KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"

  Рет қаралды 43,424

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

27 күн бұрын

KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 196
@michaelmshighati8432
@michaelmshighati8432 25 күн бұрын
Mpina anafaa sana Tanzania ni Roho wa Mungu aliyezaliwa aheshimiwe Kwa Ujasiri wake.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 25 күн бұрын
Mpina ni mzalendo sana yuko tayari kwa lo lote. Na wewe mwandishi ni mchaw tu. Huko duniani si ajabu walitoa cho chote kwa sababu kweli watanganyika wanateseka sana. Hatuna wabunge zaidi ya Mpina
@Uhuru1234
@Uhuru1234 25 күн бұрын
Weka utaratibu tufanye contribution hata kidogo,ili mpina aendelee kuishi bila stress
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 25 күн бұрын
Tunamzungumzia Mpina ndiye tunayemjua.Hawo wengine ni wabunge wa Samia wala hawana shida na matatizo ya wanainchi au lasilimali ya Tanganyika.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 25 күн бұрын
Mpina ndiye tunamkubari sisi kwani ameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
@user-wz9fu4hd7i
@user-wz9fu4hd7i 24 күн бұрын
Mimi nafikiri hapa ni Tulia kukosa uzalendo, ukitaka kuona mambo ni ovyo angalia bajeti ya muungano na ya Zanzibar hapo utagundua kitu,kama uelewi nitafute nikueleweshe,,,
@josephkadeghe4720
@josephkadeghe4720 25 күн бұрын
Speaker anaweza kuwa Rais wa Mabunge si kwasababu ya umahili wake, ni kwasababu wazungu wanataka kutuibia mali zetu zaidi.
@user-qe5cb7vy6o
@user-qe5cb7vy6o 25 күн бұрын
MPINA NI MZALENDO HALISI BUNGE LA SASA SI CHOCHOTE LIPO KWA AJILI YA KULINDA WEZI TU ANAYE WAKOSOA KAMA MPINA WANAMWONA WA HOVYO KUMBE WA HOVYO NI NI WAO TU MSEMA KWELI SIKU ZOTE HAPENDWI.
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c 24 күн бұрын
Mmmmh 😊😊😊😊😮😮😮
@josephgermanosanga9265
@josephgermanosanga9265 24 күн бұрын
Josephkadeghe unaweza kuwa 100% correct in a sense that hawahitaji mtu ambaye anaweza challenge wizi. Wazungu kimsingi africa ndio shamba lao la bibi . Tunatakiwa kizazi cha sasa tufikiri nje ya box , loans and grants are key weapons to africa from western nations, wanatupa ili kusoften power na wao ndio njia kuu kuweka mambo yao kilaini
@NixonJohnson-r4m
@NixonJohnson-r4m 24 күн бұрын
22:24 hapo ni point kabisa
@judicalosika7642
@judicalosika7642 24 күн бұрын
Point kabisa MaKiti moto ni mabaya sana.
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 22 күн бұрын
Mwandishi wa ovyo kabisa, issue za kanda ya ziwa, kanda ya mashariki, kanda ya magharibi nk yanatoka wapi?
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 25 күн бұрын
Naungana kumchangia mpina, ufanyike kampeni umma wote ujue kwamba ambao hawaungan na bunge na spika wachange
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba 25 күн бұрын
Sijasomea uandishi wa habari, lakini ninaona kasoro KUBWA kwako mwandishi.
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 25 күн бұрын
Kweli kabisa mpina ndiyo Mwamba wengine vichuguu 😅😅😅😅Safi sana kijana 💪💪💪💪 vichuguu mpooo 😅😅😅 🤸🤸🤸🤸 mpina km magufuli mpina km Makonda wengine vichuguu
@user-xx8fb4ed5u
@user-xx8fb4ed5u 25 күн бұрын
Waacheni tu sheria wanatunga wenyewe halafu wakiukaji ni wao pia, halafu hii tanzania viongoz hawatak kuambiwa ukwel, tukutane 2025
@OS-pf6op
@OS-pf6op 25 күн бұрын
Huyu spika sio! Mtakuja kuona huko baadae.
@issacklyandala7023
@issacklyandala7023 25 күн бұрын
Hatuna spika, kwakweli
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 24 күн бұрын
Bahati mbaya mtangazaji umeegemea upande fulani tofauti na hitaji la kutoegemea upande wowote hivyo unafanya mahojiano hayo yapungue ladha.
@user-qj2tq4wm9x
@user-qj2tq4wm9x 25 күн бұрын
Huyo muandishi Hana ueledi kwenye kuuliza Maswali ya kisiasa au ni muoga anaogopa kuuliza maswali kwa faida ya watazamaji
@josephkidima-nc3di
@josephkidima-nc3di 24 күн бұрын
Hongera Sana kijana Nkindikwa unatelimisha vizuri Sisi watanzania kudai haki zetu❤
@user-iy8mq9ii8t
@user-iy8mq9ii8t 24 күн бұрын
Mwanadamu anaweza kumchagua mtu HATA kama hafai ila Mungu huchagua anayefaa maana anijua Hadi mioyo ya waovu sijawahi msikia spika wa bungu aongee lolote kuhusiana na vitu mbalimbali kupanda Bei bati ciment nk lakini kuchaguliwa mbunge wa bunge la.
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 24 күн бұрын
Nahisi tukiendelea hivi GEN - Q itaanza Tanzania
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 25 күн бұрын
Yaani rais Samia ameifikisha Tanganyika pabaya
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 25 күн бұрын
Uko sawa kaka
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 19 күн бұрын
Mwandishi hujitambui. Mimi hungeendelea kunihoji.
@salummohamed2689
@salummohamed2689 25 күн бұрын
Wana Kisesa simameni imara Kuona Mpina anakuwa Mbunge wenu 2025, hawa Wana hila watalikata jina lake juu Kwa juu lisifike katika hatua ya kuchaguliwa. Ee MwenyeziMungu mpe Mpina uzima afike ktk kipindi hicho.
@user-ub2sm5vy2z
@user-ub2sm5vy2z 23 күн бұрын
Mimi sina mda na bunge letu linaonekana kuujumu lataifa wazwaz na linattea matumbo yao na chama chao mm wanawafukuza wabunge imara ili mambo yao yaende sawa lakin ipo siku
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 24 күн бұрын
Alishinda u spika wa wabunge duniani kwa sababu wabunge wa mataifa makubwa hawajagombea kwa sababu wameona ni upuuzi aliowashinda ni spika wa Ethiopia na malawi
@wanguwangu34
@wanguwangu34 22 күн бұрын
Uko sahihi sana, mbunge pekee wa watanzania ni Mpina pekee wengine wapo Kwa ajili ya matumbo Yao.
@user-hb8er6dq2q
@user-hb8er6dq2q 23 күн бұрын
Nami ntamchangia mpinaaaaaaaaa
@FestusJchunya-hc3hv
@FestusJchunya-hc3hv 25 күн бұрын
kifupi tulia sijawahi kumuelewa!! tangu alipoingia kwenye siasa!!
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 25 күн бұрын
Amesema mambo mawili, kujitambua na kujithamini. Na si ukabila kujipigania. Ni uzalendo. Mwondoeni Samia hana uchungu nanyi sababu anafaidi Zanzibar kwao na sasa anauza Tanganyika. Wanaccm Watanganyika, machawa wa CCM , wabinafsi wafaidi wachache waunga mkono wa Samia wote wasiokuelewa ni mazuzu kama ulivyowaita bila kumung’unya.
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 24 күн бұрын
Na wewe mtangazaji uliza vitu vya pointi, tusije hasira zote tutazihamishia kwako, angalia sana hayo maswali yako, usiyaegemeza saaana kwenye uchawa, watu tumevurugwa
@abrahamnyagawa1304
@abrahamnyagawa1304 23 күн бұрын
Tunataka mpina awe raisi wa nchi hii ya Tanganyika.
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 Күн бұрын
Mwandishi sijamuelewa mbona kama 😢😢😢
@raykas9976
@raykas9976 25 күн бұрын
Kuwa spika wa mabunge Duniani ata msukuma anaweza kuwa. Huko kuna utaratibu miongozo ilishawekwa , lkn kwetu utaratibu uliopo ni wa kukilinda chama Tamara.
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 25 күн бұрын
Mimi ni chadema lakini naungana na Mpina . Ni mtu anayewakilisha wananchi.
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 7 күн бұрын
Mwandishi usihoji sana huyo msemaji Yuko vizuri,Huyo msemaji ndio wanaotakiwa kuongoza nchi.yuko vizuri..mwandishi wewe mwenyewe ni waoga.hamko huru kutangaza maovu ya viongozi.Angalia madereva wa tanzania wanalia na mikataba lakini makampuni ni yao
@macleanuronu2899
@macleanuronu2899 24 күн бұрын
Hongera kijana mzalendo japo umekutana na mwandishi chawa lakini umeeleweka sana
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 4 күн бұрын
HUYO MWANAHALISI TV WA MIDIA MWAMBIENI ARUDI AU AENDE TENA AKAJIFUZE KUHUSU UWANAHABARI ANAULIZA MASWALI YA UPUZI
@josephinepancrasy3194
@josephinepancrasy3194 19 күн бұрын
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 11 күн бұрын
Speaker wa kucheka na kufurahisha wageni na kuumiza wanainchi ili wasipate nafasi. Angekuwa ni mtanganyika angekiona cha moto.Kwa kweli hapa hatuna Speaker bali ni Speaker wa wageni wanaotoka Inchi za Inje ndiyo sababu aliongwa tu.
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d 24 күн бұрын
Mwanangu hongera hakika wapo tz mmesoma kwelikweli ww ni hazina tz
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o 24 күн бұрын
MWANDISHI NI MBOBEVU WA MAJADILIANO. MAANA KUTOKANA NA MASWALI ALIYOULIZA NDIYO MSEMAJI AMEPATA KUELEZA MAENEO MBALIMBALI.
@marcmathewmuyala1937
@marcmathewmuyala1937 3 күн бұрын
𝙈𝙥𝙞𝙣𝙖 𝙣𝙙𝙞𝙮𝙤 𝘼𝙎𝙄𝙇𝙄 𝙔𝘼 𝙐𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼, 𝙖𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙖𝙠𝙞𝙣𝙖 𝙅𝙊𝙎𝙀𝙋𝙃 𝙈𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼 𝙝𝙖𝙤 𝙣𝙞 𝙈𝘼𝘾𝙃𝘼𝙒𝘼 𝙬𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙏𝙐
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 25 күн бұрын
Mpina juuuuuuu
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 25 күн бұрын
Dunia ipi imemchagua?wazungu wanafiki mno,humpa cheo mtu hata fala,ilimradi alinde maslahi yao tu,huyo watampa kila aina ya sifa na tuzo"huyu wazungu wanajua yeye na serikali nzima wanalinda maslahi yao,ko lazima wampe hivyo vyeo,ila kiuhalisia pale hayupo mtu,
@JosephKembe-ee6bd
@JosephKembe-ee6bd 25 күн бұрын
Kwakweli mpina ni mbunge anatakiwa kuwa mpinzani ili wananchi fufatirie binge kama awali
@mosesmaduhutv7985
@mosesmaduhutv7985 25 күн бұрын
Tukipata wasukuma kama huyu 8 tu mbona banachimbika
@marcmathewmuyala1937
@marcmathewmuyala1937 3 күн бұрын
𝙇𝙐𝙃𝘼𝙂𝘼 𝙉𝙄𝙆𝙊 𝙋𝘼𝙈𝙊𝙅𝘼 𝙉𝘼 𝙒𝙀𝙒𝙀. 𝘼𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙩𝙪 𝙬𝙖 𝙈𝙗𝙚𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙞 𝙬𝙖𝙢𝙗𝙚𝙮𝙖
@AbelJohn-tx4in
@AbelJohn-tx4in 24 күн бұрын
Huyo siyo spika wa bunge, ni spika ya redio
@jonathanmwakabuku4714
@jonathanmwakabuku4714 21 күн бұрын
Unajuaje kama hao mabeberu wamemzadia kwa sababu anakuulizia bunge kuhoji serikali na wao wanapata faida ya kuiba rasilimali zetu.
@user-hq5qx1hu2x
@user-hq5qx1hu2x 24 күн бұрын
Wabunge tunawajua wanaotutetea wengi wapo Kwa ajiri ya maslahi Yao.
@user-kq5si5pv9n
@user-kq5si5pv9n 25 күн бұрын
Good
@Uhuru1234
@Uhuru1234 25 күн бұрын
Mpina na mtetezi wa wa Tanzania, wengine wanajijua wenyewe wanacho kifanya
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 25 күн бұрын
Munguatampigania mpina ccm hawana jipya
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 25 күн бұрын
Watanzania tunajua fika kwamba serikali ya ccm awamu ya 5 ilimuweka huyu Spika kwa maslahi mapana ya Waheshimiwa sana wa nchi na sio kwa faida yetu wananchi. Mambo aliyokwisha pitisha kwa nguvu kinyume kabisa na maana ya chombo hiki ni mengi akishirikiana na wingi wa wabunge wa ccm tunaowapa ridhaa,ama kupora uchaguzi nk
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 25 күн бұрын
awamu ya tano alikuwa ndugai huyu gender ndo ilimbeba.akawa naibu Uliona Ndugai alikataa kupitisha tozo wakamuengua
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 25 күн бұрын
@elibarikimolle awamu ya 5 alikuwa Ndugai. Huyo tulia kawekwa na Samia
@Jumacharlesmadale2958
@Jumacharlesmadale2958 24 күн бұрын
Awamu ya tano alikuwa Job ndugai
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 20 күн бұрын
Mwaka 2017 ilipopitishwa sheria kwamba mikataba inayohusu raslimali ya nchi ipitishwe na Bunge ulikuwa wakati wa Mwaminfu Magufuri ambaye hakutaka kujitajirisha Wabunge wetu mwaka 2017 walipiga makofi kupitisha sheria ya ulinzi wa raslimali za Nchi leo tena wanageuka wanasariti kile walichokipitisha 2017 huu Ni udhaifu mkubwa Sana wa Bunge linaloitwa la awamu ya sita japo tunajua Ni Bunge lililochaguliwa awamu ya tano
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 22 күн бұрын
Mmmhhh ngoma ni nzito. Tanzania tumwogope Mungu. Tuombe huruma ya Mungu pekee.
@FortinathaMvikule-cm1im
@FortinathaMvikule-cm1im 25 күн бұрын
Umeeleweka Sana Baba
@elikanaernesti8440
@elikanaernesti8440 25 күн бұрын
Mzee Magu alisema ukiona.wapinzani wanakusifia jichunguze hauko sawa na ukiona mzugu anakupa cheo jichunguze hauko sawa pia
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 20 күн бұрын
Hili suala la Sukari toka nje ni uhujumu uchumi. Ingekuwa nchi zenye watu wanaojielewa hawa mafisadi wa CCM wangewajibishwa tena haraka tu. Inashangaza wanafanya mambo ya kuua viwanda na Raisi anazunguka duniani kukopa 😂😂😂
@sandaymgunyi6268
@sandaymgunyi6268 23 күн бұрын
sawa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 25 күн бұрын
Wao wakikchagua wanaona anawafs mbona hawachagui viongozi WA Bukinafaso akili ndogo utaeelewa hao ni wezi
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 19 күн бұрын
Katika bunge aliyekuwa MBUNGE wa kweli ni Mpina peke yake wengine ni washangiliaji tuu
@danielkanso
@danielkanso 22 күн бұрын
Mpina ni mbunge kweli kweli kuhusu haki huyo jamaa hana lakupoteza spika ameingia chaka
@ZephaniaNdaki-vq1ti
@ZephaniaNdaki-vq1ti 23 күн бұрын
Ikitokea Mpina kuchangiwa, hata mimi nijulishwe nitachangia kwa change kidogo!
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 22 күн бұрын
Izalendo siyo kutetea makosa kila.mtu ni mzalendo mpina alikosea pale kuzungumza nje ya bunge kama alivyoagizwa.
@islamsultan8563
@islamsultan8563 24 күн бұрын
MPINA NI MBUNGE IMARA💪
@charlessheks7166
@charlessheks7166 12 күн бұрын
Hata mimi nikotayar kumchangia mpina..
@SebastianNgimba
@SebastianNgimba 23 күн бұрын
mtoe namba haraka ya kuchangia tumchangie mwamba wa magufuli wako wawili2 mpina na makonda japo makonda ni muoga kidogo
@chaleteubadi4530
@chaleteubadi4530 22 күн бұрын
Dunia wamemchagua wazipendi nchi za Africa ndo maana wamechagua sipka asiye faa
@benardtitus266
@benardtitus266 24 күн бұрын
😢😢😢😢
@epafraditopajenga4650
@epafraditopajenga4650 24 күн бұрын
Dunia kumuona sio shida wala sisi sio wa Dunia sisi watanzania,na Duniani wanapendwa wanawauzia vipande vya nchi yetu
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 23 күн бұрын
Kwanini mumeongeza tozo kwenye bili za Tanesco maisha kwa sasa.magumu na munaongezea tena ugumu. Wabunge hamutendi haki kutotetea hali za watu munaowawakilisha
@Niika870
@Niika870 24 күн бұрын
Yaani Basi tu, tunaumia sana raia wa kawaida, Dawa zilizo expered zinauzwa kweny maduka ya madawa, unanua mseto hupon maralia kumbe zilisha expere , zimejaaa, Hospital za uma hazina madawa kabisa, Ajira hakuna vijana wanazagaaa tu
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 22 күн бұрын
Mmmmhhh huruma ya Mungu tu yatosha. Baba wa mbinguni wewe wajua yote. utuhurumie.
@IsayaKivambilo
@IsayaKivambilo 22 күн бұрын
Kwa anae ijua siasa hapa waheshimiwa wawili spika Kwa nafas yake yupo sahihi na mpina yupo sahihi Ila Hana sapota
@sifunimelkizedeck882
@sifunimelkizedeck882 25 күн бұрын
Kwa yeyote mwenye mapenzi mema na hili taifa tuko tayari kumchangia mweshimiwa Mpina
@2003hintay
@2003hintay 23 күн бұрын
Hapo ni kujitangaza lakini hakuna kitu hapo wachangie wajiorodheshe mawakili lakini utashuhudia watakapoachwa utashangaa, waliungana akina mwambukusi walivochemka. Hakuna kitu hapo ni kutafuta umaarufu tu
@musamhaya5319
@musamhaya5319 23 күн бұрын
Boss kwa mbuge msukuma ni mnafiki kabisa,anahongwa hela kwenda kuuza bandari zetu----huyo msukuma ni fisadi,jizi na anahongeka sana kuihujumu nchi na wananchi.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 24 күн бұрын
Mimi kufaa kwa Spika Tulia nakupima kwa kulalamiwa kwake. Binaadam kaumbwa mlalamishi! Bunge ni sehemu 2, Wabunge na Rais, Rais ni 51% ya Bunge anachokitaka ndio kitakuwa unamlaumu vipi Mhe. Spika. Bunge kwa ujumla ni dhaifu ni kundi tu la Mafisadi waliorasimishwa Kikatiba sio udhaifu wa Spika. Yupo makini na nusu Dr. Tulia.
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 25 күн бұрын
Yaani, watanzania tuna ushabiki Sana na Mambo ambayo hatuyajui,, wengi tunafuata mikumbo tu, inakuwaje mwenzio anatoa mawazo yake,then unatukana au unamtukana mtu huyo
@sainatv2688
@sainatv2688 22 күн бұрын
Mimi waga nawaza hawa viongozi tunawapa sisi kazi kwa kutuomba kura lakini wakishapewa uongozi wanakuwa juu yutu wakisikia unahoji kitu hata mwenyekiti wakitongoji anaweza kukupiga makofi badala sisi ndo ikibidi akizingua kiongozi tumchape hata viboko maana sisi ndo mabosi wake
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 25 күн бұрын
Viongozi wa Tanzania wanawaonea wananchi kwa upole wawo. Wanafanya wanavyotaka bila wasi wasi kwa kujuwa kuwa hatuelewi na wala hatujuwi haki zetu.
@evelina9621
@evelina9621 25 күн бұрын
Huyu.msemaji.anaongea.vizuri.wazungu.wanaleta.vitu.vivyo.haribika.kweli.kabisa.wazungu.wabinafsi.waulizeni.wanakaa.ulaya.waongozi.wote.wakija.kuchekac..
@mvunge7108
@mvunge7108 25 күн бұрын
Kweli kabisa Tulia hovyo mno, walitizama vigezo gani?
@evelina9621
@evelina9621 25 күн бұрын
Sipka.asijihusishe.na.mambo.madogo.yy.ana.cheo.kikubwa.awe.makini.namuomba.awe.makini.anakili.lakini.sikuliwe.mihemuko.yaccm.yake.alinde.hadhi.cheo.chake.amshukru.mungu.mengine.ayaache
@asteriashios1852
@asteriashios1852 23 күн бұрын
Watanzania karibia wote wanapenda uzalendo tunaona yote yanayoendelea hivyo mpina ni mzalendo sana tunaempenda mpina kuliko wabunge wote maana Yuko sawa alivyosema juu ya bashe na mwigulu kwanza mwigulu hatumtaki kabisa sijui kafanya Nini rais
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
Hivi huyu Jerome amepitia angalau "basic training course" ya taaluma ya habari au ni kanjanja!
@karimmveyange280
@karimmveyange280 20 күн бұрын
FANYENI CHAP. TUNAELEKEA GIZA NENE MNOOO
@AlfayoNebugo
@AlfayoNebugo 22 күн бұрын
Spika wa mchongo na bunge washangilia uovu kila ovu hawahoji wanashanglia tu,aibu yao.
@peterdaimon-ug6fd
@peterdaimon-ug6fd 8 күн бұрын
Mpina mzalendo
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 23 күн бұрын
Wote chawa mpina ni laisi wetu ajaye hatutaki mwingine
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 20 күн бұрын
Mpina ndio mwamba
@shabaniathumani1789
@shabaniathumani1789 24 күн бұрын
Kuchaguliwa kwake ni kiini macho ili tijue tuna spika imara lakini ndio tunauzwa hongera ya kuwakingia kifua mabeberu kutupora mali wakaona wampe zawad ya cheo
@SanziNzige
@SanziNzige 25 күн бұрын
Watanzania sijui tuna Nini jamani.hivi mzungu kabiss na akiri take atupe uspika wa mabunge duniani sisi! na sisi tukubali tu.eee.hawa wazungu wanatupiga upofu ili wazoe Mali ZETU kila kitu wanakijua sio WAJINGA hao mpaka tuwazidi akiri usomi na watupe uspika wa mabunge duniani.siamini HATA kido hicho kitu na kinanifanya nicheke TU.
@sifunimelkizedeck882
@sifunimelkizedeck882 25 күн бұрын
Amekuwa rais si kwa kuwa ana sifa ila ni sawa najua linavyio izunguka dunia ilikuwa ni zamu ya Tanzania bunge la Tanzania halijawahi kuwa na spika wa hovyio kama huyu ukuchukulia pamoja na kwamba inaonekana ndiye spika mwenye elimu kuliko watangulizi wake lakini amekuwa kiwango cha chini kuliko wote walioshikilia huo wadhifa😢
@SanziNzige
@SanziNzige 25 күн бұрын
Mpina NI machine mbaya Keene serikali Kama hii inawasagasaga mpaka mifupa .wamestuka kuona inkula mpaka mawe.mhuuuuuu! Mtakoma na msubili watanzania wa leo SIYO mlowazoea hamjiongezi tu
@jesaminzo
@jesaminzo 23 күн бұрын
Nami pia huwa najiuliza, hao wabunge duniani wanatumia vigezo gani? Au weusi wake ulimbeba? Kumbuka sujasena, "uafrika"
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 25 күн бұрын
Yuko wapi polepole humfrey?
@melkiorndemera6474
@melkiorndemera6474 23 күн бұрын
Ata Mimi pia
@DaudiLengai-ym5fx
@DaudiLengai-ym5fx 23 күн бұрын
Nipo tayari kumchangia Mpina kadri ya uwezo wangu
@sainatv2688
@sainatv2688 22 күн бұрын
Wazungu wana akili sana wamempa usipika wa dunia ili watanzanua tuone kwamba tumewin sana laki point kubwa ndo watununue vizuri maana wanajua viongozi wa tanzania ni after money tu hakuna uzalendo sio kwamba sipika ni bora
@user-ub2sm5vy2z
@user-ub2sm5vy2z 23 күн бұрын
Atume nomb
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН