MPINA 'AMCHANA' MWIGULU MAKAVU "KUNA NJAMA YAKUIBIA SERIKALI, WAZIRI FEDHA ATUAMBIE"

  Рет қаралды 20,736

Uhondo TV

Uhondo TV

2 ай бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 50
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 ай бұрын
Ila wasukuma wanajitoaga sana wakipata uongozi MUNGU akusaidie mpina wewe Makonda mnajitoa sana kwa kweli!!
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Ай бұрын
Bila shaka
@peterkerenge9207
@peterkerenge9207 Ай бұрын
Napendaga sana mpina akiruka na mwigulu😊 nahisi hawa jamaa ni washikaji au watakuja kuwa wana sana😅
@twahamaulid
@twahamaulid 2 ай бұрын
Mh. Mpina ni mfano wa Wabunge ambao sio wavivu kufikili na ndio maana amekuwa ni mtu wa Data na tafiti katika uwasilishaji wa hoja zake bungeni. Nampenda sana mwana CCM huyu.
@obedpeter6874
@obedpeter6874 2 ай бұрын
Hongera mpina,uyu mwamba ndio kanifanya nirudi kusikiliza ili bunge
@norbertmbena5896
@norbertmbena5896 2 ай бұрын
Siuoni ubaya wa Mpina Mawaziri wanajinoa kwa ajili ya Mpina hongera sana
@KagirwaMbaraka
@KagirwaMbaraka Ай бұрын
Mpina ukosawasawa
@KagirwaMbaraka
@KagirwaMbaraka Ай бұрын
Mwiguru baada yakuOngerea vitu vyamaana aongerea madeleva waselikalI
@abdallahnkrumah6237
@abdallahnkrumah6237 2 ай бұрын
Kwa kiasi kikubwa michango mingi ya Mh. Mpina inalenga kuinusuru serikali ya Chama chake. Tatizo kubwa wenzake wa CCM hawamuelewi Kabisa. NABII HAKUBALIKI KWAO.
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 ай бұрын
Umeona were!!!
@wemakyagunya1895
@wemakyagunya1895 Ай бұрын
Luhaga Mpina uishi milele nakuelewa saaana.❤Piga kazi utalipwa taji lako Mbinguni.
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 Ай бұрын
Ni kweli Tz iko kwenye list mbaya Duniani ya kifedha haiaminiki
@SaidOmary-fd3bj
@SaidOmary-fd3bj 2 ай бұрын
NAFIKIRIA KAMA KUNGELIKUWA NA MGOMBEA BINAFSI BASI HILI BUNGE LINGECHIMBIKA ( MPINA ANAJILIPUA)
@jamesmethusela1148
@jamesmethusela1148 Ай бұрын
Huyu jamaa ni smart sana sema basi tu hii nchi ukisema ukweli unapigwa vita sana na viongozi wa juu.
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 2 ай бұрын
Big up bro , mpina,
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 ай бұрын
Mbunge boraaaaaa kuwahi kutokea eee MUNGU BABA mlinde wasimuuwe
@dassustephen731
@dassustephen731 2 ай бұрын
Huyu Jamaa Mpina NI mfuatiliaji WA mambo.Kwa kifupi Jamaa ana akili zinafanya kazi Sana.Kumjibu Mpina lazima waziri awe amejipanga kweli kweli,vinginevyo ataishia kumjibu "NI mganga WA kienyeji" which is quite a nonsensical response
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 2 ай бұрын
Mbunge Bora mpina
@EdwardKwiyanga
@EdwardKwiyanga 2 ай бұрын
Mhe.mpina hata kama watakubeza mm naamini safar uliyoianzisha itafk tu ingawa sio lahisi
@macklinabenedicto4627
@macklinabenedicto4627 Ай бұрын
Na mchukia sana mwigulu MUNGU anisamehe kwa hili
@philemonnestory4239
@philemonnestory4239 Ай бұрын
Mpina nakukubali sana
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 Ай бұрын
Mpambanaji safi sana!
@alumonkisinda4574
@alumonkisinda4574 2 ай бұрын
mpina ni mbunge kichwa sanaaa anaakili nyingi ni msomi anauchungu Kama magu na taifa wengine hao mi sijawaelewa
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 2 ай бұрын
Mpina huwa anatetea wananchi wanyonge simpendi samia kigulu na njia KAZI kuuza bandari zetu
@raymondsonje1469
@raymondsonje1469 Ай бұрын
Mungu baba mlinde dhid ya waovu na watu wabaya
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 2 ай бұрын
Mzalendo ❤
@tumainiaroni7980
@tumainiaroni7980 2 ай бұрын
Mpina songs mbele kwamaono yako
@rehemakayuga7051
@rehemakayuga7051 2 ай бұрын
Ipo Siku itafika Mpina Ataonekana Kile Anachokisema Kipo Sahihi
@user-my7fj6wn7y
@user-my7fj6wn7y 2 ай бұрын
Maswali yapo, majibu hatuyaoni
@pendaelmollel1847
@pendaelmollel1847 Ай бұрын
Huyu ana kitu asikilizwe. Kanifanya nikumbuke nchi hii ina bunge
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot Ай бұрын
Mpina mmoja Ni CCM nzima asee,,jitu Lina hoja,,Akil,,maarifa,,,
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 2 ай бұрын
Waziri wa fedha hafai,hafai kabsa ndo magazine wa kwanza!..kaz yake kuxhuna watu wa chini lkn mapapa anawaacha!
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 2 ай бұрын
Mpina unapambana kweli lakini upade uliopo simzuri
@barakalukeha6184
@barakalukeha6184 2 ай бұрын
Watu kama hao wasijitoe ccm na wako wengi ebu wajitokeze wote,na wasihame chama wakihama chama watabezwa na itatafsiriwa kwamba wanaichukia ccm,
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Sure​@@barakalukeha6184
@barakalukeha6184
@barakalukeha6184 2 ай бұрын
🙏🙏
@robertedward1992
@robertedward1992 2 ай бұрын
Huyo na kishimba wako powa.
@johnsonsabanya5860
@johnsonsabanya5860 Ай бұрын
Mungu akusimamie
@HusseiniHassani
@HusseiniHassani Ай бұрын
Huyu jamaa mbona anafanana sana na HAKIKA RUBEN mpaka sauti
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot Ай бұрын
Mpina yupo mbele miaka 30 weng hawamuelew
@sss3s867
@sss3s867 2 ай бұрын
hoja sahihi kabisa. da ger kwa pesa na usalama wa nchi. ndio hivyo msma snesems kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake
@angelsgabriely3575
@angelsgabriely3575 2 ай бұрын
Mwigulu hafai ndo mpigaji wa kwanza!..ajiuzulu hafai!..kaz ni kuumiza watu wa chini lkn wale mapapa anawaacha waendelee kula!.
@gelardbalalu9119
@gelardbalalu9119 Ай бұрын
Au tuandamane tuende bungeni tuwaambie kabisa mpina aludi bungeni
@paulmteki8196
@paulmteki8196 2 ай бұрын
Spika kunambo kama wananchi tunahumia kuona Mambo mawaziri wanatetea jambo badaye linaonekana ni laukweli spika bunge lako linakuwa la hovyo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 2 ай бұрын
Mwiguru ni mwizi mno
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 2 ай бұрын
Waziri wa fedha kazi yake ni kuongeza kodi za hovyo eti wa kulima wawe na machine ya ifd
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Sure, hii nchi imejiingira kweny mifumo ya tehama mibovu na ya kifisaidi haijawahi tokea. Uku utumishi kuna PEPMIS ni uongo mtupuu, haina maana yoyote zaiid ya kutesa watumishi..mtandao mbovu, mfumo mzito, yani tunanunua mifumo kwa gharama za fedha za watanzania halafu zinageuka kuwa chanzo cha upigaji na upotevu wa muda
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 196 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Mpina ataka wizara nzima ifukuzwe kazi kuanzia waziri hadi mfagiaji
9:06
Mwananchi Digital
Рет қаралды 12 М.
SIMBACHAWENE AMCHANA LIVE MPINA / ZUNGU AFURAHIA MAJIBU YAKE
30:56
Gangana Info Channel
Рет қаралды 47 М.
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН