Рет қаралды 14,825
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemtia hatiani na kumuhukumu kwenda jela mwaka mmoja, Zarina Sadiki kwa kosa la kutumia lugha ya kuudhi, kumtukana Mama yake mzazi.
Zarina alihukumiwa jana mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mpaze baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili.