He is hip hop artist,he was famous back in days when he was at secondary school.His first song was named blue blue to represent his favourite colour.
Пікірлер: 119
@ramamakelo5374 Жыл бұрын
Huyu muandishi ana niinspire mazee.bonge la pin
@kiokojoe69352 жыл бұрын
tanzanias most wanted hiphop star.i love you blue
@BirianSimba-ch3ed Жыл бұрын
Unyama san
@leylasalim93802 жыл бұрын
Blue colour Amaizng colour an also speacil fr men
@jamalmohamed3400 Жыл бұрын
Hii interview........ah Wacha tuu
@sirsebaonline91064 жыл бұрын
Byser unanikumbusha kitambo sana utotoni wakati wengine tulikuwa tunapanda kwenye vpanya tunakaa kwenye bansen buner wewe unatupita na ndinga kituoni unaenda shule ( dar sec school)
@lucaspascal6564 жыл бұрын
Blue Niuzia ilioko ndan
@shebbyibnishaq51807 жыл бұрын
rav4 kweli ni gari nzur ni 4 wheel driver alafu ni strong pia ukibadilisha filter ata porche haishiki nimeona kwenye macho live rav4 inamwacha porche jamaa kabadilisha filter system tu alafu ikiharibika ukitegeneza inakaa mda mrefu kuharibika kidogo kutegeneza nitaabu kwa ajili ya space pia market ukitakuuza bei nzur sana utapataa ni nzur sana gari
@lusajo5 жыл бұрын
Mr. Blue yupo real sana...
@daudiramadhani69134 жыл бұрын
So Moreee Amazing Maa Shaa Allahu
@leylasalim93802 жыл бұрын
Mashallah Mr blue mashallahbmzur
@mussataliye78155 жыл бұрын
Star wangu huyo blue
@mtaaninyumbani38714 жыл бұрын
Natamani sana hiki kipindi kirudi aisee...
@moneymusics6072 Жыл бұрын
Kabaisa nifundi myaka buku
@naitwachilipo8925 жыл бұрын
kipindi kimoja kikubwa sanaaa...ila huyo mdada mfundisheni vizuri,akae ki VIBE la ki Gari gari...apo anahost kinyonge flanii ivi sio kigari gari yani..
@fadhilsanga28474 жыл бұрын
kabaisa nakukubali Sana one love mamen Kizazi sanaa
@husseininteligence62344 жыл бұрын
Blue nichukulie namba kwa huyu dem
@prosperndelwa45604 жыл бұрын
#mrblue umetoka mbaali saanaa.
@samsonrubenmgayambasa8981 Жыл бұрын
Unauliza maswali maswali ya kipuuz sana we dada
@edwinthilia14924 жыл бұрын
Nimeickia sanaaa Nini hapa
@leylasalim93802 жыл бұрын
Tht why? U love big up Mr blue
@deernesto57535 жыл бұрын
wanaohoji wasanii wa kitanzania murudi shule tafadhali mkapate elimu ya kuwahoji mastaa.Hii ni haibu tupu!
@samyjoseph27324 жыл бұрын
swali moja dakika zote hizo👍
@shaacirmilionea94088 жыл бұрын
I love the girl 😉.
@zeizeinab97623 жыл бұрын
Mr blue amezeeka
@edwardkundy59188 жыл бұрын
god San broo
@sifafungo83768 жыл бұрын
yeah blue colour is good
@abdullatifujuma56898 жыл бұрын
Saleh acha shobo kwa mwanaume mwenzako Sa ww inakuhusu nini au nawe Unataka uhojiwe? Utasubiri Sana mbwawe au unawashwa unatafuta basha
@omydirector14948 жыл бұрын
salute Mr BLUE
@rajabkeza50948 жыл бұрын
big up blue
@paulsuma45904 жыл бұрын
Big up San broo
@JBMPro123452 жыл бұрын
It's good show am suggest the interview to be drive interview to choose destination
@seifyusuph96275 жыл бұрын
safiii blue
@mrcaroucyempendaatashikaje48754 жыл бұрын
Noma
@abdulazizjuma27438 жыл бұрын
host wa hiki kipindi akajifunze jinsi ya kuuliza maswali
@willyngowi76894 жыл бұрын
Dada huna cfa yautangazaji kiukweli 👅👅
@mustafakalyan2568 жыл бұрын
safi hela utakayonayo utainunua gari c o una millioni 7 unataka gari la 20 m
@aliadam99435 жыл бұрын
Safi sana
@mustafakalyan2568 жыл бұрын
ww c o muindi mahindi hauji kiswahili mm ndio muhindi mpaka leo haja zaliwa m2 wakunikula sawa Mr bluue
@adifar897 жыл бұрын
Mustafa Kalyan lol huyo kweli kibantu, first of all sticker ya 5zigen ina fanya nini huko juu kwenye rav4
@allyramjane20464 жыл бұрын
Mahindi yakiwa mengi likiwa moja unaliitaje?
@mwitarajab67128 жыл бұрын
Dah,sa wewe dada unakipaji cha utangazajiii!!?,ama?.
@abdulisinga15975 жыл бұрын
Gonga like kama umesoma comments ya huyo mwiindi....sisi tuwaita selenge doo.
@mabasashija50678 жыл бұрын
young Millar
@hamismgwale26044 жыл бұрын
Bluemtumwenginesana ajawaikusanda nagem uyumwamba
@ganykany1008 жыл бұрын
kipindi poa lakini huyu dame hajui kabisa kuhoji mty hasaa mambo ya magari. Ni vizuri akapike
@adiluselema72305 жыл бұрын
Salim Nassor kweli hajui kumhoji
@peterjohn84058 жыл бұрын
Anayehost hiiki kipindi ajitahidi kuwana maswali mazuri ..
@salhamrishoaish92925 жыл бұрын
nakupenda bureee😙😙😙
@JoseHaule-og3ty4 ай бұрын
Blue huna baya
@hassansaid99254 жыл бұрын
penda sanaaaaa byser bro
@jacobhunter25936 жыл бұрын
Da huyo binti kauli zake fiti hongera
@raheemyusuph56944 жыл бұрын
nachekiiiiii hii kitu 2020
@austinsamson95594 жыл бұрын
Tupo. Una boda
@manyovupharmacy11398 жыл бұрын
mmh safi blue
@mickboyedwin4265 жыл бұрын
Manyovu
@mustafakalyan2567 жыл бұрын
umeona mmmh kuisema silika ya mtuu vbaya
@augustinokindole88667 жыл бұрын
bungeni dodoma
@salumyayu84044 жыл бұрын
Nice bro
@moddydimples50758 жыл бұрын
safi sana Cabayser
@sadickabdallah44598 жыл бұрын
yuko powa brue kubari sanaaa
@rajabkeza50948 жыл бұрын
saleh Acha ujinga maneno yakike unayo yasema uko bata tu
@supertal29436 жыл бұрын
Uli li pimp vp!.....kwenye interview dah!!!
@oyay28214 жыл бұрын
-،،،haka kaschana hakana supu
@mustafakalyan2567 жыл бұрын
ww blue ww maskini sawa
@jooankale26787 жыл бұрын
Mustafa Kalyan ww nXhida
@tajibetese55674 жыл бұрын
Mwehu ww
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Wapi amesema yy tajiri
@fundibombazanzbar57175 жыл бұрын
hawa ndo ma h.b wa bong
@josephatmgwabi51494 жыл бұрын
Madega Madega big up
@ongejukatarijr.69848 жыл бұрын
مستر بلو رمضان كريم
@faisalmohamed17634 жыл бұрын
upuzi mtupu
@captenndunga93855 жыл бұрын
Huyu demu ni waki.. Kipindi kizima unaongelea gari alafu gari zenyewe mnazozizungumzia sio za kistaa wala nini unaongelea stalet na rav4... Hiki kipindi siangalii tena kumbe ni cha magari.
@ndagiroalain94335 жыл бұрын
Vp
@r-boymnyange37434 жыл бұрын
Dada nae ana maswal ya ajabu
@oopsm35745 жыл бұрын
Washamba
@jumajohn48226 жыл бұрын
matukio ya leo
@shebbyibnishaq51807 жыл бұрын
najifundisha kubadilisha system ya filter kisha nilete system hiyo dar hadi sound inabadilika ya gari
@safarijeandamascene6544 жыл бұрын
Yoooo mfalme blue uku kigli tunakutami mzee kama ni ukweli nipe like
@zeizeinab97623 жыл бұрын
😂😁😁😁😁😁😅🤣🙈✌
@riscaoscar5217 жыл бұрын
kweli umekuwa sana Mr blue
@yassinmnyata47814 жыл бұрын
Salehe anamajungu
@salmasaid62208 жыл бұрын
saleh wacha kumchukia blue mbona yuko saw
@jaafarali50517 жыл бұрын
Blue got old car RAV 4 🚗1998 😂😂
@jooankale26787 жыл бұрын
nankk balixa
@famffamf407 жыл бұрын
hahaha mh
@ashoknayaki7776 Жыл бұрын
Swahili bible App Afrikaans bible App English bible
@maverickcreativesolutions82858 жыл бұрын
This show needs an adjustment
@mwasashabani79155 жыл бұрын
Maverick Creative Studios usajiri
@Don_Saleh_8 жыл бұрын
Hahaha nakijua kigari chako hiyo sio yk haha
@innocenthely21885 жыл бұрын
Saleh Hajji bint hajui kuhoj sjui amempenda
@hamismgwale26044 жыл бұрын
Unamjua uyoojamaa kweli
@Abu-Hamza254 Жыл бұрын
What’s the essence of wearing hijab🧕or covering your head while your armpits are wide open…Doesn’t add up
@Don_Saleh_8 жыл бұрын
haha rav 4 yazamani hata mm nime kupindua nina mak x na nina miaka 23 kijana wa kiarabu mdogo kwako at k.koo sio ww wakujiita superstar plz man don't call yourself superstar na muna sema tuna majungu ndio coz unatia aibu nchi yk miaka kibao kwenye mziki lkn huna cha maana tena km unabisha km siijui gari yk ni nyekundu Suzuki kibovu kishenzi ww gari yk ya kwanza starlet mm gari yng ya kwanza ni Mazda atenza ya yellow kacheki bei yk na nilikuwa nina miaka 15 , ww Lofa tu kajaribu mipango mingine lkn sio mziki open ur eyes man it's a big world that we live in.
@saumusalimuhassan30418 жыл бұрын
Me Cna hata baskeli
@totoladinda30288 жыл бұрын
+Saumu Salimu Hassan kkkkk saumu
@totoladinda30288 жыл бұрын
#sale nini mbaya budaaa,kila Na majaaliwa yke,c ushukuru instead ya kukashif mwenzio nkt
@isackmsafi77117 жыл бұрын
mbona sifa za ajabu wewe saleh nan alokuuliza hayo yote au unawashwa tu msenge kweli