Waze nawakubali vibaya mnoo nmekua niwatazama kwa Mtanga channel yani kama clips kama zote nmeziona, munanikeep busy nifakanya mambo yangu ya editing , waze wangu nawambia pls towa clips more zaidi cz wakati mwingine najiuliza ntatizama nini wakati ntamaliza clips zote mushatengeneza. nmeona nicomment leo cz naona hakuna mtu ashacomment... .KE