No video

Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'

  Рет қаралды 47,653

The Chanzo

The Chanzo

7 ай бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 130
@samwelmohonge4573
@samwelmohonge4573 12 күн бұрын
this is the turning point, viva MWABUKUSI THE HEROE
@user-jb3zp9uo7o
@user-jb3zp9uo7o 7 ай бұрын
Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 7 ай бұрын
Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 7 ай бұрын
Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.
@eliassumila8173
@eliassumila8173 11 күн бұрын
Uko vizuri sana wewe.Nimekuelewa haswaaaaa.
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 7 ай бұрын
Ooh my God. I love this speech. It's exactly what we experience with these elections. Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta. Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.
@pueblo148
@pueblo148 7 ай бұрын
Brain,smart,highness intelligent💕
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 7 ай бұрын
Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 7 ай бұрын
MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤
@illomowerner7690
@illomowerner7690 4 ай бұрын
Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas
@adenmayala9298
@adenmayala9298 7 ай бұрын
That's true
@bicorugina1452
@bicorugina1452 7 ай бұрын
Big up
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 7 ай бұрын
Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉
@pidiusDominick-qi7nl
@pidiusDominick-qi7nl 7 ай бұрын
Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu
@aphonceedward6784
@aphonceedward6784 7 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa
@renomori4255
@renomori4255 7 ай бұрын
Asante sana kamanda
@JohnPallangyo-k9n
@JohnPallangyo-k9n 9 күн бұрын
Kaka mwabukusi Mungu wngu akusaidie usibadili kwenye misimamo yko na usimame kwenye kweli na kweli hiyo itakuinua zaidi, mm niko pamoja nawewe
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 7 ай бұрын
Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 7 ай бұрын
Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.
@hilujuma4869
@hilujuma4869 7 ай бұрын
Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.
@omarali797
@omarali797 7 ай бұрын
Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 15 күн бұрын
Lisu ni maneno mengine kaka hata mwambukusi anamkubali lisu na mbowe,huu ujasiri kajifunza kwa hiyo miamba,lisu na mbowe ni magreda yaliyotengeza barabara ya lami sasa magari ya akina mwambukusi yanatereza tu😂😂😂
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 7 ай бұрын
A truly and honestly.Wow whaya speach
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 7 ай бұрын
mwambukusi big brain
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 7 ай бұрын
Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 7 ай бұрын
Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa
@jesaminzo
@jesaminzo 7 ай бұрын
Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!
@WingodEpafra-dl1cd
@WingodEpafra-dl1cd 2 күн бұрын
Barikiwa mkuu
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 7 ай бұрын
Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote
@daudisalum9574
@daudisalum9574 7 ай бұрын
Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau
@sampaconnector2845
@sampaconnector2845 7 ай бұрын
Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.
@user-ct1qp3th5f
@user-ct1qp3th5f 7 ай бұрын
Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.
@George-jz3jg
@George-jz3jg 7 ай бұрын
Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu
@illomowerner7690
@illomowerner7690 4 ай бұрын
Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge. Mara ku-approve wabunge fake
@EMANUELMUSHI-kk4df
@EMANUELMUSHI-kk4df 13 күн бұрын
Aisee naomba nirudie kuiangalia, huyu janaa wa moto mbaya🔥🔥🔥🔥🔥
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 7 ай бұрын
Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 7 ай бұрын
COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.
@JustineYohanes
@JustineYohanes 7 ай бұрын
Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu Ccm chadema
@user-jc8el6je5e
@user-jc8el6je5e 7 ай бұрын
Sauti ya watanzania..
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 ай бұрын
@@user-jc8el6je5eSAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 7 ай бұрын
Unafaa kuwa speaker wa bunge tz
@jamesmfinanga1717
@jamesmfinanga1717 6 ай бұрын
Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...
@smarty1064
@smarty1064 7 ай бұрын
Duh! hakuna haki kbs
@V24hrs
@V24hrs 7 ай бұрын
Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 7 ай бұрын
Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 ай бұрын
@@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 7 ай бұрын
Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi
@simbahmsini
@simbahmsini 7 ай бұрын
Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 7 ай бұрын
@@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa
@wallacemngoma794
@wallacemngoma794 7 ай бұрын
Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.
@jumaally2469
@jumaally2469 7 ай бұрын
Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya
@emmanuelmasatu
@emmanuelmasatu 13 күн бұрын
Nakuunga mkono kaka %100.
@cyprianpetetmbonde6374
@cyprianpetetmbonde6374 7 ай бұрын
Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 10 күн бұрын
Wabunge mnasikia?
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 7 ай бұрын
Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 7 ай бұрын
Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa
@user-zl3le1wz2u
@user-zl3le1wz2u 7 ай бұрын
Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.
@GABRIELGAVU-vf7cn
@GABRIELGAVU-vf7cn 12 күн бұрын
Fomu za wagombea chama tawala huelekezwa na kusahihisha na maafisa wakishirikiana na wakala. Halafu wapinzani hutumika hayo makosa kuengua wagombeya.
@daviddsouza735
@daviddsouza735 10 сағат бұрын
Kumbe kuna million 50 zinahitajika kwaajili ya kushinda? Anayetafuta hii hela anaitafuitia wapi na baada ya kushinda anailipaje? Rushwa na mambo mengine ya chini chini yataisha
@OlemegiroriPalasalau
@OlemegiroriPalasalau 7 ай бұрын
Sawaaa
@yassinrajabu6511
@yassinrajabu6511 7 ай бұрын
kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho
@user-up5lb4lp4v
@user-up5lb4lp4v 7 ай бұрын
Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 5 ай бұрын
Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..
@DatyuuMudy
@DatyuuMudy 15 күн бұрын
Sasa we umekuwa raise ili uwombe kurudishiwa hela yako ya uchaguz du mawakili mmefly
@fidelishasia4799
@fidelishasia4799 7 ай бұрын
Nimekuelewa
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 15 күн бұрын
Mwambukusi kachukue katibu mkuu chadema,mnyika awe naibu katibu mkuu,pale mbowe,kule Tundu Lisu,hapa mwambukusi,ukaongeza kina Heche,Lema,John mrema,kina kigaila n.k😂😂😂😂 utapenda hii safu hata kama hutaki
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 3 ай бұрын
Upo sahihi KAMANDA pigs kazi
@user-qz2cs5wm5u
@user-qz2cs5wm5u 12 күн бұрын
Maneno mazito Sana niyakuyatafakali si kukimbilia amani
@Samwelianaseti
@Samwelianaseti 2 ай бұрын
Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 15 күн бұрын
😂😂😂
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 12 күн бұрын
Justin meabukusi ni C hadema
@EliyaMwangobe
@EliyaMwangobe 12 күн бұрын
KAkA WEWE NI MKOMBOZI WA NCHI HII ! NAOMBA KAZA KAMBA HADI ZIBANE !
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 ай бұрын
mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 7 ай бұрын
Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi
@StephenLetta
@StephenLetta 7 ай бұрын
Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.
@GABRIELGAVU-vf7cn
@GABRIELGAVU-vf7cn 12 күн бұрын
Mkuu alisema yeye ni chura kiziwi. Lakini mawaziri na waandamizi waliokuwepo pale walipiga makofi. Sasa kama ni hivyo nani arasikiliza maoni yetu? Ajabu.
@user-le2zm1yj9o
@user-le2zm1yj9o 7 ай бұрын
Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia
@knight6757
@knight6757 7 ай бұрын
👀😩
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 17 күн бұрын
Watu wanamnahiii walindwe
@user-tt9bp2id5p
@user-tt9bp2id5p 14 күн бұрын
Aya mwamba leo raisi
@Werema3760
@Werema3760 7 ай бұрын
2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 7 ай бұрын
Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana
@matiredms917
@matiredms917 7 ай бұрын
CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 7 ай бұрын
😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 16 күн бұрын
Jobu Ndugai
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 4 ай бұрын
Hakika mwabukusi ni madin
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 17 күн бұрын
Watu wenye akili timamu ndohawa sasa
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 6 ай бұрын
Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana
@lazaromshamu3521
@lazaromshamu3521 7 ай бұрын
watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 5 ай бұрын
Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 ай бұрын
Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 15 күн бұрын
Acha kutukana. Pamoja na sura mbaya kichwani yuko vizuri.
@simonmwasile4377
@simonmwasile4377 5 ай бұрын
Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu
@JosephChacha-kk1it
@JosephChacha-kk1it 6 ай бұрын
Tupiganie kaka
@hassannyalile2256
@hassannyalile2256 7 ай бұрын
Umeanza kuimba taarabu?
@revocatusvedastus8893
@revocatusvedastus8893 7 ай бұрын
mwambukusu Ni mzarendo
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 7 ай бұрын
Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48
@isaliisu3408
@isaliisu3408 7 ай бұрын
Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba
@user-sp7qc1kl1f
@user-sp7qc1kl1f 7 ай бұрын
Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
😂😂
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 7 ай бұрын
Aliewazalau sio mwabukusi Bali ni huyo anaewapelekea migambo na kuwafulumsha mtaa Kwa mtaa Kwa vilungu
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 11 күн бұрын
Dawa imepitaa😂😂
@JustineYohanes
@JustineYohanes 7 ай бұрын
😮😮😮😮😮😮u
@isaacmwaseba9972
@isaacmwaseba9972 7 ай бұрын
SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.
@mayaally2512
@mayaally2512 7 ай бұрын
KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 7 ай бұрын
Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 7 ай бұрын
Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 ай бұрын
@@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
@Dd-mu4fj
@Dd-mu4fj 7 ай бұрын
Kwani hastahili ? We vipi
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 7 ай бұрын
HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE
@Ambwene
@Ambwene 7 ай бұрын
Unataka aongeaje broo
@Haruna-dd5iq
@Haruna-dd5iq 7 ай бұрын
Haongei na ww anongea na wakora
@neemajames7814
@neemajames7814 7 ай бұрын
Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza
@christopherpaulo9490
@christopherpaulo9490 7 ай бұрын
Omba msamaha kwa wauza bamia
@paulrwechungura4284
@paulrwechungura4284 7 ай бұрын
ttumekuchoka kalale
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 4 ай бұрын
Mwambie akalale mama ako anae uza Uchi punguan wew
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 15 күн бұрын
Du! 😂😂😂
@user-kw6pg7nb1w
@user-kw6pg7nb1w 7 ай бұрын
Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa
@user-kw6pg7nb1w
@user-kw6pg7nb1w 7 ай бұрын
Wewe acha uongo
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 4 ай бұрын
Iv unaakiri timam
@bonabonala5559
@bonabonala5559 7 ай бұрын
tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz
@maspro6294
@maspro6294 7 ай бұрын
Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka
@saidmabanga388
@saidmabanga388 7 ай бұрын
Kuma ww
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 7 ай бұрын
Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 7 ай бұрын
WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 18 МЛН
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 58 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 59 МЛН
CHALAMILA : NIMEOA ILI NIYATUMIKIE HAYO MAPENZI WANAYOSEMA NAPENDA
8:18
Gangana Info Channel
Рет қаралды 36 М.
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН