JazakhAllah kheir, Umetutoa Kwa Giza,Endelea kupigana Kwa njia Allah kwa Kusimamisha Tahweed na kukataza Bidhaa na shirk ndogo ndogo..Tunakuomba Sana Utuelimishe kuhusu Ziara ya makaburi kama ni Haramu au vp
@muhidinn56482 жыл бұрын
عالم الغيب فلا يظهر على غيبه أحدا إلا من ارتضى من الرسول
@zulfasalim87702 жыл бұрын
HAKUIONA HII KATIKA MSWAHAFU WAKE ANAO TUMIA
@ustadhshauri17732 жыл бұрын
وما هو على الغيب بضنين
@abdulwahababdully30622 жыл бұрын
@@zulfasalim8770 fungua moyo wako utafaham usahh zaidi inshaallah
@anasmalongo3365 Жыл бұрын
نعم صدق الله العظيم
@binhemed75178 ай бұрын
Yako mambo Allah amewafunulia mitume yake kujua lkn point ni kwamba, mtume hajui mpka ajulishwe na Allah, yy hana elimu ya lolote katika Ghaib isipokuwa yale mola wke aliyomfunulia.
@hamidakeissy32352 жыл бұрын
Sheikh nmekuelewa vzr Allah atujalie mwisho mwema !
@ahmedrehan79752 жыл бұрын
Sheikh Muhammad Allah azidi kukupa afya njema بارك الله فيك
@saidmohammed28302 жыл бұрын
Ameeen
@mutomubaya2 жыл бұрын
Sheikh Muhammad Nasor Bachu Shukrani sana kwa kutuelimisha. Allah akuongoze na akuongezee ilmu na akulinde na kila shari ili upate kutuelimisha zaidi.
@abutafawa2 жыл бұрын
Allāh akuhifadhi akhii Muhammad Bachu.
@mwaramimwarami14792 жыл бұрын
Ahsantum sheikh Muhammad Bachu Allah akulipe kheri,akuhifadhi na akupe mwisho mwema,nipo pamoja nawe,nishaacha kwenda maulidini miaka mingi na kwenda kwenye arobaini
@mohagurey22142 жыл бұрын
Masha Allah. Mshukuru mungu sana akhui
@mukrimhassan94482 жыл бұрын
Maashallah sheikh muhamadi bachu Allah akulipe kheri duniani na akhra na akupe umri mrefu mwenye heri nawewe pamoja na familia yako aaamin
@salimsaleh93542 жыл бұрын
mashaallah shekh muhammad bachu unatuelimisha vizuri tunafahamu ukweli , allah awape moyo mwepesi wapenda maulidi waache shirki zao
@bellbell92942 жыл бұрын
Shukraan Sana sheikh wangu kwa DARSA zuri Allah akubariki Sana
@khadijasaid50652 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi shekhe Muhammad bachu akuzidishiye ilmu zaidi inshaallah ..tunafaidika sana kusikiliza mawaedha yako mashaallah..Mungu akulinde na jicho lahasadi inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya
@aliabdullahi92002 жыл бұрын
Huyu kijana ameongea maneno yasio fahamika kwanza umesoma lugha ya kiarabu vizuri kabla yayeyote kaachini usome nahwi sio unapiga kelele mbeleya watu maana ya burda unajua? Umesoma mawili unajiona uko na elimu hio tafsiri Union toa rudi nao umetafsiri vile wee ukitaka tu muongo wee
@haythamali74962 жыл бұрын
Dah perfect shekhe inafahamika kabisa kwa ulivo chambua masha Allah
@jamaldaudimwasha5288 Жыл бұрын
Sheikh Bachu Allah akuhifadhi. Ila kuhusu Allah kuitwa Mungu kwa kiswahili au God kwa kiingereza nayo ni SHIRKi.
@bilalhamisi23002 жыл бұрын
Mungu akujaze Kheir bro.... Kuna haja ya waislam kusoma
@ahmadiibrahimahmadi35132 жыл бұрын
Yaaa Allah tupe Elimu yenye manufaaa, Ili iweze kuikomboa jamii kutok kweny ushirikina na kuw na itikad sahihi...
@OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын
Ummah umepotezwa kwa muda mrefu sana baada ya kukosa Wana Wa chuoni walioshiba Tawhiid. Kwaio Tawhiid wengi hawaifahamu nafasi yake wanakwenda tu, kwa sbb babu yangu alikua anafanya hivi namimi nafanya!!!
@jamalraja4172 жыл бұрын
Kweli kabisa hilo ndugu
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Mohammed Bachu ndio kajaaliwa ilmu hiyo mbele ya wenye elimu? Mna shida nyiye. Msipojua maana Basi wafuateni wenye fani zao wawafundishe.
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
mtikhani wallahi
@mohdhakim82162 жыл бұрын
Vichekesho
@omadal12 жыл бұрын
sasa Mohammed Bachuu ndio mwanachuoni sio?
@alibanomary53392 жыл бұрын
Ahsante sheikh Allah akuhifadhi
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
mm huwa najifunza sana nıkimsikliza huyu shekh cjui ni 7 b labda n shekh kijaba mwenzangu???? Allah akujaze kher fii dunya wal'akherah, Amiin
@hyasintayusrayusra8368 Жыл бұрын
Waambie wajue masha llah... Allah akuhifadhi na akulinde na hasad na fitna. Mwisho upate shahada.... Nakufananisha na shekh wangu.... Aboud rogo (rahimahuwwa)
@thefoodshaikh811 Жыл бұрын
Kweli kipindi hiki tunahitaji mashekhe kama aboud
@khamismohammed2582 Жыл бұрын
Ila hajamfikia bado aboud rogo. Shekh aboud rogo anakosoa serikali na na walikuwa wanagonga mwamba ila washekh wetu wa znz mawaidha hayagus ktk serikal mana ukigusa huko wanaogopa ila aboud rogo ni next level
@frankchausa13302 жыл бұрын
MaashaaAllah Shekh uko sawa Na tuko pamoja
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Shukan sana Sheikh Mohammed bacho Wambie watu wa bidah
@aliysaid691712 күн бұрын
جزاك الله خيرا
@yes_yes13102 жыл бұрын
Masheikh siku hizi ni vijembee tu kama waimbaji wa taarab, yani kila Mtu anajiona msomi kuzidi wengine, lakin Kumbukeni Mwenyezi Mungu hapendi mwenye kujikweza, mwenyew kujifahari mbele ya wengine.
@salimawishenga75882 жыл бұрын
Swadaktaaa yaani siku mashaikh wengi kuchongowana au dawa wamekuwa wakutibu
@jumahatibu92402 жыл бұрын
ukikosea lazma uelekezwe ili ucje umma wa kiislamu ukapotea
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
mche allah
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Kasome uondoe ujinga we unaelimishwa unasema anajikweza kaa na ujinga wako na ushirikina wa maulidi
@abdallahmzonge44552 жыл бұрын
hapo wala hamna vijembe wewe msikilize vizuri tu
@tamashamagoma29412 жыл бұрын
Allah akujaze kheri
@khamzampanga40742 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi inshallah ww nimwalim
@awadhsaleh392910 ай бұрын
Allah akuhifadhi na killa shari
@user-ik8xv2rl9f2 жыл бұрын
ماشاء الله يا محمد ♥♥♥♥♥
@sein.2082 жыл бұрын
Masha Allah TabarakAllah
@khamishamad52642 жыл бұрын
وقل جاءالحق وزهق الباطل ان الباطل كان زهوقا
@hanafhamad28012 жыл бұрын
bachu allah akupe elimu pana zaid ya hiyo ili tuweze kunufaika inshallah
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Shukran yaa sheikh muhamed
@awadhsaleh392910 ай бұрын
احبك في الله
@abdulhafidhkilimbi39392 жыл бұрын
Sheikh kwa kila anae leta yasiyo fahamika na uzushi chapa elimu
@G.r.e.a.t.I.Q2 жыл бұрын
Na walio andika hayo ni waumini wa kuomba kwenye makaburi ya baadhi watu wa Ukoo wa Mtume na baadhi ya Viongozibwa nchi zao. Allahumma nsurna mina Ljahiliyn!
@mhusinigau32312 жыл бұрын
Yaa Rabi bilmustwafaa balighi makaaswidanaa waghfirlanaa maa madhwa Yaa waasia Al karami.
@hamadfaki25032 жыл бұрын
Sheikh Muhammad mi nakushauri litumie zaidi jina la Allah kuliko Mwenyezimungu nibora zaidi.
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Mimi nakukubari Sana shekh ,M,mungu akuongezeee hikma
@salmaalkyumi60302 жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@amyassyassin79092 жыл бұрын
Kazi kubwa inahitajika kuwatanabahisha waislam watoke kwenye giza. In sha Allaah tusichoke kukumbusha hakika ukumbusha utamfaa tuu mwenye kuamini
@saidiabdallah-kv7bd Жыл бұрын
Huyu mshenzi ni ktk wale walioletwa wakasomeshwa kuja kuuvunja uislamu lkn laana za mungu zinamtembelea uyu kama alivopata laana yussuf hamza
@shukranjazzakhaallahukheir18972 жыл бұрын
MashaAllah tabarakaAllahu.mungu akuhifadhi MTT WA mwenzetu
@eastzooadmin64162 жыл бұрын
Usiache kuyazungumzia haya masaala, Allah barik 🙏🏾❤️
@OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын
Hahahahahahahaha, walio athirika na ushirikina wana mtihani sana, Allaah awatowe kwenye genge la washirikina
@musarashidy93082 жыл бұрын
Ww shekhe mm sikukufurishi bali hayo mambo kuyajua lazima uwe nafani zisizo punguza kumi nazd nah blg srf mnt ww watafsiri lugha tu siuwafate upige goti kisawa sawa
@duniaduaratv121611 ай бұрын
Ndugu mtoto wa aliyekuwa sheikh Bachu nakuombea dua kwa maneno yako haya ukutane na sheikh Jafari Mtavassy simba wa fani za Lugha nilimsikia akifafanua hizi ibara, na aina za Ghayb na ile aya hii aya uliyoileta ya mambo matano na ile ya katika surat aljinni wallahi umefeli pakubwa ndugu.
@kavumohemedi8712 жыл бұрын
Hakika Allah ndio anaeijua ghaibu yeye tu pekee..
@haydarhamad65322 жыл бұрын
Daah! sheikh Muhammad Bachu nafuatilia Sana clips zako na kwakweli nilikua nakuona mpotoshaji mkubwa kwakua unayapinga Maulid,ila kupitia clip hii nimegundua kua Maulid hayafai hata kidogo na kuanzia sasahiv naamua kuachana kabisa na Masuala ya Maulidi,Allah akupe maisha marefu yenye kheri na ww ili uzidi kutuelimisha Sheikh wetu.
@user-ik8xv2rl9f2 жыл бұрын
ماشاء الله
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Masha Allah,muumini wa kweli ni yule mwenye kutambua ukweli na akaufuata.
@saeedabunajash62352 жыл бұрын
Allah akubarik
@mohammedjumakhamis81512 жыл бұрын
Mashaallah Allah azid kutuongoa sote
@tamashamagoma29412 жыл бұрын
Hilo ndio linalotakiwa, ukishaelewa , ifuate hali. Allah atuongoze sote
@angleangle81932 жыл бұрын
Hapa mwisho Kuna Shubha ya معية الله rekebish bba
@niyakhalid56502 жыл бұрын
MashALLAH
@babu22742 жыл бұрын
Allah amhifadhi shiekh wetu 😍 Muhammad bachu , Allah akulipe kheri
@jamalraja4172 жыл бұрын
Swadakh shekh nime elew mifano yako ya taudi
@abdallahmzonge44552 жыл бұрын
mashallah, watu wa bidaa wanakuelewa sana illa kwa viburi vyao ndio sababu wanakupinga
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Wallahi huyu shekh yuko sahihi lakn ni vyenye dini tumeitia ushabiki ndio utaona wengne wanapinga..ssa itakuwaje sifa za mungu umpe mtume mnaleta sarakasi kwenye dini tayari mnawaigiza wakristo kumpa yesu sifa za mungu tusomeni ndugu ikiwa utaitukuza siku ya mazazi ya mtume sawa lakn usilete hoja za uongo ukadhani kambae ulimwengu umeumbwa jana unatufundisha sasa uislam kivipi yani shekh bachu mungu akujaze kheri.
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu akhi
@sharifumohamed6391 Жыл бұрын
Hapana hayuko sahihii turudi nyuma kwa nabiii Musa pale alipo sema Kama yeye hayupo anaemshinda kwa elmu mungu akamwambiya kunamjawangu nenda ukasome jeee wajuwa huo aliekuwa mwalimu alifanya nn katobowa jahazi kauwa mtoto mdogo akajenga ukuta bila kulipwa majibu yake yalikujaje katobowa jahazi kwasababu Kuna mfalme atawanyanganya kamuuwa mtoto akaseme kuwa Angelika kuwatiya moton wazeeee wake na ule ukuta Pana hazina ya mayatima alijuwaje yy
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
@@sharifumohamed6391 Mfano unaoutoa hauna mashiko na topic inayojadiliwa,ulichozungumza ni kweli lkn kwenye hoja hii Haina mantik, kwahiyo watu waendelee kumshirikisha M'mungu,Yani bado unaleta ligi,duu kweli nimeamini unaweza kuwa na macho na usione,masikio na usiskie pia,weka pembeni ushabiki ndugu yangu,acha mzaha
@duniaduaratv121611 ай бұрын
Kasome kwanza maana yeye kasema tu hapo kuna elimu nyingi hazijui ndugu sheikh huyu
Mimi nishawaskia wakisema kua amali za waja kwanza zinapita kwake mtume kaburini alf ndio zenda kwa mungu alf tena wanasema mtume sio km binadamu wa kawaida km cc kwakweli ni mtihani mkubwa sn kwa hawa wenzetu Allah awaongoze na ni wabishiii hee
@kheirameir6284 Жыл бұрын
Mm simkubali zana huyu dogo mana bado yupo chini sana kielimu halafu anajifanya mjuaji sana.huna lolote,kasome kwanza
@mwadinbakar95532 жыл бұрын
Maalim hivi wapata nini kufarakanisha Waislam?
@medimisi69302 жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah
@dktabdurahim3896 Жыл бұрын
Muhammadi bachu siyo shekhe ni mropokaji tu mana mpaka kafikiya kuwatukama viongozi wakati sisi tunakatazwa na sheriya kuwatukana watawala viongozi wetu
@ibrahimugama9635 Жыл бұрын
Mashaallah
@user-pz8qr2cj4j6 ай бұрын
Safisana kwaelim
@MuhamediswaleeMjenga-yn8oc4 ай бұрын
Lugha iliyotumika mafahimu yake si hivyo sheikhe umetafsiri masawaa
@yes_yes13102 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂Jamani tusome kabsa,
@yussufhajj41292 жыл бұрын
Shekhe aona ni fakhri kukosoa kama yy ndio amezuia funguo za pepo na elimu yote mashallah ameimiliki yy .....fikra yko na nwenzio haiwezi kuwa sawa htta sku moja killa m2 ataingia peponi kwa jambo lake
@tugabiz42862 жыл бұрын
Kama kila mtu na uelewa wake basi kusingekua na haja ya kuwa na mijadala wala kuhubiri kila mtu angekua anajisomea mwenyewe na kutulia asimsumbue mwenzake hata akikosea kwa kuwa kila mtu na uelewa wake na upeo wake.
@HawaOmary-fb6wo9 ай бұрын
@@tugabiz4286 UELEWA KATIKA KUFAHAMU MAANA.YAANI KWA MFANO,"NDEGE IKARUKA"MWINGINE ANAAMINI NI MNYAMA,NA MWINGINE NI NDEGE EQUIPMENT AU AEROPLANE.
@ElMafunzoTv770 Жыл бұрын
Ukisoma utajua kasome kwanza
@awadhsaleh392910 ай бұрын
Shekhe bachu maneno aliosema ni wazi
@pakashume7252 жыл бұрын
Unajua tatizo nini? Unawagusa!
@RamadhaniShembillu Жыл бұрын
Kuna kijana akwambia hujui lugha mbona humjibu shekhe?
@moshmlos7715 Жыл бұрын
duh
@mohagurey22142 жыл бұрын
Wanaongea matope wamesikiliza khutba mwanzo hadi mwisho kweli??? Ama ni kuropoka tu
@zamdinikilala5454 Жыл бұрын
Wewe ni chizi namba moja kuliko machizi wote sijui hao wafuasi wako
Cha ajab kpi kwa mashair ya kwanza alioyasoma hahaha huyu nae nlikuaga namuona kdog afadhal ila kila cku nazid kumuona buyu2 kam mwenzie nurdeen qishk alikuja moto wakongwe wakamtuliza sas na huyu 2nakiheshm kuptia jna la bach ila panapoenda mapema2 anapotea me nipo apa kwa 7bu elm na mabshano kwa usilolijua ni kuonesha dhahir kua we ni punguan2
@pandumakame6421 Жыл бұрын
Mashallaha
@ahmadzubeir26052 жыл бұрын
Msuudi na wafuasi wake maisha wataendelea kuwachukia watu wanaoitwa masufi.
@scottznz.1342 жыл бұрын
Kwani wanao soma maulidi wote ni masufi?
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Watu wa Allah.
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
Shida ya mashkh wao hawawatafsirii haliyomo katika vitabu vyao vya maulidi wawaimbisha tu kama wachungaji kanisani kwa kondoo wao
@abdulazizmwipi92952 жыл бұрын
Una uhakika na hayo maneno yko coz utakj kuulzwa coz tunafndshwa
@aliabdullahi92002 жыл бұрын
We jieshimu haunaheshima unanyoshea kidole kitabu cha mowlid unajua maana yamowlid ama unaongea tu
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Nyie ndio mjiheshimu washirikina wakubwa mnafuata matamanio ya nafsi zenu kusoma hamtaki
@allyal-sharawymwadini31112 жыл бұрын
Ndugu huna kitu chochote cha kuzungumza na huna mwisho Mwema kama baba yako huwezi kuwa zarau watu walikesha kwa ajili ya Allah ukaachwa tu na mdomo mrefu.
@maalimjobe76362 жыл бұрын
Baba yake kaingiaje hapa?
@MuhammadYusuf-rh7ur Жыл бұрын
Si kila mwenye pengo aweza kula ugoro !kasome fanni wewe. Maneno meengi kaa chiriku nawatu wavivu wa kusoma kazi kusikiliza porojo kama hizi utawapata sana!
@musapoli4276 Жыл бұрын
Nenda kasome kijana bado hutoshi kabisa uwelewa wako ndio ndogo na mbovu
@yaziduhamisi40962 жыл бұрын
Mbona ambayo alioyajua ya ghaybu huyasemi ?we nimuongo tu
@awadhsaleh392910 ай бұрын
Kwani albosiri hakosi
@murtalla62902 жыл бұрын
Kama elimu yako ingekua na faida basi usingetumia mitandao kutufariqisha waislam bali ungewatafuta masheikh ukakaa nao mukajadili masuala ya kidini maaana uislamu una taratibu zake sio kugombana mitandaoni kama manaswara hebu masheikhe kaeni chini acheni kupenda sifa za kidunia mukubaliane na mutueke sisi waumin sehem salama
@canoksancomprehensivelearn71822 жыл бұрын
Jamani Murtalla Khamis haya mambo kwa mtu alosoma dini tawhiid ndio kiini cha dini na ndio dini yenyewe na hapa kwa mwenye kuelewa hawezi kuwaacha umma ukapotea maana hao unaowaita kuwa ni masheikh hata ibilis kasoma na anajua anapoteza na wanaopoteza ni hao wanaojua kuwa tunapoteza lakin wameweka maslahi mbele, kuna wangap wanafanya shirki na wanaamini kuwa wapo sahihi? wewe ukiona unakwazika hapa kuna weng wanaona wanapata faida kwa hiyo wewe mwenyewe kama una elimu toa comment ya kumrudi sheikh kwa dalili ya Quran au sunna sio maneno th utaonekana mshabiki katika dini lakin din haina ushabiki dhidi ya uovu. Tutaitangaza tawhiid kwa njia ya mtandao maana ndio njia ya mitume wote na hao masheikh sio wakubwa kama mitume
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Acha kumkosoa shekh kwani anachokisema nihaki
@omadal12 жыл бұрын
@@canoksancomprehensivelearn7182 Tatizo ni nikwamba wengi hawajui SHIRIKII ni nini SHIRIKII ni mlango mkubwa wataka ilimu sana, sasa tuwacheni kutumiwa ili kugawanya umma wa kislaamu. Tafauti za maoni na mitazamo zilikuwepo tangu wakati wa Maswahaba wakubwa kina OMAR, ALI na ABUBAKAR (Radhi za mola ziwafikie) lakini walikuwa wakihishimiana sio kuwitana majina ya kipotofu.
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Masuala ya kuwachanganya maswahaba na hizi shirk zenu mgeacha tu maana maswahaba wenyewe hawakufanya maulidi eti nyie leo ndo mmeifanya imekuwa dini
@loganpoul Жыл бұрын
Tatizo munatafsiri kitabu wakati hamuna ilmu,bachu twakujua ww Bana,
@suleimanmohommed52092 жыл бұрын
Naam naam Ya Fadhla tu Sheikh Muhammad usirudi nyuma juu ya haki."
@nassorhafidhharthy09332 жыл бұрын
Huyu ni ustadh si sheikh hana ilmu yakuitwa sheikh
@ramadhanirama66362 жыл бұрын
@@nassorhafidhharthy0933 Hajui maana ya shekh
@nassorhafidhharthy09332 жыл бұрын
rama tuambie maana yake
@arjanshabani89462 жыл бұрын
Wapenda maulidi mpooo? Tunaona koment zenu hamkosi lakujibu mnazinduliwa lakini hamzinduki shaurienu minshazinduka zamaani bachu tupe mada wala usisikilize povu zao hayatoi alikilini mwaketu Bali anaushahidi hapo we unatoa povu za nini achaujinga zinduka
@abdallahkawambwa26662 жыл бұрын
Wewe utakufa avipaya ndomana baba yako aliota anakimbizwa namtume nyinyi ni vibaraka wa marekan wewe hujasoma lugha njoo tukufundishe lugha
@madrasatulmujtabahschool76212 жыл бұрын
Mashekhe wa sasa bora uwatizame tu
@mansulesuleyman62172 жыл бұрын
Soma Baba soma Baba
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Kasome Bachu weeeee. Fani za lugha Zina wenyewe. Kawaambiye wakusomeshe hao masheikh usikurupuke. Huna macho ya kuona humo. .
@mohdhakim82162 жыл бұрын
Angeshughulika na mengine tuu.
@abdulrahmanabubakar51272 жыл бұрын
Wewe ambaye unajua fani za lugha tueleze .... Manake Bora sikukejeli Bora ni kueleze unavyofahamu
@alhilaltvonline2 жыл бұрын
Kejeli ameanza yeye kwa Mambo ambayo yanahitaji elimu si kukurupuka kwa kiarabu chepesi..... Mambo mengine mpaka usomeshwe ili mtu aone ndani na siyo kukurupuka.
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
Sisi hatuwalazimishi kuifuata haqqi kaeni na bid,a zenu watu wa maulidi nyie waburuza makanzu
@adamjutto5849 Жыл бұрын
Fani ipi ya lugha babu,hv kuna maneno yaliyo faswaha kuliko qur an,na yanaeleweka,hvo vishairi vya kufru nani ashinde kuvielewa
@mhusinigau32312 жыл бұрын
Baba Ako aliwahi kusema watu wanamuomba mtume kwa maneno haya aliyosema Al buuswir. Dah enye jamaa hata km mtu humpendio sio hivyo. Ujahili umekujaa km alivyokuwa baba Ako na taasabi. Heri baba Ako kdg alisomasoma ila taasubi ilimjaa km ww ujinga ulivyokujaa pmj na taasubi.
@hilalalhabsi20472 жыл бұрын
Kwani elimu ya muhammad bachu una elimu zaidi ya abuuswiri?
@aliibren95242 жыл бұрын
Hii ni kufuru Hali ya juu.
@awadhsaleh392910 ай бұрын
Hawa wanajiita waislamu halafu wanamtusi shekhe???
@thomasthomas02122 жыл бұрын
Akuna Dini ya kweli chini ya juwa zote ni zauongo kwani zote zipo kwa mapenzi ya ibilisi ndo yupo nyuma ya Dini zote.
@khalfanikimanta66632 жыл бұрын
Huna akili wewe
@abdurahimnassoro16672 жыл бұрын
We kafiri haya ni ya waislamu yanakuhusu nini?
@abubakardarema70502 жыл бұрын
Nipo kumi Bora leo
@isaack100 Жыл бұрын
فلاتزكوا انفسكم هو اعلم بمن التقي.kijana wa bachu na kuuliza wale wawili walokuwa wakiadhibiwa kaburrini yule namam nayule hakuwa akijihifadhi kutokana na mkojo
@isaack100 Жыл бұрын
Alijuaje kuwa wana adhibiwa?
@murtalla62902 жыл бұрын
Ile aya iliyokuja katika surah al BAQARA basi imeswadiqiqa zama hizi yaan hawata ridhia mayahudi na manaswara mpaka tufuate milla zao...... umesema kweli yaaa ALLAH angalia mashekhe zetu walivyopotea leo hiii wameacha kuitana misikitini kuuhadili uislam bali warushiana maneno mitandaoni yaan hapa akipita qafir anajua mapungufu ya waislam SUB HABNA ALLAH 😰😥😰
@swiddiqmussa34902 жыл бұрын
Hivi hawa watu wabidaa hawasikii wala Hawaoni haya Jamani?