Рет қаралды 517
KIPI HASA KILIMPATA BI KHOLE MPAKA ASHINDWE KUWA NA
MUME MMOJA, MTOTO NA SIFA YA MKE MWEMA MBELE YA
JAMII?
Kuna hadithi nyingi zenye kuelezea namna Bi Khole alivyo chetuka na kuwa
Kiwembe hatari mithiri ya Moto kwenye mafiga.
Mfano, Enzi za usichana wake wakati baba yake bado yu hai, Bi khole na familia yake walikuwa wamealikwa kwenye Karamu iliyo andaliwa katika viwanja vya Beit El Sahil na Sultani....... Endelea Kusikiliza
#BiKhole #Khole #zanzibar