Kwangu maji hayatoki bado bili mnaleta ya maji hamna kifungu ya kuwashtaki nyie?mnaniibia
@subiraibrahim8100Ай бұрын
Hawa ni wezi sana
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Aliyemuunganishia maji huyo ni nani kama sio nyinyi wenyewe jamani😂😂😂
@bilid4128Ай бұрын
Eti aisee ! 😂😂😂 walikuwa wanakula chao ila saivi wamehofia kukamatwa wanakaona suluhisho ni kumchoma tu sasa
@consomatogaudence136Ай бұрын
Ndio haohao@@bilid4128
@mpefu_4936Ай бұрын
Mbona mnapotuzidishia bill tunawaoji Amina majibu hata Mimi ningeweza ningeiba mna tabia mbaya India Billi mlizoongeza zaidi ya malipo ya kawaida usa river
@subiraibrahim8100Ай бұрын
Sio huko tu hawa wezi sana
@bilid4128Ай бұрын
Usikute mlikuwa mnajua tokea siku nyingi tu leo ndio mmeamua kumchoma
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Lkn tatizo lenu hata mkimkatia mtu maji,akaja akalipa pamoja na faini bado mnachelewa kumrudishia maji!! Hata siku 2 na kuendelea!! Tofauti na Dar es Salaam, ukikatiwa maji, ukaenda kulipa, na kuna mazungumzo, kama ni asbh mpk jioni maji yamesharejeshwa,huenda wanajali afya za raia?
@SinemaZaChinaАй бұрын
Daah watu wahuni sana
@wisdomfolksАй бұрын
Maji ya Mungu hayo mnatuuzia
@kichwachafamiliaАй бұрын
We 😢😢😢😊
@AllybinamourАй бұрын
miezi 6!!! inaonesha wahusika mnakaa zaid ofisini kuliko kufanyakazi ndo maana mda wote huo hamjui kinachoendelea. ni uzembe huo.
@domymerinyo8165Ай бұрын
Kwanini umkatie mtu maji badala ya kuelewana naye alipe kidogo x2 . Ndio yawa yenu hiyo mnajidai kujibu wateja vibaya
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Acha muibiwe mmezidi kubandikia watu bili za uwongo unakuta mtu hana tenk,hana familia kubwa inayotumia maji,hauzi maji, hatumii choo cha maji, bili ikija elfu 50 hadi70 kwa mwezi huo nao ni wizi mnatuibia sana😏
@SaumuLekule-de4hrАй бұрын
Kwangu bill ilikuja laki na sina familia wala hamna mtu anashinda nyumbn
@subiraibrahim8100Ай бұрын
Hawa ni wezi ingawa ni serikali
@mabondolawrence1812Ай бұрын
Mnabambika hili za maji na bei mnaweka kubwa. Huyo mtamfunga lakini ripoti ya CAG mtaitukuza.
@DM_15Ай бұрын
Huyo hakujiunganishia niwafanyakazi wenu ndio wamefanya hizo ujinga . Sasa wameshakosa chakula wameamuakuchoma😂😂😂😂 kwahaliyakawida huwezi jua kua kunamchepushowamaji hapo anaezakuwajibu maji nanunua tokamlivyonikatia maji so kamamna ondoa bomba toeni. Lkn kwsababu mchongo hautoi kibunda mmeamua kumchomolea betri mazima, hakunaraia wakawaida anaiba maji au umeme kwenyenguzo, hakuna wafanyakazi ndio wana fanyagahizo michongo
@husseinmaingo5009Ай бұрын
Acha waibiwe tu maana wanazidishia sana watu bili maji yao hayana kiwango kwa afya za watu na ukatijaji wa maj mara kwa mara acha waibiwe
@magrethmbuma3045Ай бұрын
Kwani shida ikwapi mtu akiiba chake😅😅😅😅kumbe mnaumia nyiiee
@joycekweka5416Ай бұрын
Kwani kulikuwa na haja Gani ya kumdhalilisha uonevu huo. Ok na ninyi wakati mnatuzidishia bill mbona hatusikilizigi. Huo ni uonevu.
@user-il5pk2dr5nАй бұрын
Wapo umo umo katka nyinyi..
@hellendaniel3809Ай бұрын
Kutegesha mitego sawa,maji mkikata mwezi aaaaaah. Hata tupige cm vipi. Kuzidisha tu bili tu ndio mnachojua
@PeterMagoyeАй бұрын
Hawa wenyewe kuzidisha bili ndio balaa ila mjue hiyo tabia ya kuzidisha bili pia ni wizi aina mojawapo
@joachimsironga1560Ай бұрын
Yaaani bongo hapa iposiku tutawapiga mawe na familia zenu zitalia na kusaga meno ...ninyi serikali nanyi munaiba kwa kuzidisha bili Mudamwingine maji sio ya uhakika kabisa
@officialisaiah3979Ай бұрын
maji tuu af miez 6 jmn na ni gest hauzi maji wame mchongea tuu watu wanaiba mabilion huko
@SKY-fk3fzАй бұрын
Nyie wenyewe wizi
@liberatusjackson5045Ай бұрын
Waafrika 😂😂😂😂kwa ubayaaa 😂😂😂yaniii. Hapo kuna w2 wanafurahia hadiii wahusika..wapo happy ilaa hapo mm naona panaitajika elim kuitoa kwa wanaichiii zaidiii na zaidiiii ilii wafahamu ukubwa watitizo kuliko bufurahia majangaa kwa mhusika..mAana unakuta alie mshaulii ndoo kamlipot..😂😂😂😂😂 koz. Tunarudishana nyuma Everyday😂😂😂
@storytownTvАй бұрын
Nataman kujua iyo njia maana maisha nnmagumu afu watumish wa idara ya maji wanavimba sana ,na viongozi wengine wako bise na kampen za kutufanya wajinga kila kitu utasikia mama ,mara mitano ,,sijui nyoko ....ME MWENYEW NATAMAN KUIBA AYO MAJI NA UMEME sijapata tu ujuzi, maana serikali yenyewe imejaa wazi watupu
@J_JeromyАй бұрын
😂😂😂
@Bless-sk8uvАй бұрын
Yani sawa na kumpiga dole mkuu wa jeshi unacheza na serikali 😢😢
@rahimmarions5712Ай бұрын
Aliemuunganishia ni hao hao wenyewe.hawezi toka mtu pembeni afanye ivyo
@ruthmsangi6472Ай бұрын
Kwani yy ndio wakwanza au kuna namna nyuma ya pazia??¿
@khalsasalim7930Ай бұрын
Mbona nyie mnaiba huko serekalini 😂
@Juniorbaraka21Ай бұрын
Tumia njia sahihi sio kualibu nyumba
@afreytonemajidi6909Ай бұрын
Maji tu tafuteni wanao ua tembo
@user-ly2gq8gq7wАй бұрын
Ninyi wenyewe wezi wakubwa Billi kubwa maji kutoka aaaaaahaa
@carson_uk2229Ай бұрын
Hata me ningeweza ningeibaa mbaya mbaya haiwezekani ma bill ya wizi mnatutumia na hamjipeleki mahakaman😂😂😂
@user-sg1du9dp1iАй бұрын
Mwenyekiti kama mtu vile 😅😅😅
@khalsasalim7930Ай бұрын
Kumbe utopolo😂
@gilliardgodfriend5745Ай бұрын
MAJI UMEME NI HITAJI LA MUHIMU NA SIO LA KUKOSA MWANAADAMU HATA AWE HANA HELA TATIZO NCHI YETU INAFANYA HIVVI VITU KAMA NI ANASA NDIO MAAANA HAYA YANATOKEA😢
@Stellastella-yi5vuАй бұрын
Kwa iyo mnatuambia tuwasaidie Nini, mlikuja na kamera alipokuwa anavuta maji mara ya kwanza. Hebu mmalizane huku hizo kamera mmekuja nazo Ili iweje sasa.sifa tu
@user-fw6dp9iy4iАй бұрын
Sheria ikoje? Miundo mbinu ikoje, Mmeharibu Mali yake Nani alitoa hukumu, Siasa za Arusha hizo
@samwelidomayo6195Ай бұрын
Maisha magum
@davidfidelis8595Ай бұрын
mbona wao wanaiba unit unasafir mwezi mzima haupo lkn unit unapewa kma unapiga tofali
@juliusmagheke1379Ай бұрын
Mbona kama kuna mtu amehojiwa hapo ila yuko mwingi mno😂😂. Mmemtoa mtu kwenye starehe zake
@rahmarassy6092Ай бұрын
Wameenda na kingwendu
@CecyGeorge-vx9ucАй бұрын
Wezi tuu ninyi
@user-ej2er1zw9wАй бұрын
Atari sana
@davidmalisa8043Ай бұрын
Maji hata mm ningeiba
@maribaisack2097Ай бұрын
Mbona taarifa za mikoa mingine huwa hamtoi ? Why always arusha
@liberatusjackson5045Ай бұрын
Naye mjinga 😂😂😂😂
@realanuariyАй бұрын
mjinga wewe
@petercostakisokaАй бұрын
Kitu kidogo kinamgarimu pakubwa
@salmahalfani6307Ай бұрын
Yeye alivyofanya wizi sheria ikoje? Na ukizingatia alieanza wizi ni yeye
@kundaelikilewo7176Ай бұрын
haha maigizo hayo kwa nini mmepost hilo tukio ,inamaanisha dawasco ni dhaifu kwa nini imetokea hivyo boss wq dawasco ni mtuhumiwa wa kwanza kuwajibishwa
@renatusblandes1131Ай бұрын
Hapo utasikia upelelezi bado
@ziggertv3185Ай бұрын
Yani bongo nyoso
@storytownTvАй бұрын
Uchunguz bado unaendelea..😂
@ThadeaGabrieliАй бұрын
Mama wa mkombozi
@user-lu1by6yp4tАй бұрын
Makubwa
@benedictmasuky9535Ай бұрын
Mbona kawaida bna.. nyie viongozi Mnaibia serikali shingapi 🤨
@zephaniamalindi9597Ай бұрын
Watu wanaiba ma billion mtu @naiba maji tu ndio mnatuletea usenge