Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
@bonsondavid5756Ай бұрын
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
@abudalaabdumalik9362Ай бұрын
Uhakika babu
@user-kv4zd2mz7yАй бұрын
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
@shabanimataka8418Ай бұрын
Allah akuzidishie
@jerryrugiga5157Ай бұрын
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
@user-wl3bg9ed1lАй бұрын
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
@alexmatt9504Ай бұрын
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
@jafarmlawa9627Ай бұрын
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
@edsonsalvatory5121Ай бұрын
Msukumu is very genius❤
@stanleyfocas8250Ай бұрын
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
@gladyssembojas5308Ай бұрын
Msukuma hoyeeee
@user-md7ug5dd9rАй бұрын
Asnt sana ubarikiwe
@khamisihamadi629Ай бұрын
Asante sana
@emmilianlukaye3125Ай бұрын
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika. Mwenye Sikio na asikie ❤❤
@ramadhanabdul2297Ай бұрын
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
@saramartine7330Ай бұрын
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
@ChimolasiniourMagawaАй бұрын
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
@Optionxll_Playz1Ай бұрын
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
@Bareboy-fx9so15 күн бұрын
Nzuri ndugu
@ngosimabwai322Ай бұрын
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
@omaryshafii1284Ай бұрын
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
@benikayange2605Ай бұрын
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
@MelkioryDigha-ry8nuАй бұрын
Huyu jamaa jembe sana safi dah
@chrismkama4889Ай бұрын
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
@Yerevandayizoh23 күн бұрын
Umetisha
@johnmichael-zg6sdАй бұрын
Huyu mzee n daktar kabsa
@ibrahimkasim922Ай бұрын
Unafaa kuwa waziri ❤❤
@fatmasaid9556Ай бұрын
Sana ty
@MartinGao-pq3ed13 күн бұрын
Hongera sana musukuma
@elishayona58872 күн бұрын
Hapo umeingea kaka
@barikielisulle9300Ай бұрын
Mimi ni mpinzani ila msukuma kawapiga chini wasomi wa nchi hii maprofesa mpo tu mnapiga makofi bungeni.. Anahoja ya msingi.
@nurulukali429128 күн бұрын
Safii sanaa,, unapoint babaaa😢 ,,viongozii wafanye ytafti ndani ndan huko nd kuna mambo
@chomasongidion6047Ай бұрын
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
@joshuakobe6619Ай бұрын
Hajamuelewa Prf. Janabi
@Mary-fs4mcАй бұрын
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
@muniraahmed624Ай бұрын
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
@judaspantaleo9779Ай бұрын
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
@bcozhenry2698Ай бұрын
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@najmasalim-rg6owАй бұрын
@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
@najmasalim-rg6owАй бұрын
Sanaaa
@MahmoudMohamed-gx1fkАй бұрын
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
@dechardavid2555Ай бұрын
Aisee hii nimeipendaa..
@LukaLazaro-fd1krАй бұрын
sukuma 1
@user-qt5tx7xu8fАй бұрын
Safi.sana msukuma
@user-og2hm6fk7bАй бұрын
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
@thinktwice7176Ай бұрын
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
@hakihaki2154Ай бұрын
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
@jerryrugiga5157Ай бұрын
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
@neemamasimba2981Ай бұрын
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
@neemamasimba2981Ай бұрын
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
@arttilioemiliam2419Ай бұрын
Changamoto sio maprofesa tu hata hapo kwako. Mmmm sijawapata kabisa. Rushwa urasimu. Vyuo shuke wanasakili maelfu ya wanafunzi kwa lisaa lakini ardhi itatembea miaka bilakupata umiliki wa ardhi. Bank hakuna mikopo kwa wanyonge... Utafuti unahitajika lakini kuwa na watunga sera hai na Serikali hai
@VenaElikiАй бұрын
Yaan wabunge mnaacha mambo ya bima ya afya nilijua mtakataa ghalama za bima kupanda mnazungmzia kadi za watoto
@emmanuelsalala-xu1xjАй бұрын
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
@backrissmgayamgaya749Ай бұрын
Safiii
@abdallahabdu8194Ай бұрын
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
@yohanamkaga5230Ай бұрын
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
@agnessangawe3844Ай бұрын
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
@bennygwasa4563Ай бұрын
Msukuma ana akili sanaaaa
@godfreysimoni4270Ай бұрын
Huyo ni zaidi ya pr.
@LeahMkwabiАй бұрын
❤❤❤❤❤
@selemanikazingini5566Ай бұрын
Msukuma ni msomi kweli kweli Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
@MathiasMusobi-ob9cnАй бұрын
Yaendelee kutolewa maelezo kwa kina juu ya madhara mbalimbali ya afya
@deoluma1706Ай бұрын
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
@charlesboniphace2249Ай бұрын
Ushazingua 😂😂
@KhadijaDaudiАй бұрын
Maukuma tena
@KhadijaDaudiАй бұрын
😢
@lusane_village_maasai_homeАй бұрын
😊😊
@anthonytidoАй бұрын
❤❤❤❤
@user-qd2yp3hl3cКүн бұрын
Ww nimsema kweri wachanetu
@fridageorge2809Ай бұрын
Yaani sasahivi watu tunaumwa magonjwa hayaeleweki!inasikitisha sana!
@Ndushikayungilo722Ай бұрын
Hakika msukuma wewe ni mbunge wa taifa hakuna siku uliyofeli kwenye hoja za msingi, hongera kiongozi
@andreap.assenga8480Ай бұрын
Viwanda bubu ni vingi sbb Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
@kasomishedrack5027Ай бұрын
Acha kupoteza maana wewe prof:Janab anaeleza vitu vya ukweli.
@AdamSaffi211Ай бұрын
Musukuma na DP world oyeeeee
@jumapiliissa4835Ай бұрын
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
@julyodette6945Ай бұрын
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
@allysaidallysaid4530Ай бұрын
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
@HenryNJohn-mm5znАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-wh7gj9ug9sАй бұрын
Kweli msukuma chanzo,na na hujo janabi hapana lazima tule tushibe na chanjo
@happymarchiusnjungani1138Ай бұрын
Hapoo chukua maua yakooo bila kificho umeongea vyema mnooo
@jumaigoti7541Ай бұрын
Wape vidongevyao
@salcle9702Ай бұрын
Kuku wa kisasa na mayai ya kisasa
@alexmatt9504Ай бұрын
Hilo nalo ni janga,kwa sababu dawa na sindano wanazolishwa hawa broilers na kukua kwa muda mfupi lazima mlaji utapata madhara.
@user-bo2mx9dy6vАй бұрын
Uyu msukuma siangekua President
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
@user-so1ci1mv6xАй бұрын
Safi sana msukuma huo ndio uzalendo, nchi hii haina utafiti
@user-re3ww2sg8w9 күн бұрын
Nan kama uyo mbunge apo bungen hakuna wengne machawa
@user-qw4pm2xe4j2 күн бұрын
Msukuma apewe uwazir hata kama hajasoma
@LisunguKipigapasiАй бұрын
🎉
@dominicfrancis4073Ай бұрын
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
@isakaandrea5056Ай бұрын
Duuuu
@florakweyunga4490Ай бұрын
Yaaap,maana hizo machanjo,hazifai kabisaaaa.JPM Alipima papai kama litakuwa na corona.
@BurayJacob8 күн бұрын
Xa
@modrikabdallahАй бұрын
Kweli msukum ata rais samia mchaane,
@ghottaman2570Ай бұрын
Kweli mtani wangu tunakula na kunywa vitu vya hovyo sana siku izi yani magonjwa matupu
@frankkitosi732Ай бұрын
Sema msuma
@aaronswai3092Ай бұрын
Msukuma yuko sawa! Misaada ya mabeberu ni ya kuogopa kama ukoma. Mingi ina masharti nyuma ya pazia inalenga matakwa yao ya kipepo!
@user-rt1wd2le6nАй бұрын
Ila huyu kaka jaman yuko vzur atafka mbali jaman kumbe dunia imekwsha hyo jaman TBS tusaidien tunakwsha😭😭
@mejamiela7436Ай бұрын
Kwa magufuli cooker hazikuepo alizifuta ndo viroba na double punch hz hzo
@33rmajaliwaАй бұрын
Hizo ni agenda za utekezaji wa vizazi vyetu Viongozi tunaomba msimamie uchunguzi ikiwezekana kuzuia kabisa
@idinado-wk3lx20 күн бұрын
Kusema ukweli izi chanjo zimezidi
@aquinastera7404Ай бұрын
Taarifa 😅😮 Pombe 🍺 🤖 mteja 😂
@shaphiasabani5760Ай бұрын
Kusiliza bunge la Tanzania ni bora kumskiliza Makonda hanapont ya msingi
@khamisihamadi629Ай бұрын
Wazalendo wa taifa lao
@WorlduniteАй бұрын
Nakuunga mkono Musukuma
@mr.mchambuzitv52939 күн бұрын
Dable kick smati jini zina uwavijana ukudani selikali tuwe makini na taifa linaangamia