Yani ndugu kama hawa ndio wana takikana sio ndugu wenye wivu
@josephkiwale3747 ай бұрын
Mwandishi vp mbna kama hutaki kukubali ivi😂😂
@nzitogondwe99767 ай бұрын
Bilioni katudanganya
@user-wu9zz1bm9h6 ай бұрын
Hata Mimi niliju stamina duh
@khalsasalim79307 ай бұрын
Mwijaku muongo alisema taa kanunua china moya laki7😂😂😂😂
@tabyabelemwenebenga23117 ай бұрын
Ila ngumba yake
@twiseghekisilu88457 ай бұрын
Wanafanana!
@hashimchaoga95667 ай бұрын
Bilioni moja ni uongo. Ni nyumba ndogo yenye ghorofa moja na gharama hua inaongezeka kwa urefu wa ghorofa. Hapo hata milioni 400 sijui. Wajenzi na waliojenga wanafahamu. Nondo kokoto zege ndio zinapandisha gharama ya ujenzi na sio eti taa milango labda iliyonakshiwa na dhahabu dhahabu. Hiyo size ya nyumba navivyotumika kujenga bilioni ni uongo
@arnold94067 ай бұрын
Kiki hizo
@enoszaka-tx8qw7 ай бұрын
hawa kama family hawakua na mawasiliano kwenye interview zao huyu taa kaagiza china kaka mtu taa zimetoka dukani kwangu morogoro 🤣🤣🤣🤣🤣
@rajabually8697 ай бұрын
Kaka dio mkweli
@shamshabani22627 ай бұрын
Kwan kaka yake ana kiwada cha mataa , je kama ana chukua mzigo china unajuaje sasa?
@rizikiabdalla25017 ай бұрын
Iweee zimetokaaa Moro lakini zinatokaaa china
@TahilaRamadhan-hz3pd7 ай бұрын
Hpna kasema asilimia 80 ya taa kampa yeye but nyengine katokanazo china mwijaku
@moriscollins44947 ай бұрын
Mwamba kasema taa kaagiza china huku zimetoka moro
@bilid41287 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@fatmafatu11287 ай бұрын
Kikubwa kajenga nawewe kajenge
@JOHNJOHN-pu7wb7 ай бұрын
Ndomaana watu hawapendi wazaz na ndugu zao waojiwee 😂😂😂
@ladooladoo12857 ай бұрын
Ni sawa kaka kaagiza kutoka china si wafanya biashar wananunua nje jamani
@syliviakente94607 ай бұрын
Ukiwa una jenga ukapata nafasi.ukasafiri nje ya chini waweza leta container lako lenye vifaa vya ujenzi ukafuata taratibu za Kikodi TRA kuna unafuu sana
@grantmwakalambile28087 ай бұрын
Co nyumba yake acha kuzingua kazitoa wp hela za mjengo wote huo chawa mwijaku