No video

MZEE ATOA SIKU 14 ARUDISHIWE SIMU YAKE ILIYOIBIWA ZANZIBAR, AWEKA MATANGAZO MITAANI

  Рет қаралды 33,296

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Exclusive Na Mzee Mohamed Aliezua Gumzo Visiwani Zanzibar ambae ameibiwa Simu yake siku chache zilizopita ameamua Kuweka Matangazo Aliyochapisha Mtaani kwake Maeneo ya Mwanakwerekwe Visiwani.

Пікірлер: 169
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 жыл бұрын
Km nawewe umeona Mtangazaji kafanana na mzee Mohamedy gonga like hapa😅
@Cyper255
@Cyper255 2 жыл бұрын
Watakuwa ni ndugu hawa
@rajabujohn3416
@rajabujohn3416 2 жыл бұрын
Dahh Mzee mpambanaji kutoka kua polisi had bodaboda🙏🙏🙏🙏
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojal
@erickmichaelmugele2107
@erickmichaelmugele2107 2 жыл бұрын
Huyu anamgandisha mtu kabisaaa,kamera hizi ndo maana anazungusha maneno ila anampindisha mtu huyu....
@joycekimaro6685
@joycekimaro6685 2 жыл бұрын
Eti wanakuibia simu January Alaaaaahhhhhh🤔🤔 ungetakiwa uwape siku 1
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Mfunze adabu huy mwizi iwe mfano kwa wenzio
@jacklinegabriel8093
@jacklinegabriel8093 2 жыл бұрын
Asiyefunzwa namamaye atafunzwa na mzee Mohammed
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃💃💃💃
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 2 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@rahmaramadhani3470
@rahmaramadhani3470 2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@yussufamour6567
@yussufamour6567 2 жыл бұрын
Muuombe m.mungu ili iwe funzo
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
Salam zangu kutoka USA marekani zanzibar home people together
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 жыл бұрын
Mletee simu babu yako
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 жыл бұрын
@@ruwaidaal-ismaily9099 simu many 👍
@rajabujohn3416
@rajabujohn3416 2 жыл бұрын
Atali sana
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 жыл бұрын
Mh dunia hiii MUACHIE MUNGU INAUMA SHUKURU ALHAMDULILLAH
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 2 жыл бұрын
Hahaaa waizi nyie mtakoma 2022
@raheemahamees6410
@raheemahamees6410 2 жыл бұрын
Towa namba zako
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 жыл бұрын
Mmmmh hii ni hatari wengine huwa tunasamehe tu Dunia tunapita
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
Huyo mwizi ashukuru kamuibia mtu mpole na mwenye imani, Ingekua mimi ningelishamtwanga Halbadir 7 mfululizo .
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤪🤪
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 2 жыл бұрын
Hiyo pesa ta Albadiri ungekuwa ushanunua nyingine
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Astaghfirullah laadwim 😂
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 жыл бұрын
Halbadir mbaya sana kuna siku kuliibiwa ndizi ikasomwa hiyo mpaka mbebaji kaenda punda kaenda usiombe ikukute
@rosemarymathius2258
@rosemarymathius2258 2 жыл бұрын
Mie mwenyewe niliibiwa infinix hot 9 Sina hamu na vibaka jamani 😥😥😥😥
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Polee dear
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 2 жыл бұрын
Aliepo sema tu kazaliwa makumduchi tu nimenyoosha mikono👐nimeshapata matukio yao na jirani zetu
@aminaally8475
@aminaally8475 Жыл бұрын
Mmmhhh mmakunduchi nowma sana 🖐️🖐️🖐️
@georgenkanawa7156
@georgenkanawa7156 2 жыл бұрын
Siku zimepita nini kinaendelea huko😥😅😅
@raheemahamees6410
@raheemahamees6410 2 жыл бұрын
Baba towa namba Zako
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Kuna watu wanaibiwa simu na risiti wanazo na boxi za simu zenye namba wanazo wanashtaki polisi lakini polisi hawawezi kuzipata hizo simu pamoja na kuwepo na vielelezo vyote vya hizo simu yaani simu ikiibiwa ndiyo imekwenda hairudi
@mwadinikibata7086
@mwadinikibata7086 2 жыл бұрын
Daa siku zani
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 2 жыл бұрын
Mbona mumefanana😁😁
@dicksonmadauda9871
@dicksonmadauda9871 2 жыл бұрын
Kimeumana
@raheemahamees6410
@raheemahamees6410 2 жыл бұрын
Umesema unakaa Mkowa gn. Nikutafute Nije. Huko Kwako
@tabynas4485
@tabynas4485 2 жыл бұрын
Nasiirudishi....
@samuelmabusio2813
@samuelmabusio2813 2 жыл бұрын
weka number yako hapo tukuchangie simu.
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
Usiku wa Alkhamis kuamkia ijumaa kuna siri kubwa hapa kwa wanojua . اللهم صل وسلم وبارك عليه
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 2 жыл бұрын
Acha bidaa
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 2 жыл бұрын
Acha bidaa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 жыл бұрын
@@unjuusalvatory5331 😅😂😂😂
@sameermilo4907
@sameermilo4907 2 жыл бұрын
Pole kwa upungufu wa ufahamu . Wahabi mbovu
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 AKHUI Qaasim naona kila maeneo upo 😂😂😂
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 жыл бұрын
Hii inaitwa wahun sio watu wazur
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Jamani heshima yk ndiyo nn vijana aacheni usanii
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Vipi tena. Jamaa cm yake karejeshewa?
@alexsuleiman3795
@alexsuleiman3795 2 жыл бұрын
bit la ngomani
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
I meant steal a phone
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
How do you still a phone, I thought all phones have location capability. You log in any device and will locate where it is. Hii mpya kwangu. And providers have the capability to know where you are and where the phone is.
@treyvissy9854
@treyvissy9854 2 жыл бұрын
Steal *
@bintnouh4483
@bintnouh4483 2 жыл бұрын
Huyu mzee anatabasam Nimemuogopa
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Mzee,cm yako nimeiba mimi na siirudishi,na nipo mtaan ss hv natafuta mteja,
@yassiniyassini6180
@yassiniyassini6180 2 жыл бұрын
Shauri yako
@ayoubpapiy4712
@ayoubpapiy4712 2 жыл бұрын
Weee" mzee utaangamiza jamaayako mwenyewe ndiye alioiba simu.
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 жыл бұрын
😝😝
@enockrwehumbiza3555
@enockrwehumbiza3555 2 жыл бұрын
2weeks zimepita vipi uko?
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 2 жыл бұрын
Baba nitakutafuta nikijaliwa uhai kuna watu 2 nawadai pesa zangu za halali 😭😭😭wananisumbua sn na cdhn km watanilipa kwa hiyo nisha amua km dhambi tutajuana kesho akhera 😭😭
@fatimahahmadlamar1241
@fatimahahmadlamar1241 2 жыл бұрын
Mmmmmmhhhhhh!!!!!
@tunzatunza2746
@tunzatunza2746 2 жыл бұрын
Namimi ningepata namba yake ningewashughulikia ninaowadai
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
mimi kuna nimedhulumiwa shs laki 411000 na watu watatu, mwaka wa tatu huu, nimeona nimuachie mungu tu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
@@khadijamisayo7476 zako ndogo sana
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Ukipta namba zake namm unip Kuna watu Wana kusud sana na pesa za wenzao
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Mbona mnafanana mtangazaj na huyo. Mzeee, ila alieiba arudishe jaman oooh atajamba moshi wakat Ali Kuni 🤣🤣🤣😊😊😂
@matildakejo7785
@matildakejo7785 2 жыл бұрын
Ss kaibiwa simu lakini anapigiwa simu na anatumiwa message duuh
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Mmmh
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 2 жыл бұрын
Kuna watu wana simu zaidi ya moja , labda ana kitochi
@fadymoses4994
@fadymoses4994 2 жыл бұрын
Mbona sku nyingi ivyo🤣🤣🤣
@jamalrichmond2892
@jamalrichmond2892 2 жыл бұрын
Aache ujinga simu haijaibiwa kaipoteza na kila mtu anapoteza vitu vingi tu fanya kazi nunua nyingine maisha yaendelee ila uwe makini siku nyingine
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 2 жыл бұрын
Kama kapoteza alookota wajibu amtafute mwenyewe. Lazima zimo namba za mtu wa karibu angepiga na angemoata au asingezima simu hata wiki kwani alopotezq lazima ataipiga
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 2 жыл бұрын
Aliyedhulumiwa hata kama kafiei Dua yake iogope Kwa sababu hairudi
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Ww utakuwa mwizi
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 2 жыл бұрын
Kabisa akiomba dua usiku wamanane inajibu
@jamessichimata36
@jamessichimata36 2 жыл бұрын
Huyu mzee anaonekana hana wasiwasi (anatabasam)
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 жыл бұрын
Anajua kitu kizito kitakachompiga aliyeimba iyo simu atatambaa mbapa Zanzibar ata kama yuko bara 🤣🤣🤣🤣
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Leo tarehe 17
@ernestjames1766
@ernestjames1766 Жыл бұрын
huyo Hana kityu anawatisha tyuu Ili wailidishee ninayo mm anifatee xx
@ahmedmohd9132
@ahmedmohd9132 2 жыл бұрын
Huyu mzee hatari
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 жыл бұрын
Nimeibiwa mume nipe conection niwafundishe adabu🙈🙈🙃🙃
@rukaiyaahmadsuleiman3951
@rukaiyaahmadsuleiman3951 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmaabasi8312
@fatmaabasi8312 2 жыл бұрын
Mume haibiwi Bali anafanya utovu wanizamu mwenyewe au kaoa Kwa Sheria..jitasmin kwann akutoke
@kamobcooler1077
@kamobcooler1077 2 жыл бұрын
😋Huna maajabu ndani, kukimbiwa dakika 0' "hujui kupika, Kiuno gogo 😜,ubishi na NK.
@lailajuma1018
@lailajuma1018 2 жыл бұрын
Umenigusa
@joharijohn7005
@joharijohn7005 2 жыл бұрын
Sasa kuibiwa Simi ndo umuue mtu jamani tena umetumia mwaka mzima
@ilhamswaleh3428
@ilhamswaleh3428 2 жыл бұрын
Wapi kasema anataka kuua
@omarswaleh6082
@omarswaleh6082 2 жыл бұрын
Lakini ni yake
@omarswaleh6082
@omarswaleh6082 2 жыл бұрын
Ni yake
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 2 жыл бұрын
Hebu amtake Allah msamaha hyo simu tuu ikufanye hta wasio kuwepo wadhuurike hla eti kaanza na jina la Allah uislamu gni huo
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Astagfirullah laadwim 😳 unaongea tuu kwasababu hayajakukuta hilo ni jasho lake acha achukuwe hatua yoyote ile ili haki yake irudi,msikitini kwenyewe wakiimba vitu vya msikiti wanatoa tangazo aloiba arudishe ndani ya siku tatu kabla ya kufanya dua,vip yeye asiseme wallaaaaa 😠
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 жыл бұрын
Unajua cm aliitumiaje? au ndo wewe umekwapua unataka apotezee ili uwe na amani??
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 😂 Astaghfirullah laadhwim
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Muache awakomeshe tuu
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Kamnunulie nyingine
@mikidadiligogi4311
@mikidadiligogi4311 2 жыл бұрын
Sema ayo tv utuletei mlejesho
@wazirimohammed9207
@wazirimohammed9207 2 жыл бұрын
Huyo mwizi ashukuru kamuibia huyu mzee ambayo Hana noma kivile
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 2 жыл бұрын
Alieiba alalbadiri siku 14
@jayjay4313
@jayjay4313 2 жыл бұрын
Unaweza lusikia na mwenye komenti hii nae namuhitaji nimuone. Ohoooo🤣
@ramadhanimbulu4941
@ramadhanimbulu4941 2 жыл бұрын
Acha mikwara!! ninayo na siirudishi.
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
Loh unajisikia ujinga
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
@@aishaarusha894 😂😂😂😂
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
Nasoma koment 🤣🤣🤣
@hashimali7925
@hashimali7925 2 жыл бұрын
We msamehee tu
@vero57
@vero57 2 жыл бұрын
Uliza watu unao kaanao kwanza, kabla huja amua unacho taka kuamua.
@yazidutumbo1581
@yazidutumbo1581 2 жыл бұрын
Infinix pop 5 ndo simu gan mbona anatuchanganya????? Pop 5 ni tecno jaman au kaibiwa simu mbili???
@allysuleiman6022
@allysuleiman6022 2 жыл бұрын
Kwani wew ndio uliiba wabongo nanyinyi mmmhhh mmenishinda tabia
@yazidutumbo1581
@yazidutumbo1581 2 жыл бұрын
@@allysuleiman6022 kaka pop 5 ni tecno sasa yeye anasema ameibiwa simu aina ya infinix pop 5 na wakat infinix hawana simu inayoitwa pop 5
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Aliibiwa simu mbili moja aliibiwa akiwa nje na wahuni halafu moja kaibiwa nyumbani au
@mcubic434
@mcubic434 2 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Alie iba arudishe sasa
@seifalkan_tanzania3986
@seifalkan_tanzania3986 2 жыл бұрын
Mzee heshima yako ndio nini...!!! sema shikamoo Mzee.
@peter_plumbingservice9856
@peter_plumbingservice9856 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JohnJohn-gm7yb
@JohnJohn-gm7yb 2 жыл бұрын
Piga jini tu hao b
@sponsor7882
@sponsor7882 2 жыл бұрын
Siregeshi
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Mikwala hiyo
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 жыл бұрын
Akifanya jambo lake tuone huyo aloiba lmkuta nini maana jeuri
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣We unatak Kuona atakuaje eee
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 жыл бұрын
@@aminatanzanya7475 yaaah an likimpata la kumpata watuonyeshe kawaje
@zainabboss5619
@zainabboss5619 2 жыл бұрын
Naomba namba yahuyo mzee
@mwanakijana31
@mwanakijana31 2 жыл бұрын
@@zainabboss5619 ukiskiiza hapo anaitaja
@zainabboss5619
@zainabboss5619 2 жыл бұрын
Nimesiliza ndio maana nahitaji namba zahuyo alie ibiwa sim kwasabu hata mimi nimezumiwa pesa namimi nahitaji kuwakomesha
@salumkhamis5468
@salumkhamis5468 2 жыл бұрын
Karogwa mtu hahahah
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@oliversimpliskimariokimari3510
@oliversimpliskimariokimari3510 2 жыл бұрын
Utupe mrejesho tafadhali
@dumelatembo6802
@dumelatembo6802 2 жыл бұрын
USIKU ALKHAMIS KUAMKIA IJUMAA ? WAISLAM NAOMBA MNISADIE HILI?
@mariammmbaga976
@mariammmbaga976 2 жыл бұрын
Usaidiwe nn?
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 жыл бұрын
Wanaoamini kwamba huu upuuzi unafanya kazi nao ni wapuuzi. Ingekua hivyo wizi ungeisha duniani.
@samuelmabusio2813
@samuelmabusio2813 2 жыл бұрын
This number can be used by the police to locate your lost or misplaced cell phone. Even with a different SIM, the moment a call is made, the IMEI number helps police to track your phone to the exact or nearby cell phone tower.Go to the police station and report this case and you will be asisted
@kitalambobabloja8742
@kitalambobabloja8742 2 жыл бұрын
Mkwara uwo
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 2 жыл бұрын
Jmn koment zinachekesha🤣🤣🤣da
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 жыл бұрын
Bor ufanye fundisho mzee wezi wamezoea fanya fundisho
@fadymoses4994
@fadymoses4994 2 жыл бұрын
Mbona sku nyingi ivyo🤣🤣🤣
@husseinahmed5216
@husseinahmed5216 2 жыл бұрын
Uzembe wake mwenyewe tukio la kwaza linafanana na tukio la pil,, hayuko makin na hizo simu
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 2 жыл бұрын
Uzembe gani mzee kwani we hujui zenji kila kitu ndo hivyo😃
@husseinahmed5216
@husseinahmed5216 2 жыл бұрын
@@aminmohammed4249 mskize vizuri utaelewa ninacho maanisha"
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Kwhy km mzembe ndo wamuibie?!
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 37 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 33 МЛН
MAKAMO WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AKATA MSITU KUTATUA KERO ZA WANANCHI.
9:48
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 12 М.
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
Dunia Yetu Leo | Agosti 01, 2024 | Asubuhi
7:38
DW Kiswahili
Рет қаралды 934