MWANAMKE AHUKUMIWA MWAKA MMOJA BAADA YA KUMTUKANA MAMA YAKE MZAZI

  Рет қаралды 14,825

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemtia hatiani na kumuhukumu kwenda jela mwaka mmoja, Zarina Sadiki kwa kosa la kutumia lugha ya kuudhi, kumtukana Mama yake mzazi.
Zarina alihukumiwa jana mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mpaze baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili.

Пікірлер: 82
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 2 жыл бұрын
SUBHANALLAH mwenyezi MUNGU amlaze mama yangu mahala pema peponi Amin😭😭😭😭
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Mwaka mmoja mdogo. Angefungwa mingi huyoo
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Subhanaallah alhamdullilah rabillamin hakimu umefanya Vizuri sana na itakuwa fundisho kwa wengine 👍❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏 sasa angoje. Na yeye kutukana na wanaye
@ummusamira3518
@ummusamira3518 Жыл бұрын
Masha Allah uzuri Sana Ila siku nyengine iwe angalau miaka mitano hivi ya ili mbu wapate supu ya mwili wake gerezani uzuri
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 2 жыл бұрын
SubhanAllah, Asante Hakimu,Na Atumikie Huo Mwaka Mpaka Uishe,Adabu Na Heshima.
@markmlay8196
@markmlay8196 2 жыл бұрын
Huyo Dada ana laana
@peragiaisdor6315
@peragiaisdor6315 2 жыл бұрын
Mama nae anatukanwa jamani 😭😭 eemungu mlaze mama yangu mahara pema peponi amen
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Dahhh😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 2 жыл бұрын
SAFI KABISA’ akijitetea muongezee mingine MITATU...!...nimependa sana Haya maamuzi ....👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
😂😂😂😂apew mitano
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 2 жыл бұрын
Cyo mtano afungwe 30 kabisa Chizi huyo
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 2 жыл бұрын
Asante mahakama watanyoka tu
@airinsumeno2490
@airinsumeno2490 2 жыл бұрын
Ikiwezekana aongezewe miak yaan mtu unamlinda tangu mdogo unakesha naye af anakupandia kichwan akipata nguvu khaaaah
@edinachami4318
@edinachami4318 2 жыл бұрын
Safi sana
@ngoshathebest228
@ngoshathebest228 2 жыл бұрын
Inatakiwa 5
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Nahao mashahd wake wangefungwa mwaka mmoja 🤣
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Safiiiii
@mwana4599
@mwana4599 2 жыл бұрын
Safi sana.
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Subhannallah. Daaaah waraah huyu anaikwaluza nguzo yk kwa kinywa chake ddaaaah.Waraah chozi la mzazi ni laaana tosha
@mrs2899
@mrs2899 2 жыл бұрын
Safi sana watt wasiku hizi hawana adabu
@asha.mwambamwamba1774
@asha.mwambamwamba1774 2 жыл бұрын
Safi wangeongeza miaka miwilii
@salamakombo3257
@salamakombo3257 2 жыл бұрын
Subhana Allah daaah mtumee HeeeAkaaa mtihani vo jomoni
@sanoureyaliwadoa460
@sanoureyaliwadoa460 2 жыл бұрын
Mim uwaga najiuliza Hili swali mpka nakosa Majibu iv kwann watto wa kike ndio wanao Ongoza kwa kuatukana Wazazi Wao Tna Hasa Mama Mbona mim mwezenu Siwez Ata nigombeshwe Vp siwez jibizana na mama Angu Iv nynyi Wezangu Nguvu Ya Kujibizana Na Mama Znu Uwaga Mnazitolea Wpi Nami Nikazichukue
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
Subhanallah mamaaaaaa😭😭
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 2 жыл бұрын
Safiiii
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 2 жыл бұрын
Mhm adhabu ndogo.mama anatukanwa😭😭😭
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Subuanallah
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Innah lillah wainnah illah rajiuna 😭😭😭😭😭
@fetychina3273
@fetychina3273 2 жыл бұрын
Safi sana ila mwaka mdogo sana😭😭😭
@roseafrael75
@roseafrael75 2 жыл бұрын
Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee
@munamuna7488
@munamuna7488 2 жыл бұрын
Asante hakimu
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
Mmoj hautosh atatok akitoka anammaliza Tu😢😢
@aminaathumani6832
@aminaathumani6832 2 жыл бұрын
Ongezenii miaka mitanoo
@zuhurasadik6611
@zuhurasadik6611 2 жыл бұрын
Mwaka mmoja kidogo
@florianhashimu1370
@florianhashimu1370 2 жыл бұрын
Machozi ya mama yake tu ni kifungo cha maisha.wangemuacha tu atumikie kifungo chake cha maisha
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Wacha afunzwe na ulimwengu bass
@nasralema2998
@nasralema2998 2 жыл бұрын
Uyo anaitaji kichapo
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Bass haya mamake amezaa baadae atukana hee mtihani atapata adabu huko jela mtihani hiyo ni lana hajaolewa amezaa hee mtihani huo mungu azidishiye aghadhabu huyo matusi ya nguoni hayo safi sana kwenda jela mm niko oman siku nyengine naliya mama anaumwa tabani
@HamisManoti
@HamisManoti 2 жыл бұрын
Bila hata viboko??
@ilumvalameck1901
@ilumvalameck1901 2 жыл бұрын
Kuzaa kuaibika😭😭😭
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
angepewa kifungo cha nje tu.Na kupigwa faini.Mnajaza jela tu bila sababu
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 2 жыл бұрын
Mwaka mmoja ni mdogo sana umefungiwa miaka 5
@ngoshathebest228
@ngoshathebest228 2 жыл бұрын
Mmhhh mnaotukana wazazi aisee
@tabasamtv6728
@tabasamtv6728 2 жыл бұрын
Safiiii 👏👏👏😁
@munamuna7488
@munamuna7488 2 жыл бұрын
Bola ili watu wawe na hekma na busara
@randomgaming6547
@randomgaming6547 2 жыл бұрын
Safi sana, sema hio familia ndio basi tena nauhakia mama na mtoto hawata samehana
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 жыл бұрын
Hasara ya nani km sio ya mtoto
@randomgaming6547
@randomgaming6547 2 жыл бұрын
@@AishaAisha-rh1fc mtoto kupoteza mama nikawaida, lakini mama kupoteza mtoto litauma zaidi
@aminasuleiman6402
@aminasuleiman6402 2 жыл бұрын
Analaaana huyo mamaako unamtukana vip?
@hidayahassan8014
@hidayahassan8014 2 жыл бұрын
mmmh huyo dada hana radhi analaana kwa kweli
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 2 жыл бұрын
Atanyooka tu...hana adabu
@zuhurasadik6611
@zuhurasadik6611 2 жыл бұрын
Wacha akajifunze wanatutesa sana wtt km hao
@shaibmlandula8384
@shaibmlandula8384 2 жыл бұрын
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
@samaboy2592
@samaboy2592 2 жыл бұрын
Shkamoo jaji
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Huyo ni mlanifu hajuwi kutumia maneno mazur mamake akiongeya vizur ni sadaka kwake ataepukana na matizo ya dunia
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 жыл бұрын
du huyu kalaaniwa aombe radhi kwa mama yake asije juta hata huo mwaka ni kiidogo angeenda 2
@samwelsanga5339
@samwelsanga5339 2 жыл бұрын
Mwaka mmoja tuuu jaman mbona mdogo hvyo,alipaswa apigwe hata mi 5 hv hana akili huyoo dada
@zuhurasadik6611
@zuhurasadik6611 2 жыл бұрын
Hakimu heshima yako
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Mdogo huo mitatu
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Mipombe na mibangi aliyovuta imempeleka pabaya mm siwez kumtukana mama angu jmm
@msafiriiddy3135
@msafiriiddy3135 2 жыл бұрын
Kwani vioo vya madirishani ni bei gani
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 жыл бұрын
Aje huku ulimwengu yupo huku aje afunzwe tu ni buree
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Mama mzazi?????
@safiakhamiss4567
@safiakhamiss4567 2 жыл бұрын
Mm naona malezi mabovu wanaowalea watt wao kama umemlea kimaadili mtt hawezi kukutukana
@comulusnimbuss931
@comulusnimbuss931 2 жыл бұрын
Dada bakisha maneno..muombe mungu akunusuru akistiri na kizaz chako
@safiakhamiss4567
@safiakhamiss4567 2 жыл бұрын
@@comulusnimbuss931 dada kuna watt niwajeuri lakin akifika kwa mzazi wake heshima na adabu
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 2 жыл бұрын
@@comulusnimbuss931 ....kweli kabisa ‘ kuna watoto wanalelewa vyema na wazazi ‘ lkn akishaingia mtaani anabadilika tabia ‘ halafu lawama zinarudi Kwa wazaza’ ...Nakubali Sio Kweli ukimuona mtoto ana maadili mabovu basi ni wazazi wengine wanayaiga mitaani...Na dunia ya leo kuna MTAA WA MTANDAO ‘ huu mtaa ni hatari sana Kwa VIZAZI VYA LEO..! Umemwambia vyema amuombe MUNGU asitiri kizazi chake..!
@annajoseph9955
@annajoseph9955 2 жыл бұрын
Kalaaniwa huyo loooh
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 жыл бұрын
Azibiwe tu asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
Unatukana mama!!!!!!!?lanatulah*1000!!!
@lanlady2504
@lanlady2504 2 жыл бұрын
Sasa hapo wametatua tatizo au wameongeza chuki dhidi yao?? Ilikuwaje hadi mashtaka yakafika huko? Wazaz, walezi wasisahau jukumu lao la malezi bor na kuwaombea watoto wao! Yaan kweli mwanangu wa kumzaa anaanzaje kunitukana kwa mfn???🤔
@adilialbat708
@adilialbat708 2 жыл бұрын
Hujayajua bd unaona ulikosimama siku ukianza kuona unakokwenda utaelew kwmb kumbe inawezekana mtt wa kumzaa kukutukana au kukupga kabsa
@lanlady2504
@lanlady2504 2 жыл бұрын
@@adilialbat708 inategemea na malezi ya huyo mtoto. Ama si hivyo basi atakuwa na tatizo fulani la kisaikolojia. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Na unaweza kujuuliza ni kwanini wengi wao ni wa uswahili au wenye maisha duni au wasio na elimu kubwa?? Kuna kutokuwajibika vizuri kwa mzazi na jamii kwa ujumla. Na ndio matokeo ya kizazi kisicho na maadili. Mzazi huwezi kuwa na maadili halafu mtoto akose maadili. Hapo tatizo ni makuzi +malezi
@lanlady2504
@lanlady2504 2 жыл бұрын
Kuna mtu namfahamu, wakati wa utoto wake mzazi wake alikuwa anamwambia "yaan ww nimekuzaa tu bahati mbaya, nakuchukia" sasa kwa kauli kama hizi yule binti hakuwa na upendo kabisa na mzazi wake. Na huyo mama alimtambulisha mtoto wake baba zaidi ya mmoja kuwa ni baba yake mzazi. Na inasemaekama alibakwa. Kwahiyo chuki ya baba inahamia kwa mtoto. Mtoto akiuliza ukweli mama anakuwa mkali. Ilijenga chuki kati yao. Na hawapatani. Sasa kwa binti mwingine akiwa keshavurugwa, na akikosa ushauri mzuri anaweza kutoa lugha mbaya bila kujali, kwa7bu ya maumivu ya hisia aliyonayo. Ni tatzo la kisaikolojia
@adilialbat708
@adilialbat708 2 жыл бұрын
dada sema taratiiibu huku ukinong'oneza ucmalze yote mengine mezea huku ukisema Mungu kijalie hekima kizaz cha tumbon langu kiwe na hofu juu yako ewe Mungu lkn co useme mzazi hawez kuwa na maadili mtoto akakosa maadili wapo weng wako vema lkn walzaa majizi mpk ukiambiwa huyu ndo mtoto wa flan unashangaa kwnn hayupo kama mzazi wake kumbuka hyo ya mtoto umleavyo ndivyo akuavy ilkuwa zaman lkn leo hii mtoto huambiwa hili then yey anafany lile kadri anavyzd kukuwa ndvy anavyjihis yupo vzur zaid ktk kuamua tofaut na yale aliyofunzwa au kukanywa wala hakuna mzazi anaetaman mwanae aharibikiwe na si kwmb wanaoharbkiwa n wa uswahlin tu au wasio na elimu kubwa au wny maisha magum noooo wapo weng wana elimu kubwa maisha matamu nk lkn hao ndo wagum kabsaa hata kukosolewa mana hujitia ujuaji mnoo ukitaka kujua hayo toka nje uyajue nahis unayaongelea ndani ndo mana unajua ya ndani sana kwa kujiangalia wew bnafisi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Wengine hadi wanapigwa na watoto waliowazaa.
@sniper93999
@sniper93999 2 жыл бұрын
Nn
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 2 жыл бұрын
Alivyohukumiwa mimi sikuepo naomba hukumu irudiwe au aongezewe hata miaka miwili
@roseafrael75
@roseafrael75 2 жыл бұрын
Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 42 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,5 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /23/ #love
28:53
BabaJoan
Рет қаралды 217 М.
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
HUKUMU:JELA MAISHA KWA UBAKAJI
2:04
Makutano TV
Рет қаралды 2,9 М.
Makame Nuhusu Anauza chokostiki na  Ujiti wakeee..Ndani Ya Pemba
1:49
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 42 МЛН