Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 1 300
@unjubinunuki71742 жыл бұрын
Mungu bariki huyu lusinde.AMENN
@stellahwilfred57622 жыл бұрын
Wakinyamazisha wadogo hao hata mawe yatasema sote tumeumbwa japo wanasiasa hupifuka wakizifikia PESA za kodi zetu kujisahau kbs😔🤔😎
@winchislausignas46782 жыл бұрын
Lusinde upewe nguvu za kuishi na kututetea
@josephajosephat61792 жыл бұрын
Mungu ambariki sana
@kasalempalasinge74712 жыл бұрын
Kabisa mweshimiwa ogeyaaa
@isaacmwansile4832 Жыл бұрын
Hongera lusinde sio hao wabunge vilaz
@JAKODAMO2 жыл бұрын
Mbunge Lusinde apewe ULINZI tafadhali! Mawaziri hawa hawatufai kabisa Tanzania: January Makamba, Nape Nnauye, Mwigulu Nchema, Ridhiwani Kikwete!! Like if you Agree
@amenmushi42402 жыл бұрын
Tusimsaidie Mungu .Bali tuombe Mungu hakuna atayeishi milele
@amenmushi42402 жыл бұрын
Naamini nguvu ya maombi sana
@amenmushi42402 жыл бұрын
Mwanadamu yeyote ni maiti mtarajiwa shida iko wapi.
@emacratantara74342 жыл бұрын
Kweli umenena
@sportsnewjs43302 жыл бұрын
Lusinde nikweli unafaa kuwa kiongozi umenena ukweli sana''🙏 na MUNGU akubiriki akuongoze 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania' tunaweza💪
The genius lusinde ni Kweli tusiingize siasa katika maendeleo ya nchi na wananchi
@chomasongidion60472 жыл бұрын
January,nape na riziwani hawakubaliki kabisa kabisa kwenye serikari ya Mama,wanaichi hawawapendi na ndiyo Nuksi ya Taifa.hakiyanani tena chunguzeni .yaani bola watu vitu vipande lakini kuliko uwepo wahawa watu.mama watowe
@godfredbwire47042 жыл бұрын
Ongeza na mwinguru chemba
@geey78932 жыл бұрын
Hawa wana laana kubwaa ya kumtukana yulee mzee. Itawatafuna maishaaa
@bibieismaily57612 жыл бұрын
Wapo wengi so hao tu! Lkn pa riziwani ndo pamezidi...eee!
@joycebayo81062 жыл бұрын
I want to congratulate Lusinnde mbunge, anachangia vizur sana, kumbe CCM ina wabunge wazuri sana, big up sana mbunge.
@jeffferdinand7882 жыл бұрын
Sema sema sema babaa hapo ndo tunapotaka mtaan huku Ali ngumu acha tufe tukapumzik nchi waishi matajiri lakin matajiri awachimbi kaburi Rais anasahau maskini anajari matajiri Mungu amsamehe uyo ostadhat
@latwifsued33162 жыл бұрын
Safi Sana Mr Rusinde uko vizuri hawa wengine wanaleta siasa, hali ni mbaya kweli
@beatricekihehe37332 жыл бұрын
Wewe ndio uliyebakia bungeni kwa ajili ya kututetea wananchi wa hali ya chini.
@praygodmtui14072 жыл бұрын
Kati ya wabunge wenye uchungu kuhusu maisha duni ya watanzania ni waziri wetu wa fetha mheshimiwa mwigulu mchemba ano uchungu mkubwa na watanzania kuliko wabunge wote na mawaziri wetu.
@ismailmichael78542 жыл бұрын
Lusende anajua alitochotumwa na wananchi, hata wengine tunamuunga mkono huku tuliko kwa 100% na wabunge wetu wapo Kama mapazia mlangoni, maisha yamekuwa magum Sana, vitu vinapanda bei utazani tuko mnadani ambapo kila mtu anapanga bei yake, ifike mahari viongozi wamfikirie yule mwananchi aliyeko kule kijijini kabisa wajue atakuwa na Hali gani kwa Sasa, ndiyo waanze kuongea baada ya kuona Hali ilivyo, na Soo kuongea tuu na kujali msrahi yao, wananchi tunaumia Sana tena Sana kwa Hali hii ya mfumuko wa bei, Iv hela ya tozo zetu zinaenda wapiiii?????
@kilimanjaro6952 жыл бұрын
Hakuna chochote. Hakuna kati ya hawa yupo kwaajili ya wananchi. Kama kila siku wanataka waongezewe mipesa tu na Ma V 8 Hakuna anaye jali zaidi ya family zao
@nasseralmaqbali63172 жыл бұрын
Kweli ni mbunge shupavu
@salomewandya72572 жыл бұрын
Wanaleta mzaa wanamkatisha
@yohanamaige61962 жыл бұрын
Lusende ndiyo mbunge anayefaa kuliko nguruwe pori wengine.
@ablestclemence73822 жыл бұрын
Halafu unasikia mama ametengeneza filamu ya bilion 7 ety hela zawadau duuuuu
@calvinanthonymtewele31772 жыл бұрын
Kumbe kuna watu Bungeni kama Lusinde, nimeipenda sana. Hongera sana kwako Lusinde.
@evalineemmanuel81782 жыл бұрын
taarifa kila saa taarifa kagusa pabaya
@evalineemmanuel81782 жыл бұрын
kama yapo mbona watanzania tunateseka alafubmnaficha ficha amsemi ukwwli
@kamlkaml4509 Жыл бұрын
@@evalineemmanuel8178 watu walikuwa wanafanya biashara barabarani mmefukuza
@kamlkaml4509 Жыл бұрын
iyo tanzania sio ulaya wala walabuni waacheni watu watafute maisha mabarabarani ivi wale wauza maindi ya kukaanga kama ni mabisi mmewapangia wapi kama siyo kuweka mashine ndani sasa si atali iyo
@kamlkaml4509 Жыл бұрын
@@evalineemmanuel8178 nyie ndio mmetuletea panya rodi tanzania kwa sababu ugumu wa maisha eti mnase
@saiguranlaurent4412 жыл бұрын
Sema lusinde waizi ndio wanakupiga taarifa na umewashinda kumbe bungeni Kuna watu Wana akili na elimu pia na utu Kama lusinde halima msukuma mungu atawalipa wengine ni vibaraka za wazungu
@stellahwilfred57622 жыл бұрын
😔😔🙏🙏🙏🙏🙏
@anordmwemezi53642 жыл бұрын
🙏🙏🙏👩🦯
@humphreyanderson16332 жыл бұрын
Asilimia 90 ya wabunge wapo pale kwa ajili ya posho, cheo na matumbo YAO. Hawajui hata sababu ya uwepo wao Bungeni. Baadhi ya mawaziri ndio kabisaaa sijui hata nani anapendekeza majina yao na nani anawafaniia Vetting. Nepotism has taken Over. Nchi haita enda kokote endapo kila mbunge ana mawazo ya kuwa Waziri.
@theresiamwandara79902 жыл бұрын
Huyu ndiyo mgogo pekee ninaemuelewa.Kututangazia kua bei zote zitapanda ni kutotumia busara.Nchi hii imepotea sekunde tu baada ya Magufuli
@lilykarim8968 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@husseinponda2 жыл бұрын
Mh Lusinde umeongea kwa uchungu sana kwa.kuzingatia ukali wa maisha wabunge wengine acheni kuleta porojo watu wanateseka.lazima serikali ichukue hatua
@angellaminzani26522 жыл бұрын
Ba Lusinde matajiri hawawezi kukuelewa ssi maskni tunateseka sana
@wardadanda63222 жыл бұрын
Mwenye uhakika wa kula mboga Saba awezi kujua njaa na shida ya mtu anae kula mboga moja
@wardadanda63222 жыл бұрын
Hali ni ngumu mno kiukwel Hali mbaya mno
@stellahwilfred57622 жыл бұрын
Tena porojo c kdg
@mangulimanguli39742 жыл бұрын
Big up lusinde, Wabunge kama nyinyi Wazalendo ndo mnaitajika
@zahirurumidis43012 жыл бұрын
Kwa hakika mzungumzaj ajaenda bungeni kulala anatutetea wanyonge,kila mtu akiongea "Taharifa taharifa taharifa"kwani mbona munaingiliana???
@sarahmmbwanji37822 жыл бұрын
Huyo anayetoa taarifa yeye ameshiba
@sirksirk48212 жыл бұрын
Akili kubwa sana Mhe. Lusinde. Umeona mambo ambayo Maprofesa na Madaktari wa Falsafa ambao wamefanya tafiti mbalimbali katika kujipatia Elimu hizo. Ur my Professor and Doctor of Philosopher
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Zahiru mama kazidiwa na mijizi hachomoi hapo kawakaribisha mwenyewe amerudisha awamu ya nne imerudi upya subiri 2025 asipobadilika kwa hali iliyopo anapigwa na chadema
@zahirurumidis43012 жыл бұрын
@@margarethpolepole7438 Kwa hali hii inavoendelea ni bora nchi tukabidhi mikononi mwa upinzani hawa wanajiangalia wao hawatudhamin watu wa hali ya chini.
@patientlazaro69302 жыл бұрын
Huyu mbunge anatetea wananchi wake. Anajielewa nimempenda bure asee.
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Lusinde ,bashe,shabibi msukuma,kishimba .ndowabunge watanzania wanaokubalika wengine mavi yaoo.taalifa taalifa taliia ya nini sasaaa???wawe wanajitasimini hakiyamungu.aibu hata natoto yenu yanawacheka taalifa unajipendekeza kwa nani sasa!!!!!!?pumbafuu
@fatmamunde55432 жыл бұрын
Hahahahahhh
@simononey93452 жыл бұрын
Mbn umemusahau gwajima
@aminamjanaheri97252 жыл бұрын
Ndugai je?😂😂
@mohamedrajab66522 жыл бұрын
Serikali iliyopo madarakani ipo kwa maslahi binafsi na sio kwa wananchi wake,kiongozi mkubwa wa nchi anatumiwa na mabepari na ndiyo maana Tanzania ya sasa sio ya miaka ya 90,watu walifurahia maisha kwa sasa walioingia madarakani wengi ni wahuni tu na wapo kwa maslahi yao binafsi,wajue wanayofanya yana mwisho uliokaribu kabisa wananchi wa hali ya chini tunanyanyasika sana na hawa baadhi viongozi wanaotumiwa na mabepari,Ewe mmiliki wayaliyo siri na yaliyo dhahiri endelea kuwapa mitihani mikubwa mikubwa wanayoiyona na wasiyoyana amiin.
@evodiusmwombeki92472 жыл бұрын
Ccm ni ile ile
@tangaoldtv10672 жыл бұрын
Unajua tatizo hajajua uchungu wa kupigiwa kura kwahio laIzima aone ni kawaida
@issazalala49072 жыл бұрын
Kuanzia raisi WA kwanza Hadi SASA ilikosa Lina wausu nnchi haina akiba miaka60 ni aibu Sanaa kwakweri
@kennywilliam24662 жыл бұрын
@@evodiusmwombeki9247 ccm ni ile ile na wahuni ni wale wale.
@williumjackob83612 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@husseinmasunga17782 жыл бұрын
Hongera Sana mweshimiwa lusinde mungu akupe maisha marefu
@husseinjohn84042 жыл бұрын
Wabunge wakisimama kuchangia kazi yao ni kusema tunampongeza mh rais ujinga mtupu, tunahitaji wabunge kama hawa big up lusinde🙏
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Ni wapuuzi tu cjui ht kitu gn wanacho mpongeza uyo bibi yao
@Karromiatz2 жыл бұрын
TUTAMKUMBUKA MAGU song #karromia
@egidiusthadeo55732 жыл бұрын
Hebu punguza sauti msiseme mama hajafanya chochote na hasitaili kupongezwa Kashafanya sema nyie ndo hamjaona acha walioona wampongeze
@nishaabdula50152 жыл бұрын
@@egidiusthadeo5573 kafanya nn hs alicho kianzusha yy kikakamliika ikiwq vyote kaqchiwq na mqgu
@mosseskanini2552 жыл бұрын
@@egidiusthadeo5573 ww ni mmoja ya wapuuz wachache waliopo tz,ungekuwa unajua hali wanaopitia wananchi ungekuwa unajitafakar kabla ya kuropoka,na mwaka huu mvua ilivyokuwa ya kusua sua mbaka mwez wa 7_10 hutaamin njaa itakayotokea nchin v2 vitapanda bei hutaamin
@YFM-rq9td2 жыл бұрын
Uzalendo ndo Kitu kinakosekana Sana kwa Viongozi wetu Hususa mawaziri Wenye Dhamana,,,Wanalinda nyadhifa adi Kwenye Mambo ambayo Yapo wazi yanaonekana wanataka kupindisha pindisha
@lulanjamd38862 жыл бұрын
Tanzania tuna wabunge wachache Sana wanaoumia kuhusu hali ya nchi
@stellahwilfred57622 жыл бұрын
Very true
@tangaoldtv10672 жыл бұрын
Kweli kabisa Mimi nimeumia SNA nape nauya kupewa uongozi mama katuaibisha SNA kwa kashfa ile ya kupanga njama nakarudishwa wanakazi ya kufunga kina makonda na na yule wa arusha alie fungwa nape anakashfa mbaya sana kuliko kina makonda lakini karudishwa
@stellahwilfred57622 жыл бұрын
@@tangaoldtv1067 let us watch. Keep on PRAY 🙏
@nasseralmaqbali63172 жыл бұрын
Wengi wa wabunge wapo kwa ajili ya maslahi yao tu
@AbrahamSekuza Жыл бұрын
Mwijage ndio mana Magufuli alikutumbua bado unashida kichwani
@elipidtesha54662 жыл бұрын
Nakupongeza sana mbunge lusinde kwa kuongea maisha hali halis mtaan ,mwenyez mungu akunyanyue uwe kiongoz kwa maono uliyo nayo
@nicojohn11922 жыл бұрын
Wabunge hawa wa Taarifa ndio wapigaji huyu waziri wa fedha ajitathmini hivi ana kivuli kweli sisi huku vijijini mpk kivuli imekonda pia
@hoseasteven62412 жыл бұрын
Haya mambo ya taarifa yanaboa mno sana
@deusdedithmichael21312 жыл бұрын
Lusinde natamani sana angekuwa waziri wa fedha
@saiguranlaurent4412 жыл бұрын
Angalieni sana mwezeni anaogea Jambo nzuri zana eti munapiga taarifa yenu ya kipumbafu hao hao ndio wajali matumbo yao hawajali wanainji walaaniwe wanakupiga taarifa wanasema kitu ambao Haina kichwa la miguu sema baba
@saumramadhan71342 жыл бұрын
2ngekua na wabunge 10 wanaojua kilichowapeleka bungen 2ngefka mbal,,
@upendodaniel85982 жыл бұрын
Siunaona wanavyomzui Kwa taarifa zao zakijinga yaani huu nimpango wao wakidikiteta
@tatusiamrisho76652 жыл бұрын
Huyu mbunge nimependa aisee
@rajabukhalfani47462 жыл бұрын
Huyu jamaa mara nyingi huwa simchukuli sirias kutokana na maneno ya kisiasa ambayo hua anayatoa ila kwa Leo well done umegusa maisha ya watanzania effectively BRAVO hon LUSINDE.
@fredyjeremia70742 жыл бұрын
Ingawa nimekuelewa vyema ssana.una uchungu na wanyonge like Mimi..BARIKIWA SANA MKUU.
@dadaagnes44832 жыл бұрын
Mwigulu ni kiongozi mnafiki sana
@neemasawe70162 жыл бұрын
Mnooo
@peteropiyo59342 жыл бұрын
Katika siku zote Leo ndio umeongea jambo bungeni lenye akiri
@alimakame92152 жыл бұрын
Nikweli
@zakariankinda5042 жыл бұрын
Du! hakika. Lusinde umeongea jambo lamana sana
@cattydaniel50162 жыл бұрын
Lusinde wewe ni mbunge Safi sana nakukubali hongereni Jimbo la mvumi mna mbunge makini
@annalesilwa92042 жыл бұрын
Mungu kamtumia kuongea asante Mungu
@allyhassan29732 жыл бұрын
Kuna nchi zimehifadhi mafuta utadhani zinavisima kumbe ni akiba huyo jamaa kaongea ukweri kabisaaa!!. Na niseme tu kua hao wabunge wanaotoa taarifa taarifa kwenye hoja ya msingi ni wanafiki na hawakujaaliwa kua uwezo wa kufikiri mambo ya muda mrefu ka faida ya wananchi. Na hii ndio athari ya kuchagua jezi ya kijani badala kichwa. Ndani ya serekali kiutendaji kuna mapungufu mengi utadhani tuna miaka kumi ya Uhuru kwamba ndo tunaunda serekali Leo, hapo bungeni kueni Sirius kenye mambo yamsingi acheni siasa bungeni.
@rashdiyange77582 жыл бұрын
safi sana lusindeee safiiii safiiiii sanaaaaaaaaaa
@bonifansimatias69512 жыл бұрын
Kumbukeni hata kwenye kipindi cha jakaya vitu vingi vilipanda bei aliyeshusha walichomfanyia wanajuwa wenyewe maana ufisadi umeingia alisema mtanikumbuka tena kwa mazuri
@herrysonk.edward6092 жыл бұрын
Na tutamkumbuka mpaka ahela maan sikuiz naona tunabuluzwa kama punda afe mzigo ufike
@witnesskassa24402 жыл бұрын
Lusinde pambana Mungu akutangulie
@justkibet11252 жыл бұрын
The command of swahili in the Tanzanian parliament is unbelievable. Love from Kenya
@stellakaluwa3647 Жыл бұрын
Magala yakowapi waongo magala yao wenyewe hayo sisi wanyonge hayatusaidii
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Hivi nyie Chikenya mnataka nini huku? Fuatilieni mambo yenu huko huko
@marianmartin74832 жыл бұрын
Hongera sana mh Lusinde
@masumajoseph84652 жыл бұрын
Mwigulu na makamba ni Kati ya Mawaziri wa hovyo kuwahi kutokea kwenye hii nchi hapa ndo tujifunze kitu kwenye uongozi Kati kuchaguliwa na kurithi uongozi
@nikolausmsakwa90562 жыл бұрын
Mm naona wabunge wawe wanajali wananchi sio kujijali wenyewe wakumbuke tumewachagua SS wanyonge wakatutete sisi
@stivinshedrack78412 жыл бұрын
Kabisa yaan hawafai kuitwa viongozi hawa
@athumanipigo92952 жыл бұрын
Na atachukua fom ya uraisi😂😂😂😂
@marcoakyoo7602 жыл бұрын
Lusinde hujawahi niangusha hongera sana umekuwa sauti ya wasio na sauti
@stewardmgeni85942 жыл бұрын
Mheshimiwa Lusinde MUNGU akubariki kijijini hali ilivyo ni mbaya na tumekata tamaa haijawahi tokea,uzuri tunajua ni MUNGU atusaidie maana tunawasikia wawakilishi wetu wengi wapo kwa maslihi yaao:
@eunicemligo52902 жыл бұрын
Safi sana Lusinde!!! 👏👏👏👏👏🎂🍾
@ignatusjoseph42162 жыл бұрын
Ama kweli mbunge anaongea point yakujenga Taifa wengine mkatisha tamaha kikubwa nikuwa ifadhi ya mafuta ya serikali
@lauwlawlence53122 жыл бұрын
Hongera Livingstone lusinde haupo hapo bungeni kwa bahati mbaya: umekuwa sauti kwa wasio na sauti, "Ukweli utabaki kuwa ukweli tuu" No matter utapokelewaje? Nimeona mwijage anataka akutoe Kwenye leli umemshitukia Eti "unanipiga Siasa na Mimi Tena? Hii Nchi watanzania wa Sasa Sio wajinga, leo hii nimemsikia C.A.G akizungumza hoja nzito Zile Hewa Hewa Ktk Kodi za watanzania zimerudi inasikitisha Sana Mungu anawaona! Upumzike salama JPM 🙏😭😭😭
@emmy85sweetie992 жыл бұрын
Safi sna mbunge nimekuelewa vizuri, kwel unahofu ya Mungu kwa kuona wananchi tunateseka wanasiasa wanakula kwa mteremko pesa zetu kutusaidia kwenye vipind cya mpito hawataki wanaleta siasa wakat mambo yanaonekana hayatak siasa bali yanataka ufumbuzi
@josiaelia85462 жыл бұрын
Viongozi mizigi
@hamisizetz89422 жыл бұрын
Ivi Kwa mfano ndo tunavamiwa saiv yaan vita.. je vifaru na magar ya jeshi mafuta yatapatikana wapi?? Mi naona n kweli kbs ayasemayo mbunge kua suala la mafuta ni usalama wa nchi
@habibndyeshobora68482 жыл бұрын
CCM Bado INA wabunge/ viongozi licha ya kuwepo viongozi wala rushwa/ wanaotumiwa ( wenye kutumiwa na nchi za magharibi/ traitors!!!!) Heko Mr. Lusinde. Watu kama Mwijage in wanafiki ....anajikomba ili apewe cheo hafai hats kidogo!!!!
@giftmindasi83922 жыл бұрын
Ww na gwajima Mungu awalinde!!!tumepata tena wa kututetea wanyonge!!
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Mh Lusinde mungu akupe nguvu na maisha marefu ..wewe ni Mtanzania mzalendo harisi , siyo Kama wale wazungu weusi..
@lawimanumbu51032 жыл бұрын
Waziri wa fedha hakina kitu. Jambo muhimu analeta siasa muda huu si wakubebeleza, ndo maana Magu alikuwa anasema tukichekeana hatutafika.
@henrycyprian50052 жыл бұрын
Kabisa
@sophiamlanga80302 жыл бұрын
Angalau mnatupa mwanga sasa kwa hoja zenu tunaomba utekelezaji hali ni ngumu sana.
@patrickkalengela71252 жыл бұрын
Bado tunawaza kufufua tu, sasa hivi hata EWURA hawaoni Cha kufanya, maana vyombo vya usafiri sasa kila kukicha wanapandisha nauli Kama watakavyo, no one to Restrict them
@josephmemba94892 жыл бұрын
Mwigulu kubwajinga sana
@pauloalfayo18682 жыл бұрын
Lusinde kweli Huwa nakuonaga mjinga na Huwa sikupenda ukweli kabisa lakini Leo nakuombea mungu uwe waziri wa fedha itakuwa nafuu tunatezeka waziri wa fedha anaongea kama kitu Cha kawaida, wengine taarifa taarifa wanapoteza point ya muhimu sana
@magembetv58662 жыл бұрын
Tatizo Elimu yake...
@mamachris68112 жыл бұрын
Akiwa Waziri anatii tu Ngumu kutoa ya moyoni
@jacksonbiswalo83602 жыл бұрын
Tunahitaji Mbunge kama ww Lusinde big up🤝🤝
@revocatuskaizilege12312 жыл бұрын
Baba uko sahihi,kama serikali Ina maghara ya mafuta yako wapi?? Hongera sana komando.Amina
@felixombati64232 жыл бұрын
bunge nchi yetu Kenya wanachangia kulingana na mlengo wa kisiasa si huduma kwa nchi au mkenya wa kawaida. hongera majirani wetu kwa taratibu kama hiyo bungeni
@samsonmtambi98662 жыл бұрын
Genius. may lord Grant you long life
@husseinmngodo75572 жыл бұрын
Hongera kwa kutupiganiya Mh.Lusinde. Tunawaomba wananchi wa Mtera wampitishe Mh.Lusinde awe mbunge wa kudumu katika Bunge hili.
@annamwakibuja13832 жыл бұрын
Huyo Mama mwambieni Mungu anamuona maisha yetu nishida ye aendelee kuigiza na kupaa Nchi za Watu Mungu atamjibu
@adildewji2 жыл бұрын
Wow. Well done. What a good point.
@chomasongidion60472 жыл бұрын
Nimemsahau gwajima jamani nayeye pia ni mbunge anaekubalika sana kwa watanzania.
@mengifrank72382 жыл бұрын
Mh.lusinde mungu akubaliki xana nahuwaga nakuftialia xana kwene halakatizako za kixelikari upo vzr. Kuwanamximamo uwouwo
@jofremwilongo6682 жыл бұрын
Pole sana kwawabuge wasiyo jielewa kwasababu wawo wamelizika na mishahala yawo tunakushukulu sana silinde kwakuogeya hoja ya musingi yakutungusa ssi wanaichi mungu akupe maisha malefu ???
@athumanisururu17112 жыл бұрын
Very good Mh. Lusinde, you are right for 100% kila mwaka huwa hali ngumu ya uchumi, itaelezwa sababu itakuwa ukame wa 1975 au vita ya Kagera, sasa tunachanga vita ya Urusi, hii ni ukosefu wa dira ya uwajibikaji kW serikali na Ilani ya uchaguzi ya chama, ndiyo inayo ongoza ubovu wa utendaji serikalini kwa kuwa chama kimesha watengenezea mianya ya uozo huo.Ilani kila mwaka kipengere cha ukame na vita ya kagera, na 2025 itaingizwa vita ya Urusi.
@marykomba70772 жыл бұрын
0
@marykomba70772 жыл бұрын
0
@marykomba70772 жыл бұрын
ä0 ä
@marykomba70772 жыл бұрын
0
@marykomba70772 жыл бұрын
ä0 üü0ü0
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Lusinde, God bless you. Taifa halina maono, halina viongozi, halina control na chochote kuanzia mafuta yote, sukari, ni wizi na wachumia tumbo tupu hawana nia ya kuwatoa Watanzania kwenye giza nene la umaskini. Mungu anaishi, macho yake yapo Tanzania.Hangaya hatoshi kuwa kiongozi.
@hawahawa61322 жыл бұрын
Taarifa za nn Sasa?mtu anachangia vizur so wakina shangaz nao VIP?
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Jamani lusinde unao gea sahihi kabisaa serikali yetu nimbovuuuu kabisaa mungu anawaona mnayo tufanyia sisi mnaotuona niwaji ga nandio tunao.wachangia nyie mnavimba matumboyenu mungu yupo mu gu akutanguliye mbele kaka lusinde
@joshuamwambene60412 жыл бұрын
Putin alianza na maneno. Nitapiga Ukraine hatimaye akapiga. Leo hii nyie kina Mwigulu mnatuletea siasa katika huu ukali wa maisha.Lusinde anaongea ukweli maisha hayafai.
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Joshua maisha ni nagumu sana na wanawake ndiyo wapiga kura aje mama samia huku mitaani awasikilize wauza mihogo wakaanga samaki mandazi nk asikie vumbi lake wanasema hawatampigia kura kwa hali kama hii
@mwebrania85022 жыл бұрын
Kipindi cha korona,nchi zote zilifunga mipaka yake na bei za bidhaa zilikuwa chini lakini leo mtu anasema bei zimetokana na vita vya urusi
@bahatisaimon60192 жыл бұрын
Tatizo tumbo
@epifaniamzena95932 жыл бұрын
Ajabu ndiyo hiyo sasa
@humphreyanderson16332 жыл бұрын
hivi Mpwapwa ina mbunge au jimbo halina mbunge!?
@justineemmanuel82272 жыл бұрын
Jaman viongozi jueni kuwa watanzania wasasa wanaakili timamu siasa zenu za upuuzi tumezichoka . Wako wapi wazalendo wa nchi? Au kwasababu bendera yetu haina nyekundu??? BIG UP LUSINDE
@sarahshalom97 Жыл бұрын
Mungu ibariki 🇹🇿 Mungu wabariki viongozi walio na uchungu na msimamo wa kuongoza TAIFA letu wafunike kwa Damu ya Yesu wawe salama👏👏👏👏🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@eliyamuhuro85762 жыл бұрын
Mwigulu anapenda sana kulahisisha mambo nikwasababu yeye pesa kwake siyo shida nikwasababu wao wanachota tu pesa
@neemasawe70162 жыл бұрын
Nataman nikupe likes mia
@eliyamuhuro85762 жыл бұрын
@@neemasawe7016 moja tu dada inatosha
@zennahassan1597 Жыл бұрын
Lusinde uishi miaka miaaaa ongera xanaaaaa
@julianamasato56552 жыл бұрын
Yani ww mzee nakuerewaga sana hunaga kujipendekeza unasema ukweri mtupu ww na msukuma nawakubari sana hanmga ukwepeshaji yani mnagonga zakichwa
@farajaseme2549 Жыл бұрын
Mungu akpe maishan marefu na uhenderee kudumu naubunge ktk Jimbo lako unafaa
@gladnessmathayo32242 жыл бұрын
Waooooh nimeipenda maelezo ya Lusinde Mungu akubariki
@Bishopdavidndaki71842 жыл бұрын
Lusinde, lusinde, safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
@joshuamwambene60412 жыл бұрын
Lusinde anatufaa mno Watanzania naomba 2025 achukue fomu...ndiyo Rais wa namna ndiyo tunamtaka. Tanzania.
@deograciakashaigili59732 жыл бұрын
Point hiyo! Achukue fomu.
@isavikamasanja63252 жыл бұрын
Asante nimekuelewa sana duuh wabunge wote wangekuwa kama wewe inchi yetu ingefika mbali sana
@maxnyer2 жыл бұрын
Mungu akulinde .....mbunge unayejitambua ....lusinde hakika unajua matakwa ya wananchi
@simbarajabu41572 жыл бұрын
Tunataka bei ipungue usituletee siasa zenu za ccm
@kasiankillo69492 жыл бұрын
Ivi uyu wazili mchembe anajielewa kweli naumia Sana nikisikia sipichi zake Kama mtu asiejielewa
@davidnyambuche3522 жыл бұрын
😂😂😂
@getrudamartin24092 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@gracechuwa6662 жыл бұрын
Lusinde Mungu uko vizuri
@gracechuwa6662 жыл бұрын
Dah!hali imekuwa ngumu jamani
@elizabethtr5rrtakonaay4132 жыл бұрын
Hawa wabunge na mawaziri huwa wanaishi ulaya na kuja kupanga bajeti Tanzania? Lusinde pekee anaishi Tz so amazing
@freddymtashi5020 Жыл бұрын
Mwigulu siyo professional wa uchumi! Niwa mchongo2!!
@saidimkurago68932 жыл бұрын
Huyu waziri wa fedha ndio boya sana analeta mzaha kwenye Jambo Muhimu kama hili
@salomemchewa51872 жыл бұрын
Ajiuzuru na yeye tumemchoka
@helenarhobi12502 жыл бұрын
Serikali inalifauatilia kitu gani Mwiguru acha uongo, tunaumia wananchi kila kitu kimepanda bei unasema utumbo tu. Magufuli wetu alipokufa mkashangilia sana sasa mnaumbuka my matokeo yake ni kututesa wananchi hasa wa hali ya chini!
@stellahemilian91682 жыл бұрын
Huyu ndiye chz wa mwisho kbss
@josephinemule36042 жыл бұрын
Mungu akubariki Lusinde natamani uwe raisi wa nchii hii maana unatambua maumivu ya watu wa chini, sio hawa Wana kupa taarifa ambazo hawajafikilia wanatoa kwa sababu wameshiba
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Maashallah rusinde mwenyezi mungu akuzidishie kwapoint za msingi sn hakika Jimbo lko halitajuta kukuchagua maana umetizama kwaupana
@chazptz75552 жыл бұрын
Namtamanu PUTIN atusaidie kuuwa viongozi wetu baadhi ...tunaumia mpk chapati zimepannda Bei ....Kila kitu kipo juu ....tutaishi wapi hii nchi ...wanasiasa mtatuuwa
@mustaphalushoto32622 жыл бұрын
Hahahahahahhah bonge la point😂😂😂😂 tanzania iko na watu wa hovyo sana
@gracenkya92572 жыл бұрын
Hahaaaa jmn putin
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Astagfirullah laadhwim 🤣
@Awatee2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Si umsaidie uyo putin Astaghfirullah
@chazptz75552 жыл бұрын
@@Awatee yani angekuwa ndugu yangu Putin ningewakomboa watz
@julianandoweka71652 жыл бұрын
Unajua ndo maana bunge lilikuwa halioneshwi live maana Kila mda taarifa watu hawako serious
@neemasawe70162 жыл бұрын
Humo wanaingia hata wasio na upeo yan la hovyo
@khamiskiandiko29652 жыл бұрын
Asante lusinde wabunge wengine waige kutoka kwako nasio taarifa taarifa kila unaposema ukweli wanatuboa
@azzaalhabsi15052 жыл бұрын
Asante mh lusinde umetutetea wananchi.kweli hali ni ngumu kuliko maelezo.wangepatikana wabunge wengine kama wewe nadhani hali ingebadilika kidogo.
@simonkabuka91702 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais anaonesha kuchoka. Hali si hali. Hivi ni lazima January awe waziri? Can't Tanzania go without January!
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Simon kabuka huyo January kakomba hela za nssf za wastaafu kwa kupigia kampeni akawa mshindi wa kwenye kugombea urais kazirudisha sasa anakomba za nishati na madini kila siku mafuta yanapanda eti mama anataka wamsaidie kupiga kampeni ili 2025 apite kwa hali kama hii atampata nani
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Ammezing..
@zefamange72812 жыл бұрын
MAMA ALIKUA ANASAFIRI HOVYO MNAMWANGALIA TUU, TOKA AMEANZA KUSAFIRI AMETUMIA BEI GANI YA PESA ZETU?
@priscusjoseph76642 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Ila hii comment 🙌🙌🔥
@alvinsafi27332 жыл бұрын
Mama sio...Anasikiliza taarabu tu Sijasikia mm kapiga watu chini wasiowajibika
@ebraniacosmosy20722 жыл бұрын
NAMSHUKURU MH. RAISI NG'OMBE WANGU KAJIFUNGUA SALAMA....
@kulanyamanyamaza36642 жыл бұрын
Lusinde unaupiga mwingi unajua maisha ya mtaani daah mungu akujalie hawa wengine wapo kwa maslahi yao
@babawawiltegamaso43672 жыл бұрын
ila tungept wabunge 100 kama lusnde wakawa ndio mawazili nchi inge kua sehemu salama sana kwann asipewe uwazili wamsaidie rais kufanya kz lakini hao wengine hao hatali sana watatupiga
@evelinemsaki20572 жыл бұрын
Huyo kaijage ni mpumbavu Sana nchi iko salama Nani kamuuliza
@florahaule82802 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa mbunge umegusa mioyo ya wanyonge
@isayakatuwa94822 жыл бұрын
Akiwa wazir anakuwa chiz
@rabanstudionyakanazi_audio21652 жыл бұрын
Kweli nchi iko taaban..
@mandelabentaho83292 жыл бұрын
Mungu ibariki kazi ya Lusinde😍
@olnjangeniophiro10212 жыл бұрын
Serikali imsikilize lusinde Yuki sawa hawa wanao piga wananchi mungu anawaona lusinde tupambanie baba
@asifkhanalifkhan63582 жыл бұрын
Serikali itoe vibali kwa wafanyabiashara waagize mafuta.IWE BIASHARA HURIA!
@saidimkurago68932 жыл бұрын
Wabunge wetu nivilaza sana Jambo kama hili nimuhimu sana lakini mtu anatoa hoja Muhimu wao taarifa taarifa hapo ndio utajuwa tumechagua wabunge wengi ni vichaa sana Jambo linalogusa mstakabali WA nchi wao wanaleta utani
@leahenockmrina53812 жыл бұрын
Anasema mafuta ya reserve yapo kumbe ni mafuta ya lampuni za mafuta ya Bp puma na total ambazo ni kampuni za wazungu wakiamua kupandisha kutukomoa wanapandisha Mungu tunakuomba utusaidie watu wako
@ahmadsayyeed79102 жыл бұрын
Mimi nahisi hawa wabunge wanaenda kuchukua pesa tu huko bungeni kila siku maneno hawana tofauti na wanawake wenza🖤💣
@kahemachowdry73462 жыл бұрын
Hongera Mh Lusinde Leo umeongea point
@emmamatemu82252 жыл бұрын
Taasisi ndio mchukue fedha ili mle peke yenu. Mafisadi wameibukaa
@frankhabibulunenge68602 жыл бұрын
Wananch tumesaulika Sana RIP magufuri baba yetu hatunafuraha na nchii yetu saiv nafsi zetu zinateswa zinanyanyaswa sana mungu anawaona nyiee😭😭😭😭
@malakimoses6115 Жыл бұрын
Leo sio trat na trab leo cd haijapata scratch mh lusinde i salute you
@ombenianton36112 жыл бұрын
Japo nipo chadema lkn Lusinde namkubali sana tena mno 💪💪💪🏿💪🏿👍👍👍
@tamlahmwande58662 жыл бұрын
Ahsante lusinde MUNGU akulinde na azidi kukuongoza
@dorotheangwale76692 жыл бұрын
Mungu akubariki baba asante kwa kutusemea kweli maisha ni magumu sanaaa
@bonifacelameck64032 жыл бұрын
Hongela sana tena sana lusinde mungu akubaliki sana tena sana mtumishi mzalendo
@leahsamson93542 жыл бұрын
SAFI SANA JIRANI YETU, HI UNA WOGA KABISAA WAMBIE , MVUMI MNALO JEMBE LITUMIENI VEMA,💪
@bobjulieoneheartband2 жыл бұрын
MB zangu hazijatumika Buree let me say this: LUSINDE LUSINDE LUSINDE Mungu Akulinde na Watanzania niwaombe Tusali sana kabla ya kuchaguaga Wawakilishi wetu angalao Tukijipatia LUSINDE 10 Tuu watatusaidia mnooo. MUNGU IBARIKI TANZANIA 🇹🇿 MUNGU MBARIKI NA KUMLINDA LUSINDE 🇹🇿