa MUNGU kwa ukweli anao usema kuna mambo nimedhibitisha mambo mengine
@LispafulgenceSimon-rs1zg
@LispafulgenceSimon-rs1zg 20 күн бұрын
Barikiwa
@AllanLyombile
@AllanLyombile 20 күн бұрын
Wewe ni mshamba wa kiroho, vipi tukikuonyesha maandiko ambayo yanaonyesha watumishi wa agano la kale na agano jipya walitumia hivyo unavyoviita viambatanishi? hata Yesu mwenyewe unajuwa kuwa alivitumia? kaa chini ufundishwe.
@samuelakanga5586
@samuelakanga5586 23 күн бұрын
Ubarikiwe na NENO lienee kote
@K-go1qj
@K-go1qj 22 күн бұрын
Manabii wa uongo wanawavuta watu kwa Kristo wakishaujua ukweli kisha wakaendelea kuwepo kwenye makanisa yao hilo ni tatizo lao
@nehemiamwailongano2960
@nehemiamwailongano2960 20 күн бұрын
Mtumishi wa kinanda atulie siku nyingine kwa utulivu
@MeridaChawe-kd9is
@MeridaChawe-kd9is 23 күн бұрын
Toa hizo sauti za vyombo vya mziki tusikilize neno sio vyombo
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 19 күн бұрын
Mwamposa ni nabii wA uongo😅😢
@LovenessHango
@LovenessHango 9 сағат бұрын
Bendera chuma mlingot chuma,
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
Maana Na wewe ulikuwa huko sasa Ni wakati ulipe Deni kupiga kelele saana kwa hao Manabii wa Uongo
@mishlay8164
@mishlay8164 19 күн бұрын
Na wale ambao huwakuwa nao wanafanya miujiza je wao wako wapi?
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 21 күн бұрын
Ila wahaya bhn,
@zakariasengo8930
@zakariasengo8930 20 күн бұрын
Watu wa keyboard 🎹 nao wapuuz sana, badala ya kukaaa kusikiliza yeye anapiga piga kelele muda wote na keyboard yake
@romwaldkabwebwe6747
@romwaldkabwebwe6747 9 күн бұрын
Wanazenguaga sana hawa
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 21 күн бұрын
Walewale tuu
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 22 күн бұрын
Sema Mtumishi tupone
@FrankMichael-us4dr
@FrankMichael-us4dr 23 күн бұрын
Mtumishi watu vichwa ngum hawaelewagi hata uwambie kwa Luga gani hawaelewi tuseme nini basi juu ya haya turudi kwenye neno la yesu akasema kila mwenye sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
Siyo Vichwa ngumu wakati wao Bado
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm 18 күн бұрын
Walozama kwenye haya maji na mafuta humuambii kitu akakuelewa badala yake anakusikitikia wewe usiyetumia ivo vitu
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 21 күн бұрын
Sasa naww unaanza kujikusanyia watu kwa kuwaka dia wenzao ili wakuamin naww utengeneze pesa, duuhh😆😆
@Falialakiza
@Falialakiza 21 күн бұрын
Msanii huu hakuna kweli hapa
@leonardalphonce8924
@leonardalphonce8924 21 күн бұрын
50 +60= 110000 hapo mchungaji umechemka hesabu af siungeearudishia hela yao mbona nawe unakua tapeli kama wao
@jizzotheking9238
@jizzotheking9238 21 күн бұрын
Ahahahaha daaah ila hii nchi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
Unalipa kwa sasa
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 21 күн бұрын
Hapo posta hata nabii esta masanja alisema
@JanethFortunatus
@JanethFortunatus 22 күн бұрын
Kwanini mtu ukiokoka mambo yanakuwa magumu zaidi😢
@user-nf8gk5fi6c
@user-nf8gk5fi6c 22 күн бұрын
Lazima yawe magumu ili uanze kutilia mashaka kile ulichopokea, shetani anaanza kushambulia Imani yako lengo urudi kwake. Kuokoka ni sawa na Wana wa Israel walipotaka kuondoka misri, biblia inasema farao alipoona Wana Israel Wanataka kuondoka ktk himaya yao, adhabu yao iliongezwa mpk wakaanza kumchukia Musa aliewaendea ili kuwaokoa. Songa mbele usiogope, yako mema mbele yako
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 20 күн бұрын
Nikutokujua agano la Mungu kwa wakristo Nawakristo nao waliopata neema yakujua Agano la Mungu hawakiishi. Wengi wanfikiri utajiri umo ndani ya maombi nakusali sana. Utajiri unapatikana ndani ya Agano. Ayubu 22:21 namaneno ya kutafakari sana.
@jastinmkoba
@jastinmkoba 22 күн бұрын
Changamoto yako wewe uwtaji manaabii wauongo bari unafumba fumba akati mwanzo ulisema utawataja......
@israelimarco6465
@israelimarco6465 22 күн бұрын
Bado umetumwa kwa siri
@phinescah7353
@phinescah7353 23 күн бұрын
Sema hata ikiwezekana sema majina yao wazi tutoke gizani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 22 күн бұрын
Mmh si rahisi kihivyo
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 21 күн бұрын
ÀMEN
@K-go1qj
@K-go1qj 22 күн бұрын
Manabii wa uongo wanatimiza maandiko wasingekuwepo Biblia ingekuwa ni kitabu cha uongo
@kilelisemkere6845
@kilelisemkere6845 19 күн бұрын
Ndio ila kuna wasiojua maandiko
@AdamJonas-sx4mi
@AdamJonas-sx4mi 23 күн бұрын
Aah wapi kwa wema gani unaofanya mbele za Mungu mpaka ujione una haki ya kuwahukumu wengene ila nyie wachungaji jamani haa!
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 22 күн бұрын
Yesu kamuokoa ili salama yake, auseme ukweli wote, yesu ni bwana kwa wote wanaomwamini, soma biblia
@RobertMushi-yh7re
@RobertMushi-yh7re 22 күн бұрын
Sema Mtumishi tupate kupona
NGUVU YA KUZIFUNGUA KAMBA ZA MAUTI MCHUNGAJI AMIEL KATEKELA
49:17
PROMOVER TV
Рет қаралды 1,3 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 208 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 497 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 57 МЛН
MCH.KATEKELA:UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA
53:22
PROMOVER TV
Рет қаралды 5 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 208 МЛН