VURUGU BUNGENI MSUKUMA, MATIKO "JANABI AJIELEWE, ASHIKE BREKI, MAZIWA YAMELALA" POMBE KALI NI BALAA

  Рет қаралды 159,740

Uhondo TV

Uhondo TV

Ай бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 243
@michaelmlugu5654
@michaelmlugu5654 Ай бұрын
Msukuma Uko vizuri
@Lighttemba
@Lighttemba Ай бұрын
Safi sana mh. Msukuma
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Msukuma. Allah akulinde. Maashaallah. Unajitambua sana
@bonsondavid5756
@bonsondavid5756 Ай бұрын
Msukuma we ni proffeser,madini unayoyatoa ni fire,sauti ya Magufuli ipo ndani tunaisikia big up
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 Ай бұрын
Uhakika babu
@user-kv4zd2mz7y
@user-kv4zd2mz7y Ай бұрын
Msukuma kwa hayo Mungu akubariki
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 Ай бұрын
Allah akuzidishie
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 Ай бұрын
Safi sana msukuma unatuwakirisha vyema
@user-wl3bg9ed1l
@user-wl3bg9ed1l Ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hongera na pia nakupongeza lakini jee mmepitilia kwenye vioski wamepata wapi vibali vya kuuzia pombe Kali watu Huwa wanatumia kutoka asubuhi
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Ай бұрын
Ahsante sana Msukuma kwa kumwaga upupu,TBS hakuna uthibiti kazi ni kugonga mihuri.Cha msingi hapa ni sisi wananchi/wanywaji kususia hizo pombe za kigeni, acheni ulimbukeni kwa kujigamba unakunywa pombe za kutoka nje ya nchi eti utaonekana ni mtu mwenye uwezo wakati haufahamu kilichochanganywa humo. Kunyweni pombe zinazotengenezwa humu nchini,zipo bia zetu nzuri,pombe kali zenye ubora. Na sio uongo anachosema Msukuma hizi imported liquors nyingi sio salama mtaharibu figo,maini na kusababisha impotence kwa wanaume.
@jafarmlawa9627
@jafarmlawa9627 Ай бұрын
Tafti ya msukuma naikubari,, sarutttti
@edsonsalvatory5121
@edsonsalvatory5121 Ай бұрын
Msukumu is very genius❤
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 Ай бұрын
Daktari msukuma tumesha chelewa kaka ningumu Sana kwasasa
@gladyssembojas5308
@gladyssembojas5308 Ай бұрын
Msukuma hoyeeee
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r Ай бұрын
Asnt sana ubarikiwe
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 Ай бұрын
Asante sana
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 Ай бұрын
Tusemee tusioweza kupaza sauti ikasikika. Mwenye Sikio na asikie ❤❤
@ramadhanabdul2297
@ramadhanabdul2297 Ай бұрын
🎉huyu ndo msomi pekeee bungeni
@saramartine7330
@saramartine7330 Ай бұрын
Mm mwenyewe namuelewa sana kwakweli Mr Janaby
@ChimolasiniourMagawa
@ChimolasiniourMagawa Ай бұрын
Hongera mh kasheku mtani wangu. Huwa nakukubali sana ndio wabunge ninao wataka waaina yako
@pablomuyu1670
@pablomuyu1670 Ай бұрын
Unawataka wewe kama nani ??
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi Ай бұрын
Wabheja sana nsukuma mwichane🎉🎉🎉love you 😍 ❤️ 💖
@RamadhanKitama
@RamadhanKitama 9 күн бұрын
Onsukuma ng'wiyo jinga sana! Ahale mbehi o-mpina, nadarahile sana, ontwe gwakwe hamo gomadekile mashi, ali dogohaya genehe?
@AllyAllyRamadhani
@AllyAllyRamadhani Ай бұрын
Upo vizuri sana kweli
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. Ай бұрын
Prof Janabi Said it Right! If you think it is a joke, Keep ignoring it as Ignorance is expensive than Education
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Ай бұрын
Ndio shida yetu watalamu wetu hatwatumii , wazungu hawawezi kutupenda kama munavyokuwa munazani wataraamu amukeni .
@Bareboy-fx9so
@Bareboy-fx9so 15 күн бұрын
Nzuri ndugu
@ngosimabwai322
@ngosimabwai322 Ай бұрын
Ni kweli kaka chanjo zimezidi sanaa😢😢
@omaryshafii1284
@omaryshafii1284 Ай бұрын
Kiukweli wazungu wanaajenda mbaya sana kwetu tuaiposhituka tutakwisha hongera msukuma mungu azidi kukuongoza
@benikayange2605
@benikayange2605 Ай бұрын
Daaa! kwaupande waushoga watoto wetu wanangamia kwakweli bora hatamusukuma umesema
@MelkioryDigha-ry8nu
@MelkioryDigha-ry8nu Ай бұрын
Huyu jamaa jembe sana safi dah
@chrismkama4889
@chrismkama4889 Ай бұрын
Kama si siansa, Bunge liombe ushahidi wa kisayansi kuhusu alichokisema janabi kiletwe tena bungeni ikibidi aje aeleze mbele ya Bunge kama waliyomkosoa hawatahaibika.Wabunge jifunzeni kunyamaza kama hamna uelewa na kile kinachozungumzwa na wataalamu waliyosoma kwa miaka mingi vyuoni na kuhitimu.
@Yerevandayizoh
@Yerevandayizoh 23 күн бұрын
Umetisha
@johnmichael-zg6sd
@johnmichael-zg6sd Ай бұрын
Huyu mzee n daktar kabsa
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 Ай бұрын
Unafaa kuwa waziri ❤❤
@fatmasaid9556
@fatmasaid9556 Ай бұрын
Sana ty
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 13 күн бұрын
Hongera sana musukuma
@elishayona5887
@elishayona5887 2 күн бұрын
Hapo umeingea kaka
@barikielisulle9300
@barikielisulle9300 Ай бұрын
Mimi ni mpinzani ila msukuma kawapiga chini wasomi wa nchi hii maprofesa mpo tu mnapiga makofi bungeni.. Anahoja ya msingi.
@nurulukali4291
@nurulukali4291 28 күн бұрын
Safii sanaa,, unapoint babaaa😢 ,,viongozii wafanye ytafti ndani ndan huko nd kuna mambo
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 Ай бұрын
Wape ukweli chpsi mjini bwana,wakulima wapi na wapi
@joshuakobe6619
@joshuakobe6619 Ай бұрын
Hajamuelewa Prf. Janabi
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
Mwamba huyu hapaaaa❤❤❤
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Ай бұрын
Bunge limechangamkaaa fact kama hizi ndo tunazozihitajiii mtaani pagumu wakuu watu wako na hali ngumuuu😢🫶🏿
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Ila kwa Dr. Janabi. Anaeleweka sana anafundisha vizuri ukimsikiliza utaishi vixuri bilaya maladhi maashaallah. Janabi Allah akupe umri wenyeheri nawe❤❤
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 Ай бұрын
Ndio lkn kwa kundi frani la wenye nacho hakuna faida kwa maskini kwa maelekezo yake
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Ай бұрын
Msukuma ameeleweka kwa wenye akili kubwa tu, mafundisho ya Dr. ni general sana na yanatia hofu hata wasio husika! Awe mahususi!
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow Ай бұрын
​@@judaspantaleo9779so kweli dada masikin hawez kosa maharage mboga za majani tena Mimi imenisaidia sanaa
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow Ай бұрын
Sanaaa
@MahmoudMohamed-gx1fk
@MahmoudMohamed-gx1fk Ай бұрын
Dr janabi anafafanuw vzr kwa kila aina za watu na kazi zao vp waishi
@dechardavid2555
@dechardavid2555 Ай бұрын
Aisee hii nimeipendaa..
@LukaLazaro-fd1kr
@LukaLazaro-fd1kr Ай бұрын
sukuma 1
@user-qt5tx7xu8f
@user-qt5tx7xu8f Ай бұрын
Safi.sana msukuma
@user-og2hm6fk7b
@user-og2hm6fk7b Ай бұрын
Musukuma uko sawa, ila Janabi naye yuko byeee na elimu ya afya, muache atufun dishe afya
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Tanga kuna watu bora sana,waaminifu sana,hawana tamaa, wataendelea kuchaguliwa kuwa viongozi wa nchi hii, ni watu sahihi. Amen
@thinktwice7176
@thinktwice7176 Ай бұрын
Hoja yako ya mahali inakujaje hapa
@hakihaki2154
@hakihaki2154 Ай бұрын
Yanga na Zanzibar tofauti yao ndoho Sana ubinafsi 😂😂😂
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 Ай бұрын
Naona wakevi mnakuwa wakali musuku kugusa pombe zenu.Mpaka mnamtukana,tena hizo pombe ziondolewe kabsa,hazina faida kabsa.
@flomenamvungi988
@flomenamvungi988 Ай бұрын
Mzee uyu yupo vzr
@HappyKiteboarder-du9th
@HappyKiteboarder-du9th Ай бұрын
Wewe ni Zaidi ya wabunge wote bungeni hongera sana upo vzr nchi inahitaji iwe na wakina msukuma Kama wewe mfike 100 tutafika mbaki
@jerryrugiga5157
@jerryrugiga5157 Ай бұрын
Umenigusa sana kwenye swala la chanjo na kutahiri watu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Hata mimi aisee huyu jamaa ni mtu na nusu
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Ай бұрын
Ila watu kama hawa ni kama hawathaminiwi, ila huyu kaka ni lulu kweli. Ameongea mambo kontu
@arttilioemiliam2419
@arttilioemiliam2419 Ай бұрын
Changamoto sio maprofesa tu hata hapo kwako. Mmmm sijawapata kabisa. Rushwa urasimu. Vyuo shuke wanasakili maelfu ya wanafunzi kwa lisaa lakini ardhi itatembea miaka bilakupata umiliki wa ardhi. Bank hakuna mikopo kwa wanyonge... Utafuti unahitajika lakini kuwa na watunga sera hai na Serikali hai
@VenaEliki
@VenaEliki Ай бұрын
Yaan wabunge mnaacha mambo ya bima ya afya nilijua mtakataa ghalama za bima kupanda mnazungmzia kadi za watoto
@emmanuelsalala-xu1xj
@emmanuelsalala-xu1xj Ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini serikali,haichukui hatua hizo chajo ni nyingi muno
@backrissmgayamgaya749
@backrissmgayamgaya749 Ай бұрын
Safiii
@abdallahabdu8194
@abdallahabdu8194 Ай бұрын
wewe msukuma kweli , hujamuelewa prof. msikilize tena vizuri. sio ujazo wa chakula kula ubora wa chakula , na aina yake. haya asbh uji, mchana ugali ,usiku wali/ugali tena kula kwa mwaka huku unalima au zaidi lazima mwaka unafuata unapiga hodi MNH unabisha endelea . na unachokilima kipo gharani halafu NHIF imeota miguu
@yohanamkaga5230
@yohanamkaga5230 Ай бұрын
Ni mawazo Yake na wewe unaweza changia. Lengo la msukuma siyo kupingana na janabi ila anajaribu kuconect swala la chanjo, madawa vyakula na kinywaji vinavyoingizwa inchini vifanyiwe utafiti.. wewe ndo hujamuelewa msukuma
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 Ай бұрын
MSUKUMA HONGERA SANA. HIZI CHANJO NA POMBE ZIFANYIWE TAFITI
@bennygwasa4563
@bennygwasa4563 Ай бұрын
Msukuma ana akili sanaaaa
@godfreysimoni4270
@godfreysimoni4270 Ай бұрын
Huyo ni zaidi ya pr.
@LeahMkwabi
@LeahMkwabi Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@selemanikazingini5566
@selemanikazingini5566 Ай бұрын
Msukuma ni msomi kweli kweli Ni afadhali ya msukuma aliyesoma informal education
@MathiasMusobi-ob9cn
@MathiasMusobi-ob9cn Ай бұрын
Yaendelee kutolewa maelezo kwa kina juu ya madhara mbalimbali ya afya
@deoluma1706
@deoluma1706 Ай бұрын
Ahsante sana maukuma.hizi chanjo zimezid balaa
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Ай бұрын
Ushazingua 😂😂
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi Ай бұрын
Maukuma tena
@KhadijaDaudi
@KhadijaDaudi Ай бұрын
😢
@lusane_village_maasai_home
@lusane_village_maasai_home Ай бұрын
😊😊
@anthonytido
@anthonytido Ай бұрын
❤❤❤❤
@user-qd2yp3hl3c
@user-qd2yp3hl3c Күн бұрын
Ww nimsema kweri wachanetu
@fridageorge2809
@fridageorge2809 Ай бұрын
Yaani sasahivi watu tunaumwa magonjwa hayaeleweki!inasikitisha sana!
@Ndushikayungilo722
@Ndushikayungilo722 Ай бұрын
Hakika msukuma wewe ni mbunge wa taifa hakuna siku uliyofeli kwenye hoja za msingi, hongera kiongozi
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 Ай бұрын
Viwanda bubu ni vingi sbb Ya urahisi wake wa kutengeneza spirit na ladha ya chakula tu tayari pombe suala la kifo watu hawana huruma siku hizi,bora umewaeleza ukweli.
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 Ай бұрын
Acha kupoteza maana wewe prof:Janab anaeleza vitu vya ukweli.
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
Musukuma na DP world oyeeeee
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Ай бұрын
😂😂😂 Msukuma oyeeeee
@julyodette6945
@julyodette6945 Ай бұрын
Papai la njano nje ndani kugumu kama maisha ya mtanzania wa kawaida☹️ Hatuna vyakula vya asili masoko yamejaa matakataka tu matunda holaaa nafaka ndo usiongee mifugo huko ndo full michanjo 😭😭😭 huko mbele ni taabu tupo
@allysaidallysaid4530
@allysaidallysaid4530 Ай бұрын
mimi ningekuwa mbunge nanipo bungeni ningeomba kiti changu kiwe karibu na msukuma😂😂😂
@HenryNJohn-mm5zn
@HenryNJohn-mm5zn Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s Ай бұрын
Kweli msukuma chanzo,na na hujo janabi hapana lazima tule tushibe na chanjo
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 Ай бұрын
Hapoo chukua maua yakooo bila kificho umeongea vyema mnooo
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 Ай бұрын
Wape vidongevyao
@salcle9702
@salcle9702 Ай бұрын
Kuku wa kisasa na mayai ya kisasa
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Ай бұрын
Hilo nalo ni janga,kwa sababu dawa na sindano wanazolishwa hawa broilers na kukua kwa muda mfupi lazima mlaji utapata madhara.
@user-bo2mx9dy6v
@user-bo2mx9dy6v Ай бұрын
Uyu msukuma siangekua President
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
Hapo prof Janabi aliongelea hasa watu wa mjini lakini MTU WA kijijini .nchi za kiafrica tunaangalia fedha hao watakuja maliza watu eti wafadhili watu wa serikali wakisikia mradi wa Una fedha wapombele kukimbilia miradi u jinga
@user-so1ci1mv6x
@user-so1ci1mv6x Ай бұрын
Safi sana msukuma huo ndio uzalendo, nchi hii haina utafiti
@user-re3ww2sg8w
@user-re3ww2sg8w 9 күн бұрын
Nan kama uyo mbunge apo bungen hakuna wengne machawa
@user-qw4pm2xe4j
@user-qw4pm2xe4j 2 күн бұрын
Msukuma apewe uwazir hata kama hajasoma
@LisunguKipigapasi
@LisunguKipigapasi Ай бұрын
🎉
@dominicfrancis4073
@dominicfrancis4073 Ай бұрын
Msukuma mbunge kula tano iyo ✊👊
@isakaandrea5056
@isakaandrea5056 Ай бұрын
Duuuu
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 Ай бұрын
Yaaap,maana hizo machanjo,hazifai kabisaaaa.JPM Alipima papai kama litakuwa na corona.
@BurayJacob
@BurayJacob 8 күн бұрын
Xa
@modrikabdallah
@modrikabdallah Ай бұрын
Kweli msukum ata rais samia mchaane,
@ghottaman2570
@ghottaman2570 Ай бұрын
Kweli mtani wangu tunakula na kunywa vitu vya hovyo sana siku izi yani magonjwa matupu
@frankkitosi732
@frankkitosi732 Ай бұрын
Sema msuma
@aaronswai3092
@aaronswai3092 Ай бұрын
Msukuma yuko sawa! Misaada ya mabeberu ni ya kuogopa kama ukoma. Mingi ina masharti nyuma ya pazia inalenga matakwa yao ya kipepo!
@user-rt1wd2le6n
@user-rt1wd2le6n Ай бұрын
Ila huyu kaka jaman yuko vzur atafka mbali jaman kumbe dunia imekwsha hyo jaman TBS tusaidien tunakwsha😭😭
@mejamiela7436
@mejamiela7436 Ай бұрын
Kwa magufuli cooker hazikuepo alizifuta ndo viroba na double punch hz hzo
@33rmajaliwa
@33rmajaliwa Ай бұрын
Hizo ni agenda za utekezaji wa vizazi vyetu Viongozi tunaomba msimamie uchunguzi ikiwezekana kuzuia kabisa
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 20 күн бұрын
Kusema ukweli izi chanjo zimezidi
@aquinastera7404
@aquinastera7404 Ай бұрын
Taarifa 😅😮 Pombe 🍺 🤖 mteja 😂
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 Ай бұрын
Kusiliza bunge la Tanzania ni bora kumskiliza Makonda hanapont ya msingi
@khamisihamadi629
@khamisihamadi629 Ай бұрын
Wazalendo wa taifa lao
@Worldunite
@Worldunite Ай бұрын
Nakuunga mkono Musukuma
@mr.mchambuzitv5293
@mr.mchambuzitv5293 9 күн бұрын
Dable kick smati jini zina uwavijana ukudani selikali tuwe makini na taifa linaangamia
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Ай бұрын
Hv hawa sijui huwa wanajadili nn
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 192 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
Msukuma ahoji wanaosomeshwa kisha wanakuwa wezi; Aibua sakata la IPTL
11:34
ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
9:54
Wasafi Media
Рет қаралды 387 М.
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН