MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

  Рет қаралды 46,707

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Жыл бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 137
@hollojuma9538
@hollojuma9538 Жыл бұрын
Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝
@abdyissaabdi108
@abdyissaabdi108 Жыл бұрын
Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 Жыл бұрын
safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.
@aikandeshoo5354
@aikandeshoo5354 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda
@florianakhweso5749
@florianakhweso5749 Жыл бұрын
Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 Жыл бұрын
AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke
@silverrichard1211
@silverrichard1211 Жыл бұрын
Safi huyu ndie mzarendo wa kweli
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi
@kasiankillo6949
@kasiankillo6949 2 ай бұрын
Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza
@user-eq9lw9ju1l
@user-eq9lw9ju1l Жыл бұрын
Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.
@ezammwakisambwe-t8u
@ezammwakisambwe-t8u 7 сағат бұрын
Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Жыл бұрын
Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,
@IbuGang
@IbuGang 14 сағат бұрын
Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Wafundishe Bro Big Up
@JosephinaLuoga-lo9os
@JosephinaLuoga-lo9os 8 ай бұрын
UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana
@user-lu8ny2gu7t
@user-lu8ny2gu7t 25 күн бұрын
Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu
@MeshackMwangwale
@MeshackMwangwale 24 күн бұрын
Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.
@pillykimenyi846
@pillykimenyi846 Жыл бұрын
Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja
@violetn.finnvik373
@violetn.finnvik373 11 ай бұрын
🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Жыл бұрын
Nakupenda bure msemaji wawanyonge
@success-only
@success-only Жыл бұрын
Aisee, mwanaume na nusu Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule, Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu
@elizabethringo7154
@elizabethringo7154 Жыл бұрын
Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu 2 күн бұрын
Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Жыл бұрын
Hongera sana tupamoja towatamko
@sadallahbataza1906
@sadallahbataza1906 Жыл бұрын
Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Mwambukusi kiboko Uko vizuri
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️
@balthazarkilasi9825
@balthazarkilasi9825 Жыл бұрын
Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!
@SamweliHozza
@SamweliHozza 3 күн бұрын
Hili lijanaa ni very smart
@hamisiomari-k9z
@hamisiomari-k9z 2 күн бұрын
sana boss
@gibsonsilungwe685
@gibsonsilungwe685 Жыл бұрын
People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4
@ClemoohPeter
@ClemoohPeter 2 ай бұрын
Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi
@hanscmakerdm9943
@hanscmakerdm9943 Жыл бұрын
Respect 🙌
@daudimchileg307
@daudimchileg307 Жыл бұрын
Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 Жыл бұрын
Safi sana msomi
@MartinSiimay-jj9jk
@MartinSiimay-jj9jk Жыл бұрын
Safi sana kamanda
@lunjeramadhani1295
@lunjeramadhani1295 Жыл бұрын
Mwenyezungu akupenguzaidi kaka
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 11 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Жыл бұрын
❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 25 күн бұрын
Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi
@lalosalamanca7131
@lalosalamanca7131 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@YoakimMsuha
@YoakimMsuha 2 күн бұрын
I see new TANZANIA
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg Жыл бұрын
Damu ya yesu ikufunike
@jumarobert4929
@jumarobert4929 10 ай бұрын
God blass you baba
@AkleyNziku-cv9lt
@AkleyNziku-cv9lt Жыл бұрын
Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima
@evaemil856
@evaemil856 11 ай бұрын
Amen
@JohnMagweiga-uu8fv
@JohnMagweiga-uu8fv Жыл бұрын
Usimwogope mwanadamu
@amosbirusha952
@amosbirusha952 Жыл бұрын
Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo
@ofreyking5975
@ofreyking5975 Жыл бұрын
Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha
@mwamakaassely2260
@mwamakaassely2260 Жыл бұрын
Magu hakuuza bandari, elewa hilo
@thomasmmoka4884
@thomasmmoka4884 Жыл бұрын
Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!
@AshrafuMwalongo-km5fd
@AshrafuMwalongo-km5fd 9 ай бұрын
Mungu akupe maixha malefu
@olemnakitende7637
@olemnakitende7637 Жыл бұрын
Mungu yupo nawe kabxa,
@user-ji1mq4sk1n
@user-ji1mq4sk1n 20 күн бұрын
uwoga wetu haujawahi kutusaidia
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 Жыл бұрын
Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Жыл бұрын
Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
Hahaha babdari itauzwa tuu
@yussuffadhil4522
@yussuffadhil4522 Жыл бұрын
Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
@@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea
@robinilomo2887
@robinilomo2887 Жыл бұрын
Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure
@user-nt4lp9dy6i
@user-nt4lp9dy6i Жыл бұрын
Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej 4 күн бұрын
Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?
@AbdulOthman-gy7nu
@AbdulOthman-gy7nu Күн бұрын
Unafaa kuwa rais wa Tanzania
@rithaurassa
@rithaurassa 2 күн бұрын
Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale Күн бұрын
Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!
@legendmmari8094
@legendmmari8094 Жыл бұрын
Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 Жыл бұрын
Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya
@barakamusapolekidoti957
@barakamusapolekidoti957 17 сағат бұрын
Mkuu heshima kwako
@alfrediaugustino1026
@alfrediaugustino1026 Жыл бұрын
Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.
@user-bx3em9jc6m
@user-bx3em9jc6m 10 ай бұрын
Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini
@BoniventureMagina
@BoniventureMagina 16 күн бұрын
Huyu mwamba shikamooo
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤
@swiftkatepa6131
@swiftkatepa6131 Жыл бұрын
😢
@edithmwasulama7005
@edithmwasulama7005 9 күн бұрын
Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga
@danielchacha1305
@danielchacha1305 Жыл бұрын
Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.
@kessydieselengineers3205
@kessydieselengineers3205 Күн бұрын
Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri
@Nancy-z8h
@Nancy-z8h Жыл бұрын
Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu
@kinkybanjukome217
@kinkybanjukome217 Жыл бұрын
Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee
@digostjafety6070
@digostjafety6070 Жыл бұрын
Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Жыл бұрын
Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya
@kahemachowdry7346
@kahemachowdry7346 Жыл бұрын
Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini
@jumannesalumu8290
@jumannesalumu8290 Жыл бұрын
tukopamoja tumechoka kuongopa
@user-rp1ys6pw9f
@user-rp1ys6pw9f 11 ай бұрын
Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 Ай бұрын
We ni zero brain
@kingngojea
@kingngojea 11 ай бұрын
Tungekua na watu 50kama awa daaa
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine
@muuminikidunda9214
@muuminikidunda9214 Жыл бұрын
Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari
@fatmaabdullah7516
@fatmaabdullah7516 Жыл бұрын
Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo
@FloridaAdelinus
@FloridaAdelinus Жыл бұрын
Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.
@abiabi9353
@abiabi9353 11 ай бұрын
Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Жыл бұрын
Huyu bwana ha ha ha ha ha ha
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 Күн бұрын
MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU
@kingngojea
@kingngojea 11 ай бұрын
Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe
@luckMwamwage
@luckMwamwage Жыл бұрын
Kyala aje nanungwe nkulumba.
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale
@michaelmwakibinga1124
@michaelmwakibinga1124 Жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa kiboko Walikuwa hawaongei enzi za uhai wake
@senyagwadickson9084
@senyagwadickson9084 5 ай бұрын
Wakili msomi waambie hao wasomi wajinga tu
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 Жыл бұрын
MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU
@mbarakatv633
@mbarakatv633 Жыл бұрын
Acheni amani yetu nyinyi nchi ikivurugika mtaondoka Tanzania sisi watanzania hatuna pakukimbilia
@ibrahimuwissi
@ibrahimuwissi Жыл бұрын
kaka hijijui wewe
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Жыл бұрын
Kenge kabisa tunauzwa afu unabeza acha upuzi ngedere weee
@mbarakatv633
@mbarakatv633 Жыл бұрын
@@ladislausmoris9638 Haina haja kutukanana sawa .ila usijifikuire sana wewe angalia nchi ikivurugika wewe unaweza kukimbia lakini wapo icu,kunawalemavu na wazee wote ndio wataumia maneno mawili yanauwezo mkubwa wa kuvuruga amani .Sasa waacheni viongozi walio madarakani wao ndio viongozi wetu
@kassimkingu5512
@kassimkingu5512 Жыл бұрын
Huna lolote unajitafutia sifa bure sisi tunasonga mbele.
@louiskayange-kz7ec
@louiskayange-kz7ec Жыл бұрын
Dini inakusumbua ww
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
mbele wanasongo wao.ww shida tupu , usoijielewa
@johngerald4677
@johngerald4677 Жыл бұрын
Mbwa we
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 Жыл бұрын
@@johngerald4677 mkund* WEE🐖 mafiisadi.wakubwa mmekomeshwa.myan'gau🍆
@kudraahmad5670
@kudraahmad5670 Жыл бұрын
Unatumika vibaya
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
NANI MWIZ WE PUMBAVU!! MWACHENI SEREKALI IFANYE KAZI!! HAYO MANENO NI UCHOCHEZI,ETI MWINGIE BARABARA KUWAONDOA VIBAKA!!PUMBAVU WEWE!!
@Sambrain03
@Sambrain03 Жыл бұрын
Acha uchawa mwisho wake sio mzuri.. tumia akili vizuri
@lalosalamanca7131
@lalosalamanca7131 Жыл бұрын
We ni uharo wa bata
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын
UNATAFUTA KIKI ZA KISHAMBA KWELI BROTHER !!!
Mwabukusi Atoa Hotuba Nzito Baada ya Kuapishwa, 'Tuwe Wamoja'
19:11
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 117 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
MWABUKUSI AFUNGUKA KUHUSU KUTOELEWANA NA WAZIRI MKUU.
5:47
Star TV Habari
Рет қаралды 6 М.
Mfahamu Wakili Mwabukusi/Aeleza Historia Yake - Part 1
20:59
Busokelo TV
Рет қаралды 47 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 117 МЛН