Shekhe kishk, may God protect and bless you fi dunya Wal akhira
@bahatihadijabahati74565 жыл бұрын
Mashaa Allah sheikh wetu I love so much Allah akulinde na kila la Shari in shaa allah
@miangijunior4358 Жыл бұрын
Shukrani sana sheikh Kwa Elimu hizi ALLAH Akujahalie kheri katika Dunia na kesho Akhera Amiin
@Som-Hanoolaato10 жыл бұрын
Masha Allah, Hafiduhullah Baarak Allahu feekum for sharing !
@xubimohamed61287 жыл бұрын
thanks sh kishki we love u so much , may allah meet us on paradas love u
@madinaabc48254 жыл бұрын
Thank you sheikh sharifu suleyman ..may Allah reward you more and more
@jamilamunisi14805 жыл бұрын
Shukran sana Sheikh Nurdin Kishki Allah akujaalie kila lakheri
@kadejahoe65435 жыл бұрын
Shukran jazillan shekhe wetu Allah atujaalie sote twah binadamu na majini wema Amiin
@humudmarhoon80447 жыл бұрын
jazaakLlahukhyra
@abdul69312 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie ilmu uzidi kutuelimisha
@rahmahrahmah66835 жыл бұрын
Amiin
@jamilamunisi74845 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie kila lakheri na akukinge na kila shali
@fadhilyallyomarysangore97045 жыл бұрын
Amiin
@freedomgin17585 жыл бұрын
Asalamualeykum warahma tulahi wabarakatuh sheikh Mimi ni na maswali mengi saaana juu yako sijui Nita kupatake,,,, asalamualeykum shukran sana
@maryamkasonso60295 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu
@maryamoman59265 жыл бұрын
Subhanallah
@OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын
MashaAllah Allah akujalie InshaAllah 🙏
@lijibra12 жыл бұрын
Mashallah ya sheikh
@SelemaniHassan Жыл бұрын
Mashallah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Amin yarab
@ashaselemanskai50635 жыл бұрын
amiin
@nnbb84026 жыл бұрын
Jazakah Allah kheir
@mohamedsaidahmedjaffer41085 жыл бұрын
ameen yarbbi
@hanifahamis34023 жыл бұрын
Jazakallah khaira
@nasorcholo73334 жыл бұрын
Mashaalah mungu akujaalie inshallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Inshallah!
@abdrazackhashim65495 жыл бұрын
Allah akulinde uwe na afya njema inshallah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Amen yarab
@maryamkasonso60295 жыл бұрын
Asante nurdin kishk
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
masha Allah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Amen aamen yarab😭😭😭😭
@makariospeter94473 жыл бұрын
Yesu pekee. Hakuna jini mwema. Yote ya kukemea kwa jina la Yesu
@bakarisalumu27976 жыл бұрын
inshaa allah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Amin
@rutahalima140011 жыл бұрын
Asalaam alaikum wa rahmatu llah wa barakatu Alhamdulillah rabil alamin Nashkuru mola Karima kwa kukuwezesha kutupa elimu Allah subhana wa taala akuzidishiye kila jema Sheikh kipenzi cha wa islam, vipi na weza kupata vitabu hivyo mana makao yangu ni hapa ulaya je na weza kutumia malipo na crédit card? nashukuru wa salam alaikum wa rahmatu llah wa barakatuh
@bwirizasitta20625 жыл бұрын
Mashaalh
@mariamally73555 жыл бұрын
Jazka llah heri
@brendawambui5808 Жыл бұрын
Thank you kishki now I know
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Nakupenda kwaajili ya Allah
@khamisjuma58634 жыл бұрын
Shekh kila mtu anajini yategemea mwema au mbaya kapandisha ama laa
@samsacute86725 жыл бұрын
Assalam alaikumu ww shekh sasa yenye kukuingia anakuamurisha kua muganga naomba udutafusiriye kwahayo in Shaa Allah
@ashaselemanskai50635 жыл бұрын
sheikh nurdin Alla akulipe kila raheli
@abbyadams8691 Жыл бұрын
Shehke atoa wito kwa majini 😄😄😄😄
@abaisani34857 жыл бұрын
wewe unasema yesu ni kiboko yao je yesu na mungu na mkuu wewe rudi shule!!
@abshiroduba35014 жыл бұрын
Shida ya wakristo. Hawajui tofauti kati Manabii Na Mungu Subhana Allah.
@AlhajNasoro2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@WeBorn2DieAnyTime11 жыл бұрын
MashaAllah, wapi part 1. :).... BaarakAllahu feek for sharing
@abshiroduba35014 жыл бұрын
MashaAllah. Wapi part 1.
@cmsa1r12 жыл бұрын
Yesu yesu yesu ni jibu.....majini yanalia
@warda73735 жыл бұрын
😘
@idrisidris52995 жыл бұрын
Asalam alaikum sheikh, kwa mfano binaadam anafatwa na mashetani, na yeye ako na jini kwa mwili anamsaidiya,huyo naye ni jini gani?
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Naona mnawaongelea ndgu zenu
@swalainaletaamaninautulivu22397 жыл бұрын
yesu kama mna muona kiboko basi jiandaeni na moto wajahanam ss waisilam tunaimani na tunakubali nyiye wakilisito amuna faida
@lailatmrsrajaimustapha13845 жыл бұрын
Nanyie wakirsto subirien siku ya kiama huyo yesu atakavyo wakana mtalia na kusaga meno ngojen sasa mkaidi hafaidi mpaka siku ya idd nanyie endeleen kukaidi mtafaidi siku ya kiama
@daviddavid-gq8zp5 жыл бұрын
swala inaleta amani nautulivu Ghhhbbv Allah akubariki sana pamoja na Majini wote kwa jina la mkuu wa majeshi Mohamed Abdalah s.a.w!Takbir!
@daviddavid-gq8zp5 жыл бұрын
Lailat mrs rajai Mustapha Allah akubariki kwa jina la Mohamed Abdalah!
@fetrishakaza14734 жыл бұрын
Una akili ww nyie ndomjiaandae kwasababu ujuwi nn maana ya jini kwann kaitwa jini mme pumbazwa
@alhabibismail30314 жыл бұрын
Use good words
@tausiramadhan79273 жыл бұрын
Na je inakuaje kwa yule anaambiwa ana waalimu wanataka mja afanye tiba yaan atibie
@TheGame-nz7um5 жыл бұрын
Iweje awe sala 5 apandishe mashetani.... Kuna nini hapo.
@clementjames72747 жыл бұрын
Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini
@fadhilyallyomarysangore97045 жыл бұрын
Ivi nyie wakristo nyie ndo majin
@swaumtadeo3866 жыл бұрын
Nikweli Mimi nahisi ninawo baazi wananitesa sana
@tuliakonga26145 жыл бұрын
Kumbe jini ni shetaniiiii !!!! njooni kwa YESU.
@ameirzapy13184 жыл бұрын
Tulia Konga Yesu yenyewe pia ana Mungu wake ambae ndio Mungu wetu waislamu
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@ameirzapy1318 Mungu wa Yesu sio wenu waislam Mana Mungu wenu hawezi kuwa na mtoto kwa kuwa hana mke mtafutieni mke Mungu wenu
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Yani wachawi nimtihani kwakweli
@sarehhaitham78626 жыл бұрын
Hashim mbonde
@dannyasavela7 жыл бұрын
Mbn Waislamu Na Wakristo Tunaishi Kwa Upendo Tu..
@abuuhudhaifahabuuqataada78494 жыл бұрын
shekhe kishki ktk kuwataja hawa majini na ainaze..umetumia kitabu gani
@clementjames72747 жыл бұрын
YESU KRISTO NI KIBOKO YA HAYO MAJINI
@beastmasteraloha72147 жыл бұрын
shenzi type wewe mshamba
@ApostleIshishagmail6 жыл бұрын
Yesu sio rafiki wa majini ni adui wao
@bigandsmall50476 жыл бұрын
Yesu ni muislamu .Mfuateni kama munampenda
@sarahwanjala66014 жыл бұрын
Kweli Yesu nikiboko yao Njooni kwa Yesu jamani nizama zamwisho hizi Yesu anarudi tena
@ameirzapy13184 жыл бұрын
Sarah Wanjala Yesu pia ana MUNGU wake alie mtuma ambae ndiye Mungu wa waislamu
@munibullahmarunda70515 жыл бұрын
upuuzi mtupu....sheikh mzima kuongea vituko namna hii
@jamilamunisi14805 жыл бұрын
munibullah marunda wewe ndio mpuuzi kwan apo kakosea wapi kazi kutafuta makosa tu
@hadijamandanje61894 жыл бұрын
@@jamilamunisi1480 labda alivyosema kuwa msafi ni muhimu kwake yeye ni upuuz
@jamilamunisi14804 жыл бұрын
Hadija mandanje umeona ee kuna wengine mawaidha ayo yanawachoma
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gani sasa eti?
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Sasa hapo sheikh ameongea upuuzi gan au ww ndo haujaelewa
@darlinmamawatatu64119 жыл бұрын
Stop that chinachina everyone ana right yake ya dini utache sawa eheee kuwa na kristo wako wacha tuwe na Allah wetu simple
@xubimohamed61287 жыл бұрын
darlin kiwanga stupid
@darlinmamawatatu64117 жыл бұрын
+Xubi Mohamed stupid ur dad and ur mother swan
@bigandsmall50476 жыл бұрын
Wewe ujielewi .Usipobadili dini yako utachomeka chungu kimoja na huyo ibilisi.
@abbasmjatta31026 жыл бұрын
darlin kiwanga mbaki na majini yenu kumbe mnaswali nayo. Kumbe majini wote ni waislam na Muhammad ni mtume wao!!! Kweli Mungu aliposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa aliwaona waislam. Vp dini ya Mungu iwe ya majini na mashetani
@fatumamwalimu57655 жыл бұрын
@@abbasmjatta3102 labda nikupe elimu maana umeongea utumbo na hiyo aya ulioitumia huijui inakwambia nini,kwanza kabisa jini alitangulia katika hii dunia,alafu ikiwa wewe ni msomi unajua kabisa shetani alikua malaika ila amelaani alipo kaidi maagizo ya m/MUNGU, hata wewe ni binadamu lakini uenda ukawa shetani hicho kiburi kikizidi maana ibilisi laana tulwahi alikua na kibri hivyo ivyo, pia hii inakuchanganua kwamba akhera ziko sehemu mbili,kuna sehemu ya watu wema na kuna sehemu ya watu wabaya,yaani wanaotenda mema na kuna wale wanatenda maovu,mfano wewe labda umekesha baa kufanya mahaswi wakati ndugu yako anafanya matendo mema,sasa wataka kuniambia wazazi wenu atawachukia nyinyi wote?alafu nikupe elimu maana umeongea utumbo hii ni haya ipo kwenye bibilia NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU muulize pastar wako analijua hilo andiko kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu,jini nikiumbe na ujue kua wewe uko na kibri ndicho kinacho kusumbua lakini kaa ukijua huko uliko sio sehemu salama, maana wewe ikiwa unachukia jini na unampenda ibilisi laana tulwahi wewe ni chizi, hivi unajua kua kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani? Muulize mchungaji wako atakuonyesha ilo andiko,pia nakushangaa ukitwambia kua unashangaa jini akisali!huo ndio utukufu wake Allah na hilo halipingiki,lakini nawashangaa nyinyi makafiri mnaosema mnachukia majini,sasa hiyo ni ishara kua mnaemuabudu hana mamlaka katika hii dunia, maana majini mnapishana nayo kila sehemu je mbona uyo mnaemuabudu hasiwaumbie dunia yenu muache kukanyaga ardhi iliokanyagwa na majini?ujue kua shetani ni mmoja tu na ndie anaetamba na aliaidi kuja kutumaliza na ndie yule aliewaangamiza nyinyi na hilo andiko ulilotumia linawahusu nyinyi na makanisa yenu,Ukiambiwa YESU MUNGU ALELUYAH, ukiambiwa YESU MWANA WA MUNGU ALELUYAH sasa huko sinikukosa maarifa
@Richesfam9 жыл бұрын
Wasilamu, mje kwa YESU Christo, yeye pekeyake, ndio njia ya ukweli kwa Mungu. Mje kwa Yesu, msipoteye. Shatani alisha wafunga macho yenu. But I pray that Lord Jesus would open your eyes to show you the true path.
@saadiyamwasi51279 жыл бұрын
wewe ndio unaefaa kuvukaa maana ujielewi unakotoka wala unakoenda ulifungwa macho kitambo sasa fikiria sana unayoyasema
@Richesfam9 жыл бұрын
Thank you honey, I pray that the Lord Jesus Opens your eyes and see the truth. Mungu akubariki, na ninakuombea sikumoja utajuwa ukweli, yakwamba Yesus ndio njia ya Ukweli yakufika Binguni. :)
@mohammedhegdah8 жыл бұрын
+china china if jesus is ur lord and as u say jesus was killed, this means u av no God!
@mohammedhegdah8 жыл бұрын
+china china ur religion has so many faults that u dnt knw of coz u avent learned abt it, u jst fllwng ur parents, study ur religion n u wl leave it!
@xubimohamed61287 жыл бұрын
china china nonsense
@abdulzackawami77804 жыл бұрын
Nyie mnaosema Yesu ndo wa kwanza kwenda kwa waganga huyo yesu mwenyewe alisalitiwa na Yuda na Yuda aliingiwa na shetan Mbona hakumtoa sasa
@nadiahas12 жыл бұрын
Mashallah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Subhanallah
@maryamoman59265 жыл бұрын
Amin
@clementjames72747 жыл бұрын
Hayo nikwa waislam tu kwetu tulio okoka Yesu ni kiboko ya hayo majini
@fatumamwalimu57655 жыл бұрын
Ukifuta hilo andiko utakua umefanya kitu cha maana, NA PEPO WACHAFU WALIPOMUONA YESU WALIANGUKA MBELE YAKE NA KUSEMA, KWELI WEWE NI MWANA WA MUNGU, kumbe pepo wachafu walikua marafiki wa yesu, wewe unadanganya, alafu nikukumbushe kua kila siku mnajitoa mapepo uko kanisani wakati kiti cha shetani cha henzi kiko kanisani bisha tu wewe, na hapa duniani hakuna uokovu waokovu niwale walio okoka na adhabu ya moto