Msikize Dai Mkongwe.. Kigogo wa Daawa, Shkh Issa John Luvanda akijibu swali... Je, Yesu alisulubiwa?

  Рет қаралды 59,920

Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)

Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)

2 жыл бұрын

daawa channel ‪@abassonlinetv‬

Пікірлер: 129
@abassonlinetv
@abassonlinetv 2 жыл бұрын
please subscribe like and share
@suleymanali431
@suleymanali431 2 жыл бұрын
Sheikh Abas brother wapi part 2 ya hii clip ya sheik issa john luvanda kwa maana tuona ilikitikia katikati haja maliza bado waadi yake pls tunataka tuone part 2 yake kama hiko
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
MASHA ALLAH Shekh uko vizuri mungu akulinde
@ndikumanainnnocent7796
@ndikumanainnnocent7796 2 жыл бұрын
Mashallah sheikh wetu afazari uwe maskini ufate dini yahaki nakuaca ukafiri kufru
@khalidahmed6900
@khalidahmed6900 Жыл бұрын
ALLAAHU AKBAR!!! ALLAH awazidishie kheri na baraka katika juhudi hii tukufu
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
Mashaa llah Mzee kigogo hichi sheikh Abbas tupe party 2 usitueke na haku kakaka
@abdilatifhashi9659
@abdilatifhashi9659 2 жыл бұрын
Ustadh Luvanda angekaa masiku kadhaa Masha Allah. Raha sana
@abdilatifhashi9659
@abdilatifhashi9659 2 жыл бұрын
Ustadh Luvanda Masha Allah
@mwalimumlaula6167
@mwalimumlaula6167 2 жыл бұрын
Aslm Aleikum Kaka,naomba kama itawezekana Sheikh Luvanda akutanishwe na Ndacha katika mada tofauti In Shaa Allah.maana Ndacha anaufahamu ukweli lkn anakuwa akijikwepesha na kuwapoteza wengine.
@qhatramohamed7006
@qhatramohamed7006 10 ай бұрын
Mashaa-Allah Allah azidi kukupa stara ya duniya na kesho akheira ndugu yetu katika imaan
@user-fy3mh6kx1z
@user-fy3mh6kx1z Жыл бұрын
Wallahi kuna msiba mkubwa duniani Allah atunusuru awahifadhi mashekhe wetu...hawa makafiri hakuna siku watakuwa na umoja wao hupingana kila wakati,kudhihirisha ya kwamba kinachokosekana kwao ni hidaya...tuwaombee Allah awaongoze katika njia iliyonyooka Amiin
@HassanAli-lt4xm
@HassanAli-lt4xm 2 жыл бұрын
Mashallah Sheikh issa luvondo Allah akuridhie
@hassansharif9216
@hassansharif9216 11 ай бұрын
Masha Allah Sheikh
@bahatikenia39
@bahatikenia39 Жыл бұрын
Mashaalah
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Masha Allah Ustaz Sheikh Luvanda.
@leilaekesa3394
@leilaekesa3394 2 жыл бұрын
Mashallah sheikh Luvanda
@suleymanali431
@suleymanali431 2 жыл бұрын
Mashaalah sheikh mkweli lakini mbona hakuna maji ya kunywa kwa sheikh wetu jameni ame sema mazuri
@smadon5638
@smadon5638 5 ай бұрын
Mashallah dherkh
@laylayl5166
@laylayl5166 Жыл бұрын
Mashaallah mungu akulipe sheikh luvanda
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 2 жыл бұрын
Sheikh Luvanda kiboko mashaAllah
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 Жыл бұрын
Allah akupe nguvu na afya tuuhami Uislamu maana ushoga ndoo huo ushaletwa na wenzetu wadin nyengine wameukubal sijui wanatumia kitabu gan kinacho ruhusu ushoga
@amisibilly5084
@amisibilly5084 2 жыл бұрын
Congratulations sheikh
@ilovejesus666
@ilovejesus666 2 жыл бұрын
Wow 😍😍😍😍
@hafsakirao398
@hafsakirao398 2 жыл бұрын
Masha'Allah ❤
@mohamedahmed-jf3bm
@mohamedahmed-jf3bm 2 жыл бұрын
Masha allah shaikh luvanda
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 2 жыл бұрын
Maashaallah
@araabkhan4881
@araabkhan4881 2 жыл бұрын
MASHALLAH
@zeinyomar2460
@zeinyomar2460 2 жыл бұрын
Ma sha Allah mungu akuweke sheikh wetu
@abassonlinetv
@abassonlinetv 2 жыл бұрын
aamin
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Allah Akbar
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 Жыл бұрын
😂 Ramadan kuria bin kaguo Kwa mara ya kwanza nakuona huku Masha Allah mungu awabariki
@rashidalfan8274
@rashidalfan8274 2 жыл бұрын
Allahu Akbar
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 Жыл бұрын
Yesu alikufa na akafufuka ili tuwe na imani kwamba sku ya mwisho na tutafufuliwa na mungu
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
Maasha Allah
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Hahaha eti malaika wanadanganywa na damu. Kweli wakristo hamujielewi
@user-fy3mh6kx1z
@user-fy3mh6kx1z Жыл бұрын
Bonge la mtu kweli...jemedari..simba wa Allah..Sheikh Issa Luvanda...Allah akunusuru..
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 3 ай бұрын
😂😂😂Lamba sheikh ham ham ham😂😂😂😂😂
@hakimabdul7494
@hakimabdul7494 Жыл бұрын
Mashallah
@user-wp8yn9uw9e
@user-wp8yn9uw9e Жыл бұрын
Oliva mutukuz 3:02 😊
@moriscollins4494
@moriscollins4494 2 жыл бұрын
Kikubwa bado unamtangaza Mungu basi endelea tu
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld 2 жыл бұрын
Allah akuongeze ukuwe muislamu
@abassonlinetv
@abassonlinetv 2 жыл бұрын
aamin
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Kweli Mungu lakini Mungu Allah sio Mungu yesu
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 2 жыл бұрын
Shehe biblia hujasoma na huielewi
@issaally7928
@issaally7928 2 жыл бұрын
Apo pazuri apo atakua kasurubiwa simoni akuna sehemu yesu alirudishiwa msaraba napawazaga kipande icho
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Watu ni wamoja, dini ni moja, Mungu ni mmoja. Tafuta elimu ujue nini ni ukweli.
@hamissuche6576
@hamissuche6576 2 жыл бұрын
Uwongo, dini sio moja wala mungu sio mmoja,. Waislamu mungu wetu anaitwa Allah, ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa wala hajafanana na chchte asiye fikwa na umauti,. Kinyume na mungu wa wakristo aliyekufa msalabani
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
@@hamissuche6576 Mzalendo wewe unaamini na kuabudu kitabu na Mungu yupi? Watoto wa Adam na Hawa hawawezi kuwa na dini mbili kama Mungu wao ni moja. Rudia kwenye masomo kuna dini ngapi kwa mujibu wa Mungu na sio kwa mujibu wa watu
@HusseinTofikihussein
@HusseinTofikihussein 8 ай бұрын
Acha kuwapoteza watu ww utaulizwa na Allah
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 2 жыл бұрын
Nikodemu nae alisoma.lakin.hakujua kusoma so tija
@magesamatiku7506
@magesamatiku7506 Жыл бұрын
Nenda kamfate mtume mbakaji wa watoto mudi
@servantofjesuschrist839
@servantofjesuschrist839 2 жыл бұрын
YESU NDIO UKWELI NJIA NA MAISHA
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Lakini mnampinga na mafundisho yake hamuyafati
@servantofjesuschrist839
@servantofjesuschrist839 2 жыл бұрын
@@samxx411 Hatumpingi na mafundisho yake Yesu ni Mungu aliye ju ya Mungu yeyote Muhammed alimuoa mtoto wa miaka 6 unaeza oa mtoto wewe??
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 2 жыл бұрын
Ni 9 sio 6 ndio alioa kweli lkn aliishi nae mpaka alipofikia umri wa utu uzima wake ndio mambo mengine yaliendelea lkn sio kwa upto wako ww.
@servantofjesuschrist839
@servantofjesuschrist839 2 жыл бұрын
@@mwawekomiuda9779 Narrated `Aisha: that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death). حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَبَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ‏.‏ قَالَ هِشَامٌ وَأُنْبِئْتُ أَنَّهَا كَانَتْ عِنْدَهُ تِسْعَ سِنِينَ‏.‏ Reference : Sahih al-Bukhari 5134 In-book reference : Book 67, Hadith 70
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 2 жыл бұрын
@@servantofjesuschrist839 so what????
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 7 ай бұрын
Hizo mbwembwe ndacha hatazimaliza na utakimia
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 6 ай бұрын
Ndacha anawalisha matango pori anaweka viraka kutumia vitabu vya ovyo na tafsiri za ovyo ambazo ni za makafiri kwa ajili tu ya kuchafua lkn ukwei mungu wa kubadilika badilka mara mungu mara mwana wa mungu mara nabii mara binadamu mtihani
@jumarobertonyancha8605
@jumarobertonyancha8605 6 ай бұрын
Waislamu Quran inawaruhusu kudanganya
@mtesigwasemba2456
@mtesigwasemba2456 2 жыл бұрын
Sheeeee pigaaa hy makafiriiiii
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 2 жыл бұрын
Nyie waislam mnaroho mbayaaa sana
@kiangurajason1183
@kiangurajason1183 Жыл бұрын
Kafiri na mamako takataka wewe. Hiyo din yenu inayoenezwa na mauaji ni fake. Terrorists.
@hamisimuhammad6225
@hamisimuhammad6225 Жыл бұрын
@@athumanzahir8316 Kama matako yako
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 Жыл бұрын
@@hamisimuhammad6225 njo kwa yesu ili uwe na heshima uache matusi
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 Жыл бұрын
@@hamisimuhammad6225 unajiita Muhammad na huna busara Kama sio mmetawaliwa na masheatani ni Nini sasa
@samoramussa5336
@samoramussa5336 2 жыл бұрын
Mpinga kristo yupo tu, mwisilam na mkristo hata mbigu nitofauti kwenu kuna madem bikra zao haziishi mkalio mita 80 titi linachoma kama msumari, mkristo mbinguni kwetu hakuna kuoa wala kuolewa tutaishi kama malaika.
@hamissuche6576
@hamissuche6576 2 жыл бұрын
Nani kakudanganya
@athumanzahir8316
@athumanzahir8316 Жыл бұрын
Hajielewi huyu mbwa mada za kitoto
@magesamatiku7506
@magesamatiku7506 Жыл бұрын
Umeenda kupulizwa matakoni
@dannyosolo2752
@dannyosolo2752 2 жыл бұрын
Jesus is Lord
@mobutu3884
@mobutu3884 2 жыл бұрын
Huyo ustadh ana hoja nyepesi sana aise yani namkalisha mapema sana na kwa bahati mbaya anakutana na watu wasioijua biblia, kama alikuwa mchungaji basi hakustahili...hakuna kitu kelele tu
@aiahadoha4550
@aiahadoha4550 2 жыл бұрын
Huyo alikua mkatolik
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld 2 жыл бұрын
Wew wajua nn, lete maandiko. Usihubiri mambo kwa kichwa chako
@aiahadoha4550
@aiahadoha4550 2 жыл бұрын
@@HusseinAli-fx1ld mandiko yko kwa hicho kitabu chenu acheni kupotosha na mashekh wenu wamwambie ukweli mtoko kwenye usingizi
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld 2 жыл бұрын
@@aiahadoha4550 uzuri kila siku mapastor padri na wachungaji wanaslimu🤗
@aiahadoha4550
@aiahadoha4550 2 жыл бұрын
@@HusseinAli-fx1ld Kawaida ya mtu aongozwae na shetani namajini hutembea kama maiti kwamaaana hajui aendako Wala afanyacho uziri nikwamba neno la MUNGU wa mbinguni litadimi milele hayo yote ni matambiko na na gasia na vinapita wapi mnaelekea shetani aliwakamata sawa sawa poleni sana Kisha sana MUNGU awaongoze mjielewe
@mesharktopuru8494
@mesharktopuru8494 2 жыл бұрын
Mnangoje ndacha atoke ndio muanze sarakasi
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Hugo ndacha ameanza kuubali uislam, anakubaliana na uislam hakuna utatu na anadebate na wakristo wenziwe kuhusu utatu ambao haupo
@kibaikiramadhani1475
@kibaikiramadhani1475 Жыл бұрын
Ndacha anakuo hopea ww usiejua bible
@moreenikutwa2767
@moreenikutwa2767 2 жыл бұрын
Laiti ungelijuwa huwezi ongea hivyo ilinlazimu mungu azaliwe katika mwili huu Ili aje atuokoe mm na ww unaposema yesu hakufa ww nimpinga kristo na yesu alikufa akafufuka Kwa ajili ya dhambi zako
@msangiramadhan1911
@msangiramadhan1911 Жыл бұрын
Ushahidi wa maandiko
@joshuamagondu
@joshuamagondu 2 жыл бұрын
Mbona usitafute walimu wakikristo..tuna walimu stadi watakaokunyamazisha uwache kuhangaisha vijana..moto inawangoja nyie waislamu
@Stayawayfromislam2
@Stayawayfromislam2 2 жыл бұрын
Nani kasema wachungaji wana futa ma zambi? Kwanini una wadanganya wa islam Muhammad unaye mfuta alihowa mtoto wa miaka 6 uyo sio example au mfano wakuigwa na alisema watu weusi walihumbwa kwenda motoni jifunze na acha kudanganya watu
@onedawo9531
@onedawo9531 2 жыл бұрын
Wewe ni mkafiri kwanza jifunze kiswahili yako shida Kubwa
@kilimanjaro695
@kilimanjaro695 2 жыл бұрын
Gospel usiwe too emotion kujibu au kusema jambo. Sehemu gani au Aya gani imesema watu weusi wameumbiwa kwenda Motoni? Wakati hotba ya Mwisho ya Mtume wetu Mohammad S.A.W. Alisema kuwa Hakuna rangi ( Race) iliyokuwa superior. Mwarabu si Mbora zaidi ya Asiyekuwa Mwarabu. Mweusi ( Mtu mwenye Asili ya weusi) si Mbora kulikoni Mwarabu. Kwahiyo is common sense, kitu kama hicho hakuna, Labda proves me wrong.
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 Жыл бұрын
biblia Inasema Kanisani Kuna kiti Cha Enzi Cha Shetani...Acheni kumtusi Nabii muhammad.s.a.w..ikiwa wewe nimfuasi wanabii yesu kwanini unaoa bibi.nabii yesu hakuoa
@user-mc2xd4eu2p
@user-mc2xd4eu2p 6 ай бұрын
Adam kaoa mtoto wa siku moja
@josephkiswili1955
@josephkiswili1955 2 жыл бұрын
Hahahah. Porojo tuuu ulikuwa mchungaji feki. Ulifuta madhambi kutumia kifutio ngani
@aiahadoha4550
@aiahadoha4550 2 жыл бұрын
Kua mkatolik shida sana sai wadanganya watu duuuuuh ongeeni huyo kafiri wenu alie fanya kutafsiriwa qoran ilio andikwa na mtu mnayesema jibril kumbe mwebeania hii tabu
@HusseinAli-fx1ld
@HusseinAli-fx1ld 2 жыл бұрын
Mchungaji ndie anawafutia madhambi
@aiahadoha4550
@aiahadoha4550 2 жыл бұрын
@@HusseinAli-fx1ld naona atanza na yye mwenyewe amalizie na waislamu wanaongozwa na kitabu kilicholetwa na jibril mwanadamu wakiendelea kudanganya na kutanganywa na mashekh wao kutokuwambia ukweli ilimzidi kupoteza
Issa John Luvanda Eastleigh.. Yusufu ajuta kusema eti Yesu ni Mungu mbele ya Shkh Issa John Luvanda.
31:09
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 18 М.
Maswali yachacha mjini Kilgoris, huku mmoja akisilimu, Day 1....2 August 2024
1:18:09
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 521
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 22 МЛН
Daawa Mtaani: mkristo atoa ofa ya simu.... Jacaranda grounds...  1st. July 2024
1:58:56
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 4,6 М.
WASABATO WANABATIZA KINYUME NA IMANI YA KRISTO
39:47
FONDEMENT DES APOTRES. Pasteur Matendo P.E
Рет қаралды 6 М.
Mchungaji aulizwa maswali na mkiristo.. na mmoja asilimu baada ya kuona haki.. Sheikh Salim #Ndenda.
1:14:18
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 16 М.
Ni wapi imeandikwa kuwa biblia ni kitabu cha Mungu...    21 June 2024
1:44:54
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 3,1 М.
Wachungaji waikataa bibilia mbele ya waisilamu eastlegh ajabu sana by sheikh Anwar
32:11
MASWALI NA MAJIBU KATIKA MUHADHALA GITHURAI 45 PART 10(MPE MIC)
53:55
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 29 М.
Shekh Issa John Luvanda. Hamna Taurati, wala Zaburi, wala injili duniani, vyote vitatu viliharibiwa.
56:15
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 12 М.
SHEIK YAHYA ISSA//waikristo eneo LA Nairobi(isili)
46:54
DEEN TV KENYA
Рет қаралды 78 М.
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 14 МЛН