JAMANI HII NDIO EPISODE YA MWISHO KWA MWANAFUNZI WA AJABU,LAKINI NAWALETEA NYENGINE NZURI NAOMBA MUIPOKEE WATU WANGU,BAKI KWENYE CHANNEL YAKO PENDWA HII YA BABAJOAN. ASANTENI🙏🙏🙏🙏
@AnnaMmassy21 күн бұрын
Saw
@mcmangethia536021 күн бұрын
Mapema sana
@carolkiptoo870321 күн бұрын
Keep it up good work
@JackieMua-wh1fk21 күн бұрын
Ok we will
@Mr.kapuyenge21 күн бұрын
Awaaaa tunaisubilia by MAWENGE TZ
@romanabarua954521 күн бұрын
Hatimaye tamati..... nimefuatilia mwanzo mwisho na mm naomben like hata 5 tuuu
@kennytweve568120 күн бұрын
Za nn
@janethmshahara404821 күн бұрын
Mi wakwanza nmetishaaaa, like kwa baba Joan sio kwangu
@SaidahMohammed-ju9qd21 күн бұрын
Much love to you guys from Kenya ,, Kama we mkenya piga like❤❤❤
@YvonneWangeci-oe8uf19 күн бұрын
𝚙𝚒𝚊 𝚖𝚖 𝚖𝚔𝚎𝚗𝚢𝚊
@user-xm9if4lf7n21 күн бұрын
woow nimefika kwa wakati baba johan like yako sasa
@user-ec6ow2cx7c21 күн бұрын
Kazi nzuri sanaaaa wapendwa ila mmetuacha anging cz mlopoteza sauti pande zingine alafu atujui vile kulienda baba Joan pia mwisho haukutoa sauti much love from Kenya watching from lebanon ❤❤
@user-kq7xg6rh7r21 күн бұрын
Mlianza vizuri lakn dah hapo mlipomalizia mme2acha njia panda kwa kweli
@user-vo7yb6wp1m21 күн бұрын
Sio kila MTU anapewa msaada baba Joan anyways congratulation Kwa kazi nzuri🎉🎉❤
@JosephSululu-jk3jl15 күн бұрын
nimeipenda sana hii movie akujarie MUNGU uwe mzm na uzidi kutuletea mazurii ♥️♥️♥️♥️♥️
@thadeusminja107120 күн бұрын
Kongole kwako baba Joan, usichelewe kuachia nyingine tusiwe wapweke, ila movie mpya usimuache mama kanchuda🤣🤣
@user-yi6ub2uq2i12 күн бұрын
Kazi nzuri xna baba Joan tunakupenda xna pamoja na mama watoto
@user-wj7vo5kv4n21 күн бұрын
Wa mwisho naomba like
@DianaKerubo-jy7pz21 күн бұрын
Mm WA nane huku nipate likes za mamake Joan
@WinifredSyombua21 күн бұрын
Imekuwa mzuri hila mmemaliza vibaya mmetuchaganya
@josehkan19 күн бұрын
Hatimaye tumefika tamati,filamu imekuwa ya kupendeza tunaigoja inayofuatilia❤
@HadijaZabroni-pu1lt21 күн бұрын
Inshallah ❤️ tuko pamoja baba joan
@Faith-pl3ie21 күн бұрын
Kwani ilikuwa story pongezi kwa kazi Zuri unafanya ❤❤❤
@user-nz7kl1to2y21 күн бұрын
Hii movie haijaisha vzri ..haikueleweka kabisaa...
@stephenmukwata173719 күн бұрын
Hii bro umemaliza vizuri, na imekuwa tamu kama maembe ya huku kwetu Kenya. Love from Kenya
@user-jd6vr9xw1o21 күн бұрын
Baba Joan movie ni nzuri ila mmemaliza vibaya
@user-zb2wx8ws6g20 күн бұрын
Wow ❤❤❤
@LovelyDragonflies-qu2zo17 күн бұрын
Uko vizuri sana baba joani ila boresha mwishoni❤️❤️❤️
@EmmanuelMartine-sd8vq21 күн бұрын
Kaz mnajua tatizo lenu hamjui kumalizia movie yan mwisho haueleweki
@Tyughcdrbdt21 күн бұрын
Kabisaa yaan,mwisho hauelewekii
@kondebouy130821 күн бұрын
Sema kungoja sana karibu bundle zangu ziishe,,, 🤔
@justintusali403817 күн бұрын
Hatukuona viziri kwenye baba jony ameenda na hao wa dada waajabu ile n'a kitabu hatujuwi bilikuaje hamumaloze vizuri kabisa
@magnibrondi315221 күн бұрын
Kazi nzuri from Oman brother
@user-dz4pi6np8i21 күн бұрын
Wow 😲 twakupenda pia❤❤❤🎉🎉🎉
@jeanwilletmazomena184021 күн бұрын
Mimi hapa kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@tasianagwaku20 күн бұрын
mungu akutie nguvu baba joan nimependa san movie yak
@valinemkanamkuverammbone-ci9ou21 күн бұрын
Kazi nzuri watching from Kenya 🇰🇪
@rachelndaki564218 күн бұрын
Hongereni sana mov nzuri 👏👏
@MeshackMusee-ff2ur21 күн бұрын
Wa Kwanza jameni fro kenya
@user-xd8qy1cx2b21 күн бұрын
Mwisho mzuri kazi nzuri sana baba joan😂😂
@ggfwtgg165221 күн бұрын
Asante sana bba Joan kazi nzuri maichallah ❤❤❤❤
@GiftMkinga20 күн бұрын
Kazi nzuri sana baba joani
@ShamsaAbasi4 күн бұрын
Tunakupenda pia kk muvi nzuri
@jeffommy103220 күн бұрын
Hapa wa bongo ndio tunapokoseaga watu mpo kwenye hatari lakini upo na viatu mkononi huoni km vinakutia uzito dada angu 😂😂😂😂
@user-yg3hi4zz1t21 күн бұрын
Wakwanza from kenya❤❤
@madymag692620 күн бұрын
Kazi nzuri ssna baba joan hila hapo mwisho himenichanganya sana nawakubali sana nyote ❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@fammamourchy216420 күн бұрын
Asantéeee Kazi nzuri Courage Nawa ❤
@user-wv3du7ld2p14 күн бұрын
Wauuuuu Santi sanaa Baba Joan love you content so much
@user-fu1db6bt3v20 күн бұрын
🎉🎉❤❤❤ kazi nzuri nawa penda sana
@user-bm1oe9lh1m20 күн бұрын
Kazi nzuri san❤❤🎉
@rasoal147120 күн бұрын
Kazi Nzuri Sana Baba Joan na Team yko
@OgandaSak-vv8ok19 күн бұрын
Imekua nzuri asenteni ni nyie
@user-tw8jn9fw2b20 күн бұрын
Hii ilikuwa movie poa baba Joan keep up good work ♥️♥️
@user-cw6py3mw5l19 күн бұрын
Asantii kwa Kazi njema baba joan❤
@RizikiZiki21 күн бұрын
Baba Joan ndo kauwisha wenziye umezidi ukaidi unaambiwa husikiyi onasasa umeuwisha wenziyo bora nawz ungekufa ukawafata wenziyo wamekufa bila hatiya yeyote😢
@EmmanuelMartine-sd8vq21 күн бұрын
Kaz nzur sana endeleen kupamba
@EnjoyJohn-fo3ox19 күн бұрын
Kaz nzur xna et 2po Na wew nega kwa bega Baba joan
@mahirmahir240719 күн бұрын
❤❤❤❤ nimeipenda kwakweli mwanafunzi wa ajabu
@user-fh5ko7he2z21 күн бұрын
Kazi nzuri baba Joan hongera sana🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@husnahusna154421 күн бұрын
Move nzuri sana nimefatilia mwanzo mwisho nimeipenda Usimwamini kila mtu kuwa msaada nimejifunza kitu shukran Kwa muvi nzuri
@GHgh-hq3zj21 күн бұрын
Kazi nzuri kbs
@asanatiniyonkuru759317 күн бұрын
❤❤❤ woooo🎉🎉🎉 nime yipenda kinyama kazi nzuli
@user-rk3hl7lo4g20 күн бұрын
Kaz nzuri
@EstherBarasa-es3tn20 күн бұрын
Wow baba Joana God bless you
@user-nl1vy8sh1j19 күн бұрын
𝐊𝐚𝐥𝐢 𝐒𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐢𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 sana❤❤❤
@TheDc-dishon21 күн бұрын
Naipenda Sana ❤️ from Nairobi Kenya
@AmirNgunde21 күн бұрын
Munajua ila jitaidin mwisho mumaliziage vizuri kama hii aieleweki mwisho
@ViraBabwiriza20 күн бұрын
Congratulations 👏 nawa kubali washikaji wangu wili kundi
@JulieMlay3 күн бұрын
Mwisho sijauelewa jaman
@user-rz9uf2xx1x21 күн бұрын
Jamani hio sauti n ya baba John kweli 😂😂😂😂😂😂😂
@rosedeborah619321 күн бұрын
Asante sanaaa Baba Joan kwa iyo movie .Lakini fundisho iko mingi ndani yake
@DannyMutai21 күн бұрын
Watching live from kenya 🇰🇪
@user-rl4ii9xj5n20 күн бұрын
Much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦
@ashamwanganzi640020 күн бұрын
Always u a the best baba Joan ❤❤❤❤
@SeleIddi-gj9fu21 күн бұрын
Super Baba Joan
@user-km7rs7pe5d21 күн бұрын
Ninzuri saana ila weka vipande virefu virefu
@user-uo9bq2cy4p20 күн бұрын
Bona mkamaliza hii ata bila kujua waliofariki kama walifufuka,,walioibiwa na majini like that..but twakupenda xana
@user-kt3er8th9l20 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 baba Joan
@najmamohamedi21 күн бұрын
Nice
@BrightnessPatrick20 күн бұрын
Asantee sana Kwa mov nzur sana nimejifunza vingi san kupitia hii mov love so much baba Joan♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@HeakiMusoma-ri8bj4 күн бұрын
Jaman sijaona mwenye kitabu anavyo bambana na majin😢
@SalmaOmary-ck3du20 күн бұрын
Haya kwaelini vipebzi tutaonana tena
@user-fr3hf5un9w21 күн бұрын
Nakupenda sana baba joan
@mustafahlokol733821 күн бұрын
Nimeachwa na mwanafunzi wa ajabu 😭😭😭💔💔💔
@SalomonMugenyi21 күн бұрын
Mi kwanza toka Congo déc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-nm2zu3bs6m18 күн бұрын
Wow so nice ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@israelkirway550421 күн бұрын
HONGERA SANA baba Joan but umetuacha tuna hang
@kibaniotv21 күн бұрын
Kazi zuri kikubwa dua
@mourinelelei322321 күн бұрын
Dakika ya kumi jamani,pia mimi nipewe baba joan
@JasinthaAngelo17 күн бұрын
Asante baba Joan nakukubali
@esterkimalio884621 күн бұрын
Ahsante sana baba Joan ❤❤❤❤
@user-ge3tn7zs8r21 күн бұрын
Ongereni baba Joan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-mm1ll8gu2w20 күн бұрын
Mung Wang daaaah polen
@AsheliMlengo-rj8ed16 күн бұрын
Pamoja sana baba joani 🎉🎉
@rukcabby257221 күн бұрын
Wauuu nice baba Joan ❤
@asyawaamidu296821 күн бұрын
Mama kanchodar umevua wigi 😅😊
@peterpatrick52820 күн бұрын
Baba Joan umemaliza tofauti sana umejisahau kama movie zako tunaangalia wakumbwa pia siyo watoto tu nakuomba tu ujitahid kumodify kidogo ili zivutie zaidi movie hii imeisha kitotototo sana. But nakukubali sana big up tunasubiri nyingine
@BabaJoani20 күн бұрын
Hapana sio tofauti ndugu,jitahidi kuelewa final hiyo
@user-on7in9tz6e20 күн бұрын
Kazi njema
@marthaalex-zo3rd19 күн бұрын
muv inamafunz sanshukrn
@AminaKarimj17 күн бұрын
Saw lakn mbn atujajua ukweli jamn kuuz kitabu cheus
@Roze-so4he21 күн бұрын
Kazi tamu
@GravitTaboi20 күн бұрын
Alafu niulize tu Mali za Marehemu iliiahaje juu hatukumaliza