MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE

  Рет қаралды 13,020

TimesFMTZ

TimesFMTZ

3 ай бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 31
@KapistoloBwetete
@KapistoloBwetete 19 күн бұрын
#MOETECHNIC NAMKUBALI SANA NIMWANDISHI MZURI SANA... ANAJUA SANA MPAKA KUONGEA NAMPENDA NIKIMTAZAMA NAMUONA KAKA BINAMU #JUMA... #VIVAMOE
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 14 күн бұрын
Nipo Tunduma heshima kwako kaka mkubwa jmo❤❤❤❤❤
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj 20 күн бұрын
RETURN OF THE SUPERMAN
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 3 ай бұрын
msela so mchafu,msela ni msafi, msela msaka not,anaenda na wakati ....mo..🙏🤝
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 2 ай бұрын
We bishoo tu 😂😂😂
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 2 ай бұрын
Nampenda bro very unique aisee ...... Bro keep it ❤🎉
@semaNaJavar
@semaNaJavar 2 ай бұрын
Jaymoe msanii mkali amekuwa na consinstency kali sana
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 3 ай бұрын
MO the BEST RAPPER OF ALL TIME! ✅
@billionboogiey9909
@billionboogiey9909 2 ай бұрын
Piyia kwangu pia please
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 2 ай бұрын
Alikiba moe kazi jay moe crown ana kitu na anasaut ya mamlaka sanaaa
@macknonkibona2401
@macknonkibona2401 5 күн бұрын
anamisimamo sana bro na ana mpunga wamana sana toka kitambo.
@edsonniwagira9569
@edsonniwagira9569 2 ай бұрын
Moe yupo mbele sana
@jumafarid8861
@jumafarid8861 3 ай бұрын
Natamani sana kiba amuibe huyu jamaa
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 2 ай бұрын
I like it..Moe the is the best rapper.
@salaita2829
@salaita2829 2 ай бұрын
kuna mtu anaitwa chid benz
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 3 ай бұрын
GOOD JOB BROTHER
@EvanceKulima
@EvanceKulima 3 ай бұрын
Mo ni hatarii
@jobizzotv2415
@jobizzotv2415 3 ай бұрын
🎉🎉
@ManenoKimamule
@ManenoKimamule 2 ай бұрын
Jaman mm naomba namba za jay mo
@user-eu5uy8vm6i
@user-eu5uy8vm6i 2 ай бұрын
Skills zao tofauti
@ManenoKimamule
@ManenoKimamule 2 ай бұрын
Naomba namba zake jaman
@MsodokiTheson
@MsodokiTheson 2 ай бұрын
Mobenga
@wilsonwilliam274
@wilsonwilliam274 2 ай бұрын
Mo technique
@Issamuemede
@Issamuemede 2 ай бұрын
The got
@user-hd7vt8fk5t
@user-hd7vt8fk5t 2 ай бұрын
J mo unasema hujawahi kujisifu kwenye nyimbo zako wakat kuna nyimbo yako moja ulijisifu uliposema makonda ni washikaj nilianza na kibanda sikuanza na gari,hapo ulijisifufu kuwa unamiliki nyumba
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Kwahyo uliumia?😅😅😂
@Paplick9
@Paplick9 2 ай бұрын
Kwaiyo ulitaka akutaje 😂😂😂😂😂😂😂
@salaita2829
@salaita2829 2 ай бұрын
sasa huyu nyumba ni maisha yao,wamekuwa na nyumba za biashara miaka mingi,na mpaka sasa yeye mwenyewe anadeal na hizo biashara za nyumba,real estates,ni mambo ambayo yapo,ila hapo alisema tuu kuwa mbwembwe za kuonyesha magari sio vitu vyake.
@alijuma997
@alijuma997 2 ай бұрын
Huyu jamaa anajua mpaka anafanya zambi
@gabrielikibasi8376
@gabrielikibasi8376 2 ай бұрын
Dhambi sio zambi
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 205 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН
Czn Burak vs Argenby Which sigma is better?
0:19
ARGEN
Рет қаралды 14 МЛН
Waka waka 🤣 Which video is the best 1,2,3,4? 🤩
0:13
Adani Family
Рет қаралды 4,8 МЛН
Difference of girls and boys when eating sweets 😂😬
0:35
VovaLika Family
Рет қаралды 12 МЛН
Difference of girls and boys when eating sweets 😂😬
0:35
VovaLika Family
Рет қаралды 12 МЛН