Exclusive Na Mzee Mohamed Aliezua Gumzo Visiwani Zanzibar ambae ameibiwa Simu yake siku chache zilizopita ameamua Kuweka Matangazo Aliyochapisha Mtaani kwake Maeneo ya Mwanakwerekwe Visiwani.
Пікірлер: 169
@khadijatanzania80402 жыл бұрын
Km nawewe umeona Mtangazaji kafanana na mzee Mohamedy gonga like hapa😅
@Cyper2552 жыл бұрын
Watakuwa ni ndugu hawa
@rajabujohn34162 жыл бұрын
Dahh Mzee mpambanaji kutoka kua polisi had bodaboda🙏🙏🙏🙏
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojal
@erickmichaelmugele21072 жыл бұрын
Huyu anamgandisha mtu kabisaaa,kamera hizi ndo maana anazungusha maneno ila anampindisha mtu huyu....
@joycekimaro66852 жыл бұрын
Eti wanakuibia simu January Alaaaaahhhhhh🤔🤔 ungetakiwa uwape siku 1
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Mfunze adabu huy mwizi iwe mfano kwa wenzio
@jacklinegabriel80932 жыл бұрын
Asiyefunzwa namamaye atafunzwa na mzee Mohammed
@hamiduhamisi23712 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃💃💃💃
@janethpallangyo26332 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@rahmaramadhani34702 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@mwajumahamisi20062 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@yussufamour65672 жыл бұрын
Muuombe m.mungu ili iwe funzo
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Salam zangu kutoka USA marekani zanzibar home people together
@ruwaidaal-ismaily90992 жыл бұрын
Mletee simu babu yako
@khamisjuma85012 жыл бұрын
@@ruwaidaal-ismaily9099 simu many 👍
@rajabujohn34162 жыл бұрын
Atali sana
@ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын
Mh dunia hiii MUACHIE MUNGU INAUMA SHUKURU ALHAMDULILLAH
@tamaraseff.97072 жыл бұрын
Hahaaa waizi nyie mtakoma 2022
@raheemahamees64102 жыл бұрын
Towa namba zako
@rehemaabinelynyagawa28782 жыл бұрын
Mmmmh hii ni hatari wengine huwa tunasamehe tu Dunia tunapita
@sameermilo49072 жыл бұрын
Huyo mwizi ashukuru kamuibia mtu mpole na mwenye imani, Ingekua mimi ningelishamtwanga Halbadir 7 mfululizo .
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sadakhamis12612 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@shantellemwanakombo37032 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤪🤪
@shantellemwanakombo37032 жыл бұрын
Hiyo pesa ta Albadiri ungekuwa ushanunua nyingine
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Astaghfirullah laadwim 😂
@ruwaidaal-ismaily90992 жыл бұрын
Halbadir mbaya sana kuna siku kuliibiwa ndizi ikasomwa hiyo mpaka mbebaji kaenda punda kaenda usiombe ikukute
@rosemarymathius22582 жыл бұрын
Mie mwenyewe niliibiwa infinix hot 9 Sina hamu na vibaka jamani 😥😥😥😥
@credo78372 жыл бұрын
Polee dear
@fatmakhanii16762 жыл бұрын
Aliepo sema tu kazaliwa makumduchi tu nimenyoosha mikono👐nimeshapata matukio yao na jirani zetu
@aminaally8475 Жыл бұрын
Mmmhhh mmakunduchi nowma sana 🖐️🖐️🖐️
@georgenkanawa71562 жыл бұрын
Siku zimepita nini kinaendelea huko😥😅😅
@raheemahamees64102 жыл бұрын
Baba towa namba Zako
@happynelson11362 жыл бұрын
Kuna watu wanaibiwa simu na risiti wanazo na boxi za simu zenye namba wanazo wanashtaki polisi lakini polisi hawawezi kuzipata hizo simu pamoja na kuwepo na vielelezo vyote vya hizo simu yaani simu ikiibiwa ndiyo imekwenda hairudi
@mwadinikibata70862 жыл бұрын
Daa siku zani
@fettyabiola13892 жыл бұрын
Mbona mumefanana😁😁
@dicksonmadauda98712 жыл бұрын
Kimeumana
@raheemahamees64102 жыл бұрын
Umesema unakaa Mkowa gn. Nikutafute Nije. Huko Kwako
@tabynas44852 жыл бұрын
Nasiirudishi....
@samuelmabusio28132 жыл бұрын
weka number yako hapo tukuchangie simu.
@sameermilo49072 жыл бұрын
Usiku wa Alkhamis kuamkia ijumaa kuna siri kubwa hapa kwa wanojua . اللهم صل وسلم وبارك عليه
@unjuusalvatory53312 жыл бұрын
Acha bidaa
@unjuusalvatory53312 жыл бұрын
Acha bidaa
@kassimrajabu78052 жыл бұрын
@@unjuusalvatory5331 😅😂😂😂
@sameermilo49072 жыл бұрын
Pole kwa upungufu wa ufahamu . Wahabi mbovu
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 AKHUI Qaasim naona kila maeneo upo 😂😂😂
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Hii inaitwa wahun sio watu wazur
@skjjsj18892 жыл бұрын
Jamani heshima yk ndiyo nn vijana aacheni usanii
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Vipi tena. Jamaa cm yake karejeshewa?
@alexsuleiman37952 жыл бұрын
bit la ngomani
@adam-saffi2112 жыл бұрын
I meant steal a phone
@adam-saffi2112 жыл бұрын
How do you still a phone, I thought all phones have location capability. You log in any device and will locate where it is. Hii mpya kwangu. And providers have the capability to know where you are and where the phone is.
@treyvissy98542 жыл бұрын
Steal *
@bintnouh44832 жыл бұрын
Huyu mzee anatabasam Nimemuogopa
@wazirmlogi75322 жыл бұрын
Mzee,cm yako nimeiba mimi na siirudishi,na nipo mtaan ss hv natafuta mteja,
Baba nitakutafuta nikijaliwa uhai kuna watu 2 nawadai pesa zangu za halali 😭😭😭wananisumbua sn na cdhn km watanilipa kwa hiyo nisha amua km dhambi tutajuana kesho akhera 😭😭
@fatimahahmadlamar12412 жыл бұрын
Mmmmmmhhhhhh!!!!!
@tunzatunza27462 жыл бұрын
Namimi ningepata namba yake ningewashughulikia ninaowadai
@khadijamisayo74762 жыл бұрын
mimi kuna nimedhulumiwa shs laki 411000 na watu watatu, mwaka wa tatu huu, nimeona nimuachie mungu tu
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
@@khadijamisayo7476 zako ndogo sana
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Ukipta namba zake namm unip Kuna watu Wana kusud sana na pesa za wenzao
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Mbona mnafanana mtangazaj na huyo. Mzeee, ila alieiba arudishe jaman oooh atajamba moshi wakat Ali Kuni 🤣🤣🤣😊😊😂
@matildakejo77852 жыл бұрын
Ss kaibiwa simu lakini anapigiwa simu na anatumiwa message duuh
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Mmmh
@tonyelshabbaz2 жыл бұрын
Kuna watu wana simu zaidi ya moja , labda ana kitochi
@fadymoses49942 жыл бұрын
Mbona sku nyingi ivyo🤣🤣🤣
@jamalrichmond28922 жыл бұрын
Aache ujinga simu haijaibiwa kaipoteza na kila mtu anapoteza vitu vingi tu fanya kazi nunua nyingine maisha yaendelee ila uwe makini siku nyingine
@watototunawezatuwezeshwe61262 жыл бұрын
Kama kapoteza alookota wajibu amtafute mwenyewe. Lazima zimo namba za mtu wa karibu angepiga na angemoata au asingezima simu hata wiki kwani alopotezq lazima ataipiga
@watototunawezatuwezeshwe61262 жыл бұрын
Aliyedhulumiwa hata kama kafiei Dua yake iogope Kwa sababu hairudi
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Ww utakuwa mwizi
@shantellemwanakombo37032 жыл бұрын
Kabisa akiomba dua usiku wamanane inajibu
@jamessichimata362 жыл бұрын
Huyu mzee anaonekana hana wasiwasi (anatabasam)
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Anajua kitu kizito kitakachompiga aliyeimba iyo simu atatambaa mbapa Zanzibar ata kama yuko bara 🤣🤣🤣🤣
@credo78372 жыл бұрын
Leo tarehe 17
@ernestjames1766 Жыл бұрын
huyo Hana kityu anawatisha tyuu Ili wailidishee ninayo mm anifatee xx
Mume haibiwi Bali anafanya utovu wanizamu mwenyewe au kaoa Kwa Sheria..jitasmin kwann akutoke
@kamobcooler10772 жыл бұрын
😋Huna maajabu ndani, kukimbiwa dakika 0' "hujui kupika, Kiuno gogo 😜,ubishi na NK.
@lailajuma10182 жыл бұрын
Umenigusa
@joharijohn70052 жыл бұрын
Sasa kuibiwa Simi ndo umuue mtu jamani tena umetumia mwaka mzima
@ilhamswaleh34282 жыл бұрын
Wapi kasema anataka kuua
@omarswaleh60822 жыл бұрын
Lakini ni yake
@omarswaleh60822 жыл бұрын
Ni yake
@abdallahmuttaq73062 жыл бұрын
Hebu amtake Allah msamaha hyo simu tuu ikufanye hta wasio kuwepo wadhuurike hla eti kaanza na jina la Allah uislamu gni huo
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Astagfirullah laadwim 😳 unaongea tuu kwasababu hayajakukuta hilo ni jasho lake acha achukuwe hatua yoyote ile ili haki yake irudi,msikitini kwenyewe wakiimba vitu vya msikiti wanatoa tangazo aloiba arudishe ndani ya siku tatu kabla ya kufanya dua,vip yeye asiseme wallaaaaa 😠
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Unajua cm aliitumiaje? au ndo wewe umekwapua unataka apotezee ili uwe na amani??
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 😂 Astaghfirullah laadhwim
@khadijahali48372 жыл бұрын
Muache awakomeshe tuu
@asiakheir86842 жыл бұрын
Kamnunulie nyingine
@mikidadiligogi43112 жыл бұрын
Sema ayo tv utuletei mlejesho
@wazirimohammed92072 жыл бұрын
Huyo mwizi ashukuru kamuibia huyu mzee ambayo Hana noma kivile
@kellyngogo33192 жыл бұрын
Alieiba alalbadiri siku 14
@jayjay43132 жыл бұрын
Unaweza lusikia na mwenye komenti hii nae namuhitaji nimuone. Ohoooo🤣
@ramadhanimbulu49412 жыл бұрын
Acha mikwara!! ninayo na siirudishi.
@aishaarusha8942 жыл бұрын
Loh unajisikia ujinga
@credo78372 жыл бұрын
@@aishaarusha894 😂😂😂😂
@credo78372 жыл бұрын
Nasoma koment 🤣🤣🤣
@hashimali79252 жыл бұрын
We msamehee tu
@vero572 жыл бұрын
Uliza watu unao kaanao kwanza, kabla huja amua unacho taka kuamua.
@yazidutumbo15812 жыл бұрын
Infinix pop 5 ndo simu gan mbona anatuchanganya????? Pop 5 ni tecno jaman au kaibiwa simu mbili???
@allysuleiman60222 жыл бұрын
Kwani wew ndio uliiba wabongo nanyinyi mmmhhh mmenishinda tabia
@yazidutumbo15812 жыл бұрын
@@allysuleiman6022 kaka pop 5 ni tecno sasa yeye anasema ameibiwa simu aina ya infinix pop 5 na wakat infinix hawana simu inayoitwa pop 5
@happynelson11362 жыл бұрын
Aliibiwa simu mbili moja aliibiwa akiwa nje na wahuni halafu moja kaibiwa nyumbani au
@mcubic4342 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣
@khadijahali48372 жыл бұрын
Alie iba arudishe sasa
@seifalkan_tanzania39862 жыл бұрын
Mzee heshima yako ndio nini...!!! sema shikamoo Mzee.
@peter_plumbingservice98562 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JohnJohn-gm7yb2 жыл бұрын
Piga jini tu hao b
@sponsor78822 жыл бұрын
Siregeshi
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Mikwala hiyo
@mwanakijana312 жыл бұрын
Akifanya jambo lake tuone huyo aloiba lmkuta nini maana jeuri
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
🤣🤣🤣We unatak Kuona atakuaje eee
@mwanakijana312 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 yaaah an likimpata la kumpata watuonyeshe kawaje
@zainabboss56192 жыл бұрын
Naomba namba yahuyo mzee
@mwanakijana312 жыл бұрын
@@zainabboss5619 ukiskiiza hapo anaitaja
@zainabboss56192 жыл бұрын
Nimesiliza ndio maana nahitaji namba zahuyo alie ibiwa sim kwasabu hata mimi nimezumiwa pesa namimi nahitaji kuwakomesha
Wanaoamini kwamba huu upuuzi unafanya kazi nao ni wapuuzi. Ingekua hivyo wizi ungeisha duniani.
@samuelmabusio28132 жыл бұрын
This number can be used by the police to locate your lost or misplaced cell phone. Even with a different SIM, the moment a call is made, the IMEI number helps police to track your phone to the exact or nearby cell phone tower.Go to the police station and report this case and you will be asisted
@kitalambobabloja87422 жыл бұрын
Mkwara uwo
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Jmn koment zinachekesha🤣🤣🤣da
@dotnatajoseph26202 жыл бұрын
Bor ufanye fundisho mzee wezi wamezoea fanya fundisho
@fadymoses49942 жыл бұрын
Mbona sku nyingi ivyo🤣🤣🤣
@husseinahmed52162 жыл бұрын
Uzembe wake mwenyewe tukio la kwaza linafanana na tukio la pil,, hayuko makin na hizo simu
@aminmohammed42492 жыл бұрын
Uzembe gani mzee kwani we hujui zenji kila kitu ndo hivyo😃