Makonda mungu akupe mwisho mwema ila ulipotokea nyuma ulikua mtu mwenye jeur na kiburi Sanaa ila kabla hujafa uombe radhi ulio wakosea nyuma ila saiv ww mtu poa Sana Tena mtu wa kuigwa
@kilimanjaro77international264 ай бұрын
Wacha Utoto, wabongo hawa endi bila shuruba
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
beautiful soul; Paul Makonda..Mama Samia ww kweli ni mama ukatupenda Tanzania. barikiwa Samia binti yake na Suluhu wake Hassan
@fredykephacy51664 ай бұрын
Daaaa viongozi mbon wako hivo wananyanyasa sana wanachi
@blog91174 ай бұрын
Makonda umeibeba Tanzania ukiomba kura za urais tunakupa umeupiga mwingi ndani ya tanzania
@emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын
Makonda akigombea urais anapewa
@user-ql6jr4tz4m4 ай бұрын
Uwishi maisha marefu
@jobungure71954 ай бұрын
Huu uongozi utafika Kenya lini huku ndio Kuna shida mbaya sana
@honhonhaule92324 ай бұрын
Uko vizuri makondaaa
@user-os6sc7is5h3 ай бұрын
Fanya vitu nakuaminia mkuu wewe na waziri wa Alizi kama nyinyi wenyewe Amjui CCM inakua vizuri kutokana na wewe makonda waziri wa Arizi na waziri mkuu mambo mnayofanya mama samia 2025 Anachukua uraisi mia.mia ❤❤❤☝🤲😂😂🙏✊👏👏👏
@valenakomba76862 ай бұрын
Mungu akubariki sana Makonda.
@user-hh4us7kb5q4 ай бұрын
mama akimaliza omba urais
@luganocornel91213 ай бұрын
Nikipata pesa nitakupatia ununue darubini ili uweze kusoma mabango yaliyombali. Kazi iendelee comrade Makonda
@Zubaiba4 ай бұрын
Hongera sana Mr makonda
@rashidalbalushi83554 ай бұрын
Toka enzi za mwalimu Nyerere Tz ina matatizo nakumbuka wakati ule kulikuwepo shirika la STC wananchi wakabadilisha wakasema sasa tule chetu shirika likafillisika kwa hiyo hakuna uzalendo c serikalini wala polisi wala wananchi lini watanzania watakuwa waaminifu?
@AnethEdward-nf6sc4 ай бұрын
Ni kuzidi kumuomba MUNGU ,cku Moja uaminifu utaonekana ktk jamii.
@jumamnumbwa94834 ай бұрын
Kwa hivo wataalam wanayumbisha viongozi,wizara ya kilimo ikatafute eneo lingine
@user-cz7bd9tc5k4 ай бұрын
Anaye futa hati ni Raistu Hicho kinacho fanyika hapo ni Maneno yasio na Masiko huyo anaye simama hapo Hana Maamuzi
@simumbaken49024 ай бұрын
One komando makonda ast rais wangu mm samia
@TasianaKuta2 ай бұрын
Kweli MH unapiga Kazi Mama Samia kakupatia kuweka hapo unetukumbusha Sana Rai's Magufuli
@user-ev3if3ss8o4 ай бұрын
Mungu akusaidie makonda 1:16
@mabeyainvestment54854 ай бұрын
ila wewe hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@laylayl51664 ай бұрын
Muheshimiwa warudishiwe eneo lao Wana nnchi dhulma hiyoo
@jofreyfungo11124 ай бұрын
Tatizo ni Bashe hapo hataki kupata ushauri Kwa yeyote
@user-qp6zn2xf8w4 ай бұрын
Makonda mungu akubariki,, akupe Maisha marefu kwa kuisimamia haki
@blog91174 ай бұрын
Makonda oyeeeeeee
@Ali-nl2du4 ай бұрын
Makonda 2030
@npiperito194 ай бұрын
Kutoka🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali sana👌👌👌
@Zubaiba4 ай бұрын
Wakurugenzi mbona vituko jamani
@siwahemochristine80594 ай бұрын
Huyo dada anahibu kwa dharahu yeye ndio tatizo hapo mbeya na sibure anamtu anaye mshika mkono
@MichaelMlowe-ne3ri4 ай бұрын
Mimi sie ccm lakin kuhusu makonda ni kiongozi sahihi hapaswi kuwa mwenezi tu mungu atujaalie tupate rais mweny urafiki na wananchi kama mh.makonda
@user-er8mq8ju2o4 ай бұрын
Huna imani hiyo
@matridamwalyoyo17354 ай бұрын
Himeland
@JosephGambishi4 ай бұрын
Kweli kaka
@amosmahona4334 ай бұрын
🙏
@Miro2554 ай бұрын
Hapa shida ni serikali kuruhusu wakurugenzi kuhama bila kuweka mambo yao sawa, kwahyo mkurugenzi mpya akija anajificha kwenye kichaka cha ugeni ndan ya halmashaur......hili ni tatzo kubwa mno
@user-qj3hk5zt5p4 ай бұрын
Mh Mimi ni mwenyekiti ccm tawi nilishawai kuchomewa nyumban sijawahi ona msaada toka wilayan au mkoa au taifa hadi nikakata tamaa mh nimepoteza vitu vingi sana mh Naomba msaada japo nimejenga jengo la ccm tawi Kukatia bima wana nchi kugawanya kuku kata kijij kuchimba mabarabara hawajanikumbuka kunifuta machozi jaman dah Jarman naomba nisaidieni
@user-jx4on5mr7y4 ай бұрын
Safi sana
@matridamwalyoyo17354 ай бұрын
Homeland
@user-qj3hk5zt5p4 ай бұрын
Onger
@user-yn4te8mc3c4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nice makondaaaa respect
@user-wm5fg7xi1o4 ай бұрын
Makonda is contracting his government
@valenakomba76862 ай бұрын
WANA CCM MWISHO WA DUNIA IKO KARIBU SANAAA, ACHENI UNAFIKI NA MSJUNGU. ACHENI KUENDEKEZA RUSHWA NA TAMAA YA PESA. MOTOOO WA AHELA UTAWAMALUZA . MSIKILIZENI MAKONDA ANAEISHI NA MUNGU.
@user-cz7bd9tc5k4 ай бұрын
Kipenya umepotea kabisa Utarudishwa tena gerezani weweMkugenzi ni Mkubwa sana una Mdhalilisha!!
@user-gw7fu9pu7d4 ай бұрын
May the lord be with you makonda
@AlexMwansuleАй бұрын
I'm
@jakobongwara30384 ай бұрын
Jamaani hivi mahakama hazipo
@emmanuelmlowe-ew7gx4 ай бұрын
Mahakama zipo na mahakimu wapo lkn kama huna hela hupatikana haki ndio maana wanakuja kwamakonda unapata haki yako bila gharama. Makonda ili kazi uliyoifanya idumu iwe kwenye shroa maana ukiondoa vitarud vyote
@user-xz8tb3vh6l4 ай бұрын
Eee
@DavidEmilian-hq9xm4 ай бұрын
Hayo malalamiko mengi nî juu ya watendaji wengi ni wa ccm nini tafsiri yake?
@user-nu2em5rt7j4 ай бұрын
Kwaredhima
@JosephMhaiki-ld7rn4 ай бұрын
Nilikichukia chama cha Ccm kutokana na kero nzito za wananchi. Sasa kwakazi hii unayoifanya mheshimiwa Paulo Makonda , inaubariki sana Moyo wangu Mungu naazidi kukupa afya njema na uhai mrefu ili uzidi kuwasaidia wananchi wenye majeraha ya moyo .
@user-zl3le1wz2u4 ай бұрын
Kesi za serikali zinafunga wananchi wake zichunguzwe sio kumsubiri Makonda.Mkuu wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Waziri mkuu, Makamu wa rais na Mbunge ni jukumu lenu mwananchi si mtumishi wa umma na kama ni michango serikali usilazimishe kwani imeshindwa kabisa kilimo kukifanya kuwa uti mgongo wa Taifa mwananchi huyu afanyeje?. Mahakimu wetu wawe waelewa
@user-xz8tb3vh6l4 ай бұрын
Tunawaombea
@hafsamnenga19424 ай бұрын
Rais ajae 2030
@DianaWilawila4 ай бұрын
Mwamba
@user-nc3on3hg2e4 ай бұрын
J
@honoratamafala69684 ай бұрын
Jibu la hayo yote ni katiba mpya na kufuata sheria tuuuu.
@jumamnumbwa94834 ай бұрын
Katiba mpya ni ujinga
@dicksonkilupa22584 ай бұрын
MIMI NINAOGOPA SANA , INA MAANA SERA YA CCM NI KUTULETEA MIGOGORO NA MWISHO WANAKUJA KUTUCHEZESHA SINEMA?