Eee Mungu, Mponye na kumlinda mkuu wa mkoa Paul Makonda na Viongozi wengine katika nchi yetu wenye nia njema na huruma kwa wanainchi yetu nzuri Tz.
@section8ight174Ай бұрын
*wanaNchi
@section8ight174Ай бұрын
Inchi ndio kitu gani fala wewe
@AlphonsinaMkongomaАй бұрын
Hekima hi yo muheshimiwa sio wewe ime toka kwa Mungu .Mungu aliyekuita akuogezee hekima na maalifa kutoka kwake ili uzindi kuwatetea wa Tanzania wanyoge
@africatoeuropechurchtv885621 күн бұрын
Amina
@user-ku1wf2pw2wАй бұрын
Wanyoshe hao wakandamizaji wanyonge makonda mungu yu pamoja nawe kakangu.
@user-yf2ro1wb4yАй бұрын
Hata waseme nn juu yako, Wewe ni chaguo la Mungu tu, na daima nyota yako itazidi kung'ara in the name of our almighty God
@khadjamhozyaАй бұрын
MUNGU amurinde maana!!!!!!!!🙏🙏🙏🙏🙏
@RoseMollel-wo3lsАй бұрын
Makonda kiongoz mzur sana 🥰
@Idd-i6l19 күн бұрын
Aiseeee! Mungu amwongoze huyu jamaa
@aishaomaryyousefomaryloiru1990Ай бұрын
Makondaeeeee,mungu akupe ulinzi wa kutosha,🤲
@mungholomakalanga8958Ай бұрын
Damu ya Kristo ikufunike uendelee kutimiza majukumu yako❤
@user-bx1fp9tk2pАй бұрын
Chaguo letu watanzania Makonda wetu♥️♥️
@AlphonsinaMkongomaАй бұрын
Hekima hii uliyo nayo mkuu imetoka kwa Mungu. Mungu akuzidishie hekima na maalifa zaidi na malaika Mikaeli malaika wa ulinzi akulinde popote unapo kwenda na Damu ya Yesu ikufunike
@magrethelipokea7694Ай бұрын
Eee mungu mlinde makonda mama smia mama yetu mpendwa usimwondie makonda Arusha mwache asafishe jiji
@CleopaMwakapisoАй бұрын
pongezi kwa makonda kwa kazi njema anayoifanya
@user-ug5cm7uq4mАй бұрын
Barikiwa mkuuwangu mungu akulinde miaka mingi sijaso tukupee ilirungu la uraisi uhinyooshee inji kisawaswa seem iliyo wachwa na kamanda mkuu aliye kuibua tukujue sisi watanzani wanaho penda usalenda na haki ya kila mwanainji
@revocatusphilmon178025 күн бұрын
Safiiiii Sana mh makonda nakubali Sana piga kazi brother,mungu akupganie sana
@DorikasiMwakabelaАй бұрын
Kwamfumo huu nyota imeangaza jeshi mlindeni huyu kijana kazi Ni nzuli
@user-tg7vq3ty8pАй бұрын
Diwani ni mpotofu wa maadili kumuita mtu anayeweza kuwa babu yake "mhuni".
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Mimi ninaomba Mwenyezi Mungu uyu mh Makonda alindwe Kazi anazozifanya ni kubwa saana...
@veronicamokiwa4315Ай бұрын
Zaidi sana tuombe Mungu ampe ulinzi wa Malaika
@SelemaniBiafra29 күн бұрын
Piga kazi kaka mungu atakulinda siku zote tulikua na haja yamtu kama wewe unaejitoa kwa wanyonge
@suzycollins233122 күн бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa kutetea wanyonge
@kimchi-91Ай бұрын
Huyu mtendaji anaonekana janja Janja ni nyingi.
@chujimustafa720929 күн бұрын
Samia ubarikiwe sana kutuchagulia watu wenye utambuzi👍👍👍
@IssaMbaru-qw6ugАй бұрын
Mungu angitukumbuka na sisi burundi atupe mtu kama uyuu khaki ilikua saw
@user-ug5cm7uq4mАй бұрын
Emwenyexi mungu mlinde. Mweshimiwa wetu makonda kila haendako awe mikononi mwako
@user-wq2xy5mw1zАй бұрын
Mh. Huyu jamaa siyo mkweli pia anapoteza muda ,pia siyo mchapa kazi na anakula hela ya wananchi pia mfukuze kazi na pia mfulie kesi kuwa zulumu wanachi pamoja kutumia aneno ya machafu pamoja na ubavu
@raphaelmchilo-kx4ttАй бұрын
Makonda safisana
@JerryMosiАй бұрын
Eliya akamwambia Elisha omba kwangu lolote ulitakalo nikutendee, Elisha akasema naomba sehemu maradufu ya roho yako,2falme 2:9 (RIP John aka ELIYA) PAUL MAKONDA ELISHA
@janethmmari3514Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde uendelee kusaidia wanao onewa.
@Fredykapande-vh6cvАй бұрын
Wanainji wote wa mkoa wa arusha.mungu amewaona.kuletewa mkuu wa mkoa.mwenye hofu ya mungu.anaependa kutetea haki zawanainji.wanaonyanyaswa naviongozi wa juu.kwkutumia umadalaka walionao.piga spana hao mkuu.wanainjiwako.wamechoka.nausiogope.malaika wamekuzunguka kwakukulinda.🙏
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Baada ya Mama chukua Nchi utunyooshee watu malipo utayakuta kw Mungu..
@user-ug5cm7uq4mАй бұрын
Duh jembe la kasi uyoooo. 2030 lasima tukupeee iyo niyako jiyandae baba mkuuu
@Debora-zp4wxАй бұрын
Mungu akulinde sana kaka yangu makonda
@AbdilahiMririАй бұрын
Kikubwa zaidi kingine cha kujua ni kwamba watu wanataharuki juu ya upya wa uendeshaji wa shughuli za Serikali., hivyo upole kidogo unahitajika pamoja na hongera kubwa sana kwa mhe Mkuu wa.
@naseebkassian924028 күн бұрын
Mkuu was mkow mungu akulindeeeeeee
@neemamasimba2981Ай бұрын
Makonda, si uje na morogoro jamani . Maana kuanzia huku chini kwenye vijiji , kata na vitongoji kumeharibika. Mpaka tunaichukia serikali maana sisi tunaamini wanawekwa na mamasasa wanapotukandamiza tunamchukia sana mama, tunaona kafika na hatujali tena, tunateseka kweli
@sugashTvАй бұрын
Huyu Jamaa ni kiongozi kabisa. Dah! Yani huyu ndiye atakuja kuwa raisi wa Tanzania.
@AbrahamMikael-wk4chАй бұрын
Makonda mwenyewe huyu chaguo la mungu hata wasemeje hata nchi atashika
@sarahdeograthias9097Ай бұрын
Viva Makonda vivaaaa
@dastansimpanzye401923 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu Paul Makonda
@BJMKANGALA1Ай бұрын
Nimekubali pasipo shaka kuwa Makonda ni mtambo wa kukoboa na kusaga. Piga "spana" Mkuu na Mungu akulinde. Arusha mmelamba dume!
@KitindiMatawa-uk4qk29 күн бұрын
Makonda pigakazi mungu atakulida
@AronJoseph-h8bАй бұрын
Akonda n mtu na nusu 🙏🙏🙏🙏🙏
@user-yf2ro1wb4yАй бұрын
Makonda chumaaaa
@mbondelotv8380Ай бұрын
Kwa kiiingereza wamepiga 30 milioni
@alexletayolaizer8515Ай бұрын
Mungu akutunze Makonda, wanyooshe hao.
@user-zd5hk4ms5oАй бұрын
MUNGU akufunike makonda ppt utakapoenda malaika wakutangulie akuepushe husda za walimwengu
@AbdilahiMririАй бұрын
Yani hapo ni jamaa wa Kijiji waliona uchungu Mzee kupata pesa nyingi wakamtageti kutoa peasa hizo Mhe RC Makonda.
@SebaLucas-j4l12 күн бұрын
Mungu akulinde makonda wewe nikiogozi unaefaa kuwa tumikia wanaichi
@DionizLubango-of2wkАй бұрын
Makonda oyeeeee❤❤
@NicomedMartineАй бұрын
Jamn Mungu Amlinde Viongozi Kama Hawa Wakiongozwa Na Mama Yetu Dr. Samia Suluhu Hasa Tais Wetu Jamhuri ya Tanzania Mungu Awalinde Maana Wafisad Na Wala Rusha Hawataki Maendelea Ya Taifa Mungu Awalinde Hasa Pol Makonda Kwa Kutetea Wanyonge
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Asiwe Mungu tu Bali na Serikali ihuske kumlinda.
@StanleyMollaАй бұрын
Nyie arusha mkimchoka mtuambie tuwabadilishie na huyu
@DM_15Ай бұрын
Wali mdulumu huyu mzee kwa sababu yatamaa ya pesa alizo lipwa waka ona wamwambie achangie maendeleo😂😂😂 mzee akakubali
@chido_wa_south2171Ай бұрын
Wahuni Sio Watu🤣🤣🤣🤣
@songezaАй бұрын
Yaani nimekunyanyulia mikono juu kwa majibu ya papo kwa papo kipawa hicho Mungu akulinde
@user-ri1qn3xs4qАй бұрын
Makonda humalizi bando langu bule ahsante kwa utetezi wa wanyonge
@israelmwakatika834221 күн бұрын
Hata Mimi bundle langu liende tu kwa huyu mwamba 👋👋👋
@DorisMroso-tx9mbАй бұрын
Uwe Rais wetu 2 ndio tunachomwomba Mungu
@songezaАй бұрын
Na hujui hizo pesa kazipataje kws shida na si ajabu hata kipofu alitoa mchango ona hilo unaekula vya watu bila jasho lake afukuzwe hivyo
@AmaniLukumay-wk6zm21 күн бұрын
Tangia Makonda awe Mkuu wa mkoa nimefurahia sana juu tunanyanyaswa sana na hawa viongozi wetu kwani wanadhamini fedha kuliko wanainchi ukipatwa na tatizo kama huna pesa hautapata msaada ❤
@NeemaMrengera21 күн бұрын
Naomba mungu akulinde na huamishiwe Kagera watu tupone maanamh mungu tusaidie kagera
@user-tm3ui6iv7hАй бұрын
Arusha kuna kero nyingi jipange mh,kuna watu tumevunjiwa. Nyumba na manispaa kwa Hadi ya kujengwa gorofa ilibadaye tupewe. Hadi Leo hakuna kitu wazee wetu wamekufa kwa mapresha
@japhetmasunga8889Ай бұрын
mdgo ake magu kazi ipo chuga mtanyoooka
@AlanusGerodi-mo3dmАй бұрын
Makonda wanyooshe huo uozo upo Kila sehemu du
@jumamustapha8254Ай бұрын
Umri wake miaka 59 Sasa, 2020 alikuwa na 55, kaamua kukusanya kinguvu ili ajiandae na kustaafu. Fisadi huyo.
@raphaelkiungulia4366Ай бұрын
Makonda uko vizuri,tunakutamani dodoma
@neemamasimba2981Ай бұрын
Hata sisi Morogoro tunammezea mate sana, Samia tunakuomba utuletee na sisi mtu kama Makonda Huku Morogoro
Watendaji wa aina hii Serikali haiwez kupendwa itakuwa niyakubezwa kila mara
@hassankilengah4786Ай бұрын
Mh Raisi mlete huyu jamaa mkoa wa lindi.
@evajosephmtandika5015Ай бұрын
Jamani wamemlia fidia Yake
@JohnMungwana-te4rmАй бұрын
Mheshimiwa makonda ungekuja nahuku kibaigwa maana Hali sishwari
@africatoeuropechurchtv8856Ай бұрын
Serkali imlinde kabisa na tusimuachie Yesu kumlinda.
@deusdedithjoseph7588Ай бұрын
Makonda piga kazi mkuu uko vizuri muno.
@moseslaizar843Ай бұрын
hapa ni spana tu hamna ujacha😂
@nathanaeledward5613Ай бұрын
Pga supana wanyooke mkuu
@songezaАй бұрын
RC haki Mungu walai upo vzuri we ni rais inafaa kutembelea Mikoa yote. Tanzania
@neemamasimba2981Ай бұрын
Vivaaaaaaaaaaaaa, Makonda Vivaaaaaaaaa.
@aishaomaryyousefomaryloiru1990Ай бұрын
Tatizo la hili kabila letu,akisoma mpaka lasaba akipata kacheo kidogo,anawanyanyasa wengine ambae hawajafanikiwa kupata hicho cheo,mtendaji supana inakuhusu maana unajifanya unajua kila kitu,hafu mbishi,,umekutana na moto,huyo sio laigwanani wa kumpiga kiswahili,makonda tobiko,
@Fredykapande-vh6cvАй бұрын
Mheshimiwa.makonda.wewe umeitwa namungu katika mkoa wa arusha.nambingu utaiona.umekua mtetezi wa wanyonge.hasa kwa maskini.namungu akakupe miaka mingi.wewe na familya Yako.
@user-gp5wx1ev9fАй бұрын
Huyu mtendaji ni baadhi ya wale wanaoharibia Chama Cha CCM na wananchi kukichukia na makosa niya watu kama hawa wenye mamlaka ya kutumikia wananchi na wanafanya vyao
@user-tu2ne7so3bАй бұрын
Nyota kali sana
@CleopaMwakapisoАй бұрын
MUNGU mlinde makonda mimi cleopa lusajo mwakapiso nasoma utawala chuo kikuu mzumbe mkoani morogoro
@zidatv1122Ай бұрын
Majizi matupu
@MirajiIssa-sl2liАй бұрын
Safii mwamba
@OdongoOwino-hm3opАй бұрын
Waoo kaka endelea kuwapiga sipana hao ni matapeli tu
@hajrasaid192414 күн бұрын
Muheshimiwa makondo huko arusha naona km dodoma huku imekuwa to much mambo ya ardhi jiji kuna wizi na ufisadi sana utoa pesa kutaka kibali cha ujenzi hela wanakula miezi inakwenda kibali hakuna jamani sisi ni watanzani halisi mnatupeleka wapi nchi yetu hii tuhurumieni
@user-ku1wf2pw2wАй бұрын
Tunakuombea makonda kwa mungu chapa kazi
@user-ex9sd8wm4lАй бұрын
Safi kiongozi makonda
@martintemu9123Ай бұрын
Kiongozi mahiri makonda.ubarikiwe
@MwanaishaShattryАй бұрын
Kweli yu janja janja
@NabwikeKanyamaleАй бұрын
Ni aibu sana kwa nchi mtu ambae alitakiwa kuwa nacheo kikubwa kama sio rais basi waziri mkuu eti saizi anakuwa mkuu wa mkoa makonda hastaili kuwa mkuu wa mkoa alistaili awe rais au waziri mkuu
@EstermollelEster9 күн бұрын
Mungu akulinde baba
@daudimlamka1239Ай бұрын
Hekima sanaaa
@khadija5761Ай бұрын
Viaaa makonda viaaa
@AbdulFatah-f7g2 күн бұрын
Makonda mungu akutunze jmn
@NaumMwamengo15 күн бұрын
Wew nijembe baba mungu akulinde
@user-mm1ml1tu5b20 күн бұрын
Mungia akupe maisha marefu haina baya
@neemaelia3436Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@WilbadiАй бұрын
Wadudu mmepata kiongozi mahiri😅😅
@stevenvictor437Ай бұрын
Nyoosha wahuni hao.
@user-rs6uf9oo5sАй бұрын
Makonda baba lao
@user-cn2fd7wp1nАй бұрын
Magufuli alisema hata kama umefika darasa la unahaki yakuongoza haya ndio matokeo yake
@essamartico3331Ай бұрын
Raisi mpya huyu 🎉 Au apewe simba kama mwenyekiti😅
@comedy_movies_Tz-05Ай бұрын
Ume sema 🤣🤣🤣🤣
@israelmwakatika834221 күн бұрын
Makonda kwa utendaji kazi wako huu naomba nikupongeze