No video

MPAKA HOME KWA DAZ BABA |MAISHA YAKE |ANAISHI KWAO |HUU NDO MJENGO WAO |MADAWA BANGI |KUDHOOFIKA

  Рет қаралды 81,558

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

Пікірлер: 260
@abasilihundu200
@abasilihundu200 2 жыл бұрын
Daah, haya maisha bhana. Daz Baba mpaka anatia huruma 😭😭😭
@yusufwazili5359
@yusufwazili5359 2 жыл бұрын
Daz kiukweli siyo yule ambaye nilikuwa nakusikiliza nikiwa dogo shule ya msingi..nyimbo zako na ulivyo tofauti sana,,
@hamisihaji7049
@hamisihaji7049 2 жыл бұрын
Babu big hapu sana
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
Jamaa kajikaz kujionesha yuko sawa na mwenye mafanikio lkn kwa wataalam wa saikolojia unaweza kuona jamaa ni mtu aliyejichokea, kukata tamaa na ambaye hayuko sawa kichwani.
@jaffergeoffreypaul7133
@jaffergeoffreypaul7133 10 ай бұрын
Kwa ww uko sawa kichwani😂
@user-li2kv7uy3t
@user-li2kv7uy3t 3 ай бұрын
Swali lako liko sawa tena vizuri tu kwa mtu mjuaji wakati akili yake aijui yuko wapi🎉🎉🎉
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
😭😭😭daz baba kweli wakua hiv maisha yan kwenda kasi sana
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzur sana, very talented mekupnd bure mrembo,sema umekutana na mteja
@martinokello2793
@martinokello2793 2 жыл бұрын
daaaaah jman daz baba akiulzanajbu tofauti na anavoulizwa jmn nmpendaa dazbabaa mpka leo but kwa nn kawa ivoo jmn
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Good interview daz...elimu dunia 🙌🏻
@bolotz1943
@bolotz1943 2 жыл бұрын
Vp bobu
@shamsaalrahbi5573
@shamsaalrahbi5573 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Huyo anomuhoji anaogop kwa kweli 🙏🙏🙏Honger mama kwa ujasir
@hamadathuman6939
@hamadathuman6939 2 жыл бұрын
Kweliii nilifikirii ni mimiiii
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 2 жыл бұрын
Dah,,mbona kama kaweka ugolo lakin😂
@waziriwahekima6824
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Daz amearibika Sana !!!! Yani madawa Na Bange imemuaribu Sana !!! Nilikua namfuatilia Mwamba toka nipo Shule ya msingi Adi now
@abdullhafidh2663
@abdullhafidh2663 2 жыл бұрын
Mshkaji namkubali sana huyu Daz baba ktk kigongo cha Wife akiw na mangwear
@ericalexandre2166
@ericalexandre2166 2 жыл бұрын
Grace napenda sauti yako alafu ww mzuri
@OmariRashidi-ly3ze
@OmariRashidi-ly3ze 4 ай бұрын
Duuh namkubali sana huyo jamaa❤
@jumamwandai3941
@jumamwandai3941 2 жыл бұрын
Dah apo ni ana taarifa ya interview nd kapendeza full set dah namuonea hadi huruma asee 🙌😓 dunia hii jmn 😫😭😫 jamaa kachokaaa.!!!! Wasanii mastar... Msaidieni uyu jamn 😭
@user-li2kv7uy3t
@user-li2kv7uy3t 3 ай бұрын
Uwezi kumuelewa dazi mpaka huwe kwanza unajielewa kuna maswali mengine sio ya kumuongelesha mtu .... Maisha ya msanii ni sawa na Maisha ya Mtu mwengine tu
@dariuskasitu5594
@dariuskasitu5594 2 жыл бұрын
Daaha daz baba jamani huyu msanii ana kipaji sana bangi sio pw
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 жыл бұрын
Dada unaweza kweri pamoza Sana 🙌
@righitkileo
@righitkileo 2 ай бұрын
Da! Jamn maisha ni kuamua au kuchaqua. Hawa walikuwa wasanii wakubwa na walikuwa na mashairi. Hatar sana yaan maskin sio Daz baba yulr
@user-yt5wl6bi4i
@user-yt5wl6bi4i Ай бұрын
Daz unaniumiza sana dah😢😢😢😢
@ik3934
@ik3934 2 жыл бұрын
Mondo noma, mwamba kanyauka sanaaa aisee!
@aladinho1352
@aladinho1352 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kuna kautetezi kidogo kwenye bangi Daz Baba bana 😅😅😅😅😅
@allymnali4918
@allymnali4918 2 жыл бұрын
Wandishi someni...Hakuna mtu mwenye Ras😇😇😇
@rajabukhamis467
@rajabukhamis467 Жыл бұрын
Kwanza pole sana dada leo nimeamini kama waandishi wahabari mnakazi ngumu sio kwa maojiono ayo nauyo mwamba 😂😂😂
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 2 жыл бұрын
Duuuuh😃😃😃Kama unapenda Bifu kangalie Urusi na Ucreni ufulahi kiswazi
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 2 жыл бұрын
Duh !! Kweli tabata kama huyo ndo mwalimu wenu wa mashwart na kongfuu, aloo watoto wa manzese wakija na raisi wao ney wa mitego Tabata yote itakuwa mateka kwa dk 10. 😂😂
@semenitheclassic
@semenitheclassic 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😭
@amosmark8086
@amosmark8086 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 dah
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kapinda.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Mwandishi: umeshawahi kutumia madawa ya kulevya? Dazbaba: Aaah no labda wewe sijawahi 🤣🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♂️🤸
@salmakhan0092
@salmakhan0092 2 жыл бұрын
Nimecheka🤣🤣🤣
@zebidahlawrence9419
@zebidahlawrence9419 2 жыл бұрын
Dah 🤣🤣
@luqmanmbwambwa7127
@luqmanmbwambwa7127 2 жыл бұрын
daaah ndumuuu ety labdaa wewe
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 2 жыл бұрын
😂😂😂 kweli labda ndugu mtangazaji anatumia hayo mavitu
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Жыл бұрын
Jiamina yatakuw sawa ukiitaji kuwashinda fanya kazi waoneshe kwavitendo😊
@maxjofrey70
@maxjofrey70 2 жыл бұрын
mi nanyumba zangu lakini apa nakaa kwa baba😂😂 alafu apatusiongelee kuhusu family tuongelee music tu😄 Jamani wana simba hii kitahalam mnahii taje 🤣🤣
@safinamalero3971
@safinamalero3971 2 жыл бұрын
Bench la ufund
@safarimallya4536
@safarimallya4536 2 жыл бұрын
Bench la ufundi
@jesuslove2205
@jesuslove2205 2 жыл бұрын
Kitahalam mnahiitaje
@emmanuelmbelenzi3077
@emmanuelmbelenzi3077 2 жыл бұрын
Cap suluu
@abasilihundu200
@abasilihundu200 2 жыл бұрын
Mbona anafanana na Dogo Janja 😄😄😄😄
@inocentgalinoma9544
@inocentgalinoma9544 2 жыл бұрын
Baba ake...🤣🤣🤣🤣
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Жыл бұрын
Pombe hazijawahi niathiri..ila maneno ya watu ndio huniathiri....jamani tuwe makini na maneno, ni sumu mbaya sana, maneno yanaumiza
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj 2 жыл бұрын
Sahir uyu dd kaolewa?
@magorimagori9264
@magorimagori9264 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana shida...apewe msaada
@babusadala5732
@babusadala5732 2 жыл бұрын
Ngada ....🌿
@kelvinmwakajumba1546
@kelvinmwakajumba1546 Жыл бұрын
Aaaaaaaaaah daz anaweza kukaa na kichaa akamwelekeza na kichaa akamwelewa
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 2 жыл бұрын
Hahahaha kuna watu ukiwaoji usipokua makini unaweza kupigwa..jamaa ayuko sawa huyu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wewe
@nigamo9645
@nigamo9645 2 жыл бұрын
Kwa kweli
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 жыл бұрын
😂😂😂aisee bongo kweli bahati mbaya
@nuromussa9926
@nuromussa9926 2 жыл бұрын
Mozambique tugonge hapa!
@angelrukyaa5598
@angelrukyaa5598 2 жыл бұрын
Mdada anajua sana kuhoji
@joanithamwaudama9928
@joanithamwaudama9928 2 жыл бұрын
Mnoooo
@waziriwahekima6824
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Amesha changanikiwa Uyo namtangazaji upo vzr Sana Kwa interview
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Ganja inazingua sana
@hafidhali4336
@hafidhali4336 2 жыл бұрын
Hahahah nimecheka sana
@omaryteddy62
@omaryteddy62 2 жыл бұрын
Elimu dunia Ina tuludia wenyewe mungu tulinde utupe mwisho mwema
@emmanuelnyakatai7311
@emmanuelnyakatai7311 2 жыл бұрын
Duh!.. Sasa huyu dazi mbona kaisha Sana ase. Namuona km ni mlevi fulan ivi..
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Jamani alomuona Zahir hapa anipe like
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Daah
@barakastephano8996
@barakastephano8996 2 жыл бұрын
Hahaha naona mdada tayari ushaanza kumhoji kwa uoga daz baba kutokana na ukakisi wake
@bernadinodnawe184
@bernadinodnawe184 Жыл бұрын
At least, he recognizes angels guide him.
@user-pf5gg5gk6i
@user-pf5gg5gk6i 9 ай бұрын
Mbona kama akili haipo poa...acha drugs u're big..choose drugs or good future
@issazalala4907
@issazalala4907 2 жыл бұрын
Brow hayupo Sawa
@kihoreedwin2655
@kihoreedwin2655 2 жыл бұрын
Mimi sijui maswala ya uhandishi wa habari lakini kama mwanafunzi wasaikolojia huyo dada anayeitwa G mili hana nidhamu amejawa dharau sana na amemkosea msanii. Tafadhali she needs a tutor for the sake of her carrier.
@nekashash2190
@nekashash2190 2 жыл бұрын
Huyo mwandishi sijui kasoma wap ..km ndio hivi kuna siku ..hajui jinsi ya kumuuliza msela...
@dullahsimbaulanga6472
@dullahsimbaulanga6472 2 жыл бұрын
>>>>Dah Labda ww me Sijawah Kutumia 😂
@loxlox150
@loxlox150 2 жыл бұрын
Lafiki yangu unalewa saana unashika ndala mkoni yani ile siku nimekuona nilishikwa nabutwaa daz unalewa saana ulikuwa segerea mitaani ulikuwa ovyo punguza pombe
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Jamani mperekeni soba jamani kuzeeka sana awiiiiii
@abdallahpesa1456
@abdallahpesa1456 2 жыл бұрын
Jamaa dishi lishayumba aulizwa A anajibu B
@slimbaj3148
@slimbaj3148 2 жыл бұрын
👩🏽‍🦰; kitu gani maishani mwako umewai kufanya na unajutia mpaka saizi. 😎; mi nawajutia wanaonisema vibaya tu 😎
@glorified6045
@glorified6045 2 ай бұрын
Nilijua alishapata wife wa kuish nae
@mooh9saalim137
@mooh9saalim137 2 жыл бұрын
Daz unajua maisha kwa kila m2 magumu ila tunatamani kazi na sauti akoo pamoja#Daz baba #pemba island
@clementselestine5308
@clementselestine5308 2 жыл бұрын
Enzi zako ni hatari,lkn makundi mabaya ...ulikuwa poa sana.
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 Ай бұрын
Sii.aliimba..nimesha..kuwa..mukumba..naitaja..murembo..wakuishi..na..mimi
@frankbuya5339
@frankbuya5339 2 жыл бұрын
Daaaaah mwamba kachoka
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
kubali tu braza umechoka, unahitaji msaada
@nicolousmwakalengela2258
@nicolousmwakalengela2258 2 жыл бұрын
Yaani nikitazama Hii interview naona Tumbàku tu
@sugarthompson9369
@sugarthompson9369 2 жыл бұрын
Nyama huli lakini una uwa watu jmn 😄😄😄
@Atb300
@Atb300 2 жыл бұрын
Kitasa uyu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lovvy854
@lovvy854 2 жыл бұрын
Dazbaba kapiga ma Ganja yaani kajimixxx snaa Hadi anajibu maswali opposite way😂🤣🤣🤣
@juniornamao527
@juniornamao527 2 жыл бұрын
Daaaaah😭😭
@plusabracadabra5166
@plusabracadabra5166 2 жыл бұрын
Hanjamu gani katika pombe na Sigara 😇😇😇so sad
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
kazi_mnzuri_jamani maojiano_mazuri_
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 жыл бұрын
Sasa anaongea kwa mikwala😁😁😁😁
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Mdhamini gani atupe pesa ake Kwa hii hali
@njonjolomahfudh3238
@njonjolomahfudh3238 2 жыл бұрын
ETI ANJAMU🤣🤣🤣🤣🤣
@jumamwandai3941
@jumamwandai3941 2 жыл бұрын
G mill mill 💥
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Uokoke Daz B ayo sio maisha
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Kawa teja kbs na dalili zote za kukata tamaa na maisha
@Gideonnaire
@Gideonnaire 6 ай бұрын
Huyu sio pombe tu, unga pia unamsumbua. He needs help
@faustinemdemu-mi5jw
@faustinemdemu-mi5jw Жыл бұрын
Wasanii msaidieni uyu jamaa nikapaji
@amirintangi3692
@amirintangi3692 2 жыл бұрын
Jamaa yupo sirias sana🤣🤣
@shd12m55
@shd12m55 2 жыл бұрын
Hapo ni kwa dazbaba au ni kwao
@tonnyofficial6772
@tonnyofficial6772 2 жыл бұрын
kwao
@abdyleluu9051
@abdyleluu9051 2 жыл бұрын
Yah man nakuelewa daz znz
@AllyMKUMBA-gd2ti
@AllyMKUMBA-gd2ti 4 ай бұрын
Haaaa ❤❤
@slimbaj3148
@slimbaj3148 2 жыл бұрын
👩🏿‍🦰: Umeshawai kutumia madawa ya kulevya.? 😎: Aaah labda wewe..
@nigamo9645
@nigamo9645 2 жыл бұрын
Majibu yake tu me hoi
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Rasta na dreadlocks ni vitu tofauti ..... Bob marley ndio rasta , hawa wengine wafuga nywele tu ..... Ifahàmike hivyo
@mahadiaomary1056
@mahadiaomary1056 2 жыл бұрын
Daaaah sjapendaa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Vishungi au dreadlocks mtu yeyote anaweza kufuga lakini Je wewe unafahamu maana ya rastafarian ?
@peterodilo5253
@peterodilo5253 2 жыл бұрын
jaman bange siyo Chai yaani mtoto mkali Kama uyo unamwambia nipe Tano👊 dah🤣🤣🤣
@blacknesaya744
@blacknesaya744 2 жыл бұрын
Tizi Raman hapo Yan hamna kitu hapo 😀
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 2 жыл бұрын
Maskini kumbe ndio ulivo kwa ss mrudie mola wako fanya ibada kaka umechoka sana
@casmirmsofu6106
@casmirmsofu6106 2 жыл бұрын
Ila bado yukk vizuri kama akipata wa kumuongoza
@shkjumaa8339
@shkjumaa8339 2 жыл бұрын
mtangazaji unauliza embe kibada,,,,haaaa hahaha LABDA WEWE
@lavatz
@lavatz 2 жыл бұрын
Zaman mzikii haukuwalipa san daa
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
mbona kachoka hivo
@andrewwagine3639
@andrewwagine3639 2 жыл бұрын
Anaitwa daz baba sio dàz nundaz
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 2 жыл бұрын
Rasta wap usenge tu
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Jaman Soba mmebebe huyu maana dah kajua kuharibika aisee
@peterkitsao9429
@peterkitsao9429 2 жыл бұрын
Daz namkubali ila kiukweli ulevi ??
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Halafu huyu kwenye mahojiano awali alisema mama yake kafariki dah kama ni pombe tu angekuwa na shavu dodo maana bia inanenepesha
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 2 жыл бұрын
Inategemea pombe gani af bangi na hali vzuri,,mtangazaji amajaribu aisee sio rahisi
@felistamfugale7472
@felistamfugale7472 Жыл бұрын
Cyo mama Ni baba ake ndyo aliefariki
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 2 жыл бұрын
Mtangazaji una swaga nyingi za kishamba
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 2 жыл бұрын
Kazeeeka🤣🤣🤣
@shamsaalrahbi5573
@shamsaalrahbi5573 2 жыл бұрын
Hakuna atakae kuwa Kijana milele
@babesangarefans6983
@babesangarefans6983 2 жыл бұрын
@@shamsaalrahbi5573 Kabisa
@glorydenis5111
@glorydenis5111 2 жыл бұрын
huyu na mateja hawana tofauti
@dianaalfredy3790
@dianaalfredy3790 2 жыл бұрын
Kweli mwanamichezo
@allan3723
@allan3723 2 жыл бұрын
Ras Yuko kwenye Dunia Nyingine
@kimcash3079
@kimcash3079 2 жыл бұрын
Anaakili nyingi kupita mtangazaji 🤣🤣majibu mubashara
@abdyleluu9051
@abdyleluu9051 2 жыл бұрын
Nikweli ata mm namuelewa
@ponelatz4630
@ponelatz4630 2 жыл бұрын
Mia mia yuko sahihi(only God can judge me)
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 2 жыл бұрын
Dah,,hapo anajiona amekuw jay z sab amekuja tafutwa mpaka nyumbani,,anavimba sana na hana lolote,,maakin jeuri,,hajui through hizi online interviews anaezapata hadi colabo ama usaidizi mwingine
@jumamofu9573
@jumamofu9573 2 жыл бұрын
True
@isayamathias3855
@isayamathias3855 2 жыл бұрын
Msenge ww unamchukliaje daz baba,
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 2 жыл бұрын
@@isayamathias3855 wewe itakuw miongoni mwa mashabiki wenye unasapot msanii tu sab unamjua unataka kumdanganya anafanya vizuri ndio asikuchukie wakat ukweli nipo kebya na haskiki huku kabisa
Mpaka Home MAISHA HALISI YA AFANDE SELE NA UTAJIRI WAKE
22:55
Mbengo Tv
Рет қаралды 129 М.
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 17 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 28 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 19 МЛН
DAZ BABA - Huyu Hapa Daz Baba Daz Mwalimu | Amefunguka Yote - Part 1
28:09
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН