Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MWAKINYO AOMBA KUMSAIDIA TWAHA KIDUKU NA DULLAH MBABE #Bonatv #Exclusive #mwakinyo
Пікірлер: 52
@ganjosuleman92632 жыл бұрын
Mungu akupenguvu wanakuchukiya kwakuwa unafanya vizuri mungu akulinde kwakila lashari
@mussachipangula95622 жыл бұрын
Mwakinyo - Tanzania One Hongera kwa ushindi unaiwakilisha vyema Tanzania - Inshaallah Mwenyezi akupe kila linalowezekana katika kazi yako awe nawe daima Aamin
@daudinyello40332 жыл бұрын
exactly
@juliusmwiburi81172 жыл бұрын
Mwakinyo hana uwezo wa kumsaidia twaha labda dullah wake hyo
@venanceselegebu85662 жыл бұрын
Napenda style yako ya kumtanguliza Mungu mbele, pia jaribu kuwa unakimbia hata 5 km kabla ya mazoezi ni njia nzuri sana ya kuwa na pumzi kubwa
@subirajohn7282 жыл бұрын
Usijali hiyo ni kawaida Kwa wanadamu wapo watakaokuchukia na wapo watakaokupenda pia huwezi pendwa na kila mtu wewe chapa kazi usiangalie makunyazi!
@lucassikomele56512 жыл бұрын
Mi binafsi mwakinyo kinachonivutia ni kumtanguliza mungu mbele Kila wakati na si wanadamu na kukubali kuwa ushindi uupatao ni kwa maombi ya washabiki wanaukufahamu na wasiokufahamu unatutia moyo nasi tunazidi kukuombea
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Allah azidi kukusimamia na akuepushe na chuki na husda
@daudinyello40332 жыл бұрын
Kinyooooooooo boy
@scholasticawillson84142 жыл бұрын
Masikini akipata?. Yani siku ukipata bondia utaita Maji mma
@revocatusmashimba13472 жыл бұрын
Leo umeogea kwa nidhamu kweli mpaka nami umenishawsh nikukubal hongera Sana kw ushind
@daudinyello40332 жыл бұрын
yap
@salomemahenge67582 жыл бұрын
Nakukubari sana wewe ndio bondia urio baki mbabe hamna kitu
@geitanjonas64292 жыл бұрын
Maneno meng gusa mziki wa kiduku tuone mbn unachonga 2
@OmarMohamed-bp9ix2 жыл бұрын
Twaha apigane na mabondia wa nje,,ndio tutajua kama kweli yupo fiti ili na yeye awe level za juu
@daudinyello40332 жыл бұрын
Exactly
@seifabdulwahid45792 жыл бұрын
Kbs
@ramadhanhaji552 жыл бұрын
Nje twaha kacheza game nyingi kuliko mwakinyo shida management ya kiduku
@seifabdulwahid45792 жыл бұрын
@@ramadhanhaji55 Nje yenye we nchi za Africa
@ramadhanhaji552 жыл бұрын
@@seifabdulwahid4579 kwani mwakinyo kacheza ngapi nje ya nchi
@king-rr8oc2 жыл бұрын
Wewe sio bondia we we ni porfeshenal boxingg
@daudinyello40332 жыл бұрын
Heeh
@ganjosuleman92632 жыл бұрын
Mungu akuongeze nguvu
@lloveyoutanzania53152 жыл бұрын
Mwakinyo unaniangusha sana hivi lini utaua bondia ulingoni? Mimi nataka siku moja upige bondia akufe kumanina zao hawa wanachonga sana
@@eaglecrown1101 brow nishakwambia hujui chochote kaa kwa kutulia sipo kitimu mm acha povu nimetoa maoni yangu ka mtanzania na kamwe hatuwezi kuwa sawa kifikra so tulia acha wenge shemabikia unachokipenda
@eaglecrown11012 жыл бұрын
@@nyimbizikamtima967 jibu swali
@ismailhassan56622 жыл бұрын
Hunalolote 🐒ww
@dvoice88562 жыл бұрын
Huyo kama kwao ndo bingwa dah? Hiyo nch wamefeli bondia gani boya hivyo kumbe wewe ndo uliandaa pambano ndo maana jamaa alizingua analusha ngumi Kama anapigana na baba ake mkwe
@ombenimshana91622 жыл бұрын
Acha ushamba wewe, maneno mengi sana kama mwenzako Acha dharau