MWAKINYO AMVAA MANARA?/ "MTU MBOVU KUPITA MAELEZO"/ "USIJITIE SHUGHULI KUOA WATOTO WADOGO"

  Рет қаралды 16,581

Dar24 Media

Dar24 Media

Жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#mwakinyo #hajimanara #vitasa

Пікірлер: 54
@visitDar2011
@visitDar2011 Жыл бұрын
Mwamba katengeneza class yake kwenye masumbwi, kujikweza na kuwa na dhihaka kwa mpinzani ni sehemu ya watu wa masumbwi. Kauli zake zimewaondoa wa"promota" kupe na njaa wanaotumia platform hizi kushusha" hadhi" na "bei" za manandondi hawa. Shinda tu Kaka 🎉🎉🎉
@edwinregnald5826
@edwinregnald5826 Жыл бұрын
Proffesionalism safi!!
@elizabethachi3049
@elizabethachi3049 Жыл бұрын
Pambana mwakinyo Mimi shabiki Ako Niko arusha ndio umefanya nipende ngumi ,sio hao vichaa .love u so much mwakinyo
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 Жыл бұрын
Real talk
@moganfred6473
@moganfred6473 Жыл бұрын
Unajitambua bro
@franciskibay8948
@franciskibay8948 Жыл бұрын
Hahahahahahaha eti honeymoon sio kupiga picha kwenye mabembea aseeee ni mswahili full wakwetu
@abdallahmzee7677
@abdallahmzee7677 Жыл бұрын
Mimi shabiki wako nakukubali sana popote huendapo mwakinyo nakuombea hushinde kwenye pambano lako munqu hasimame pamoja nawe
@immubawazir8285
@immubawazir8285 Жыл бұрын
Viva Mwakinyo
@sidearsenal666
@sidearsenal666 Жыл бұрын
Mwakinyo hutakiwi kupaniki sana kilichotukuta wengi tuliumia sana lile tukio bora ungepigwa tungeona unapigwa ila game uliluwa una nafac ya kushinda Mwakinyo watanzania tuliungana wote mpaka wasio kupenda kukushangilia kwa hiyo kilichotokea watanzania tuliumia sana kikubwa punguza maneno mengi acha tabia za kidigo fanya kazi ngumi ww unajua
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 Жыл бұрын
Stay focus, hard work and dedication
@EdsonMkude-do8lu
@EdsonMkude-do8lu Жыл бұрын
Tanga tanzania
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 Жыл бұрын
Facts
@TonyYeyo-py7ic
@TonyYeyo-py7ic Жыл бұрын
Umenifurahisha mwakinyo kulitukana haji manala,achana nalo Lile ni shoga kitambo Sana,wewe komaa mwanangu ngumi unajua na unajitambua thamani yako achana na msukule
@mohamedsalim4226
@mohamedsalim4226 Жыл бұрын
Wewe mwakinyo Nani kakufundisha ujanja ? Hongera sana
@salimliemba3458
@salimliemba3458 Жыл бұрын
Manara Soma hyoooo ukome kusema Wana wa kitanga 😂😂😂😂
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 Жыл бұрын
MPE TU KWANI SHILINGI NGAPI MBONA YULE MVAA MAGUO MAKUBWA ALIPEWA HUYO NASIKIA ANAJIITA ASHURA CHEUPEE ANA DOMO SANA MPE ILI SIKU NYENGINE ASIKUFATILIE
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉 Hassan wetu go goooo
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Mandonga now yupo mjini
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Жыл бұрын
Unapoongea usifiche sura yako Ili Tukuone
@omarymlawa5221
@omarymlawa5221 Жыл бұрын
Najiskia faraja kuichagua Chanel hii habari zakweri
@dismasjohnas5970
@dismasjohnas5970 Жыл бұрын
Et mtu mwenyewe mbovu😂😂😂, nani huyo?
@yusufufikiri5005
@yusufufikiri5005 Жыл бұрын
Mwamba tunakukubali unatisha mwamba.
@fadhilichawemba137
@fadhilichawemba137 Жыл бұрын
Timu mwakinyo niko mtwara
@yusufufikiri5005
@yusufufikiri5005 Жыл бұрын
😂 mwakinyooooooo mwambie manara huyo boya tuu hana analolijuwa. Mwambie mzee wa mabembea
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 Жыл бұрын
Duhh manara kilamtu anamparamia2 zeruzeru Tulia namkeo kk
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 Жыл бұрын
Huyu dogo tushamchoka kwa usanii wake aliofanya kule uingereza.unauza mechi unasema viatu vimekubana.Njia ya mtu muongo ni fupi.Ushakuwa mwanasiasa maneno mengi kabisa vitendo hakuna😢
@Chemba67
@Chemba67 Жыл бұрын
SUGUNYO NDIO MPANGO MZIMA.......HUYU ATULIE TU MANENO MENGI
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Kwa kuongea ki boxer bado saaana,Mtu kazi ndo analeta hamasa kwenye Africa boxers
@ibraabuemu9231
@ibraabuemu9231 Жыл бұрын
Hicho kisa cha imamu ni cha kweli
@antidiusegbert5562
@antidiusegbert5562 Жыл бұрын
Jamaa mswahili sana
@mohamedjeizan5929
@mohamedjeizan5929 Жыл бұрын
Kumbe Kuna honey moon ya kupanda bembea😂😂😂😂😂
@traudkamugisha8051
@traudkamugisha8051 Жыл бұрын
ulituzingua uliunza Nchi hatukukuelewa nenda huko
@emmanuelakutulaga9756
@emmanuelakutulaga9756 Жыл бұрын
Kila la heri Mr Mwakinyo,MUNGU awe nawe....achana na watu wabaya wanaofurahia wenzao wakifeli.
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Жыл бұрын
Nyamaza tu maisha yaendelee maana maneno yako ya Shombo ni zaidi ya uono unaoanikwa Msakangoto wana TA nadhani mmenielewa 😂😂😂😂😂
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Hehehehehehehehehe haya sasa mtoto wakitanga kaja sasa
@bbccaa4156
@bbccaa4156 Жыл бұрын
Kumbe huy naye punga chele ila silaha yake ngumi msikieni
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Жыл бұрын
Mwakinyo huyu Haj Manara huwa hupendi mwengine asifiwe awe TAJIRI honey 🍯 moon..... Kafanya nn kule Mwakinyo
@kasimukiduba4484
@kasimukiduba4484 Жыл бұрын
Mwandishi wa ukc tv ndo ana la moyoni hampend Mwakinyo sjui kisa nn ,,,, champez ua
@mirajibarua9631
@mirajibarua9631 Жыл бұрын
Waandishi acheni kugombanisha watu mwakinyo haja mtaja manara
@badrimickdad1801
@badrimickdad1801 Жыл бұрын
😂😂mtoto kwel jau huyu
@islamkarata9655
@islamkarata9655 Жыл бұрын
Makorora stundup
@jeremiandembo-sr6mk
@jeremiandembo-sr6mk Жыл бұрын
naomba brother unitumie namba yako kwan mm nakukubal sana naomba namba yako hili tupeane ushaur
@hassanjuma2748
@hassanjuma2748 Жыл бұрын
Labda mm mgeni na hayo mambo kwn honeymoon kukazan tu muda wote akuna muda wa kufulai kumbea kama unavyo sema au kupga picha ina maana usku mchana asubui mkazane tu hayo mapenz au kumkomoa
@abdallahsaid1968
@abdallahsaid1968 Жыл бұрын
Nyie ndio mnaotafuniwa wake zenu mwanamke akiwa han Muni na mumewe inamaana yupo Saba kwa lugha ya kiswahili kaziilio kuepo ni sexi tu kama huna nguvu izo ni wewe sio wengine
@mohamedhamsini9106
@mohamedhamsini9106 Жыл бұрын
BINGWA NIPO SAMBAMBA NA WEWE LILEJENDAWAZIMU TAPERI TU ANAWADANGANYA WASIOMJUA KWANZA HABARI ZAKE TUNAZO NI JOKER HAYUPO SAWA😅
@saidally9896
@saidally9896 Жыл бұрын
Huyu pumbav anamzalilisha imam huku anacheka
@KulwaMbappe-zp4rd
@KulwaMbappe-zp4rd Жыл бұрын
😂🤣
@bakarisahede9532
@bakarisahede9532 Жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi inshaallah usiwajibu wajinga maana nawewe utakua umeepuka ujinga kunamtu anaweza kukwambia eti jamaa mswahili sana huyu alafu yeye ni mswahili tafsiliyake hatayeye nimtu asiyejikubali kwaio usishangae hatawewe asipo kukubali
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Tanga tujuane wazeee
@sabanajunior3243
@sabanajunior3243 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@mauvaisecompagnie951
@mauvaisecompagnie951 Жыл бұрын
Ila wewe ukipigwa ..viatu avikukutosha boss
@sabanajunior3243
@sabanajunior3243 Жыл бұрын
Huyu ni mwanafalsafa
@mohammedhimba1647
@mohammedhimba1647 Жыл бұрын
Huna lolote pigana na kiduku
@MohamediMaulidi
@MohamediMaulidi Жыл бұрын
Nipige nikale
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 127 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 14 МЛН
KADANGANYA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 125 М.
100% Funny Reactions 😂
0:30
L7 Football
Рет қаралды 10 МЛН
Узбекский тренер растрогал кыргызстанцев
0:21
Кыргызстан сегодня
Рет қаралды 329 М.