Mwingine aliyetoka gizani na kuongoka

  Рет қаралды 24,699

Straight Path Dawah

2 жыл бұрын

Straight Path Association continues to spread the message of Islam to the Non Muslims and reminding the Muslims. Please subscribe to our channel to support our dawah activities.

Пікірлер: 395
@aaibrahim4487
@aaibrahim4487 2 жыл бұрын
They aimed to bring confusion in Islam but Allah barricade their evil idiology, They planned but forgotten that Allah is the best of planners.... Mashallah great work
@Mombasaweldingworks
@Mombasaweldingworks 2 жыл бұрын
Only by the blood of jesus all you have to do is to let him into your crooked inner self and you will be whole again...
@sevenscounty409
@sevenscounty409 2 жыл бұрын
@@Mombasaweldingworks we love jesus more than u so called Christians, just so u know
@Mombasaweldingworks
@Mombasaweldingworks 2 жыл бұрын
@@sevenscounty409 say you love isa ,but not our lord Jesus from the holy bible who died for our sins..
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
YESU KRISTO ndio Njia ya kweli na uzima,na Ndio Nuru ya ulimwengu wote
@patiancekelvine8678
@patiancekelvine8678 2 жыл бұрын
Kila ulimi utakir ya kuwa Yesu ndie Bwana Huu ni mwanzo tu,, wimbi la wokovu laja tena wokovu wa kweli sio huu wa kupapasapapasa maana watu wataokoka sanaaa maana kumuamini Yesu ndio njia ya pekee kwenda kwa Mungu Baba
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
@@patiancekelvine8678 Ameeen Haleluyaaaa
@erickotero5759
@erickotero5759 2 жыл бұрын
True Jesus is the way
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
@@erickotero5759 Halelujah Halelujah JESUS CHRIST is Lord of Lord and King of king lion of judah alpha and omega
@essyjerry9482
@essyjerry9482 2 жыл бұрын
Amen na yesu kristo yuaja
@Evnelsonkariuki
@Evnelsonkariuki 2 жыл бұрын
Jesus is Lord..Mungu akusamehe..Usitukane ukristo..
@rayaali7551
@rayaali7551 2 жыл бұрын
Bismilaaah maasha allaah alhamdulilaaah yaaraby azidi kutuhidi na kutuongoza na kutuongowa katika njia iliyo nyooka yaaraby AAMEENA YAARABY🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@phoebemwikali
@phoebemwikali 2 жыл бұрын
We all need peace nothing else ...kindly preach peace
@dennistwala206
@dennistwala206 2 жыл бұрын
Umesema kuna uhuru wa kuabudu na pia muislamu hafai kutukana dini zingine, in your previous clips it's obvious wewe mwenyewe umetoa kejeli, umeonyesha uhasama/chuki flani. What you're show is double standards, you're not walking the talk. Alaf kuhusu point ya vitamba haviponyi ni Mungu, nakubaliana na wewe kabisa, ila Yesu alipomponya kipofu batimayo, alitema mate chini akiunda tope na kumpaka machoni hatimoye upofu ukamtoka, kwa si vitamba si matope, ni nguvu ziko behind it na imani yako. Unafanya vyema kuhubiri uislamu, lakini fanya kihekima, kwa upendo bila chuki, maana hivyo inakuwa rahisi kushawishi mtu kuwa muumini. As you said we have freedom of worship, lets respect it, it's a person choice, for God does not force Himself on us, He has given us a choice to worship Him. Personally I have grown with Muslim brothers and sisters peaceful and with love, and they used to share their teachings to me but not like the way you're doing, in theu would easily persuade us, hii yako ni kama tisho flani. If you wish to win souls, stick to teaching Islam, show us umuhimu wake, leave other religions, fighting them and showing hatred towards them, wont make you win more souls. Nmesema kwa upendo, natumai despite our differences, we continue to live in peace and harmony.
@ibrahimdawood6547
@ibrahimdawood6547 2 жыл бұрын
Kama kuna uhuru wa kuabudu, mbona wanatishia huyo mama mjane asiende kuabudu kanisani na wanamlazimisha kwenda msikitini?
@katherinasamwel3937
@katherinasamwel3937 2 жыл бұрын
Huyu shehena ana shuki na dini yetu YESU ndio njia ya kweri na umima sasa huyo dada simjane na dini ya kiisilamu ina luhusu kuoa wake wengi shehe bola umuoe tuu huyo mjanee 😄😄
@blackke6085
@blackke6085 2 жыл бұрын
Sheikh Ramadan amejaa chuki tu na wakristo
@fjghfufgg3227
@fjghfufgg3227 2 жыл бұрын
@@blackke6085 hio ni kweli kabisa na haifai ivo sisi sote tuliumbwa na Mungu
@fjghfufgg3227
@fjghfufgg3227 2 жыл бұрын
@@ibrahimdawood6547 Sasa hapo wanafanya makosa mbona iwe lazima ya kua muslim ilhali mtu ni halali yake, kwani kua Muslim ni lazima??si bora mtu aende pale anapotaka na pia Mungu ni yule yule so wacheni watu wawe huru muache kuwafunga
@hadiyamohamed594
@hadiyamohamed594 2 жыл бұрын
Huu ni msiba mkubwa kutowafundisha dini watoto wetu . 😭😭😭😭Huu ni mtihani kwa kila mzazi lazima mtoto I mfundishe dini iko awe na nguzo imara ya kutopotezwa . Shukran sheikh Allah ndie atakulipa kwa ujira wako
@Nana-do5po
@Nana-do5po 2 жыл бұрын
Right now in Kenya we are in peace time let's peace prevail.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Ikiwa siasa haijakutoeni kwenye amani...dini itakutoeni vp???
@dorcasatieno3705
@dorcasatieno3705 2 жыл бұрын
asante daa MUNGU akubariki sana tuko na amani
@halma7764
@halma7764 2 жыл бұрын
Mashaallah
@ukweliwauislamu9590
@ukweliwauislamu9590 2 жыл бұрын
Masha Allah , JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan kuria ....
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Alhamdulilah Allah ashukuruwe kwakweli Shekhe Ramadhani Allah atakulipa.
@nooor1120
@nooor1120 Жыл бұрын
Maa shaa Allah natamani niwe nimekuzaa mimi sheikh Ramadhan. Nakuombea kwa Allah akuhifadhi na akujaalie dua zako ziwe mustajabah.
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 жыл бұрын
Masha Allah, Allahu Akbar, Allah akuzidishie elimu, umri na afya njema sheikh wetu Ramadhan na Allah atupe mwisho mwema sote waislamu pamoja na vizazi vyetu Allah Humma Amiin
@seniorcade1784
@seniorcade1784 2 жыл бұрын
M.a sheikh Ramadhan Allah akurahisishie kazi ya daawah ....kwa juhudi yako InshaAllh uta badilisha makanisa mengi kuwa msikiti,.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allah atujaalie
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
@@StraightPathDawah Amin 🙏
@rooseupojuubuanaaarose3011
@rooseupojuubuanaaarose3011 2 жыл бұрын
Masha Allah tabarak Allah.....tupo duniani kulingania dini sheikh wetu
@davidmarimi6598
@davidmarimi6598 2 жыл бұрын
Nafikiri nimakosa kwa mkristo kwenda msikitini kufuata wakristo wanaosilimu. Vivyo hivyo Ramadan kuria hafai kwenda kanisani kufuata waisilamu wanaohudhuria huko. Sheikh ananjia zingine anaweza kutumia kushawishi waisilamu wasiende huko. Tuheshimu uhuru wa kuabudu.
@jamalathman6219
@jamalathman6219 2 жыл бұрын
Shukran sheikh ramadhan kwa juhudi zako za da'waa,Allah akulipe pepo
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@geegunen9219
@geegunen9219 2 жыл бұрын
MashaAllah Ustadh Wangu Ramadan
@suheilahsuheilah4968
@suheilahsuheilah4968 2 жыл бұрын
subhanaallah ya rabby tuokoe umm wa mtume s.a.w kwa siku tukufu zibadilishe nyoyo za waja wako ya rabby Tue kitu kimoja na tuishike bendera yetu ya LAILAHA ILALLAH MUHAMMED RASULULLAH YA RABBY
@bentybenty2343
@bentybenty2343 2 жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh Ramadhan. ALLAH akuepushe na hasad na akulinde sheikh wetu..
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Good job Ustaz
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Shukran jazeelan
@mahdiyusuf3431
@mahdiyusuf3431 2 жыл бұрын
May Allah bless you Sheekh luck off understanding their own faith Allah sw only can cure and no one can help you May Allah give understanding of faith
@mahdiyusuf3431
@mahdiyusuf3431 2 жыл бұрын
Sheekh Ramathan May Allah bless you Amiin
@rassorabbat8761
@rassorabbat8761 2 жыл бұрын
Ustadh rama mola akuzidishie zaidi
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@maryambintukhadija1604
@maryambintukhadija1604 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah shekh wangu ramadhaan kuria bin kaguo
@furahamossi3199
@furahamossi3199 2 жыл бұрын
Mansha Allah sheikh tabarakallah Allah akulipe kheir insha Allah watarejeya Allah yupo pamoja nanyi
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@khadijakhamis381
@khadijakhamis381 2 жыл бұрын
Ma shaa Allah mungu amuhifadhi na amuongoze
@dopesalo
@dopesalo 2 жыл бұрын
shukran bro...amazing work. ma sha Allah
@princessmuthoni373
@princessmuthoni373 2 жыл бұрын
Kwa yesu Kuna mwangaza.njooooni mnitafute nko within
@princessmuthoni373
@princessmuthoni373 2 жыл бұрын
My friend acha kuingilia kabisa Mimi nimetoka kwa uislam nimerudia yesu wangu plzzzzz usimwingilie pastor Ezekiel,mbona mnahoji waislamu acha mtu afiate dini yenye anataka
@aminaamiri7684
@aminaamiri7684 2 жыл бұрын
Shekh wetu Allah akuzidishie umr mref wenye manufaa
@zainabumwagiroabdallamwagi97
@zainabumwagiroabdallamwagi97 2 жыл бұрын
Dadaangu mungu amekuonesha nuru na hiyo ndoto yako ni njema na inakuonesha ufuate njia iliyonyooka ,njia yawale aliowaneemesha mwezimungu,nao ni mitume na masahaba na wajawema waliotangulia uachane na hiyo njia ya waliopotezwa na kupotea.
@amsodewiz4901
@amsodewiz4901 Жыл бұрын
Mwenyezi atujaalie kheri ustadh
@hamoodalrawahy2026
@hamoodalrawahy2026 2 жыл бұрын
MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK
@abdiaosman4488
@abdiaosman4488 2 жыл бұрын
Mashallah ustadh kuria.. endelea kuwabia ukweli Allah atakulipa in sha Allah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 2 жыл бұрын
Kabisa Leo umeongea maneno kuntu mpk nashangaa na Mimi ilakuwaje wanatukane ila mungu akuweke shekh wetu kipenzi chetu Ramadhani kiboko yao 🤗
@nuruali9608
@nuruali9608 2 жыл бұрын
ALLAH AKULIPE KHEIR USTADH RAMADHAN NA AKUJAALIE NUSRA KILLA UNAPOKWENDA NA HUYO DADAETU ALLAH AMPE MAISHA YA KHERI NA BARKA KWA KUMRUDIA MOLA WAKE...NA WENGINE WALIOTOKA KWENYE DINI ALLAH AWARUDISHE....AAMIIIN AAMIIIN..YAARABB.M
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@sakinat2527
@sakinat2527 2 жыл бұрын
Amiin
@fatmamombasa3430
@fatmamombasa3430 2 жыл бұрын
Masha ALLAH Akhy Ramadhan Allah akulipe mema akupe nguvu ueze kuufikisha kalima ya lailah illah llah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@nuruali9608
@nuruali9608 2 жыл бұрын
Allahumma Aamiin.Aamiin...Mungu akulipe kheir shekg wetu...Mungu akupe barka ziteremke km mvua shekh Rsmadhan
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 жыл бұрын
Alhamdulillah mashaa allah mitihani tumeumbiw ss heri kumuomba mungu kuliko kumshirikisha Allah na vitu vingine ahsante shekhe wetu
@alsalihintvonline9232
@alsalihintvonline9232 2 жыл бұрын
Elimu ni nguzo ya dini jamani tusomeni dini tujuwe.... Kizuri na kibaya please hii yote ni kukosa kujuwa Imani ndogo mungu atuhifathi insha Allah
@abdalaauame3863
@abdalaauame3863 2 жыл бұрын
Mashalla allbdulilai ustaz ramazane
@salmanassir7886
@salmanassir7886 2 жыл бұрын
MashaAllah sheikh Ramadhan........ Allah azidi kukupa nguvu utangaze dini ya Allah
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@jacquesuwezo228
@jacquesuwezo228 Жыл бұрын
Wewe sheh jiangaliye utapigwa na Mungu acha kufatiliya yasio kuusu acha kuzuwiya watu wamjuwe Mungu wakweli
@iddyally7228
@iddyally7228 2 жыл бұрын
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 күн бұрын
AaminaYaarabi
@CynthiaJohnson-rl2yq
@CynthiaJohnson-rl2yq 2 жыл бұрын
Porojo tuuuuuu ,huyu Shee alifungua hii channel kumpinga pastor Ezekiel tu hana mambo mengine
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 жыл бұрын
Sasa waonaje na wewe ukifunga channel ya kwako ukampinga sheikh ramadhan😏😏😏😏kwani ni kesho
@mufunyiibrahim3655
@mufunyiibrahim3655 2 жыл бұрын
Hi channel ni ya dawaa imekaa zaidi ya 5 yrs
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Hii channel ni mzee kuliko tv ya Ezekiel
@gladysrael3396
@gladysrael3396 2 жыл бұрын
Unajoka bure sikuhizi hawafai buibui ndio mziwajue uislmu qwisha Mombasa kristo ndio kuzema
@blackke6085
@blackke6085 2 жыл бұрын
wow!
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Unajidanganya hali ya kua unaujua ukweli. Uisilam hauezi kwisha duniani si Mombasa, kenya si ppte na unazidi kukua.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Na Allah anasema na mkigeuka atawaleta watu wengine badala yenu, nao hawatokua kama nyinyi. Na si unaona watu wa dini tofauti wanausoma uisilam na wanaingia ktk uisilam na kua waumini wazuri zaidi kuliko waliozaliwa nao??? Qur-an 47:38.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Hiki kiswahili ni Cha wapi?
@makenakendi9014
@makenakendi9014 2 жыл бұрын
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Allahuma ameen
@davidmarimi6598
@davidmarimi6598 2 жыл бұрын
Uhuru wa kuabudu unapatia mtu uhuru wa kubadilisha dini pia. Nimeona wakristo wengi waisilamu na hakuna pasta anaenda msikitini kuwafuata huko. Vivyo hivyo mtu akienda kanisani asifuatwe huko
@mshai203
@mshai203 2 жыл бұрын
Uislamu ni dini ya haki dini ya kweli na ni dini ya Allah subhallah wataAllaH
@norahmwenyewe.2799
@norahmwenyewe.2799 2 жыл бұрын
I think Islam mean peace 🙏just preach about peace,the rest leave to our almighty God Who is in heaven yeye ndiye mwenye kuugumu.
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Hata kumuokoa binadam mwenzio katika ushirikina pia ni peace mana Mungu hapendi kushirikishwa, uislam utamfikishia yeyote ambayo hajielewi na anashirikisha hata bila ya kujijua baadae ukufata sawa hukufata sawa wewe na Mungu wako
@ignasmalema8354
@ignasmalema8354 2 жыл бұрын
Islam mean surrender, if you not surrender you die
@teshilifestyle4952
@teshilifestyle4952 2 жыл бұрын
All we need now is peace Muslims and Christians that's all we need in our country Kenya
@naomymose1866
@naomymose1866 2 жыл бұрын
Wewe wenye unachuki falani kwa waliokobolewa, waja kutisia na kuwafingia watu WA Mungu, kumfikia yesu kristo
@sevenscounty409
@sevenscounty409 2 жыл бұрын
Kazi zuri sana ustad ramadhan
@munirashughuli7224
@munirashughuli7224 2 жыл бұрын
Alhamdhulillah 🤲
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 жыл бұрын
Awa wngine hfanya maskhara Tu ni washenzi utaenda vip kanisani,kama unashida Lilia waislam wenzako,mtu wa Mombasa ATI hajui kama kuwa mkirstu ni laana,hao njaa inawasumbua((umasikini ni nusu ya ukafir)
@hanifajuma6121
@hanifajuma6121 2 жыл бұрын
Hizo vitambaa hua zina nguvu ya giza, manabii wa mungu walifanya muijiza bila kupatia watu vitu, isitoshe yesu mwenye hakua NA sarakasi hizi tunaona siku hizi, pia mwanza kuna mwingine anaitwa papa god.
@jibrilwardere8376
@jibrilwardere8376 2 жыл бұрын
Masha Allah
@eunicemwangirani8684
@eunicemwangirani8684 2 жыл бұрын
Utapata shda sana sheikh..huezi zuia injili...injili ni moto💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mufid707
@mufid707 2 жыл бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah
@mariamsefukhamissi8809
@mariamsefukhamissi8809 2 жыл бұрын
MashaAllah Tabarakallah Allah akuongoz zaid sn
@asiaphilmon2233
@asiaphilmon2233 2 жыл бұрын
Mashallah
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
Mashaa llah
@muminaroba9122
@muminaroba9122 2 жыл бұрын
MashaAllah
@fauziaabdullah3733
@fauziaabdullah3733 2 жыл бұрын
MashaAllah shukuran sheikh kwakutuilimishaa
@michaelmunene738
@michaelmunene738 2 жыл бұрын
Wacha kuzarau dini za wenzio utathi
@khaddy2736
@khaddy2736 2 жыл бұрын
Waudhi sana jameni khaaa!!!
@briejoy3760
@briejoy3760 Жыл бұрын
Kweli pastor Ezekiel anawakosesha usingizi 😴😴 yaani mko desperate kuprove kitu hkuna 🤔🤔 muachie Mungu kazi yake🙌🙏
@getrudezighe4483
@getrudezighe4483 2 жыл бұрын
Mtaongea sana nabado
@repentjesusiscomingsoon8799
@repentjesusiscomingsoon8799 2 жыл бұрын
Amina, umefanya vizuri sana kutoka kwa ushirikina wa Ezekiel, mtafute Mwenyezi Mungu kwa bidii cha muhimu acha uvivu na kupuuza nguvu ya Mungu ndani yako,Mola yuko kila mahali kwa watu wote, na Mungu ana subira sana kwa hivyo lazima uwe na subira pia, usitake vitu vya haraka haraka, lkn ukifuata njia mkato utapotezwa,🙏🙏
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
Lakini uponyaji unatoka kwa Yesu pekee yake ambaye ako mbinguni kwa Nuru pekee .Yesu alisema wacha wafu wafuate wafu wenzake maana mfu mwenye ako kwa kaburi kwa Giza haweze kumponya MTU aliye Hai.Bali walio hai ndio humfuata aliye juu milele kwa Nuru nayr akiomba kwa Jina LA Yesu Ataponywa.Mafarisayo ndio ilikua kazi yao juu ya wivu walipokua wanaona Yesu akiponya watu wanamwendea yule aliye ponywa na kumdhihaki asitaje jina LA Yesu kamwe. Maana walikuwa wanaona wao wakiombea MTU kwa Jina LA mwenyezi Mungu pekee bila kumtaja Yesu hakua anapona, Sasa ili watu wasimfuate Yesu awaponye walimkejeli sana na kumuita majina yasiyo faa.Yesu ndiye Alpha na Omega Hakuna mwenye atakuja baada Yake. Yesu amesalia Mfalme Mshindi wao wenye walitegemea Dini yao kuwaokoa waliangamia katikati dhambi zao kwa kaburi LA sahau na bado wanangonja Hukumu ya Mwisho kutoka kwa the same,same Jesus Christ. Yesu ndiye ufufuo Wa Mwisho tukifuata maangizo yake tutaishi naye.
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
Mungu yupi .Taja jina LA Huyo Mungu please?
@hansmswagara2789
@hansmswagara2789 2 жыл бұрын
@@annkuya1446 yan nyie mmeaminishwa kuwa mzungu ndo Mungu wenu kwan alie muumba mamayake yesu anaitwa nani
@fjghfufgg3227
@fjghfufgg3227 2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 na nyinyi Mungu wenu ni mwarabu pia so sote gora moja
@annkuya1446
@annkuya1446 2 жыл бұрын
@@hansmswagara2789 Ni wapi penye pameandikwa kwa Bible ati Mungu ni Mungu?,Mungu Wa Bible alituumba kwa Sura Yake yeye mwenyewe na kwa mfano wake alivyo yeye mwenyewe ndivyo Bible inasema.Ndiyo unaona Bible imetafsiriwa kwa kila Lugha, hata nyimbo za injili ya Yesu zimetafsiriwa kwa kila Lugha maana Mungu Wa Bible anelewa Lugha zote na hana ubaguzi kwa mwenye anamtaka,ukimwita atakusikia maadam anapatikana kila pahali.
@khamissalim7437
@khamissalim7437 2 жыл бұрын
Alhamduliah
@winnysyombuandambuki5475
@winnysyombuandambuki5475 2 жыл бұрын
Mbona mkienda kwa hao wagaga hamsemi mkatangaza
@khamissalim7437
@khamissalim7437 2 жыл бұрын
AMEEN YA Rabbi
@dorcasatieno3705
@dorcasatieno3705 2 жыл бұрын
Mimi sijawai ona mkristo akitukana mwislamu but waislam hutukana sana wakristo
@maimunamohamed9811
@maimunamohamed9811 Жыл бұрын
Allah atuepushe na hawa mapastor wa uongo
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 жыл бұрын
Alhamdulilla
@mamuskamery45
@mamuskamery45 2 жыл бұрын
Waaleikum salam warahmatullah wabarakatu
@oman7710
@oman7710 2 жыл бұрын
Walaykum salam warahmatullaah wabarakatuh
@festusmuli5397
@festusmuli5397 2 жыл бұрын
Kwa Yesu Kuna uponyaji s waganga wanaeza ponya hila yesu humusaidii mama ungemwambia umuombee kwaza aweze kupona
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 2 жыл бұрын
Sio kwa ubaya ila hawa wanao hojiwa Kuna mengi wanaficha, ila wacha Mungu atupiganie,
@ambasaephraim9182
@ambasaephraim9182 2 жыл бұрын
Hawa wanatishiwa maisha usidhani yanayotoka moyoni mwao ni ya ukweli
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
@@ambasaephraim9182, Hakuna anayetishiwa kuuliwa. Hv ww hujawaji kuwaona waisilam wanaoritad kawaua nani??? Msikaririshwe mkakariri.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Hao ni waisilam wanaokuja makanisani kwa ujinga. Na wengi wao hua hawajasoma...na kumuongoza mjinga hakujakatazwa na hakuna anaechukia ila iblis na wtto wake ima mashetani watu au majini. Hv Pastors wangekua wanasambaza neno la Mungu halfu wanaona watu wanaingia misikitini kwa sabbu zao tofauti wangekhofia kuwafuata wakawaongoza ili wasije kupotea??? Lkn wanajua km uisilam ni uongofu na wanaujua km wao wanapoteza watu na target zao haswa ni wale wasiosoma au waloghafilika tena wawapoteze vipembeni na sio penye waliosoma...na ndio mana hawaendi misikitini wanaona wataadhirika. Halafu ukiachia mbali huu mtindo wa kufata mke/mume ambao upo kwenye kila dini...wanaokuja kwenye uisilam wengi hua wamesoma na kuamini kwa hio hua vigumu mtu kumtoa.
@xavierowino
@xavierowino Жыл бұрын
She said she got healed of hiv due to Ezekiel's prayers. She turned hiv negative. So now that she has come to Islam, does she gets to keep her healing? And who gets the credit for the healing? The church or Islam?
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Allah amsamehe dada yetu kwa hili
@rikiasalim1428
@rikiasalim1428 2 жыл бұрын
AllahuAkbar
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 жыл бұрын
Waislamu wamefumzwa na Allah watizame marafiki wanaokaa nao.wengi wao wanakaa na marafiki ambao sio
@zaburionlinetv6245
@zaburionlinetv6245 2 жыл бұрын
WOTE WALIODANGANYWA NA HAWA WAIBA SADAKA NI LAZIMA WAUMBULIWE
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 2 жыл бұрын
MashaAllah barakallahu feekum
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Ameen
@nekesaester2068
@nekesaester2068 2 жыл бұрын
Mbona huyu jamaa anamchimba pastor Ezekiel
@boscokimonyi1412
@boscokimonyi1412 Жыл бұрын
Dini haitawai peleka mtu popote , zingatia uhusiano wako binafsi Kati yako na mwenyezi mungu , zingatia kutenda mapenzi yake mwenyezi mungu . Haijalishi wewe n Muslim hau mristo lakini uhusiano wako na mungu n Jambo La msingi
@ceciliawanjiru9177
@ceciliawanjiru9177 2 жыл бұрын
Hawa waislam wanamfuata Ezekiel hakuna ata mmoja azekiel ameendea kwake akamleta kanisani kwake but I don't know why islams are complaining and they are healed Hata Shukrani hamna
@kihimbamushyaibrahim7284
@kihimbamushyaibrahim7284 2 жыл бұрын
Ukweli sheikh Sisi WA Islam tunahitaji kuweka mipangilio yakupiganisha umasiki,nahii twaweza jaribisha small projects,umasikini,maradhi kama hauna imani waweza potea wazee wetu hawakuwa nanidhamu(plan)sahihi sheikhe wavijana kila hali ikiwabana waweza wakapotoshwa!!!miskitini tumezungumzia sana akhera(Moto na jana) asante alakini vipi twaweza pata mugao wetu duniani!??kwanini tusifunze ufugaji kuku,bata,sungura,havihitaji dongo kubwa!wallahu waliyu atawafiiq tuanze kusanya Dola kumi kumi au tano in two years let's see how we can achieve asanteni
@wangagirl3508
@wangagirl3508 2 жыл бұрын
Sisi hata hatuna haja ya kutukana waisilam ni nyingi ndio mnatufwatilia sana na mbona mnaita pts Ezekiel ni mchawi
@hansmswagara2789
@hansmswagara2789 2 жыл бұрын
Kwahyo kusambaza vitambaa ndo nn kam c uchawi
@bsfmaggotsinkenya786
@bsfmaggotsinkenya786 2 жыл бұрын
Sio vizuri
@fjghfufgg3227
@fjghfufgg3227 2 жыл бұрын
Nyinyi mwanzo ndo hua mnatusi wakristo eti mnawaita makaffir kwani nyinyi ni wema???
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Km hata haq unaiona tusi basi utapata taabu sanna. Mbona ww unamuita mshirikina anaekwenda kwa waganga??? Je nayy aseme unamtusi???
@fjghfufgg3227
@fjghfufgg3227 2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 na nyinyi mbona hamuwaiti hao wanaoenda kwa waganga makaffir??? basi tuambieni maana ya kaffir ni nn kabla hamjaambia wenzenu ivo na mbona waislamu wakienda kwa waganga hamuwafuati??? Na mbona wakienda kanisani muna wafuata??? Nasubiri jibu pia
@bsfmaggotsinkenya786
@bsfmaggotsinkenya786 2 жыл бұрын
Bro nimekutumia link hapo chini angalia ushuhuda wa mama muislamu
@khamissalim7437
@khamissalim7437 2 жыл бұрын
Dawah imefika sekh Ramadan
@adbulmama5065
@adbulmama5065 2 жыл бұрын
Kweri cheh Allah awalipe kwa ico munacofanya Allah awalike kesho ashera
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! INSHA ALLAH ALLAH akuongoze SHEKHE RAMADHANI kwa kuinusiuru DINI ya haki Amin Amin!
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Hata Mimi nikitoka huku Dubai nitavaa abaya niingie nayo church ndo nione mkinikujia Mimi muislamu..Kenya Kuna freedom of worship
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Wewe sio Muislamu jifunze adabu za uislamu kabla ujiite Muislamu
@festusmuli5397
@festusmuli5397 2 жыл бұрын
Hii diyo ndini ambayo inatishia kuua wafuasi wake wakienda inje ya msikiti najua Kuna wengi Sana wanataka kutoka hila wanaofia maisha yao
@samotero2323
@samotero2323 2 жыл бұрын
Wewe dawah KAZI Yako ni kuwatoa waislamu wako kwa ukiristo.
@erickobiero5922
@erickobiero5922 2 жыл бұрын
No time to argue about God,for religion I leave it to you brother but what I know JESUS IS THE WAY TRUTH AND LIFE.dini baki nayo ndugu lakini YESU ndio uzima hakuna shortcut hapo.
@fahmilomar957
@fahmilomar957 2 жыл бұрын
ostadhi ramadhan kazi unoifanya hakika inaujira mkubwa kwamungu uskate tamaa man ibilisi yupo nawewe ili akupoteze
@mzaliwaseif7079
@mzaliwaseif7079 2 жыл бұрын
Hata baadhi ya wachristo walishaga helewa kuwa ni nguvu ya jiza ndo yenye kutumika ila ndo ivo tena. Jina la Yesu inakuwa ni cover tu. Bado tunalo tatizo la corona linaitaji dawa.
@maureenmasoni1276
@maureenmasoni1276 2 жыл бұрын
una kazi kweli, umbea kila uchao
@apostlejanegracegidraph2054
@apostlejanegracegidraph2054 2 жыл бұрын
She was having a dream👍
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 156 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 81 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 156 МЛН