ASKOFU MOSES KULOLA ALIUBILI JIJINI MWANZA MWAKA 2002 SYLAS TV IPO KWAJILI YAKO
Пікірлер: 171
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
Niliokoka kwenye mkutano wa huyu baba 1999 na nilipata shida sana mume alinikataa nikiwa na mtoto mdogo nikaenda kukaa kwetu niliendelea na wokovu,kukawa na mkutano wa vijana kwa Mchungaji Mwizarubi nilimuona Mungu akitenda leo namsikiliza Feb 2019 hapa marekani acheni Mungu aitwe Mungu
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
@@SYLASSTV lakini ikiwa youtube si ina maana inawafikia wengi au sijuu nauliza tu
@theonlyonebeautiful37265 жыл бұрын
@@SYLASSTV Done
@ASTUDIOSTZ5 жыл бұрын
Barikiwa
@mzalendowambura64275 жыл бұрын
Hongera kama Bado unaendelea na Yesu, na katika mafanikio majaribu ni mengi
@lucysingaile97865 жыл бұрын
Injili hii ndiyo inayotakiwa kwa kizazi hiki
@timothmasong79745 жыл бұрын
Injili isio na mawaa ubarikiwe babu pumzika kwa amani kazi umeimaliza injili umeilinda aminaa
Mungu akujalia mzee hii ndio neno ya wakati huu tubuni na kuokolewa Amina Amina
@seifhamadi78954 жыл бұрын
Ee mungu WANGU niongoze nimalize mwendo salama.
@dorcaslor21664 жыл бұрын
Buana Wangu Yesu Mfalm Uni saidie Mupenzi Wangu Wa Rohoe Kua siku ile siku ya Hatari ni yakulie ni WEWE Mbinguni Amen
@user-vl7zn4bb8e6 ай бұрын
Alitiza neno hubirini kwamba ufalme wa mbinguni umekaribia...........lengo kuu la wokovu ni kuikimbia Jehanamu isemwayo na huyu mtumishi wa Mungu shujaa
@sistercarolinemjewa75022 ай бұрын
Mzee Kulola ana upako mkubwa sana sijaona mwingine
@saramgonja34845 жыл бұрын
Sikuwahi msikiliza Huyu baba kipindi chote akiwa hai maana nilikua kwenye imani nyingine lakini tangu niingie kwenye imani hii na kupata kusilikuliza sauti za huyu baba,hakika nafundishika napata kujua mengi na imani yangu inakua,,
@saramgonja34845 жыл бұрын
Nitashukuru saana,na Mungu wa Mbinguni akubariki saana
@saramgonja34845 жыл бұрын
Amen,barikiwa sana ndugu yangu
@kejolalaizer92455 жыл бұрын
@@SYLASSTV Ana mtunda mengi sana
@jakelema63254 жыл бұрын
Sara Mgonja mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq utaujua ukweli zaidi wachungaji wengi na manabii ni waongo sana utaijua injili bure na kuombewa bure.Asante
@josephmarwa72122 жыл бұрын
Mungu anakupenda endelea kumtafuta akiwa bado anapatikana
@edithajonathan89055 жыл бұрын
Injili halisi ya Mungu mwenyewe!
@dorcaslor21665 жыл бұрын
Acsente Mutu wa Mungu ni kueli kabisa ni lisha épuka zamani bengine aseme ni majivunu na bambiya faida gani ni potée Moyo wangu ju y’a Kupendewa na Dunia ? Haya acha Mungu a kubariki nakutubiri Injili y’a wakati za muicho ndio Buana Yesu ana Kuja BaBa Wetu wa mbiguni a tu wezeche Amen
@zakayosamwel70404 жыл бұрын
Nakumbuka mahubiri ya huyu mtumishi wa Mungu. Ni lazima tusimame imara katika kizazi hiki. Tulishike neno na tusibabaishwe na manabii wa uongo waliojaa kipindi hiki.
@jakelema63254 жыл бұрын
Zakayo Samwel mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq
@lawrenciamwampelwamwampelw99115 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 1985 mbeya kwenye mikutano ya kulola
@priscajustine21834 жыл бұрын
Kweli baba umesema naimetokea corona mungu tuponye 30/4/2020
@felsonsanga85023 жыл бұрын
Corona maana yake 666
@danisaid62455 жыл бұрын
Pumzika kwa amaani mzee wangu ole kwetu ambae hatujamaliza kazi
@user-mp8tk1gj1w7 ай бұрын
Ee Mungu na kweli amemchukua Mungu azidi kumpa neema atakm hayupo duniani loe nmeokoka kwa mafundisho yke
@eliapolia16245 жыл бұрын
Mwenye sikio na asikie
@itongwamtebwa72554 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hellenevarist52214 жыл бұрын
Amen.
@paulinamichael29882 жыл бұрын
Halleluyah nakosa hata chakuongea nabarikiwa sanaa Baba kazi uliifanyaa.
@emmanuellikaare16614 ай бұрын
Nisiku ya pili nililala mchana nikaota ndoto huyu mtumishi wa Mungu amekuja duniani akanishika mkono nakunipeleka mbinguni sasa tukiwa kwenye ngazi kila mahali kweupe nilianza kusikia wimbo ambao nilipoamka nilikua bado naukumbuka nikachukua simu yangu kisha nikaimba nikijirecodi ndio nisiusahahu ...napenda sana kuyasikiliza maubiri ya uyu mtu wa Mungu nampenda kutoka Moyoni mwangu naamini Mungu ameuambatanisha moyo wangu na moyo wa mtumishi wake japo yuko mbinguni.....naamini namimi siku moja nami nitaingia mbinguni amina.
@shedrackmihale732920 күн бұрын
Fanya tu kwabidii kwa Mungu utafika tu kwa Mungu
@yusufukazamba23915 жыл бұрын
Huyu alikuwa mpakwa mafuta kweli ndiyo maana hakupenda kuchekacheka alikuwa serious kweli
@UhaiOnlineTv5 жыл бұрын
sylas tv jaman tuiombee sana pia sambaza video hi
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Kwa kweli tunamshukuru Mungu sana kwa ajili ya askofu Kulola
@yusuphkasongwa18725 жыл бұрын
nani atakaye tokea akahubili injili ya kweli ambayo inazungumza uharisia wa dunia ilnako elekea kama huyu mzee nani asimame, nani azunguke katika roho na kweli rest in peace our real dad we mc u more
@millicentayango38794 жыл бұрын
Angalia prophet Hebron pia amefuata nyao zake.
@jakelema63254 жыл бұрын
Yusuph Kasongwa mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq
@laini1205 жыл бұрын
Waouw nzuri saaana
@joshuasalamba5914 жыл бұрын
Mungu akufute machozi kwa kitambaa safi baba yetu wa iman
@missajijamesx-6479 Жыл бұрын
Roho yako ilale mahala pema baba umeiacha ijili inasonga mbele mimi nimeokokokea kwenye E..A..G..T
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Daa injili ya kweli hii ukurasa umefungwa tayari lakini injili aliyohubiri bado inagusa watu
@merrypeter59095 жыл бұрын
bba urikubari kuhubli kweri yaneno la Mungu , upombinguni umepumzika
@johnraymond55975 жыл бұрын
Merry Peter
@fatmafa18965 жыл бұрын
Amen mafunzo mema tena ya kweli kabisa
@mashitoedson41875 жыл бұрын
Fatma Fa we si muislamu mbna umecomment hvo
@laurentgregory20745 жыл бұрын
Bwana atupe ustahimilivu wa kusimama katika wokovu
@musabalinaki58475 жыл бұрын
My role model
@stivejoni99765 жыл бұрын
Injili halisi
@barakankubile23295 жыл бұрын
Nikwa mahubiri yako niliokoka mwaka 1985 mwezi 9 huko manyovu kigoma .
@michaelpaul77604 жыл бұрын
Baraka Nkubile Hongera Bwana Baraka maana kwa mwaka huo sie wengine tulikuwa hatujazaliwa bado
@anethilyapanda10965 жыл бұрын
Nakumbuka 2012 mbalari mbeya ubaruku kwa pastor kitundu daaah r.i.p. pastor moses kulola.
@fatmafa18965 жыл бұрын
Amen in Jesus mighty name amen
@elirehemamaro40454 жыл бұрын
Ee Mungu wangu naomba unisaidie nami niuone ufalme wako
@imagepower36415 жыл бұрын
inatisha huyu mtumishi ana maneno yenye nguvu sana
@hellenevarist52214 жыл бұрын
Huu ndio Ufunuo Wa Yohana
@mosesmwailenge67493 жыл бұрын
Hakika amelaniwa yoyote yure apingae injili hii iliyo hai kwamaana atakua amempinga yesu hai aisee inaogofya ulifanya kazi baba angu kulola hata leo tunakushuhudia popote pale kwa mwenendo wako mwema nainjili hai ukuubili feza walamagari ole wasisi tusipo mpenda yesu
@gaudenciarobart38012 жыл бұрын
Bwana nisaidie nimalize mwendo salama
@ruthvilinga77804 жыл бұрын
Shukurani nyingi
@paulojohn2580 Жыл бұрын
Amina sana
@PeterPeter-yd8qx5 жыл бұрын
Kweli Baba huyu alijaa NEEMA ya MUNGU
@hellenevarist52214 жыл бұрын
Askari wa Mungu.
@sistercarolinemjewa75022 ай бұрын
Carol Mjewa Nairobi
@darcinmubeza15603 жыл бұрын
Mungu Atupatie mwisho muzuri kuliko mwanzo
@emmanuelsanga7363 Жыл бұрын
Neno la Mungu ni moto
@mariamusimon30955 жыл бұрын
Ubarikiwe
@sharondivine27975 жыл бұрын
Amen Hii ni injili Halisi
@davidkubeha77553 жыл бұрын
Injili ya kweli kutoka kwa yesu
@dorismbise13104 жыл бұрын
Nabarikiwa mno na mahubiri haya
@dintazdintaz73112 жыл бұрын
Hizi ndio injil na sio kuhubiriana magari majumba wala ma mali isue tuisikie injili iliyo injili bila majungu wala masimango
@joshuangao41475 жыл бұрын
mungu akubaliki
@christinaphilip38314 жыл бұрын
Mungu akupumzishe katika makazi yako ya milele
@kevinndayihimbaze35853 жыл бұрын
Ili ndilo neno la Mungu
@lilianmwambatula79215 жыл бұрын
amen....MUNGU ana watu
@gabriellyadam94154 жыл бұрын
Haleluyaaaaa
@florameza10282 жыл бұрын
Baba wa imani
@ilomonestory56814 жыл бұрын
Barikiw
@irenegibson-ws1lb4 ай бұрын
Amen
@mpokimwakaje81782 жыл бұрын
Amina
@josephmarwa72122 жыл бұрын
Muendelezo jamn msiwe mnatukatisha katikati
@henrymatebe14925 жыл бұрын
Kwakweli huyu baba ni mchango mkubwa sana ktk safari yangu ya wokovu
@johnraymond55975 жыл бұрын
Henry Matebe n. .**
@yonatayai19095 жыл бұрын
injili isiyotiwa chachu
@jofreypilla50413 жыл бұрын
Eee Mungu nikumbuke
@jamessichimata362 жыл бұрын
Kanisa limeingiliwa na nnge Baba siyo EAGT uliyoiacha MUNGU akurehemu.
@stanleyfocas82505 жыл бұрын
Huyu ndo mchungaji anae wafaa waumini mpendeni Sana kwani anawapa ukweli juu ya wokovu sasa nivizuri kulishika ilo neno kwakuwa ushajuwa ukweli hukumu yake nikali kuliko yule asie juwa pia someni sana ufunuo wa yoana kwani.kila kilicho tabiriwa kisha kuwepo
@catherinegideon52875 жыл бұрын
Alishafaliki muda sasa
@stanleyfocas82505 жыл бұрын
@@catherinegideon5287 mungu ampumzishe nilifwatilia ibada zake kwenye mitandao nilimpenda sana
@jakelema63254 жыл бұрын
Stanley Focas mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq utaijuwa injili ya kweli
@musaissa74632 жыл бұрын
@@jakelema6325 👍👍👍👍👍
@anethmollel65645 жыл бұрын
Injili orijino
@roselineatamba9162 жыл бұрын
Njia ya Mbunguni tujilinde
@babulomitu1402 жыл бұрын
Mahubiri yako yanasikilizika
@felixpeter51585 жыл бұрын
Msikio tuliyo nayo hanakuskia baba tunaomba uponyaji wauzima wamirere hee yesu nifumbuwe macho nione nipe maskio nikie vema niponye kwa jina baba Nala mwana ameni
@jakelema63254 жыл бұрын
Felix Peter mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq
@yesuhanampinzanimgimwa83195 жыл бұрын
Babu Mungu akutunzee
@imaniisaac6855 жыл бұрын
Nimezikumbuka jumbe za huyu mtumishi was mungu.
@hoseaelia76465 жыл бұрын
Hakika mafundishooo ya kwelii
@philipongaravit62425 жыл бұрын
mungu ni mwema kila wakati
@imeldabamba37795 жыл бұрын
Moses Mgimwa mmh kaka pole ni marehemu kwa sasa
@sarahpetro44184 жыл бұрын
MUNGU akuweke peponi baba yetu mzee wa imani thabiti hakuna kama wewe mtumishi unae toa injili ya kweli kwa sasa manabii wanaibuka usiku na mchana injili ya MUNGU imekuwa bishara
@jakelema63254 жыл бұрын
Sarah Petro mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq
@sarahpetro44184 жыл бұрын
Jake Lema huwa namfatilia ila nina muda kidogo sijaangalia tena kumbe katoka mikononi mwake
@jakelema63254 жыл бұрын
Sarah Petro ndiyo unabidi urejee kama vipi uende kanisani kabisa
@sarahpetro44184 жыл бұрын
Jake Lema kweli kabisa nimemwacha MUNGU jamani anisamehe tu MUNGU wangu
@jakelema63254 жыл бұрын
Sarah Petro ata usiogope ukirejea atakupokea anatupenda kuliko ata tunavyofikiri.Upo dar au mkoa gan kwan?
@janemohamed16335 жыл бұрын
Neno lenye Uhai kabisa.
@rehemamusa81992 жыл бұрын
ijili.yako.inaishi
@marymbodzembodze27072 жыл бұрын
Amen Amen
@musilali32084 жыл бұрын
Good
@lightnessjonathan6333 жыл бұрын
Mungu nisaidie kafika hii safari baba pumzika kwa Amsni
@magdalenajoseph97175 жыл бұрын
Ameni
@dottomakanyanga52145 жыл бұрын
Amen
@ericndayishimiye41375 жыл бұрын
Mungu arete nutu kamauyo mutumishi
@ericndayishimiye41375 жыл бұрын
Rest In Peace
@enockfumbuka1075 жыл бұрын
He really fought Satan !
@wambulawoship4294 жыл бұрын
MUNGU nisaidie niushinde ulimwengu
@linosjohn90205 жыл бұрын
Mbona umeweka vidio nusu?
@gfantvgospelforallnations9165 жыл бұрын
nahitaji CD za mahubili ya Mozes kulola.
@remycanadaify5 жыл бұрын
@@SYLASSTV na mimi nahitaji piya Niko hapa Canada Alberta Edmonton.
@veronamsigwa59945 жыл бұрын
Nahitaji niko Mbeya Tukuyu
@jakelema63254 жыл бұрын
DICKSON MFIKWA mfatilie mtoto wake wa kiroho anaitwa nabii Hebron search prophet Hebron KZfaq
@daviesoscar16033 жыл бұрын
Inatisha
@rasnchimbi5 жыл бұрын
Nakumbuka miaka ya 80,enzi hizo Dodoma alikuwa anakuja kwenye kanisa la kulia pale jirani na hospitali ya general,sisi tukitoka kucheza mpira kwenye viwanja vya amani shule ya msingi,tunapitia pale kumsikiliza vitisho vyake.
@hensongunman16805 жыл бұрын
Yesu asante kwakumleta Nabii kulola duniani
@Japhetrichard81873 жыл бұрын
Kwahiyo wewe unaona Ni vitisho siyo kwakuwa maneno haya Ni yake etie
@florameza10282 жыл бұрын
Ole wako siku hiyo utauambia mlima ukufunike nao utakukimbia
@charlesnguma75735 жыл бұрын
Ujumbe wa nguvu
@POULSHIJA Жыл бұрын
Mungu mwema mozesi kulola ndiyo muhibiri wa kweli duniani makanisa ya sikuizi tungechaguwaga moja ya kumbe zake najusikilizaga tugalibarikiwaga2 kama sasa tunavo balikiwa video zake inatufanya tunapata na amani juu hata nakuacha dhambi kuliko baadhi ya wahubili siku hizi sasa amani mbinguni naduniani Amina!?
@elrachum38663 жыл бұрын
Nikimsikiliza najisikia kutakasika
@lemyzadockjesushigher70985 жыл бұрын
Naomba Mungu akutulize katika furaha ya milele Mzee wangu
@abigaelijohn15395 жыл бұрын
Nikweli babuu uko sawa
@georgejames4685 жыл бұрын
Abigaeli John)ñ
@erickbunyuku73385 жыл бұрын
amen
@amosimwalingo44915 жыл бұрын
Ulikufa lakini neno la Mungu ulilolinena linaishi na linaendelea kuokoa na kuponya Roho za watu
@mluguluspare73015 жыл бұрын
amen
@eliamugini84945 жыл бұрын
Ni lini basi hata hayo yote yatokee?
@yonafungo48615 жыл бұрын
.
@jmeliasshanelle43033 жыл бұрын
Wewe! Musa alikufa. Soma pale shetani alipokuwa akipigania mwili wa Musa na Malaika wa Mungu. Soma vizuri tafadhali Bible.