Wachambuzi wa nchi hii wengi ni mamuruki hawajielewi,,yani tulileta kina ngoma,babar,jobe fred etc wakasema tumejaza wazee,saizi tumeleta under 24 wanasema bado wadogo hawatafanya chochote yan wachambuz wa bongo wengi wao ni kama malaya tu hawaelew wanachokizungumza
@bone10211 күн бұрын
Hakuna wachambuzi hao wote vilaza hivi kweli game ile ya muungano wakina mashaka hawawezi cheza hata hawajiulizi kuwa Simba inamashindano madogo kama muungano ambayo kalabaka,mashaka wanacheza
@N0RBETHMPOLOSI11 күн бұрын
Simba nguvu moja one team one dream forever
@giliussiwila651711 күн бұрын
Waandishi hamna jema Kwa simba
@MamboMbuli11 күн бұрын
Wandishi Yale mukiyosema kuhusu umri Simba wamezingatia🎉
@olaislukumay220811 күн бұрын
Huyo mchambuzi mpumbavu sana
@salimmalaka25610 күн бұрын
UKIONA MCHEZAJI KAMA DEBORA ANATOKA TIMU NDOGO LAKINI ANACHAGULIWA TIMU YA TAIFA UJUWE KAWATIA ADABU SANA WAFUNGAJI WA TIMU KUBWA SIO BURE HAPO SIMBA WAMEPATIYA TENA SANA ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ummymuya.206010 күн бұрын
OYEEEEEEEEE!💃💃💃
@JumanneRajabu-bg4ch11 күн бұрын
Kaka awa wachezaji wazulitu
@ShamtheMpogoro11 күн бұрын
Hiyo feitoto aletwe Simba kwa gharama yoyote. Wanachama tuppo tayari kuchangia pesa.
@saidsoudamiri405410 күн бұрын
Kocha wa Argentina aliyebeba world cup alikua ndio mashindano yake ya mwanzo na alibeba world cup
@noeljohn869411 күн бұрын
😂😂 huyo mtangazaji ni muruki Comparable ni unafiki tu, mbona hatuzungumzii yanga walio chukua mvp wa Tanzania kutoka Simba Chama
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx11 күн бұрын
Shida unafiki yanga wachambuzi wengi inawapoteza baleke au Dube wamefanyanini kimataifa kama siyo unafiki bazi ya wachambuzi
@bone10211 күн бұрын
Wachambuzi wanaichukia Simba mzee na siku zote Dunian watu wanachukia kitu kilicho bora
@lukamwalongo960910 күн бұрын
Simba wamejitahidi kuboresha kukosi hongera kwa mo jamani
@ABDALLAHMWATANDA10 күн бұрын
FEISAL ANA TANGAZWA NA NYINYI WACHAMBUZI SIO KIONGOZI WA SIMBA . NYINYI NI MBUMBU WA UCHAMBUZI.... LEO MNASEMA VIJANA, KESHO MTASEMA WAZEE,, SAUTI ZENU TUNAZO....
@righitkileo11 күн бұрын
Acha dharau wewe njoo wewe usajili bac maana mjuaji sana wenqine wajinqa
@user-im8qz8ov3x11 күн бұрын
Wachambuzi hacheni kununuliwa, Baleke alipokuwa simba mlisema mzee, leo kaenda Yanga mnasema usajili wa kimkakati.
@bone10211 күн бұрын
Chama pia walisema Kaishiwa kashazeeka nw Yupo Yanga wanasema ana ujuzi na kimataifa anafaa 😂
@user-md7sd3hk6l11 күн бұрын
tupeni mauwa ya ao wa leo muna amisha oja munaanza kucho meka kwa fei
@SeifKarata-fr7dv10 күн бұрын
Wachambuzi mnatumwa na yanga ili muichafue simba
@user-ox4fv4cf5l11 күн бұрын
KWANI TSHABALALA,KAPOMBE,NGOMA,MZAMIRU NAO NI 25 KURUDI, CHINI
@noeljohn869411 күн бұрын
Au usajili wa Chama na Bareke ndo wa kimkakati?
@jaydenkaleshi10 күн бұрын
Swala sio kuchukua ubingwa nyie wachambuzi uchwara mliojawa na chuki dhidi ya Simba.