Katika maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya 2024
Пікірлер: 68
@theopisterjovent348320 күн бұрын
Bwana wa Majeshi Mungu Mkuu uishiye Milele tunakuomba uwashe taa yako isiyozimika ndani ya mioyo ya watoto wetu wakujue wewe kuwa unatosha🙏🙏🙏
@shamiramsoke136520 күн бұрын
BWANA YESU ULIE KETI MBNGUNI KONE KITI CHA ENZI NAKUOMBA UWASAIDIE WATOTO WETU
@ErickLusabara17 күн бұрын
Hakika hii ni zaidi ya sanaa. Nawapongeza saaana kwa mlichokifanya, mmefikisha ujumbe kwa njia rahisi na yenye kuvuta hisia. Mungu aliponye taifa letu dhidi ya janga hili.
@JuniorVsllence2 күн бұрын
Party two hii,hongera kaka mrsho mpoto,hii ni zaid ya sanaa
@UzalendoNaUtu4 күн бұрын
Aisee huu wimboooo umeniumiza
@estamarodaofficialtz523316 күн бұрын
Asante mungu mkwakulitetea taifa la Tz mungu ibariki tanzania bariki viongozi waTz
@user-ye7hg5pn7x16 күн бұрын
Nimeipenda hii mungu akupe hekma zaidi
@mcmlandali44115 күн бұрын
Hiii ni zuri mno and so emotional hongera sana Mrisho Mpoto
@zaishanga16223 күн бұрын
Mamangu kipenzi chetu pambana mama tembo hashindwi na mkonga wake pambana mm big up mungu akutunze kwa ajiri yetu!!
@joycehaule971718 күн бұрын
Mtoto wa nyoka ni nyoka wallah, Mrisho hongera
@khadejakhadeja971312 күн бұрын
Kwakweli inaumaa.sana madawa.ya.kulevyaa imeangamiza watu wengi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲😭😭😭😭😭😭
@joycehaule971718 күн бұрын
Uwiiiiiiiiiiiiiiiii wimbo unagusa sanaaaa .......MAMA YANGU SAMIA NAKUPENDA MAMA NAKUOMBEA UFANIKIWE KUWALEA WATOTO HAWA WA MTAANI WATOTO WETU HAWA NAWAOMBEA SANAA .....
@emmymwakabana15 күн бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@user-qf7tc9sw6k17 күн бұрын
Touching song, moyo unatetemeka
@zaishanga16223 күн бұрын
Naomba hii nyimbo ipigwe kwenye azam tv two kabla ya kuanza pambano la yanga tarehe 8 mwezi ujao ili maelfu ya wengi itaonekana na wengi maana hao wateja wengi hawana cm ya whtsup naona watajipata na wataokoka 80 cio Tanzania na nchi jirani pia watapata tiba ! Na pia iwe inapigwa kila cku kwenye tv Amun
@DavidAnthony-bk1lm18 күн бұрын
Ni kweli madawa ya kulevya ni hatari Kwa taifa letu
@UzalendoNaUtu4 күн бұрын
Huu wimbo baada ya Pusha kuomba radhi hapo ilitakiwa iingie sauti ya mtu kama Masele Mlevi, ingenoga sana
@judithmwakibete303621 күн бұрын
Kwa yo yote aliesikiliza ujumbe huu Ana nafasi ya kusemezana na kijana wa jinsia yote juu ya janga hili
@fahmiabdi753924 күн бұрын
Ujumbe unasikitisha na ufahmuka na najikuta naliaaaa
@khadejakhadeja971312 күн бұрын
Wapi stive nyerere .aje asikie..kizungu au kingereza.😂😂😂😂😂
@user-sp4jr4vw6t20 күн бұрын
Nimeipenda hii jamani tumewapoteza vjana wetu mi niko kjjni zamani vjana wa kiume na kike walikuwa na umoja wao asub na mapema saa 11 waliwahi mashambani zamu kwa zamu kulima na kupalilia leo watoto wetu wanawahi kwenye magenge ya dawa za kulevye jamani tufanye je tuwanusuru watoto.
@SteveAvelinBuretter3 күн бұрын
Ongera sana mweshiniwa mpoto
@user-il8wx3eq8i16 күн бұрын
Sjui kwanini nalia
@DOTTO-z9c14 күн бұрын
na mimi sijuhi kwa nini 😢
@kalamuyangu124 күн бұрын
Mbegu bora iliyopandwa juu ya mtoto huyu yapaswa kulindwa kwa gharama kubwa.
@user-js7lg9pm8f15 күн бұрын
Nakupenda mrisho hii ni zaid ya move
@KissBoytz-t9i4 күн бұрын
Kama nawew umeludia malambili kama Mimi ngonga like😢
@khadejakhadeja971312 күн бұрын
Kweli haramu ni tamu .mmmmmh..china Wa. Tanzania..wakishikwa wanadungwa .sindano ya.sumu .na kuchomwa .kwenye .pipa . Lakini wao.wakikatwa..hatusikui.chochote..😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭
@zackzack9730Күн бұрын
Ukwel watoto wetu watakua kwa usalama zaidi endepo madawa yakitokomea
@youtube.mwosatv16 күн бұрын
Bonge la movie leny ujumbe mzito
@BinBiNasir16 күн бұрын
Nimeipenda hii😭😭
@mbonigabasamueli186016 күн бұрын
Mara nyingi Mtoto hufanya kazi ya babaye, Mrisho ndagukunda
@user-hs6yf5uk8c14 күн бұрын
Serikari naomba mjenge Simba house nyingi nchini nazitoe huduma bure upite msako mtaan kuwakama waraibu wote WA madawa wakatibiwe jaman yanawatesa watu
@fintanchavala214519 күн бұрын
Well organized Hongereni kwa ujumbe murua
@NyandaLufungulo16 күн бұрын
Dah it's paining
@user-jr5pd4mx2x20 күн бұрын
Inaumiza lakini ndoomaishahalisi ila mungupekee nisuluhisho yahayamamboyote. Naitwa Benedict kutokakibaha mailimoja.
@joycehaule971718 күн бұрын
Mama Samia wewe ni mama nakupenda mnoo MAOMBI YANGU NA DUA ZANGU MUNGU ASIKUACHE ASIKUPUNGUKIE MAMA WEWE NI MAMA MAMA HAWEZI BADILIKA AKAACHA WATOTO WAKE MAMA NAKUOMBEA SANAAA UTUFIKISHE MAHALI SAHIHI MAMA NAKUOMBEA SANAAA
@user-jr5pd4mx2x20 күн бұрын
😂daaah wimbowauchungusana ukikaa kwamakini Italian sana wengine wasiojua watakushangaa
@kelvinryoba77916 күн бұрын
😂😂😂safi sanaaaa
@TonnyMaster19 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢R. I. P marehemu aliekamatwa na mzigo
@danielamosi687119 күн бұрын
Hili janga kuisha ni pale mtu mmoja mmoja aamue kutotumia