''SIKILIZA NIKUAMBIE MAKONDA - ILE PALE MUNENE NDIO MKOROFI'' - MZEE WA KIMASAI ASHTAKI KWA MAKONDA

  Рет қаралды 210,144

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

''SIKILIZA NIKUAMBIE MAKONDA - ILE PALE MUNENE NDIO MKOROFI'' - MZEE WA KIMASAI ASHTAKI KWA MAKONDA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 278
@wilfredmoshi6507
@wilfredmoshi6507 2 ай бұрын
Wangapi wanasema anafaa kuwa waziri mkuu 2025 nipe like yako.
@joycemfuru4752
@joycemfuru4752 2 ай бұрын
mnapenda sana kisifia ni kazi yake na uwaziri hafai
@upendotarimo2965
@upendotarimo2965 2 ай бұрын
​@@joycemfuru4752Anafaa kuwa hata raisi maana ni kiboko ya wazulumaji, waonevu na wenye aleji na haki, ukwel kila anaemchukia makonda ni wasiopenda haki
@MtatiroMtatiro
@MtatiroMtatiro Ай бұрын
Awe raisitu pia aongoze miaka 20
@pillykinabo8722
@pillykinabo8722 2 ай бұрын
Kheri wapatanishi maana wataurithi ufalme wa Mungu. Hongera Makonda Mungu atakulipa
@user-ce9pr3zs6b
@user-ce9pr3zs6b 2 ай бұрын
Her wapatanishi wataitwa wana wa Mungu, mtumishi asante❤❤.
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 2 ай бұрын
Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu
@GodfreyNjau-bd6ui
@GodfreyNjau-bd6ui 2 ай бұрын
Makonda watuu walimzarau na kubeza ilaaa uyuu janaaa yupoooo vizuri mnoooo
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 2 ай бұрын
Makonda mungu akupe afya njema na umri mrefu;ili akimaliza mama samia awamu zake wewe uwe raisi wawanyonge magu 2 ❤
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 2 ай бұрын
Amen 🙏
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌 mm sijamuelewa masai, Makonda kamwelewa vzr na kutatua hongeraa baba
@salumkarim69
@salumkarim69 2 ай бұрын
😂😂😂 shughuli wallahi
@nurdinismail8961
@nurdinismail8961 2 ай бұрын
😅😅😅
@cosmaskapwepwe7203
@cosmaskapwepwe7203 2 ай бұрын
Mimi mwenyew sikumuelewa hakiamungu.
@bakarizinga8556
@bakarizinga8556 2 ай бұрын
😂😂😂😂 wallah mm mwenyewe sijamuelewa pia😂😂
@macknonkibona2401
@macknonkibona2401 Ай бұрын
kwenye hii kesi ndo nimeamini Makonda anaupeo mkubwa mana ameelewa kwa 100% kweli makonda kiboko
@user-uw1fs5mj9l
@user-uw1fs5mj9l 2 ай бұрын
Mimi ni mzaliwa wa Arusha,Ila kweli kabla ya makonda sijawahi kumjua mkuu wa mkoa wa Arusha, God bless Makonda
@nailaomar4810
@nailaomar4810 2 ай бұрын
Mashaallah makonda amepata malezi bora hongera mama makonda mungu akuhifadhi jembe❤
@user-km9xp9hr1l
@user-km9xp9hr1l 2 ай бұрын
Ni baraka tu za Mungu zimemshukia makonda asilimia kubwa amelelewa na watu baki ndo maana ana huruma sana anazijua shida
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Ай бұрын
Yote tunayoyaona ni matokeo ya malezi Yake alipokuwa Mtoto.
@abuilmailma3534
@abuilmailma3534 2 ай бұрын
Watu wa wili wenye tafauti zao wakitafuta suruhisho nendeni kwa Makonda hakika atamaliza tafauti zenu kwa dakika 5 na musipo sikilizana basi nyie adi mwende kaburini hamtaelewana
@ProductionWinderBulyanhulu
@ProductionWinderBulyanhulu 2 ай бұрын
Huyu Makonda ana maono makubwa sana. Mungu aendelee kumlinda.
@HelenaMatiasi
@HelenaMatiasi 2 ай бұрын
Mungu ni mwema sana, kafa makufuri kaibuka makonda, ila ni mtazamo wangu. Nisamehe lakini kwa wale ambao si waona mbali.
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 2 ай бұрын
Hongera sana Mhe Rais kwkumteuwa huyu Rc 👏
@komanyomaduhu6123
@komanyomaduhu6123 2 ай бұрын
Bora nmsikilize makonda kuliko bunge la Tz
@MahaSaeed-hf3gs
@MahaSaeed-hf3gs 2 ай бұрын
Nimekuunga mkono hiyooooo
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 Ай бұрын
😅😅😅🙏🙏🙏👍
@allyrashid1085
@allyrashid1085 2 ай бұрын
Mashaallah makonda wewe kiongozi kila unapo wekwa unatusua baada ya mama chukuwa fom tuta kupa urais broo
@JosephFredrick-ev1tw
@JosephFredrick-ev1tw 2 ай бұрын
You are more than a leader God bless you mheshimiwa Makonda❤
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 2 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akuongoze
@israeluronu9958
@israeluronu9958 2 ай бұрын
Daaah kazi ngumu Kweli, kama hunaroho wa Mungu huezi.
@mataypanga5262
@mataypanga5262 2 ай бұрын
Inatakiwa roho ya shetani
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 2 ай бұрын
Makonda ufunikwe na Damu ya Yesu
@MaulidKomboza-wh2ki
@MaulidKomboza-wh2ki 2 ай бұрын
Hivi mama samia haoni watendaji wengine wazuri safi Sana Kama mh Makonda !!!!!!!!!!!!?.
@user-qq6zu3no4z
@user-qq6zu3no4z 2 ай бұрын
This is explanation of the Name kiongozi huyu Bwana nizaidi ya neno kiongozi
@fikirimwakibibi9383
@fikirimwakibibi9383 2 ай бұрын
Mungu ambariki mwanamke alikulea ktk njia ya haki,ili uje utetee haki za wanyonge Mungu akulinde na maadui wotee wasiopenda haki❤❤
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 Ай бұрын
Napenda unavyotatua migogoro. Roho wa Kristu azidi kukupa maarifa na hekima kwa ajili ya utukufu wake
@MarbleBaswige
@MarbleBaswige 2 ай бұрын
May the almighty God bless you honorable RC Makonda for being good leader
@francomwacha2262
@francomwacha2262 2 ай бұрын
Aisee anatumia hekima na c madaraka pekee.. maua chukua kaka nakupa 💐
@MaulidKomboza-wh2ki
@MaulidKomboza-wh2ki 2 ай бұрын
Hongera Sana Makonda Mungu akubariki SANA.
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 2 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubariki Mh mkuu wa mkoa.Utavuka hapo kwenda viwango vingine🎉🎉🎉🎉🎉❤
@JumaBakari-eb3ft
@JumaBakari-eb3ft 2 ай бұрын
makonda bonge la kiongoz hemu wengine tumuige huyu
@godfreynaisikyelaizer1760
@godfreynaisikyelaizer1760 2 ай бұрын
Mh Rc mungu akulinde na kukutunza daima wewe na familia yako
@LittaMushi
@LittaMushi 2 ай бұрын
Nakupenda Kaka...MUNGU akuweke miaka mingi Baba❤❤❤❤Mtetezi wa wanyonge.
@georgedamas7097
@georgedamas7097 2 ай бұрын
RC Paul Makonda omba Sana hekima... Mungu akupe hekima zaidi ya mfalme Suleiman.
@nancygitonga3282
@nancygitonga3282 2 ай бұрын
Nakuheshimu sana Mhesh Makonda God bless you for the good work
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 2 ай бұрын
Muheshimiwa makonda naomba mwenyez mungu aendelee kukulinda kwa kazi kubw unayo ifanya.
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 2 ай бұрын
Ile munene . Wamasaai ukinenepaa umekwishaaa 😂😂😂
@LetciaAlto
@LetciaAlto Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-mr3qg9iq5k
@user-mr3qg9iq5k 2 ай бұрын
😢 Mungu akulinde Mkuu unasaidia wanyinge unatatua matatizo kama Mfalme Suleman
@jayblack4313
@jayblack4313 2 ай бұрын
May Allah bless you kaka
@user-yl4ud7gr8s
@user-yl4ud7gr8s 2 ай бұрын
Nakuombea maisha marefu kiongozi una hekima ya sulemani Mungu akutunze
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises Ай бұрын
mh makonda, mimi no laiya wa 🇲🇿 lakini nafuatilia sana mkutano yako,hakika unastair kuwa presidente ❤makonda
@naomelizabeth4325
@naomelizabeth4325 2 ай бұрын
Makonda u are a sweet vibe... Following u closely from Nairobi Kenya .. King Solomon of our day
@hurumamlowe6320
@hurumamlowe6320 2 ай бұрын
Makonda you are the best
@neemamollel6057
@neemamollel6057 2 ай бұрын
Mungu tulindie uyu mwamba wetu. Mlinde bure Mungu wangu❤
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 2 ай бұрын
Baraza la kata lilifanya hata mama yangu kudhulumiwa, na mama yang alifariki. Lakini tumemwachia Mungu. Hakuna haki ya mjane itapotea.
@mrhekimasuleiman3884
@mrhekimasuleiman3884 2 ай бұрын
haki ndio kitu Cha msingi, na sio magari majumba na pesa! hivo ni fahari ya macho tu. Mkuu wa mkoa Yuko sawa sana sana!! Mimi napenda haki na nimemuona hana ujanjaujanja yuko straight forward.
@jumaabubakar7368
@jumaabubakar7368 2 ай бұрын
Mimi namuomba mama samia azidi kumsapoti makonda kwani kijana nimchapa kazi kwerii
@annamushi1057
@annamushi1057 2 ай бұрын
Mama ulimlea vema makonda popote ulipo ongera mama
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 ай бұрын
Makonda mungu akupe afya njema na maisha marefu inshaallah
@anthonytido
@anthonytido 2 ай бұрын
Mungu akulinde
@attupeleamon3133
@attupeleamon3133 2 ай бұрын
Nakuelewa sana Makonda .. Mungu azidi kukulinda
@agathasungura5047
@agathasungura5047 2 ай бұрын
My komando love you maamuzi ya busara hongera sana
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw Ай бұрын
Makonda ubarikiwe sana. Heri wenye kupennda amani maana wataitwa wana wa Mungu. Umri wako ni mdogo lakini unawazidivwaliokuzidi. Uishi hivyohivyo usibadilike mwenye kuleta amani
@asheryngaiti5549
@asheryngaiti5549 2 ай бұрын
Makonda tunaomba uwaambie wa mitandao watupunguzie gharama za bando maana hatuwezi kukaa bila kupitia you tube kuona unachokifanya Bro nakupenda napenda maamuzi unayoyafanya naomba niwe mdogo wako wa hiari
@LetciaAlto
@LetciaAlto Ай бұрын
😂😂😂❤❤❤
@godfreymokoki1027
@godfreymokoki1027 2 ай бұрын
Makonda, HONGERA. Mgogoro wa familia kumbe chanzo ni MASHEMEJI NA MAWIFI ambao hawahusiki ila wanateka dada na kaka kwa kuchochea/kuanzisha mgogoro na kukwepa suluhu kwa mbinu ya KUMTEKA NYARA MAMA/BIBI na mali zake zone kwa kuishi nae.
@gaudencemhagama7216
@gaudencemhagama7216 2 ай бұрын
Makonda ni 🔥
@fransiscajohn4373
@fransiscajohn4373 2 ай бұрын
Mh: makonda mungu akulinde kwa kazi nzuri kweli mungu anamakusudi kukuleta Arusha
@SariaNkya
@SariaNkya 2 ай бұрын
You're wise in God's important roles.
@rahmarama5669
@rahmarama5669 2 ай бұрын
Maneno ya Ki Mungu yaan Makonda Uishi mnoooo❤
@christopherdenistesha3480
@christopherdenistesha3480 2 ай бұрын
Mhe Makonda Mungu akubariki sana. Unafanya kazi ngumu lakini yenye Baraka Sana.
@Winnfrida-sx3in
@Winnfrida-sx3in Ай бұрын
Mashaallah makonda mkombozi wa wanyonge
@babalao910
@babalao910 2 ай бұрын
Hivi wakuu wengine wa mkoa huwa mnafanyaga nn? Mnakula mshahara wa mama bure tu, sio vizuri mtahukumiwa one day
@SuperCamle
@SuperCamle 2 ай бұрын
Kitu ninachpkifurahia sana kwa Makonda ni Busara katika kuyakabili mambo. Ninakusikiliza Makonda kila siku kwenye gari, umekuwa ndio nyimbo zangu za Enjili. Mungu akubariki sana Rais wetu Mtarajiwa!
@CecyGeorge-vx9uc
@CecyGeorge-vx9uc 2 ай бұрын
Makonda kakangu Mungu akulinde damu ya Yesu ikuzingire kila sehemu
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 ай бұрын
😂😂😂😂 Makonda bwana eti Ileee ilee ile iko wapi ileee😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 2 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@RizikiRiziki-bp6dx
@RizikiRiziki-bp6dx 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂MUNGU AMLINDE MAKONDA WETU
@oscarcharles9624
@oscarcharles9624 2 ай бұрын
ile ile iko wap😂😂😂😂😂
@jokhajj
@jokhajj 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@uwimanadady6563
@uwimanadady6563 Ай бұрын
Ubarikiwe Makonda
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 2 ай бұрын
Muheshimiwa mungu akubaliki kwa busala ulikua nayo
@robertjoseph8830
@robertjoseph8830 2 ай бұрын
Big up makonda
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 ай бұрын
Wanamuonea bibi yetu😢😢
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 2 ай бұрын
Baraza la kata ndio baya duniani
@marthadaffi6171
@marthadaffi6171 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@gilberthanjovu6340
@gilberthanjovu6340 2 ай бұрын
Mnooo na wazee wake wa barazaa
@AugustinoHaule-ff2lp
@AugustinoHaule-ff2lp 2 ай бұрын
Good man
@BenedictMadaha
@BenedictMadaha 2 ай бұрын
Hongera San bro mungu aendelee kukuongoz kweny msimamo huo huo
@mollelemanuel4659
@mollelemanuel4659 2 ай бұрын
Mungu Muumba naomba kwa upendo wako umtunze kiongozi wetu Makondo na Viongozi wote watenda Haki
@frankbeatus9194
@frankbeatus9194 2 ай бұрын
Duuuh mh makonda ni geneous sana yaani hii masai ameongea hakuna kitu mimi ameelewa lakini mheshimiwa ameelewa na kero imetatuliwa
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 ай бұрын
Yaani we ndo mimi
@DorahMkonyi
@DorahMkonyi 2 ай бұрын
Mungu aendelee kukusimamiaa daima uongoze taifa vema
@samsonkingdom-xc8cg
@samsonkingdom-xc8cg 2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@priverabrahams9323
@priverabrahams9323 2 ай бұрын
Paul
@josephsisa8139
@josephsisa8139 2 ай бұрын
Hongera sana muheshi wa
@rosemaryhamilton5700
@rosemaryhamilton5700 2 ай бұрын
Yaani hadi naogopa watu wema kama hawa Yesu tutunzie vizazi vipone
@RehemaJonas-yj7ed
@RehemaJonas-yj7ed 2 ай бұрын
Dada ongera kwakujieleza nilijua utatuangusha😂😂 kumbe upo ghado ado
@janethjonas1700
@janethjonas1700 2 ай бұрын
Sisi wamasai tuko short and clear
@user-ce9pr3zs6b
@user-ce9pr3zs6b 2 ай бұрын
Nakukubali mwamba. ❤❤❤
@Code_22
@Code_22 2 ай бұрын
Why between my camera ur passing....!!!!
@ReginaSandy-kw7tr
@ReginaSandy-kw7tr 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mh makonda
@gilberthanjovu6340
@gilberthanjovu6340 2 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde kila iitwapo leo
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 2 ай бұрын
Ni kweli
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 2 ай бұрын
Makonda Mungu akupe maisha marefu
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 ай бұрын
Hapa,inatakiwa hekima ya selumani
@oswaldtemba2770
@oswaldtemba2770 2 ай бұрын
Hivi watangulizi wako huwa hawaoni hizi shida za wananchi
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 2 ай бұрын
Do they even care??Kiongozi inabidi awe mbunifu
@elisantejosen
@elisantejosen 2 ай бұрын
Mimi muheshimiwa Makonda
@obedilizer3412
@obedilizer3412 2 ай бұрын
Mungu akupatie hekima zaidi dah!
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@donathasimon9292
@donathasimon9292 Ай бұрын
Mheshimia mimi kwako kura yangu ni NDIO 💃
@MossesMollel-yv7uz
@MossesMollel-yv7uz 2 ай бұрын
Sawa mama mueleze
@SariaNkya
@SariaNkya 2 ай бұрын
God is a provider.
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 2 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akutunze Mheshimiwa Makonda
@SamweliHozza
@SamweliHozza 2 ай бұрын
Huyu jamaaa Ana spirit ya maamuzi bora na sahihi
@lusane_village_maasai_home
@lusane_village_maasai_home 2 ай бұрын
😊😊
@LetciaAlto
@LetciaAlto Ай бұрын
❤❤❤❤
@kindolevitalis1754
@kindolevitalis1754 2 ай бұрын
Hee! Kumbe waliokufa nafsi zao Huna zinarudi na kuwaingia Walton hai, na kufanya mambò yale yaliyokuwa yanafanywa na Marehemu , kana kwamba Marehemu amefufuka, naona sura ya hayati aliyependa haki ya wanyonge isidhurumiwe, ubarikiwe sana mheshimiwa Paul makonda, unatuduwaza watanzania, kwa yale unayowafanyia watanzania wanyonge , wewe unafraid kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya hivyo ulivyo sasa, wewe ni mtumishi wa mungu wa kweli,
@neemasalema1546
@neemasalema1546 2 ай бұрын
Heri wapatanishi kwa kweli
@user-pb4rn2tj4q
@user-pb4rn2tj4q 2 ай бұрын
Busala sana
@janesterbatikinasabuninzur3628
@janesterbatikinasabuninzur3628 2 ай бұрын
Masai
@honomaria7279
@honomaria7279 2 ай бұрын
Watu wa Mungu huongea ya Mungu
@user-dd8lp3jn7v
@user-dd8lp3jn7v 2 ай бұрын
Dah tuko dini tofauti lakini bro makonda mungu akulinde
@rabaniAmri
@rabaniAmri 2 ай бұрын
Makonda ❤❤❤
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 40 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 40 МЛН