Рет қаралды 68,250
MZEE ALIYEKIMBIWA na MKE KISA UMASKINI AJENGA NYUMBA ya MILIONI 300, ATAFUTA MKE ATAJA NAMBA ZAKE..
Mzee Jumanne Kingu ni mkazi wa Mkonoo jijini Arusha ambaye aliwahi kuwa na tuhuma za kuwanyanyasa kijinsia watoto 22 na kesi yake ikapelekwa mahakamani na huko ikakosekana ushahidi kesi zake zote zilizokuwa zikimkabili zikafutwa.
Ameibuka na kudai kuwa watu wanamuonea wivu kutokana na mafanikio aliyonayo wanamuita Freemason.
Kutoka katika nyumba ya mbao hadi leo hii anajenga nyumba ya shilingi milioni 300 ya ghorofa.
Alikimbiwa na mke kutokana na umaskini, lakini kwa sasa anatafuta mke mwingine wa kumuoa...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline