Njia ya muongo ni fupi ,Na Mungu hajawahi kumuacha salama mtu mnafiki, Malipo ni hapa hapa duniani Hukum kwa Baba yetu Mbinguni
@jacksonchimomo5544 жыл бұрын
Mama Hance Atabakia hivyo hivyo watu wanatumia Akili sio michambo
@eliaminimramba63582 жыл бұрын
Jackson umeelewa Mama Hence alimaanisha Nini kwa Mmiliki wa shule?
@musasimba36895 жыл бұрын
Kama wenimpambanaji gonga like
@rodgersletema17585 жыл бұрын
Jamaaa anashindwa kuelezea anachanganya mafile aseme tyu ametumia njia mbadala kupata pesa
@julianacharles57205 жыл бұрын
😀😀😀
@felixmsigwa93325 жыл бұрын
Hakuna njia mbadala nampata vizuri
@baswiruabdallah9655 жыл бұрын
@@felixmsigwa9332 hakun njia mbadal nampat vzur haujmckia
@aishahayata61315 жыл бұрын
Dah watu mnamachale ulijuaje aisee eti mungu si asuman mungu amemuumbua
@aishahayata61315 жыл бұрын
@@felixmsigwa9332 mbona ulimtetea usimkanie mtu jamani
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Huyu kamaa ndio anashikiliwa na polisi kwa kumnunua mtoto kwa sh.mil5 na kumtoa kafara.
@mkiryastanslaus49922 күн бұрын
Basi sawa,ye si mkurugenzi wangekaa ofisini sasa sio nje
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
nimempenda huyu kaka watt watatu kasomesha shule ya kulipia na anapiga debe unakuta mwengine mtt mmoja anashindwa kumsomesha mtt akapata elimu bora pia ongera sana kwa wazo la kujenga shule na kutokata tamaa
@abubakarijuma9715 жыл бұрын
Yeah,,,kuwa mvumilivu,kujituma,hekima , nidhamu pamoja na maarifa ndo misingi halisi ya kufanikiwa , hakuna sababu ya kukata tamaa kwani hujui mungu amekupangia kitu gan chakukufanya ufanikiwe🙏🙏🙏
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
Amen kubwa sanaa kaka yangu
@fofomohammed62535 жыл бұрын
Kabisa
@user-ms7wv6cd9g5 жыл бұрын
jaman nina shida namillad ayo ninashida anisaidie kwamwenye namba anisaidiekikubwa nihabari kutoka katika shule zamsingi nasec singida nikilenga moja yashule hizo kibaon primary nakindai secondary wanawatuma watoto pesa uchumi hauruhusu nakero yangu kubwa niwatoto kuwa shule kutoka 12 asubuh paka 12 jion nimuda gani watajisomea hawapewi break yakwenda nyumban kula changamoto kubwa nipesa familia nyingi maskin jina langu mwanaisha juma mande +968 71154190 napatikana WhatsApp naimo
@honorykwahhay43645 жыл бұрын
Amina
@christopherrobert19485 жыл бұрын
Pesa za masharti aziwezi kukuweka smart bwaanah😁
@henrykishiwa67555 жыл бұрын
Nimependa sana mikato yake ya maneno mfano SINA MTO!!!, SINA MTOTO, NILINUNUA GA!!!!!!, NILINUNUA GALI, WATOTO WANGU WAKO ILA!!!!, ILASI, MUDA ULIKUWA HAUJAFIKA YAAANI WAKA, WAKATI!!!.
@maligisadotto86315 жыл бұрын
Ilikuwa imefifi.... imefifia, mazingira sio mazu... sio mazuri. Lakini ya Mungu ni me..... ya Mungu ni Mengi. Nikaamua kuje... kujenga. Nikaona kama vile haito... haitoshi. Jamaa mmoja akaniuzi.... akaniuzia. 😂😂😂😂
@majaliwamsigwa15705 жыл бұрын
Henry Kishiwa Akanyakuwa poo!!!,pochi.ikani bidi nirudi kijiwe!! Kijiweni
@awenanassor31695 жыл бұрын
Duh nzuri nmeipenda
@rehemaradhid57165 жыл бұрын
😂😂
@ummyakezuwena6545 жыл бұрын
Henry Kishiwa haaahaaahaa ndo ukamuone lumande sasa siri zimefichuka
@mcisunga38225 жыл бұрын
Hii story ni taa ni tamu tunaomba mwende mwendelezo😊😊 hongera sana kaka nimejifunza kitu
@miriam57355 жыл бұрын
Huyu ndo alinunua mtt akamuua ili aendeleze biashara yake kama unaamini pesa za mbeya ni uchawi tu gonga like tujuane humu
@pendopendo30085 жыл бұрын
Miriam hamed anatuzungu tu muwaji yani ukiona mtu amefanikiwa amefany mambo meng san haiza mabya au mzur usitaman chamtu huyu c ndo alimnunua mtot milioni5 afu wakamkat kisingino mmmmh
@miriam57355 жыл бұрын
Pendo Pendo ndiyo
@ahmedhajji12105 жыл бұрын
kwa aliemuelewa mzee wa kuungaunga km vile nimemaliiii ...nimemaliza...kuomba nafaaaa nafasi.....gonga like
@rehemaradhid57165 жыл бұрын
😂😂
@nottyally91875 жыл бұрын
Huku na kule kule nn
@irenezephania54385 жыл бұрын
Huhuhu kabla cja o...cjaoa,nilikuwa cjaza.. .cjazaaa lkn ya Mungu ni me ni mengiii huhuu yechuyechuu
@nuryaksuda6475 жыл бұрын
Hahahaa😁
@lushilemmanuel7685 жыл бұрын
Kama na ww unamalizia maneno kama namali..... Namaliza, nilikuwa mzito shule.... Shuleni na nikaomba nafa.... Nafasi gonga like
@robertebambo42025 жыл бұрын
Mshenzi ww sifa za bure kumbe muuaji kwa kweli unastahili kunyongwa si ajabu damu za watu sasa zinakuumbua mafia ww
@hindumfaume44575 жыл бұрын
hata haya haoni kamnunua mtoto kwa milion 5 ili mganga amtengenezee awe tajir mwenyez mungu anakuona wew hebu katubu kwanza kwanin kila kitu mpaka muue jaman
@zawadymwazy3385 жыл бұрын
Mbalizi xixhangai watumia xana hela za midawa
@catherineshirima39065 жыл бұрын
Leo umejulikana muuwaji mkubwa mtoto Rozi hakwachi ngo shetan
@barakanyambele46735 жыл бұрын
Akatubu wakati ananyea debe, acha akapambane na mkono wa sheria
@wecnotz42635 жыл бұрын
Ufungaji unalipa na kingne kwenye maisha iliuweze kufanikiwa usiwe mtu wa kukata tamaa pambana bila kujali mtaxamo wa watu wanakuchukuliaje
@HASASON5 жыл бұрын
Yaani we ulietengeneza video huna akili, zaidi ya dakika 6 inaonesha irrelevant things sasa ulishindwa nini kuonesha hicho kipande cha stand kwa seconds 30? Unaonesha sehemu ya kipumbavu kwa muda mrefu unaacha kuonesha vitu vya maana, hujui hata kuedit video pumbavu
Huyu ndio aliyemshawishi baba wa mtoto wa miaka 6 ,wakamnyonga na kumkata viungo kwa milioni 5 nakuchukia mwehu wewe shule ilikuwa haikutoshi
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Hizo ndo habari za kutuletea kwani hatujutii mb zetu😂
@rarirover445 жыл бұрын
Radhia Salum kweli kabisa yani
@awenanassor31695 жыл бұрын
Hadi ni imependa hauwezi MB zako
@daimavlog5 жыл бұрын
Radhia Salum umesikia kuwa kaua mtoto kwa ajili ya kafara
@maidafrancis455 жыл бұрын
Hongera Sana mpambanaji mwenzangu
@aishahayata61315 жыл бұрын
Pesa za kichawi na majini ndomana amevaa kma mchunga ngombe utajiri wa ndagu
@tranchescoanthony25092 жыл бұрын
Thibitisha
@charlesemmanuel94345 жыл бұрын
Amemuua mwanae kwa kuamini imani za kishirikina tayari amekamatwa na jeshi la police
@daimavlog5 жыл бұрын
Charles Emmanuel kaua mtoto wa mtu mwingine. Basi hizo debe itakuwa masharti ya mganga
@jamesmwakijale33665 жыл бұрын
Mazingira sio mazu.... sio mazuri.nikaona sio shi... sio shida .watoto watatu wakoa ila... wako ilasi.ya mungu ni me... ni mengi.nikaamini kua naweza kujee... naweza kujenga.haitos.... haitoshi. Sana brooo nimekuelewa
@myambaallan45235 жыл бұрын
umenibusuti lazma nitimize doto yangu ya kumiliki hospital kubwa itakayo hudumia wa Tanzania mungu tusaidie wenye malengo yetu kutimiza
@michaelsamson96635 жыл бұрын
Anakesi yama uwaji kwa ushilikina angalia Mbeya yetu utajionea kila kitu kusu uyo mtu mpiga debe awezi miliki shule
@sweetngailoubuyu66115 жыл бұрын
Usiukumu usije ukahukumiwa ndugu ajuaye ukweli ni Mungu pekee funga tu mdomo chini ya jua kuna mengi usiyo yajua mpenda pia ukweli na uongo avijawahi kukaa pamoja kaa angalia serikali inachunguza na ukweli utaupata tu kwa serikali hii khaki hipo tu hakuna kitakschopinda ndugu usuda sio nzuri
@castoljmwalyego37785 жыл бұрын
Hom sweet hom mbaliz mbeyaaaa.... Soon nakujaaaaa... Pamojaaa millard
@gloriamichael36985 жыл бұрын
Watu wako Baba tunaangamia Kwa kukosa maarifa .tupe uelewa baba tusizidi kuangamia amen
@mohamediyusuph42905 жыл бұрын
Daaah yaani ukimtazama huwezi kuamini kabisa!!!!kumbe ni muuaji.
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Hongera kaka mwenyezi Mungu azidi kukupa zaidi na zaidi wewe songa mbele hakuna kuangalia nyuma.
@henrybill55095 ай бұрын
Uyu. Jamaa alifungwaa kwa kesi ya mauwaji ya mtoto.
@thegirl14055 жыл бұрын
Hongera kaka shujaa mpambanaji vijana tujitume huu ni mfano kwa vijana wenye malengo
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Mmmmmhu nawewe mtangazaji ni boya kweli sasa unatuonyesha stendi kwa muda mrefu unafikiri sie tunasafiri ama? We tuletee taarifa .Kiukweli mimi nikimuona mtu amefanikiwa hapi na mimi inanitia hamasa ya kupambana zaidi ni kwanini mwenzangu afanikiwe mimi nishindwe? Kikubwa usikate tamaa , kikubwa ni kupambana hadi kieleweke ipo ck namimi nitakuwa tajiri maadamu nina mikono yangu na miguu yangu.Hongera kaka kwa juhudi zako .
@queenshomba84125 жыл бұрын
Hongera ssna Mungu akupe maisha marefu
@castoljmwalyego37785 жыл бұрын
Dah yaaaani nachekaaaa mpaka machozii... Kabla sijaoa mdogo waaaa... Nikapambanaaaa we nikapaaaaa... Yqmungu ni meeeee.... Nikaaminii kama naweza kujeeeee... Niliomba kwa mama mmoja akaniuziiiiii..... Zashidaaaa saaaaaaa..... Dah... Gonga like
@manxuleemikui38095 жыл бұрын
Mafanikio ni hatua tusikate tamaa
@greatmangii5 жыл бұрын
Kweli huyu NI mpiga Dee! Debe na amemiliki shuu! Shule na kamuiga chauu chaula Basi saa sawa Hongera saa Sana Ni marufuku kukata taa tamaa
@emmanueljohn67655 жыл бұрын
Exavery Joseph basii po poa
@majidfrolian49045 жыл бұрын
Ahahahahaaaaaaaa
@majidfrolian49045 жыл бұрын
Alaf acha mi niche nichekee maana story ni nzu ni nzuriiiiii
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
Watu wa utube mnacheke mnachekesha😁😂😂🤣😃😄😄
@castoljmwalyego37785 жыл бұрын
Dah aiseeeeeee...nachekaaa tu
@fatmachambotanzania93795 жыл бұрын
Hongera kwake Mwenywz Mungu ambarik sana
@breackychangwe87815 жыл бұрын
Ile Hiace nilinunua ya Zamaa...nikaiuza kama vyuma chakaa ..Hatariii sana brooo
@thevein25965 жыл бұрын
Breacky Changwe 😂😀😂😂
@happymushi81975 жыл бұрын
Huu ushuhuda unahamasisha watu lkn mmepoteza muda mwanzoni kwa kutuonesha mambo yasiyotujenga. Asante ayo.
@herrysanta55955 жыл бұрын
Wanakata watu vganja wanapata ela za kufungua shule alfu anasema anapga debe akafungua shule waalim anawalipa shingap nanyie mnakubal tu mnamsapot kijana kafanikiwa hao wazee wakafala
@Abdallah_mussa5 жыл бұрын
Kama UNACHUKIA WANAOSEMA GONGA like tusalimiane
@reenycolor20855 жыл бұрын
BEZAAA TV hata wanaosaliana nawachukia😀
@happymsaki17204 жыл бұрын
Yaani ya MUNGU ni mengi hata anavyojieleza husomeki umefika mwisho uongo wako yaani kweli unatoa watu ROHO
@user-uo7us8gg8t6 ай бұрын
Mchawi uyo
@maligisadotto86315 жыл бұрын
Safi sana kumbe hata mimi ninaweza kujenga shule. Nilikuwa na mawazo hayo lakini nilikuwa nimekata tamaa kidogo sasa nimepata nguvu mpya namwomba Mungu anisaidie nijenge sio shule ya sekondari tu bali kuanzia shule ya chekechea hadi chuo kikuu.
@michaelsamson96635 жыл бұрын
Mashalobalo acheni kufolow madem,, pigeni kazi umli unakikomo iposiku unao wategemea wata potea utapa shida sana..,,
@angelntandu46485 жыл бұрын
Safi sana mpabanaji dah!kwa hiyo mmeamua mfaidi kwanza kumfuatilia bila kujua?
@richardshirima23735 жыл бұрын
Huyu anafanana sana na jamaa mmoja wa Rombo huku Tarakea naye ana shule mbili now anaitwa Kipochi... Historia ya maisha bhana ni ngumu jamaa zangu, kukata tamaa ni dhambi mbaya kabisa Mungu Mwenyezi mwenyewe ashasema.. Tupambane mwanzo mwisho..
@vivianrichard90965 жыл бұрын
Huyu jamaa kumbe ndio amefanya mauaji ya mtoto wa miaka 6 ili apate utajiri Unyongwe tu
@emmybenny48625 жыл бұрын
Ioooooooo Looooooooooo
@babaanisha21045 жыл бұрын
nimeanza na nguruwe kama watano Mara mtaji ukakua nikawa na nguruwe sabini niongeza na mbuz kumbe vigaja vya binadamu
Nime download kueka kama kumbukumbu na motisha kwangu na wenzangu
@annaracheldaniel87935 жыл бұрын
Nimeshindwa kudownload, naomba unitumie whatsapp number +968 95676002
@kimrudiger50845 жыл бұрын
@@annaracheldaniel8793 I saved your number however I can't find you in watsap
@annaracheldaniel87935 жыл бұрын
@@kimrudiger5084 nipe number yako nikutafute
@Ambweneonlinetv5 жыл бұрын
Ifute hyo video
@neemarichard12564 жыл бұрын
Huyu anashikiliwa na polisi kwatuhuma za kumlagai mtu na kumuuzia mtoto kwa million 5 shetan huyo
@rutakihama75995 жыл бұрын
Daaaaah Safi sana
@bahatinassorali52225 жыл бұрын
Ayo tv hawana habari za kizushi nawamini
@mtaalamwamambo20995 жыл бұрын
Kabsaaaaa
@neyshao24925 жыл бұрын
Well done bro
@moseswanjara34085 жыл бұрын
Mm nachojiuliza huyu jamaa atakua ameua watoto wangapi ili nifundisho tusiige maisha yawengine
@MUKHUSINI5 жыл бұрын
Asante kwa habari z uhakika
@breackychangwe87815 жыл бұрын
Mwaka Wa mwisho anamalii..
@sakinaomar3015 жыл бұрын
Napenda mtu anayetumia akili nanguvu zake kujiikomboa kimaisha
@aminimambea12895 жыл бұрын
Nawapata sana hawa jamaa yupo na mbabe rasta
@frolandunfuru21875 жыл бұрын
Akapige debe na.jela. Nako atajenga chuo
@mako3315 жыл бұрын
Fanyeni kazi vijana acheni kudanganywa na wanasiasa eti watawapa kazi, watawapa pesa kama hufanyi kazi hujitumi hakuna mtu atakaye kuletea pesa mfukoni
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Msenge huyu anafanikiwa kwa kuuwa watoto ushirikina tu mjinga wewe,mchawie kanyee ndoo huko,hata hufanani tajiri,unauwa watu pumbavu
@mligombuma22875 жыл бұрын
Mungu anakuona hataaaa ajifukie kwenye shimo...... Tuwe na hofu ya mungu
@daimavlog5 жыл бұрын
Mashart ya mganga. Ee Mungu ikumbuke Tanzania
@boramchilasi54435 жыл бұрын
Debe anapiga ya nini kamashafanikiwa
@hundamaniamania8725 жыл бұрын
Haiingii akilini mpigadebe wa Tanzania amiliki Shule pumbavvvvvvv ,uchawi ushamtokea puani Muuwaji watt wa watu huyu sasa apelekwe Segerea tu wamzalishe
@barakajpilly69005 жыл бұрын
Uyu c ndo alie husika na mauaji ya mtoto alikatwa kiganja kwa mambo ya kishirikina
@awamyabbas72665 жыл бұрын
Daaah mzee anapenda mikato sa, sana huyu
@chakupewaonlinetv70455 жыл бұрын
Nakubar
@oleiei4345 жыл бұрын
Una bahati sana mzee. Uliponea chupuchupu kuvalishwa tairi na kuchomwa moto.
@petermulungu55104 жыл бұрын
mwamba uy tunamhogopa et
@donaldmwamswelo76645 жыл бұрын
Nice one
@mwanatz59805 жыл бұрын
Mtoro wa school😂🤣ndio kajenga school kwa uchungu , ndio tunaambiwa usimzarau asokua na elimu kesho unakujakumwita boss.
@hamdanal-habsy7455 жыл бұрын
😁😂😂
@annamarkmbwilla78785 жыл бұрын
Mwanaisha Hemed ameua
@nasrathyusuph3964 Жыл бұрын
@millardayo huyu jamaa n insperation najua watu wanamuongelea vbaya kuhusu scandle alopa ila wengi hawajui ukweli uliopo nyuma ya issue ya jamaa ipo cku watajua alaf mtajua hii dunia kuna watu hawapo kam mnavowasikia wanaomjua wanajua naongea nn watu achen kumjugde coz hamfaham ila kwa wenye ndoto kubwa mfuatilieni jamaa hamtokata tamaa🙏
@AK-ho2lb5 жыл бұрын
Ukiona mbongo anafanya kazi za ajabu halafu ana Hela zakutosha tu kama huyu jamaa ujue ni hela za msukule .maisha gani haya badala ya kumtanguliza mungu unafuata nyayo za shetani
@hassanmugire14975 жыл бұрын
na kuua vip
@kibundapesamadimba63525 жыл бұрын
safi sana inawezekana ukitia nia tu
@saitotisaitoti67345 жыл бұрын
Punguza uzito kaka unahema mhemo sio wa normal huo
@beloimwandunga98605 жыл бұрын
saitoti saitoti
@akelymsigwa64315 жыл бұрын
vizur sana mjombo kwa kupambana mfano mzr kwa jamii
@othmanshahib11155 жыл бұрын
Msenge wewe ndoo maana ulikuwa huna uhuru na hela zako chezea vyote siyo uhai wa binadam. unaiziwa mtoto ili umuwe upate imani yako yani mtajiri washirikina huwa wanaonyesha tu michafu haijipendi pendi pendi sijui utajiri wa nini wa mateso hivyo we uuwe mtu harafu uwe salama labda mungu awe hayupo mmemkatiri mtoto kama nguruwe wako mnaraana nyie na imani zenu
@nizahnyembe78665 жыл бұрын
Nakuona David
@michaelbigvai11995 жыл бұрын
Hizi kazi hamjui tu zina ela kichizi kama unajitambua, sema wengu wao ni walevi na akili zao haziwazi mbele