Jmn milard Ayo katika wafanyakazi wako ambao wanastahili kupokea mshahara mkubwa basi hyu Godfrey tomas anastahili pesa nyingi arusha kuna matukio mengi Sana na hyu ana kabiliana Sana na changamoto za watu jmn kama mnamkubali Godfrey nipeni like zangu na comment❤❤❤
@ANNATARIMO-qq1nl2 күн бұрын
sio arusha tyu yan matyukio meng yupo on time apewe mauwa yake kwa kweliii
@MashakaMagesa2 күн бұрын
Huyu mtangazaji Yuko vizuri na anaipenda kazi yake
@anoldjefsta177Күн бұрын
Vido vidox pia
@RachelNathan-yv5zc4 күн бұрын
Mimi kwaupande wangu naona huyo baba alizikwa kweri lakn sio kwamba alikufa kifo cha MWENYEZI MUNGU na mwishowake MUNGU aliamua kutowa sehem walikomfisha ili UKUU WA MUNGU uonekane kwamba uchawi sio kitu mbere ya MUNGU
@halunimnenwa52244 күн бұрын
Miradi ayo naomba uyo robati awapele uko aliko kuwepo kipindi chote Cha msiba wake tujue alikua akiishi na nani uko
Na walichelewa kumkata ulimi na kumpumbaza..ndo maana akatorok
@PendoMatemba3 күн бұрын
Kweli kabisa,, binafsi naamini unachosema
@mamafloraofficial431521 сағат бұрын
Aliyesikia neno" Mungu hafagi" gonga like hapa
@magefrenk67223 күн бұрын
Mungu ameamua kujithibitisha kupitia Robert, kwakweli uchawi upo na Mungu yupo
@user-ng6yt2od7l3 күн бұрын
😂Sana kweli Mungu hajaamua
@evertheobald18112 күн бұрын
Haswaaaa
@lilianluhasi3112 күн бұрын
Huenda walisababisha ili wamdhulumu
@JohanesFaustine-vn9sk4 күн бұрын
Kati ya mwandishi anae kutana na majanga ya kihandishi ni uyu bro mwandishi wa ARUSHA
@FredMaulid2 күн бұрын
Umeona eh huwa anaripoti matukio magumu na kushangaza utadhani Arusha siyo tanzania ni nchi nyingine maana wadudu wanamatukio hatari inahitaji muda mrefu kubalika pengine mazingira na malezi yamewaathiri
@jescaprojest72622 күн бұрын
Kabisa
@GoodluckNjau-km3ym2 күн бұрын
Kufa na kufufuka sio jambo dogo ni yesu tu ndio alie weza hawa wengine ni maigizo tu wana tufanyia
@ramadhanihudhaifani43763 күн бұрын
Huyu mzee anayegoma shamba lisiuzwe,anaonekana ana ROHO MBAYA MNO! Hata ongea yake,inaonesha ni mtu mwenye roho mbaya sana na chuki. Jicho lenyewe utadhan aligongwa na katapila. Mashamba yao wameuza wakala pesa. Ila shamba la Robert ndio wanataka asiuze ajenge! Shenzi kabsa. Robert,uza shamba lako! 😡
@suzysam60022 күн бұрын
Kilimanjaro hawana tabia ya kuuza Mashamba ya nyumbani hata ufanyaje hiyo Ni desturi yao
@neemamollel60574 күн бұрын
Wafukue ilo kaburi mi naona wmemzika mtu tofauti n.a. si yeye
@mataypanga52624 күн бұрын
Serikali iwape vitambulisho vya NIDA wananchi wote ili tusiwe na sintofahamu
@talents79343 күн бұрын
Yani mama anaonekana kama vile ndo mtoto wake marehem ila marehem anaonekana kama ndo baba yake na huyo mama kweli pombe inazeesha😂😂😂
@user-xh7xf2ki3r3 күн бұрын
😂😂😂😂😂 kwa kweli 🙌
@user-et4ny5gj3p3 күн бұрын
😂😂😂😂.Pombe cyo maji jamani
@jescaprojest72622 күн бұрын
Yaan nimeangalia Zaid ya mara 10 sielew km huyu mama n mwanae 😂😂😂😂
@user-sv3sv4xd1q4 күн бұрын
Mama hawezi kumsahau mwanae kama wamemuogesha na kumvalisha ndugu yao kweli washindwe kumtambua? Mama amekiri haikuwa imeharibika hapo itakuwa kuwa kuna mkono wa mtu.
@hollocolletha65193 күн бұрын
Aliefufuka Ni yesu pekee mwana wa MUNGU Alie hai. Huu mwingine Ni uongo tu.
@mwanawataifa48892 күн бұрын
Ulichoandika kimechanganyika ukweli na uongo Jifunze vizuri juu ya kufufuka hata kwenye biblia sio Yesu peke ake Zakayo pia alifufuka
@sund25534 күн бұрын
Kazeeka kuliko umri alionao…….anyway itakuwa walimtengezea kifo wamzurumu hakiyake
@JULIUSNCHAGWA4 күн бұрын
Hapa kuna mchezo rahisi sana umefanyika ngoja niwasanue 1: baba mdogo na mke wake ndo wamemuogesha marehemu. Baba mdogo ndo anataka shamba so kama alitengeneza jambo hvii 2:robart amekataa yeye hajawahi hata kugongwa na toyo SO JIBU HILI HAPA baba mdg alitengeneza uvumi wa kifo wakazika mtu mwingine kisha watammalizia robart huko huko alipo ila kabla hawajafanikiwa mwamba akarudiiiii😂😂😂😂😂😂
@user-zh8uf3wy2z3 күн бұрын
Mawazo yako😅....
@Alexander-th3tn3 күн бұрын
Halafu jeneza lilikua linatingishika maana yake wamezika mtu ambae sie wa hiyo boma
@marryjumanne597140 минут бұрын
Kweli
@peninashungu66333 күн бұрын
😂😂Jaman raha Sana duniani raha Sana, sasa huyo robat alikuwa wapi wakat wa msiba wa robat mwenzie😂😂
@teddyndungurusabnu47923 күн бұрын
huyo baba mdogo ashikiliwe kafanya mpango kwa kufeki Maiti ili ionekane kafa auze shamba na lengo lilikua wamsake huyo kaka aliesingiziwa kufa ili wamuulie hukohuko pasipo ndugu kujua coz walishajua wamemzika ba mdogo mpuuzi
@Chrisblaze-beats4 күн бұрын
HahahH marehem anatugombeza😂😂 ( natania tu) ila hii duniaa😢
@user-ng6yt2od7l3 күн бұрын
😂😂
@abdulllyhussein322414 сағат бұрын
😂😂😂😂 nmecheka
@kanankirannko61744 күн бұрын
Kwa hiyo sio kila aliepotea inakuwa ni kweli mfano walie mzika ni marehemu Wa wapi sasa maana robart huyu hapa je aliezikwa ni Wa Kwa nani?
@user-gv8yn9lg1i4 күн бұрын
Uongo, kuna uhuni umefanyika, hilo shamba yaani hata auze kwa laki moja sinunui 😮😮😮
@user-ng6yt2od7l3 күн бұрын
😂😂😂😂😂kweli dah laki moja
@user-ng6yt2od7l3 күн бұрын
Yaani ata mtu anunui labda asiye jua😂
@hanifamasudi97324 күн бұрын
Labda nipacha bila kujua masikini 😢😢
@realmeamyna302 күн бұрын
Nilitamani kujua zaidi kuhusu yeye mfano aliondokaje na ni nn kilimfanya aondoke nyumbani vipi kuhusu familia yake mara ya kwanza kutoka nyumbani alienda kulala kwa nani na mpaka anarudi nyumbani alitoka kwa nani??? Na huko alikua haiwazi familia yake???? Na vingine vingi Kijana andaa maswali na ujipange kisawa sawa unapoenda kuhoji mtu bana na wewe BINAFSI NIMEKOSA VINGI NILIVYOTAMANI KUVIJUA NA MTIRIRIKO WA MASWALI..
@tupacthedon71047 сағат бұрын
🙌🙌Umetisha sanaa,binafsi nilikua nawaza kama wewe
@user-tv6jj3gt3i4 күн бұрын
Nmependa hiyo ongea ya mama apo. Et eeeeh eeeh eeeeeh eeeeh 😂😂😂
@chocolatekalex16314 күн бұрын
😂😂😂😂heee heeee
@adolfmathew96984 күн бұрын
Iyo ni kiarusha eeee eee ee kuitikia yan anajijibu ivyo yan
@Pretty227504 күн бұрын
Keja doii mpaka kaongea lugha ya nyumbani 😂😂😂😂😂😂eehh eehh eehh shikilia hapo hapo
@Zainab-qg6xv4 күн бұрын
Ila mtoto kazeeka kuliko Mama
@novahrappertz29903 күн бұрын
@@Zainab-qg6xvsasa mtu alishakufa kaja kufufuka c lazima amzidi mama uzee😂😂😂
@Rose-ue2ho4 күн бұрын
Sasa kama mwenye kaburi kakubali kaburi lake lifunguliwe kwanini hawafungui???😅
@elizabethmiho95743 күн бұрын
😂😂😂
@aby211114 күн бұрын
Let the higher authority deal with the situation.
@user-uf7oh5eu4v4 күн бұрын
😢so sad
@rosehaule67652 күн бұрын
Sura mama jamani sura za walevi waliopindukia kama kaka robert hapo uwaga wanafanana samahani kusema hivi lakini mara nyingi uwa wanafananaga kama huyo.marehemu mliyezika na yy alikuwa chapombe lazima wafanane😂😂 tena hasa wachqga wanafanana😂😂 mmezika.mtu siye buana fudueni kaburi kwa kibalk cha serikali basi mtapata jibu DNA itajibu
@bakarikayugwa32954 күн бұрын
Mungu amemsimamia na mizimu ya kwao
@JohnJoseph-qq7ow4 күн бұрын
MUNGU achangamani na mizimu
@chocolatekalex16314 күн бұрын
Afu mimi ninavyoona jamani nipo DRC lakini ili picha lilitengenezwa n'a wale ambao wanataka kumuzulumu robert shamba maana mukifata kwa umakini alieleta habari ya kifo kwa Mara ya kwanza ni BOSCO n'a huku nyuma mama anasema kwamba...n'a yule mtoto wake bosco kwa maana kwamba bosco ni mtoto wa uyo mzee anaesema shamba aliuzwi ambae mama anasema sasa ivi Hana makao nipo DRC🇨🇩
@naomisamwel184 күн бұрын
Robert sijasikia km unamke😅naomba nije uniowe tusaidiae kupambania shamba
@DM.22004 күн бұрын
@@naomisamwel18 Ila nimesikia kasema yupo na watoto wawili upo tyar kuwa mamdo 😂😂
@lucymbena25382 күн бұрын
Bosii na babaake hawakumlipa mganga walimzulumu 😅pesa yaka 😂akaamua kurudisha mwenyeshamba ambae Ni Robert Safi Sana
@marcelinabwakila70493 күн бұрын
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba yake kauza
@user-dh6oc7um6f3 күн бұрын
Kumbe baba mdogo kauza mashamba yote sahiv anamnyima robart kuuza shamba yake kumbe kauza yake kala na mtoto wake bosco manina robart tuko na wewe lazima shamba liuzwe bt mimi sitalinunuwa hata kama unauza buku
@marcelinabwakila70493 күн бұрын
Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba take kauza
@peninashungu66333 күн бұрын
Nenden hospital kaulize kama walipokea mait uwe mchunguzi
@halimatutupa31493 күн бұрын
Robert sijafariki kabisa😅 jomn marehemu wa moto😂😂
@muddywatown4 күн бұрын
Huyu akili itakua washazichezea au kashaziacha huko 😂😂
@OmarAyman-pn6ck3 күн бұрын
😂😂😂😂
@magdalenashayo12563 күн бұрын
Eeeeeee
@waltermachange73004 күн бұрын
Chimbeni kaburi kama kuna mtu, tujue ndo muvi iendelee
@user-bz7kg2lr3f3 күн бұрын
🤣🤣
@techsavvyswahili3 күн бұрын
Nikajua washachimba tupate update
@richardmwabalasa51364 сағат бұрын
Hapa mwanaadam alilazimisha kufanya majukumu ya mwenye mamlaka mungu baba"kutoa na kutwaa"sasa mungu amewajibu ya kuwa majukumu hayo kamwe mwanadamu hatoweza kuyafanya.
@MariamKileo-mu8rv3 күн бұрын
Na hapo baba mdogo amehusika kabisa
@benancejohn11984 күн бұрын
Hata kama jamaa alifariki na akafufuka kweli,anaweza kufa tena kwa stress kutokana na changamoto alizonazo.
@Rose-ue2ho4 күн бұрын
😂😂
@nafuwswedi24654 күн бұрын
Yaani😂😂😂😂,sababu ni Kama wanataka afe kweli
@hyy41144 күн бұрын
😂😂😂asije akajinyonga tu
@OmanOman-ns3iw4 күн бұрын
😂😂daah
@OmanOman-ns3iw4 күн бұрын
@@Rose-ue2honimecheka kama mazur
@danielthomasmsigwa314 күн бұрын
Kila linapotokea hili najitahidi ku-comment kuipuuza kauli ya biblia kunafungua milango ya mapepo; kitabu hiki muhimu sana kwa sasa "mtarudia udongo..." mwakani(2025) duniani kote masheni yatachukua maumbile ya wapendwa wetu waliofariki hata maraisi wetu tuliowapenda wataigizwa na pepo na kutuhutubia tutawashangilia. Ujumbe wao utakuwa kuiheshimu JUMAPILI
@johnteonas31444 күн бұрын
Mama is beautiful
@Yanarichbiz3 күн бұрын
Black cute
@MandoliiMoshi4 күн бұрын
Jaman eleweni arusha kuna vita sna ya mashamba mana wanauza mashamba sana ndomana wanalogana na kimazingira uyu jamaa n ndugu wamemchezea ila uyu jamaa yuko na nguvu ya mungu
@user-et4ny5gj3p3 күн бұрын
Marehem kazeeka kuliko mama yake dah.Hii noma sana
@juliusmlula16584 күн бұрын
Yule waliomwona mwochwari alikuwa Hana kovu na chanzo Cha kivo ni ajali so Robati hakufa alikuwa zake mjini familia walinda mwochwari kuchukua marehemu mwingine na kumzika
@waduduinctv65374 күн бұрын
Hatari
@GiftMwandosya-uf7pf23 сағат бұрын
Eeeeee, MUNGU wangu ninaomba nawangu aonekane leo, kwani ninaamin katika wewe ameeeeeeen.
@user-wv1pu4jo3k2 күн бұрын
Huyo mungu anampenda ashike ibada sana
@user-zh8uf3wy2z3 күн бұрын
Niseme nini mungu wangu......
@DotoLemako-np3lp3 күн бұрын
Mbona Robert ni mzee kuliko mama yake, hakufufuka aisee walizika mwili ambao sio yeye
@michaelismail5572Күн бұрын
Mtangazaji,uko sawa lkn sisi kama waganga wa Tiba Asili,hapo tu tunaona huyo Robert unamhoji lakin bado ni mtu nusu Ushauri maalum; wazazi watafute mganga anayejuwa dawa,robert arudishwe rasmi awekewe na kinga lasivyo hata akaishi hatakuwa na akili timamu maana wachawi wanaogopa akirudi kumbukumbu atasema yote
@pendosailo19894 күн бұрын
Huyu anaonekana ni mtu wa kilaji kile cha nanii...so kutokuwa sawa kwa mtu wa namna hiyo ni sawa. Swala la kufa au kuchukuliwa msukule sio... huyu alikuwa na misele yake huko..hawa wamezika mtu mwingine..hapo serikali ifukue wakazike kiserikali manispaa.
@ShukraniChomolla4 күн бұрын
Swali la kujiuliza wamuulize kipindi msiba unatokea yeye alikua wapi maana na yeye si mwanafamilia? Au huo msiba hakuusikia
@vickytango55914 күн бұрын
@@ShukraniChomolla 😂😂😂😂😂😂
@florianhenry71983 күн бұрын
Maitu ufa na chake mpen AUZE BHANA
@IssaSandali-tk2zp2 күн бұрын
Big up bro Godfrey
@emmanuelmasemba7612Күн бұрын
Wafukue kaburi , tuone kilichozikwa tujifunze kitu Kwa sababu tunaskiaga tu Imani hzo zipogo, mara saa mnazika marehem anakua kafichwa mahali pale kina kua kimvuli tu
@MsAisha-w4oКүн бұрын
Wamezika kivuli mungu wangu duh kweli ... uchawi upo..ila mungu mkubwa..🙆🙆
@BIGCHENDREADLOCKS4 күн бұрын
Mi naona bora ata kabla ya kufukua kabuli awapeleke uko kwa aliko kua anaishi huo mwezi mzima jaman😢😢
@user-zr9sj8sf3w4 күн бұрын
Hiyo eeh,eeeh,eeeh,eeh, sas 😂😂😂😂😂
@doreenemanuel60243 күн бұрын
Dah
@olivernyange23494 күн бұрын
😂😂😂 mbavu zangu Arusha shkamooni wote!!
@upendotarimo29653 күн бұрын
Marahabaaaa
@magdalenashayo12563 күн бұрын
Eeeeeee
@techsavvyswahili3 күн бұрын
Umechukuliaje taarifa za kifo kajibu nimependa 7bu Mungu hafi. Any way naona kuna uwezekano hicho kijiji watu wengi chanel hazisomi
@user-yt5wg3yy8b4 күн бұрын
Huyo mzee anamdhulumu mnyonge shamba mpaka anamfanyia mazingaumbwe ya kifo ndugu yake! Dunia imeisha dhambi dhambi. Jamii iwashughulikie huyo mchawi waache dhuluma Kwa ndugu yake
@kilogreekachananawatuwasio40544 күн бұрын
KUMKISIA MTU ZAMBI RAKINI YULE MZEE ANAYOSEMA ATAKAMA KALUDI SHAMBA AUZI YULE MZEE BABA MDOGO WA MCHAWI NA ALIMUUA KIMAZINGALA KWA TAMAA 😂😂😂
@gfydfdf88694 күн бұрын
Arusha Kuna matukio ,hata kiyama kitatokea kwanza Arusha,ndio Mungu ataruzu ulimwengu mzima ,haya maisha tumuishie Mungu tu,
@JanethManga-c1w3 күн бұрын
Mchongo huo...watu wa huko tunaelewa
@jenipharobert969418 сағат бұрын
Hyu anahitaji maombi sana hakuna vita mbaya kama vita ya ardhi safar hii watamuua mazima kama hataomba sana. Hyu baba mdogo anaonekana kuna kitu anajua kujusu hiki kifo
@user-uf7oh5eu4v4 күн бұрын
Marehemu anataka uza shambaaa😂😂
@Mzunah4 күн бұрын
Mara walimtengenezea kifo cha uongo ili wamdhurumu shamba tu Any way kabla hamjafukua ilo kaburi awapereke aliko kuwa anaishii.
@PendoMatemba3 күн бұрын
Huyu baba mdogo ni mchawi
@user-tk4ej5hx2q4 күн бұрын
Arth inafanya watu watoane roho jmn
@user-wv1pu4jo3k2 күн бұрын
Mungu nimkubwa
@sarahgilbert10843 күн бұрын
Robert anaonekana cha pombe😅
@RamadhanMabwabwa3 күн бұрын
Amefufuka katika wafu😂😂😂
@JosephineMbelwa-jy3qy2 күн бұрын
Mama mzazi wa Robert eeeh eeeh 😂😂 unaniuwa mbavu zanu eeeh😂😂 eeeh eeeh eeeh eeeh😂😂😂
@vivianfortunatus5518Күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ProsperReuben-fg6uh4 күн бұрын
Duuh sipat picha ngwajima angekua na mkutano arusha ingrkuajee angechukua maujiko balaaa
@emmy24492 күн бұрын
Huu bwana anaongea kweli mim pia hii sura sio geni Kama nimemwona maeneo ya ngarenaro kambi ya fisi hao walizika mtu mwingine huyu bwana nimeshawahi kumwona na sio zaidi ya Mara moja
@jimushijoseph24082 күн бұрын
Haya ni mambo ya kishirikina kabisa. Alihamishwa tu kimazingara.Adui zake ndio waliofanya hayo.Waache.
@bensonwissa57774 күн бұрын
Vipi michango yetu irudishwe😅
@mussakimaro55884 күн бұрын
Hlf huyu jamaa kama dishi limeyumba au ni mimi
@esabelfadhili84324 күн бұрын
Hayupo sawa huyu...
@yukundapeter82004 күн бұрын
Nimeona pia mimi,naona haxipo xote.
@johnkiimbila67994 күн бұрын
Hapana Yuko timamu.
@johnkiimbila67994 күн бұрын
Yupo sawa, sema anaonekana ni mywaji sugu wa pombe kali.
@andrystephan58694 күн бұрын
Mtu kajibu maswali sawaa unaona hayupo timamu Broo duh!! Binadamu🙌
@salumualoyce5620Күн бұрын
Mama kijana,mtoto ndo mzee.
@Yanarichbiz3 күн бұрын
Mama ana ngozi nzuri sn
@FloraChuja2 күн бұрын
Hii ndo nchi ya Arusha barani Tz😂 hii ni maajabu😢
@user-uf7oh5eu4v4 күн бұрын
Daaaah hii ni magic 😢daah
@joycekalago5323 күн бұрын
Yaan ni maajabu sana aliezikwa anasema yeye hajawahi kufariki😢😢
@cheiknamouna20582 күн бұрын
Hapo kuna namna aliyetoa taarifa za msiba ni mtt wa bamdogo aliyekagua mwili ni bamdogo anaeuza mashamba ni bamdogo nyie mmegundua nini hapo hebu tujailiane kidogo mimi naona Robart alitekwa na jimama la pombe za kienyeji likamtumia huko mjini wakajua hatarudi bora wamzushie kifo😢
@prezgal88694 күн бұрын
Mwandishi nae hamuogopi marehemu
@user-ii6gs2jg4g4 күн бұрын
Huyu dishi limelegea kidogo inabidi likazwe
@user-xh7xf2ki3r3 күн бұрын
😂😂😂 jaman mama kuitikia huko kunachekesha yaan
@kalebphilip34262 күн бұрын
Huyu jamaa Kama vile ufahamu wake sio mzur atakuwa na shda
@chocolatekalex16314 күн бұрын
Jamani mungu anisamehe inasikitisha kidogo lakini iyo heee ya maman jamani inaniweka hoi heee!!! Heee!!😂😂😂
@adolfmathew96984 күн бұрын
Kiarusha kichuga Iyo
@bintmrisho35263 күн бұрын
Anaongea kama wamasai
@aloycekiwia86134 күн бұрын
Jamaa amezeeka kuliko Mama yake
@estermathias83544 күн бұрын
Inatokea tu hata mimi kuna kaka yangu amesema kuliko mama
@winiemajengo16794 күн бұрын
nami nimeona aiseeee
@suzanambatta11264 күн бұрын
Huyu ni cha pombe anaonekana
@cosmatitus55094 күн бұрын
Jamaa anatoa majibu marahisi sana kwenye maswali magumu
@winiemajengo16794 күн бұрын
umeonaeee 😂😂😂😂😂😂😂
@omytifa64033 күн бұрын
😂😂😂
@hosea79193 күн бұрын
Mtoto anazeeka kuliko mama
@aminmohammed42493 күн бұрын
Gongo aisee siyo maji ya kunywa😂
@Pretty227504 күн бұрын
😂😂😂😂Nauza nauza eeh eeh this life no balance
@kanankirannko61744 күн бұрын
Lilitingishika maana mmezika mtu ambae sio Robert fukueni kaburi muone kilichopo
@doreenlema7612Күн бұрын
hakuzikwa yeye alifananishwa na ndo sababu Jeneza lilitingishika walizika mtu sio ndugu yao
@user-vo3wk9yr7k4 күн бұрын
Mbona mama anaonekana kijana kuliko mtoto wake?? Au mnaonaje jamani
@dfinalpatrick85554 күн бұрын
Amejitunza
@user-ex9sd8wm4l3 күн бұрын
Allah aqbaru
@lusajomwakajoka49554 күн бұрын
Nauza nauza kabisaaaa😅😅😅
@HappyAsajile2 күн бұрын
Daaa sikutegemea kam ungempata uyu mwe asant sana ayo tv
@worldhappiness11814 күн бұрын
How sure huyo ni yeye pia, 😢. Cause by listenin him seem like he is not normal.
@omaryjudasymwanga7172Күн бұрын
Mamae huyo mzee kweli bora walikwaruzana na mganga akarudisha mnyama hewani yeni yeye zake auze ale kapesa alafu za robart ajenge watakuja kuishi wote au?, ampe jamaa uhuru sasa kama maishe yenyewe ni hayo robart anajengaje kama sio kumcheka mtoto wa ndugu yake kuna mdada anataka kuvaa mabomu nemda na mimba kabisa ili deal liwe sawa dadeki mdada naomi wahi fursa ila jipange kati yako na mwimba kimoja kinakufa maana baba mkwe sio mchezo