Chuma Cha dhamana kabisa, shukrani kwa story nzuri tena unawapa majibu wenye studio kama cherehani, unajua mengi
@calzy8167Ай бұрын
Mkongwe tulikua wote mawiki yaliopita tulikua kwenye TAWAQAL ulipotoka moto chini za tayri ulikuja kutusaidia na kutufariji tunakupenda sana
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Wallah nimecheka sana yaaan Ile kauli. Kila kituo mke leo nimeamin watoto 6 kila mkoa shikamoo madereva Ila wanawake some time yote haya tunayataka wenyewe Kuna mzee wangu dereva kama huyu Ila mke wake kichefuchefu
innalillah wainnailahi rajiuni. Allah atustiri sisi na vizazi vyetu
@nelsonnikodem110013 күн бұрын
Saitama tokyo hatari 🎉🎉🎉🎉🎉 bamkongwe
@kantugeorge5369Ай бұрын
Naam
@KhamisiHaruna-wp7kk28 күн бұрын
Mkongwe nakukubali kinoma mjomba
@ZawadMussa-sd1odАй бұрын
Dada lamata uyu anakufaa
@mastamasta3539Ай бұрын
Mafinga kwa nawabuuuu😂😂😂😂
@salomewandya7257Ай бұрын
Hahaha hapo kwny Mazongo 🤣🤣
@user-yn3kg8ip2hАй бұрын
Muongo huyo nimechoka
@kenjunior3443Ай бұрын
Bongo bahati mbaya 😅
@muna1165Ай бұрын
Ulipendeza SANA mlimani city
@aminaomary5567Ай бұрын
Mliman ulipendeza sana babu❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@aminaomary5567Ай бұрын
Ongera sana mkongwe kuwa mustaafu salama kwenye Dereva. Ongereni pia Nassib na Baba Love kumchukua Dereva huyu yaan huyu tulikuwa tumuombea kutok a Dereva awe commrd❤❤❤🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
@aliiddmkomwa1804Ай бұрын
mweu huyo tena mlevi sana
@ntakirutimanaetienne592Ай бұрын
Jua lako bwege
@aminaomary5567Ай бұрын
😂😂😂😂❤❤🎉🎉
@vero57Ай бұрын
HUYU DELEVA ANATAKIWA KUWA WAZIRI WA USAFIRI NA USAFIRISHAJI TANZANIA 🇹🇿 PIA AWE ANAELIMISHA MADEREVA WENGINE HAWAJUI HAKI ZAO
@michaelmbise2843Ай бұрын
Umelewa nn 😂😂
@rajabumalupu4184Ай бұрын
Kwer ww ujielewi ,wewe umeelewa nn
@user-qx9nv8jo6pАй бұрын
Dereva mkongwe maelezo kweli tuna matatizo ya kusahau mimi kama wewe na umri la maana ulosema matatizo ya macho yanapunguza na akili na kumbukumbu nakusaport sana