Ha ha ha kiboko ya wapinzani umesahau tu kuwaambia kuwa wabunge wa viti maalum ktk chama chao ni watu wa kaskazini wanyooshe bro
@ezekielmachome5963 Жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri Sana Sana.
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
mashine ya kazi
@biancamass89214 жыл бұрын
Zumbe Shauri kibiko yao
@ashurakaswa37965 жыл бұрын
Aaahaaa brother umepiga pande zote NNE mpaka awaoni pakutokea
@abdallahmagera91604 жыл бұрын
Brother mwisho hiyo
@drgeofreymdede39525 жыл бұрын
You have made my day
@asiakanu67474 жыл бұрын
Awa wapizani walikula kiapo cha ubishi kitu wanakiona kabisa kuwa rangi hii ni nyeupe wenyewe wnasema hapan hi ni nyekundu
@ismailhanya23275 жыл бұрын
Waambie hao💪💪👍👍
@mamahustru5 жыл бұрын
Hili lijamaa liko vizuri sana japo hata darasa la 7 halikufika 🤣🤣🤣🤣
@juliusmsangi68494 жыл бұрын
Uelewa wako ni kidogo sana humwelewi mwalimu! Mwalimu Nyerere hawezi kushangazwa na maghorofa yeye ataangalia kiwango cha elimu walichonacho wananchi, maisha ya wananchi yakoje! Huduma za maji zikoje! Demokrasia ndani ya nchi ikoje! Atashangaa kuona Chama alichokianzisha miaka 55 iliyopita bado ndicho kinaongoza serikali! Atashangaa kusikia karne ya 21 bado kuna watu wanafikiri maendeleo ni maghorofa! Watu wetu huangamia kwa kukosa maarifa! Maisha bora kwa wananchi ni kuwa na uhakika wa Chakula, afya,elimu bora, huduma safi za maji, makazi bora, uhuru wa kufanya watakayo bila kuvunja sheria! Atashangaa sana mji umejaa maghorofa mengi yasiyo na wapangaji, atashangaa kuona aliacha ombaomba mmoja tu aliyekuwa anaitwa Matonya lakini kwa sasa kuna maelfu ya ombaomba mitaani Wazee mpaka watoto! Atashangaa kuna watu bado wanaishi kwenye matembe wakati maghorofa yako mengi mijini hayana wapangaji! Acha mipasho isiyokuwa na maana kwa nchi! Toa hoja za kuisaidia serikali! Hao unaowapasha leo ndio walikufanya uwepo hapo ulipo! Ulivyokuwa upande wao ilikuwa unaongea mambo ya maana sana kuisaidia nchi ila tangu uingie huko uliko unaongea mipasho tu! Mwalimu Nyerere alishawahi kusema elimu nzuri inaweza kutolewa hata chini ya mti cha muhimu kuwa na waalimu waziri na wanafunzi waliotayari kufundishwa! Badilika utoe hoja za maana bungeni kama wafanyavyo akina Nape, Bashe n.k!
@rogermomodesty35684 жыл бұрын
@@juliusmsangi6849 huna hakili we kafie mbele, chadema chama mashoga mnapangisha wabunge huo ni ujinga uliopitiliza
@ngangamalugu65434 жыл бұрын
Ww msangi demokrasia gan akati chadema haina demokrasia inaonekana ww ni wa kaskazin
@kelvinchidabwa25383 жыл бұрын
Safisana Mh RUSINDE Nawakpata ayo TV nikiwa mozambiki Mapito kazi mzuli jimbo la MVumbi
@jephutabukwimba38144 жыл бұрын
Brother you're a real politician
@thieryniyonkuru10674 жыл бұрын
Jamaa huu naruhusu Mkapa ampe shahada katika chuo cha Dodoma
@leonardmrope95285 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀uyu jamaa ninoma aisee
@gottacheckintorehab76975 жыл бұрын
Watu kweny comment hawataki kukubali ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣 huyu Jamaa ndo anajua kuwanyoosha wapinzani wa Tz. Wapinzani Tz ni mabogus tu hawana maono hata kidgo.... Lusinde ndo type yao bogus +bogus =MABOGUS.
@janethkilonzi42604 жыл бұрын
Tunakubali bhana wee
@geofreymgeni26685 жыл бұрын
Mboweee achia na wenzako watawale kidogo
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
Lusinde unajua bwana...maana hawa jamaa hakuna kitu ambacho alianzia wao ila hakikuwepo CCM.
@stevenmsaaada.msaada.3895 жыл бұрын
Lusinde wenoma.
@festokillingo89125 жыл бұрын
Kiboko yao , wapi mlinga jembe lingine
@ashurakaswa37965 жыл бұрын
Dili limeharibika turudi aaahaaa
@gottacheckintorehab76975 жыл бұрын
Ukweli mchungu.. Upinzani hakuna. Wanongea mambo wasio yasimamia
@godfreymbwambo44605 жыл бұрын
LUSINDE, WAPE VIDONGE HAO CHAMA CHA DEMOKRASIA YA MAENDELEO YA MAFISADI NA MASHOGA TANZANIA CHINI YA SHOGA WAO LISSU TINDIKALI HUKO BELGIUM!!!!!
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Waambie lusinde wapinzani
@masagapaul50395 жыл бұрын
Kidonge chao
@lubashajosephkakemajohn13775 жыл бұрын
Wachome wachome
@patrickboniphace14934 жыл бұрын
Ukweli ingekuwa niuwezo Rusinde alitakiwa apewe muda wa dakika 45 kila akisimama Bungeni ilieawape makavu waelewe
@waliwilson68044 жыл бұрын
Nakubal lusinde naelewa unachokifanya
@josephmwaruanda63794 жыл бұрын
Mhh Leo nimekuelewa
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Huyu jamaa huwa hasomeki ana mineno ya shombo
@aguumoppao154 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👊
@renatusmatungwa68004 жыл бұрын
Huyu alitakiwa awe comedy na mineno yake😁
@checkchannel38763 жыл бұрын
Hiki kichwa mwisho wa matatizo!
@lamerocklamerock3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Hizo kelele za chura za wapinzani hazimzuii ngombe kunywa maji
@fatboykells23805 жыл бұрын
😂😂😂
@ngangamalugu65434 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣
@ipyanajerry67844 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@petermasele56925 жыл бұрын
Hoja yako ni nn sasa ( siasa au uwakilishi wanajimbo)
@felisilohay98685 жыл бұрын
Mwalimu atashangaa kuona bado tunatumia katiba ya mwaka 1977.Zaidi kilichofanyika ni kubadilisha vipengele tu.
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Ninaowaonea huruma ni wananchi wanaomchagua huyu mbululazi
@ibnually74285 жыл бұрын
Hatutaki story za maiti ashangae kwan yy km nan? Hapa hawezi akashangaa lakin huko aliko ndo kunakomshangaza saiv Allah alimtawalisha akafanya utumbo wake akaondoka na ww maliza utumbo wako uondoke
@alastojakande62065 жыл бұрын
tatz akil huna kijna
@francismigongwa41465 жыл бұрын
WAPE VIDONGE VYAO MH LUSINDE
@ibnually74285 жыл бұрын
@@alastojakande6206 Akili gan unayotaka ww au nimesema ukweli kuhusu baba yako wa taifa
@alastojakande62065 жыл бұрын
@@ibnually7428 as binadamu uwez mkosoa mtu alie kufa kijna mkosoe ambaye yupo now and just sema on ur point of view dont be sure coz hata wewe aupo sawa ndugu yangu but sorry kwa kukutoa akili
@geofreymgeni26685 жыл бұрын
Men you can't judge alive kufa wewe
@redmondmulilo1745 жыл бұрын
I'll uyu muimba tarabu ni shida sana inamana hana house y'all msingi Tani to kaziyake nikunyoka na chadema tu hafai kabisa Kuwait mbunge pumbavu zako kibajaji
@gottacheckintorehab76975 жыл бұрын
Kama kina zito kabwe wanavo nyooka na CCM
@yasinshaban49334 жыл бұрын
Nmemfuatilia huyu jamaa vzr, nmegundua hasemi tu isipokuwa kafanya reserch..!!! Big up kamanda Lusinde
@ndakimasanja63534 жыл бұрын
Hatari sana
@zamoyoniselestine45675 жыл бұрын
Hivi wanaomchagua huyu mbunge wanajisikiaje, hata mtoto hawezi mwelewa
@tonykisogole67105 жыл бұрын
Wewe mwenyewe hueleweki
@geofreymgeni26685 жыл бұрын
We jamaa huelewki cheki miwani ulivyo kuwa mikubwa kuliko pua
@luganomwambulukutu53115 жыл бұрын
Ukweli unauma
@yasinshaban49334 жыл бұрын
Mbona anaeleweka vzr tu, labda kwa mtu mwenye matatizo ya akili ndo hatamuelewa anachosema.
@jameslaiser62765 жыл бұрын
Huyu Lusinde ni Pimbi.....Wanaocheka ni wale Wajinga ambao Akili zao ni zile zinazofikiria kwa Matako badala ya Vichwa....Sasa hapo anachambua Hoja za Upinzani au anatoa Mipasho.....Huyu ni Mbunge unadhani Wanaompigia Kura (Wananchi) kumchagua watakua na Akili za namna gani?
@depaolo34615 жыл бұрын
Jimboni kwake kuna maendeleo ndo maana wanamchagua
@erickchimbuvu27965 жыл бұрын
Njanja tu inakusumbua una lolote,
@depaolo34615 жыл бұрын
@@erickchimbuvu2796 😂 😂 😂 wabongo bhana
@clementlushino57635 жыл бұрын
Huyu bunge ni mc kushirehesha shughuli ndio ilikuwa kazi yake, hospital, umeme, maji, shule viwanda, bara2 si vitu vya kujadili leo miaka 50 ya uhuru, tugekuwa tunaogelea kutibu, kilimo uvuvi ufugaji wa kisasa hakuna dawa viongozi wa kiumwa India matibabu ziro, leo baada ya kuogelea maendeleo kuogelea upinzani ulishi man.
@lugumijr11804 жыл бұрын
Haahhhh mkuuu ata mm nakushangaaa,badala ya kujadili alichosema Lusinde kuhusu kupangishwa chama wabunge wa viti mahalum upinzani ww unatukana.