😊😊😊wallah huyu kijana ana acti kwa hisia sana hongera yako kwanzia leo mm ni shabiki yako Rasmi❤❤❤
@user-dx8qe4di9n8 күн бұрын
Nikwl kwl
@user-xc2kn6ml7u9 күн бұрын
wanaume kama huyu ni wachache, Mwanaume anao uwezo mkubwa sana wa kumfanya mwanamke abadilike
@user-hm6hy6rr1h9 күн бұрын
Ten mungu ambrik san wallah
@user-vv7yi1ch9b7 күн бұрын
Sana yaani ninaushuhuda
@Mnyaturu9809 күн бұрын
Kama mm mke wangu nikama hiii move dah😢😢😢😢
@hghh60569 күн бұрын
Nayahisi maumivu ya medick kiukweli mapenzi yanauwa mama na yy kama moto si ungekuwa na huruma kidogo angalau siku moja acheke na mkewe na mama pamoja kwa mama vituko kwa majirani chugu aki inauma saana😢😢 hongera saana kijjana kwa kazi nzuri maumivu yako iko siku yataisha tu kua na moyo huo huo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@LinusMsimbano-uq1kg9 күн бұрын
Kaz nzuri Merck kuwa na msima❤❤❤❤❤❤mo wako mpende sana mkeo
@bilombelekilozodieudonne1239 күн бұрын
Lingala uyu mdada mkongo ❤❤❤
@chancemuhindo5558 күн бұрын
Pole sanaa mama yake tete nimependa uchezaji wako nimekupendaa
@selmezahor469610 күн бұрын
Safi sana njoji mahitaji nomb yko Wang pole ep 4
@GraceLutembo8 күн бұрын
Napenda luga ya lingala DRC 🇨🇩
@VascoHotai7 күн бұрын
Dada wa kazi anapenda umbea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Dayana-o4z9 күн бұрын
Nice work medick
@JuxNaseeb-lr1dw8 күн бұрын
Safii sana kaka kwa kaz Yako nzuri
@user-ec6ow2cx7c9 күн бұрын
Medick pongezi sanaaaaaaaa Kwa kazi nzuri usife moyo binadamu hawakosi kasoro🎉🎉🎉 sau yaliopita chenga yajayo na usimwache Tete ❤❤
@FaridaFocus7 күн бұрын
Eeh mungu naomba nipee mume kama medick please Ameen😂😂
@user-sh9jl2hx4u9 күн бұрын
Medck wewe fundi nimekukubali upo sawa katika uhalisia wa uhusika wako
@ImeldaMagoti-qd1wh5 күн бұрын
Hongera kazi nzur
@user-zp4zc2ln2n9 күн бұрын
Medick kulia tuuu muda wote
@paulocheia4329 күн бұрын
Me wakuanza naomba like zangu kutokueya 20:04 🇲🇿
@mahmoudnajad2178 күн бұрын
NYOKA WA SNAKE BOY NAKUBALI KAZI KAZI NGINJA NGINJA
@user-hx9to8jv6l9 күн бұрын
Nawapenda sana mnamove zur san ♥️♥️♥️
@user-hx9to8jv6l9 күн бұрын
Niliwahi kupata mwanaume kama hyu mbwa umeolewa lenyewe nilikukomalia Kam kuroga kila siku Kam yake linafanya kaz hela zote kwa waganga kula nina
@Tabiatz5 күн бұрын
Dar mama tete siku akajuwa hayo anayopitia mwanae kwamkwe wake ataumia ukizingatia nae nikipofu hongeren. Kaz nzurii❤
@user-fl7vi1zh3i9 күн бұрын
Kazi mzuri sn mpende mke wako
@sarahhagai81919 күн бұрын
Mchawi pesa kwan haiendelei au,,,, vitu nusu nusu kwann sas
@Dianaf7749 күн бұрын
Kazi nzuri medi🎉
@MARYAMKHAMISI-mj8iy8 күн бұрын
Wanaume wa hiv walishapoteaga zaman jmn.
@user-dx8qe4di9n8 күн бұрын
Wallah wapo
@jamillahassan34059 күн бұрын
Pongezi kaka derick unajua kukwepa maneno ya watu.. ila inauma but unamoyo wa uvumilivu
@sommohd79036 күн бұрын
Med bhana Ukitoa mov nyengine uwe na furaha Unaniumiza😭
@aishaallyaishaally32209 күн бұрын
Unyama mwingi jaman
@user-hm6hy6rr1h9 күн бұрын
Ila uyu mamamkwe wa baba ni mmnafik daa
@paulocheia43210 күн бұрын
Sou o primeiro
@user-ds3os5qv4o8 күн бұрын
jamani Hawa watu watatuulia medick wetu mwenyewe Hana nyama tuachieni😂😂😂😂
@user-se1xi4qj8w9 күн бұрын
Nice
@user-xc2kn6ml7u9 күн бұрын
Nice lydia merykyor
@user-vo7yb6wp1m9 күн бұрын
Kazi safi Sana hongereni 🎉🎉 ❤❤
@user-xu5rh6ub5j9 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-yk5sl9bk3x9 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@shemmaster7swaleyuun2289 күн бұрын
JARIBU MCHEZO WAKO KUEKA WIMBO MMOJA TUU. NA UFITI KILA KIPANDE. MANA NYIMBO IKISOMEKA PIA ITAHITAJIKA KWA JAMII YAKO. PIA KAZI IYO KAKA. HONGERA KWA KUPAMBANA
@user-uh6ub5zb6m8 күн бұрын
Bora umesema we maana Nish kereka na vivyo vinyimbo
@user-dg5jz5vq6u9 күн бұрын
❤
@rizikisam64819 күн бұрын
😢😢😢 ni nzuri ila hii nyimbo imezidi kwa kweli inaboa
@user-pf3zc6kv5q9 күн бұрын
kazi nzuri❤❤❤❤❤❤
@juliuswaiganjo-cw1bz9 күн бұрын
Good work ❤❤❤❤
@user-pp3vo8rw5j9 күн бұрын
Much love from saudi ❤❤❤❤
@ImaniIbrahim-rt2js9 күн бұрын
Unyama damu yangu❤❤❤❤
@UwimanaZoecynthia9 күн бұрын
❤❤much love from Burundi
@KongoloAlainNgoyКүн бұрын
Wa tanzania munatuzoea vipi ule mama aongee ki kongo ?
@Clyton5939 күн бұрын
Medick usimuache Tete amebadilik tayar huyo kuwa na msimamo wa moyo wako