Kazi nzuri. Mmeutendea haki wimbo huu, Mtunzi wa wimbo ni Zahiri Ali Zoro akiwa na Kimulimuli Jazz Band.
@zahirallyzorro3940 Жыл бұрын
Mimi siitwi Zahil Ali Zollo. Please. Sil vou plait
@jumanesaidi76358 ай бұрын
Kweli hawa wanaume wako vizuri, ukianzia kazi waliyotumwa, waliifanya kishujaa na vizuri, sasa sikiliza, na angalia,hicho wanachokifanya hapo ! ! WANATISHA.
@zabronmwogha99352 жыл бұрын
Safi sana Wana Band coy
@AndrewKayombo-wm8bw7 ай бұрын
Af Majaliwa upo vyema kwenye kuimba Huwa nakuona ukiwa na band ya msondo ngoma. Kaka nyanda nakubali.
@stephenjonas4866 Жыл бұрын
kali sanaaa
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Afandi upo vizuri umeupatia sana hongera
@azikiwelutumo9127 Жыл бұрын
Safi sana
@JK-uq1tv2 жыл бұрын
Kazi nzuri
@shariffalbadawi7269 Жыл бұрын
Wimbo ameukosea maeneo mengi ameuchafua
@papaamarsha1659 Жыл бұрын
Safii
@suleimankhamis8298 Жыл бұрын
nice
@abdullkilawi5504 Жыл бұрын
Paselepa
@ibrahimmwasamila64122 жыл бұрын
Wako vizuri sana askari wetu
@msowamhokole77142 жыл бұрын
Daa aisee nakumbuka mbali mlikuwa mnatugawia biskut na bifu za maharage iyo 1979
@afualusigi923 Жыл бұрын
Tulikuwa tunaita biskut za jeshini
@shariffalbadawi7269 Жыл бұрын
Wimbo ameukosea maeneo mengi Mwimbaji alikuwa na Pupa baadhi ya mistari ameirika maeneo mengine yapo Sawa hongera yake mpiga ridhim yupo sawa
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
Nchi yangu fahari yangu
@giriadbirusha70062 жыл бұрын
Nzuriiii
@user-nj5zp8xt6b10 ай бұрын
Akunakufa ovyo
@jworld14807 ай бұрын
iv shukulu majaliwa ni mwanajeshi kumbe???
@sashashamsia68942 жыл бұрын
kazi nzuri wapiganaji
@geraldluiso67922 жыл бұрын
100%√
@obillaezra62052 жыл бұрын
Huyu Afande ni Muimbaji nguli hata Mzazi wake Alikuwa muimbaji Mahiri sana”
@josephwere63195 ай бұрын
Huyu mwimbaji jina lake ni Nani?
@nassirali74992 жыл бұрын
Dah! nashindwa kujua kua hii ni channel ya sanaa na michezo au ni channel ya ulinzi? Mnaipita hata channel ya wasafi kwa kuposti waimbaji na wanenguaji. Inakuaje channel ya jeshi haina post hata moja yenye maudhui ya kiulinzi na kijeshi?
@simbaboniphace77942 жыл бұрын
Fungua yako
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Kila secta mnafaa natamani katiba ibadiliswe majeshi yote yapumzishe ninyi mkave nafasi