Wa kwanza leo kutoka Mozambique Msumbiji ❤❤, maua yangu jamani 🎉🎉
@user-cp4ym1gh3kАй бұрын
Umeimaiza mapema shogaa aanguu😊
@everentnersam8437Ай бұрын
Kazi nzuri
@user-ks9ui8td7yАй бұрын
mshangazi pole San ila tumejifuza mengi usiwai amini mchepuko hata kama anakupa kila kitu
@NasraKingaziАй бұрын
Kaz nzr ila Hilo jina nimewapa wadada wenye umri ilioenda kazn nalimewashika kweli nawaita mashangaz huhu
@NasraKingaziАй бұрын
Muwe mnatupa like wenzenu
@khadijasaleh898Ай бұрын
Ahsanteni mloshiriki hii movie nzuri💗
@HawaIra-p4jАй бұрын
❤ mshangaz
@Roze-so4heАй бұрын
Kazi tamu
@user-ub3xy9qu5qАй бұрын
Mshangazi jmn mbona mme maliza halaka jmn❤❤❤❤❤❤
@halemasuliman-js8ugАй бұрын
Uko vizuri sara
@sweetbabymwangi8373Ай бұрын
Hongereni kikosi cha Mshangazi. Nimejifunza mengi. Mmeandika ni final, kisha tamati mmeandika to be continued. Which is which now? Tusubiri muendelezo ama ndio series imeisha? Alafu tupatieni Kapera aishi huku kwetu Kenya. Ana kiswahili cha huku kwetu Kenya. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
@ceciliarengua7767Ай бұрын
Tamu sana hii❤❤❤❤
@GerezaMgazaАй бұрын
I like that mshangazi
@uzeinaly3071Ай бұрын
hey wa mwanzo
@user-cd3xo4mc9hАй бұрын
Asante sana nimejifunza mengi
@Happymchomvu-cr6kqАй бұрын
Jmn mshangz😂
@amosmatendo191Ай бұрын
Tamu sana imeisha mbio mbona Nawafata toka DRC Congo
@user-rl5zb1jc9kАй бұрын
Umalaya tu,kuoga aaah
@mbwelamedia3469Ай бұрын
kaz kaz
@yudadamiano4079Ай бұрын
Hongera sana mshangazi, pia ahsantee kwa ujumbe mzuri
@dullymsomaly3782Ай бұрын
hawez hahahah😊
@user-jf5sc8te6xАй бұрын
kuna wadau wana view tu like hatuzioni
@jubaidamiss2409Ай бұрын
Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Mwandola1Ай бұрын
Nice❤❤🎉🎉
@nesaahaji1329Ай бұрын
Hongera sana dada ninzuri sana umefanya vizuri sana 🎉🎉🎉❤❤
@user-rw7hh2dk5qАй бұрын
Muenderezo amna
@DavidNthiwaАй бұрын
Unyama kweli, keep it up
@user-by5li9wj2cАй бұрын
Movie Kali sanaaa hongereni eee mbarikiwe🙏🙏🙏🙏
@sharifabahar9905Ай бұрын
😂😂😂 mshangazi
@TinyaadamYusuf-oi5usАй бұрын
Bravo Sarah na wanawo kazi nzuri sana 👏❤️, keep a good work Guys loves you y'all....
@paulinekombe3753Ай бұрын
Mshangaz hongera mungu akubariki kwakila hatuwa ❤❤❤
@user-rl5zb1jc9kАй бұрын
🔥🔥🔥
@midaboflevaog6720Ай бұрын
Kama wewe umeikubali kama nilivyoikubali mimi like hii move
@user-lg3zl2sx3vАй бұрын
Kama umemkubali don Gonga like twende sawa
@HawaIra-p4jАй бұрын
❤ mamb
@zanishaikhonge7296Ай бұрын
Kazi nzur ❤❤🎉🎉🎉
@user-ec6ow2cx7cАй бұрын
Hii movie Iko na mafunzo mengi sanaaaa sijai lia Leo hii nimetonfokwa na chozi😢😢😢 congratulations 🎉🎉🎉
@ashaomary249Ай бұрын
❤❤
@Edith-rq3mmАй бұрын
Ingekuwa sio mwisho wangeenderea ila kwakuwa ni mwisho hawez kurudia
@ChingaKenboy-fz8yrАй бұрын
Acha tutakuja ona kama ataendelea na umalaya ama ataacha mshangazi🎉🎉
@Lizydimpoz-255Ай бұрын
🎉🎉🔥
@billylovebillybillylovebil580Ай бұрын
Jinala wimbo pleas
@gembemaige9164Ай бұрын
Oyaa dmx umeuwaaa sanaaa humu Nakuona mbali bro
@dullymsomaly3782Ай бұрын
aaah huyu wa mwisho kilio kazinguaaaa bhna
@Edith-rq3mmАй бұрын
Inamaan mm nina roho mbyay ya kutokusamehe au ni movie tuu wanàsamehean kirahis mbon mim.kiuhalisia siwez kil mtunafany yake ulale mitaron ulale wap mim sipo tukishaachn tumeachn
@emmariontabu254Ай бұрын
Mtu akitubu kwa dhati na akionyesha mabadiliko inapaswa umsamehe, kwan hata ukisema unaenda kwa mwengine kila mtu anamadhaifu yake, ndo maana kuna neno samahani.
@Edith-rq3mmАй бұрын
@@emmariontabu254 ni sawa ila Kuna yanayozd kwakwer Yan km kumdhalilisha mtu ni kumvua mtu nguo mbere za wat nitawezaje kukusameh huku euvua utu Wang hat nikikusameh bas kil mtu aenderee na maish yake
@RizikiZikiАй бұрын
Final mushangazi asante sana kwafunzo aya❤❤❤🎉🎉🎉
@StewartSadikiАй бұрын
👋
@GaudenciaMadirishaАй бұрын
❤❤❤ mshangazi 🔥🔥🔥🔥🔥
@mery-im8zeАй бұрын
❤❤😂😂
@RichardJanuary-gx6dfАй бұрын
mshangazi uko vizuli
@salhatiddyАй бұрын
😂😂❤
@briansiambi9135Ай бұрын
MSHANGAZI ™®
@VailethChimaisАй бұрын
Movie Tam saàna❤❤❤
@user-ky8tm1jm6iАй бұрын
Nakupenda
@aminabakari7146Ай бұрын
Hii nyimbo ni ya nan
@GHgh-hq3zjАй бұрын
😂😂😂😂❤❤❤❤
@gendaekafilmproduction4678Ай бұрын
Mbona imeisha hivyo
@mauwabanda2746Ай бұрын
Sala nakupendaga bule popote ulipo nina zawad yako