Wewe Mungu mwenye kuogopwa katika sifa naomba lile kusudi la mimi kuwepo ulimwenguni litimie maadamu ni mchana.
@catherinemhlangamwakapugi18655 ай бұрын
Huu ni Ushuhuda unaonyesha ukuu wa Bwana nautii wake Mtumishi wa Mungu ame stahimili magumu aliyo apitia ili roho za watu ziokolewe...I salute him...God give us this courage to bring others to you...Amen
@leilasaimjomba42465 ай бұрын
Hata Mimi kwetu tulikua waislam but huyo mzee alimuombea my sister uwanja wa reli Arusha nilikua mdogo but my sister aliponywa na sisi sote tukawa wakristo mimi niko Kenya kwa Injlili yake nimesimama
@shuhudazakweli34065 ай бұрын
Amen
@FloridaSyombua5 ай бұрын
Ameni,,Glory be to God
@zahakiosward15755 ай бұрын
Heri yako ndgu
@annastaziakimaro30425 ай бұрын
Hongera wewe na familia Yako kuchagua njia sahihi
@eliethmwanguya71185 ай бұрын
Jina la Bwana lihimidiwe
@MARYABDALLAH-sd9gi3 ай бұрын
Daaaaaaaaah Kwa kweli huyu ni shujaa WA Imani.... Ingawa nilikuwa mdogo saaaanaa but nilikuwa namkubali saanaaa..... Alifariki nikiwa na miaka kumi.... All in all niseme Mungu asante Kwa zawad ya uhai wake
@sanchezrose15605 ай бұрын
Shalom watumishi wa Mungu ningependeza kabla ya kuanza ushuhuda muwe mnaanza kwa maombi ingependeza zaidi Ahsante
@VIJANAWAYESU125 ай бұрын
Kweli moses kolola alikiwa mtumishi wa MUNGU katika roho na ukweli ndungu yangu usikate tamaha Kuwa kama baba alivyo Kuwa katika kazi yake amen kweli
@hotexmedia20212 ай бұрын
Nice
@FloridaSyombua5 ай бұрын
Amen,,naona roho wa Mungu ndani yako mtumishi anaye ongea kwa niaba ya babako,,,hakika yuko Mungu mwenye uwezo,,Jina la bwana Yesu litukuzwe...ningelipenda Mungu nimtumikie Mungu jinsi hii
@isayajovith52265 ай бұрын
Hakika ktk shuhuda hii kunamengi ya kujifunza pamoja na kutiwa moyo kwa Kila asikiaye na kuamua kujifunza ktk hii 🙏🙏🙏
@RoseMayige-gn9qb5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu kwa kutuletea ushuhuda wa Mzee wetu mpendwa sana M. KULOLA!
@shuhudazakweli34065 ай бұрын
Amen
@barakambuzeyonja69354 ай бұрын
Namba za simu ziko wapi jamani
@EsterbernardoVumo-kn2xv5 ай бұрын
Amina Kweli Moses Kulola Alikuwa Mtumishi Wa Mungu.
@reachglobal99395 ай бұрын
Wakwanza kuskia amen
@annissdaprincess38465 ай бұрын
Amina naendeleya kufyatiliya ni ushuhuda mzuri sana
@user-in6eg5np7l5 ай бұрын
Nimefatilia shuhuda hizi, huyu mzee alikuwa na Roho wa MUNGU, Kazi aliyoifanya hadi naogopa. Mungu atukuzwe kwa ajili yake mana aliyatoa maisha yake kwa Kristo
@Rashid-vm1fk5 ай бұрын
Amina ubarikiwe
@user-do4qs8vx2s4 ай бұрын
Mungu atusaidie ahasante Kwa ushuhuda wa Mzee wetu
@agnesspaul18665 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Mubarikiwe mnooo
@OmAn-jw4jt5 ай бұрын
Jamani watumishi wa Mungu mbarikiwe sana kwa ushuhuda mzuri sana samahani watumishi wa Mungu naomba kuuliza garama ya kwenda Israel kwa hela ya kitanzania ni shilingi ngapi
@frankngajilo71374 ай бұрын
KUFANYA NINI WEWE SHIKA INJILI ITANGAZE SANA INATOSHA ,TUNAABUDU MUNGU WA WAISRAEL SIO ARDHI YA ISRAEL ,TUNAMPENDA MZEE KULOLA SIO FAMILIA YA KULOLA AU NYUMBA YAKE
@emmahbooooo5 ай бұрын
Ameeen Ameeen mtumishi ubarikiwe sana kwa ushuhuda.
@janethmwihumbo12895 ай бұрын
Emen Emen mbarikiwe sana sana ,
@user-qu1ut5ri2z2 ай бұрын
Amen
@JudithElias-ig5nb5 ай бұрын
Ameni ameni mbarikiwe watumishi wa Mungu
@lovenesswalter66505 ай бұрын
Mbarikiwe sana
@lovenesswalter66505 ай бұрын
Tuhudumie watumishi wa Mungu kwakwel nmejifunza sana
@JanethEmmanuelEmmanuel-qo9fq3 ай бұрын
YESU atukuzwe kweriiii
@macfadyneminja5 ай бұрын
Amen and Amen asante kwa huu ushuhuda umenijenga kwa kweli. Amen
@sarahsarai86905 ай бұрын
Amina Amina
@tumainijoshua50905 ай бұрын
Mtumishi tunaomba mtuwekee kwenye yutube sehemu ya mahubiri ya mwisho mwishoni ya maisha yr Dr Kulola,ya miaka ya 2010-2013
@user-by1sv4xg8l3 ай бұрын
Naomba nichangie ujenzi huyo tafadhali..
@josephmutemi74945 ай бұрын
Ameeeeeen
@lilymwashumbe48903 ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya mchungaji Moses kulola nasikiliza mahubiri yake nabarikiwa sana niko kenya
@numpegemwaipopo78715 ай бұрын
Mtumishi naomba namba yasadaka
@Jackline-ki7zl5 ай бұрын
Hakika MUNGU ni mwema. Ee BWANA YESU KRISTO namimi nitumie Kwa viwango vingine nimechoka na dunia hii.amina
@Bonde_la_baraka_kwaya5 ай бұрын
Andikeni kitabu kitusidie
@user-eh2ys2we4s5 ай бұрын
Kwa kazi ya Mzee kulola kumtii Mungu tulio wengi tumeokoka.Naomba BWANA YESU unisaidie na kuniwezesha kuingia mbinguni nikakutane na Mzee kulola tena
@alphoncekihwele86413 ай бұрын
Oo baba yetu huyu alikuja njombe.nasi tumeokolewa kupitia injili.yake
@numpegemwaipopo78715 ай бұрын
Mtumishi naomba namba ya kutuma sadaka
@VIJANAWAYESU125 ай бұрын
BWANA asifiwe kweli moses kolola alikuwa na ubiri katika roho na ukweli kwasababu tanzani wanabii wa uongo ni wengi siku izi za mwisho kweli BWANA atusaidiye katika yote
@tumainijoshua50905 ай бұрын
Tunaomba namba ya Pasta willy ili kwa sadaka iwe rahisi
@user-uc4zu4sj9i5 ай бұрын
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.
@Mpandashadrack3 ай бұрын
Naomba kujua namna ya kuchangia hilo jengo
@owikesibonike4 ай бұрын
Yoooooo! Mnapenda Niseme? Hakika Namimi Naomba MUNGU anisaidie Nimalize vizuri Na MUNGU Nije Nimuone Tena Bishop Moses Kulola.
@56manya5 ай бұрын
His testimony and all he went through kinda reminds me of Brother Moses Mairah.
@oscarkalihamwe16215 ай бұрын
Kwa kweli na mimi nilikuwa mkatoliki mafundisho yake yamenifanya niokoke na baada ya kuokoka nimeponywa magojwa bila kuombewa ila nikuacha dhambiii nakuwa mlokole kitu ambacho ilikuwa ngumuu kuhama katoliki
@florencemeza65405 ай бұрын
Moses kulola alikuwa mtumishi haswa
@user-hq5fq8dv8s5 ай бұрын
Ushuhuda huu ni falaja
@annevilembwa49505 ай бұрын
Mambo ya Mungu fumbo kuna mitihani mingi mno.Je binafsi utapita yote? Tafuta wanaoshika neno hata wakiwa wachache
@barakambuzeyonja69354 ай бұрын
Kama hakuna namba pasi mtuelekeze ni chanika wapi mwenye hata kidogo achangie
@ScolaMwanjoka5 ай бұрын
Mimi nilikuwa na jipu katika sikio lisilopona miaka na miaka mpaka wazazi wakahambiwa huyu ili alone apelekwe India lakini Bishop Moses kulola aliniombea alukuja Mbeya akiwa na mkutano soweto kwa Mchungaji mwaisabila nikapona tangu hapo kidonda kilipotea na kukauka mpaka leo limebaki kovu tu..
@SheikhJamalJojo-en8dx4 ай бұрын
ACHENI UONGO AMEKUFA NA MILLION 500 BENK NAILIGAWANYWA MILASI MAMA FROLA AKACHUKUA M100 NDIO NK
@NizerMgombele-xn5hb4 ай бұрын
Unajaribu kupinga kuwa mzee hakuwa na pesa, unaongelea tsh500 milioni mzee mwenyewe alikuwa hana hata nguo huyo alimpenda mungu kuliko chochote kama unajua toa mchanguo wote wa tsh500/: usirukeruke ndg mara frora alichukua tsh100/: endelea waongo mnatafutwa kuungwa mkono Acha kupotosha hujui kitu pumzika
@NizerMgombele-xn5hb4 ай бұрын
Ukiambiwa thibitishaTsh500/: benk gani na akaunt gani lini ilitolewa hela hyo mnetegemea mbio mitandaoni humu Acha uongo dogo