@Mziwanda Bakers KEKI KUBWA ZA BIASHARA

  Рет қаралды 18,978

Mziwanda Bakers

2 жыл бұрын

@mziwandabakers8297
Mahitaji/Ingredients
Flour/Unga 3kgsl
Sukari/Sugar 1.5kgs
Margarine 2kgs
Baking Powder 6Tbsp
Milk/Maziwa 3cups
Flavour/Ladha 90mls
Mayai/Eggs 50
Karibu sana mziwanda Bakers
instagram:mziwanda_bakers

Пікірлер: 63
@user-ho2dt6ui1d
@user-ho2dt6ui1d 2 ай бұрын
Dada kwema
@user-ho2dt6ui1d
@user-ho2dt6ui1d 2 ай бұрын
Mko mkoa gani
@joinanganunga6985
@joinanganunga6985 Ай бұрын
Naomba uniunge kwa group la mapishi
@HusnaSimba-ml5ov
@HusnaSimba-ml5ov 8 ай бұрын
Shost nakupenda sana.
@user-xp3px6nl1f
@user-xp3px6nl1f 10 ай бұрын
Asante sana mamaangu ila naomba recipe ya cake improver ya nusu kilo
@isdorakibena3670
@isdorakibena3670 2 жыл бұрын
Barikiwa Sana, najifunza mengi kupitia wewe
@rosewema7918
@rosewema7918 Жыл бұрын
Kwenye moto unawekajee
@gracejoshua3618
@gracejoshua3618 2 жыл бұрын
Hongera dear pia nilikuwa nauliza unadarsa la mapambo ya keki
@feekamohd2587
@feekamohd2587 Жыл бұрын
Mashaallah mmy allaha akuzidishiye ❤️
@paskalinanangay5167
@paskalinanangay5167 11 ай бұрын
Nimependa
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 2 жыл бұрын
Hongera my
@ashirafuhassan1353
@ashirafuhassan1353 2 жыл бұрын
Manshaallah ,ahsante sana .madam naomba utuletee darasa la kutengeneza macarons
@happybalama3591
@happybalama3591 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@faizahsalim8774
@faizahsalim8774 9 ай бұрын
I like your cake but I need you to teach me how to make doughnuts for baking in oven please and recipe,
@rehemachipwaza5907
@rehemachipwaza5907 2 жыл бұрын
Asant Sana kwa darasa
@Odama-dn7xy
@Odama-dn7xy 2 жыл бұрын
Usoft ndani unaachanag kwasababu gani.cake haichambuki mwingin ndani soft kabisa
@nazmeensalyani9464
@nazmeensalyani9464 2 жыл бұрын
Assalaam alaikum.je tunaweza kuziweka cake tins juu na chini tukiwa na oven ndogo?
@rukiatella307
@rukiatella307 2 жыл бұрын
Dada naomba recipe ya kupika keki isiyotumia maziwa
@pamelaodinga2373
@pamelaodinga2373 2 жыл бұрын
Mamie unajua kufunza Ubarikiwe,hivi eti ni lazima kutumia maziwa
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Sio lazima dear
@hamidamsofe4627
@hamidamsofe4627 2 жыл бұрын
Hongera sana, nataka nisome kwako, nitumie taratibu gan?
@jovitha70kitonsya25
@jovitha70kitonsya25 2 жыл бұрын
mnanitia wazimu jamani mnapatikana wapi ?
@marymungai1846
@marymungai1846 2 жыл бұрын
Machine ni how much naiko na watts ngapi
@roxanastella1246
@roxanastella1246 9 ай бұрын
Hiyo keki haina flavor
@user-fx5et4pw2l
@user-fx5et4pw2l 9 ай бұрын
Tunapaka mafuta ya kula au blue band
@pondamoshi2034
@pondamoshi2034 2 жыл бұрын
Uko vizur natamani siku na mm nifike ulipo
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Dada naitaj tin kama hizi napataje plz
@jenfridakibua1654
@jenfridakibua1654 2 жыл бұрын
Safi,naomba namba ya simu
@user-jd5si8bi9x
@user-jd5si8bi9x 10 ай бұрын
Madam uwo mzan shingap
@pendopatrokil5620
@pendopatrokil5620 Жыл бұрын
Dada mziwanda naombaa upost video ya kupika biriyani na sambusaa.
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Okay dear
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Oven ni lt ngap d
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe afya njema
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@fatmahussein4563
@fatmahussein4563 2 жыл бұрын
Niliona kama umefanya rojo nzito na haijawa soft... bc mi hufanya kuwa soft ndo hujua.tayar na unga huwa sifanyi mzito hivyo. Nimejifunza
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Hilo ni kama povu na sio mzito dear,jaribu recipe hii unipe mrejesho hapa
@shabanmtengai2727
@shabanmtengai2727 2 жыл бұрын
Jaman kazi nzr nimejua vitu vichache kupitia we,lkn naomba nijue upo WAP?ili nije kabisa kuchukua ujuzi vizur,mm naishi Moro,msaada wako plz.
@AsamoahjrkomboKazumali-fk8qu
@AsamoahjrkomboKazumali-fk8qu Жыл бұрын
Samaani una darasa wsp
@mnanaoportunity3472
@mnanaoportunity3472 2 жыл бұрын
Kwann keki ina nywea
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Kutingishwa is oven Kuweka kimiminika kingi zaidi
@mnanaoportunity3472
@mnanaoportunity3472 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 okay
@mnanaoportunity3472
@mnanaoportunity3472 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ivi keki inawekwaga amira
@paskalinanangay5167
@paskalinanangay5167 11 ай бұрын
Darasa ni lin na hw much
@sayunichoirmpwapwadodomata62
@sayunichoirmpwapwadodomata62 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri,je ile mchanganyiko wa ile uko wa cake unatakiwa uwe mzito au mwepesi?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Uwe kama uji inafaa
@boniphacechacha2451
@boniphacechacha2451 2 жыл бұрын
Nawezaje kupika keki kwa gharama nafuu
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Tumia keki improver
@boniphacechacha2451
@boniphacechacha2451 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naomba basi recipe kacost ñdogo but cake nzuriiii na quality.
@gracegodfrey4932
@gracegodfrey4932 2 жыл бұрын
Mimi mbna nikifunikia na mkaa juu inapanda sana paka inapasuka pasuka shida nn
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Moto utakuwa mkali sana
@gracegodfrey4932
@gracegodfrey4932 2 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ok asant
@karesmatemba7908
@karesmatemba7908 Жыл бұрын
Naukiwa unataka kukata zakuuza unafanyaje
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Pika kwenye chombo cha mstatili
@neemajackson7621
@neemajackson7621 2 жыл бұрын
Mbona mim nafuata kila kitu, natumia sukari nyeupe, unga ppf, backing powder zesta, mayai kiini cheupe, nikipika keki inapandaa vzur ila mwisho inabonyea sana katikati
@beatricetv5611
@beatricetv5611 2 жыл бұрын
Either Unafungua oven kabla keki kaijapata joto la kutosha na kupanda vizuri au Unafungua oven mara kwa mara hewa baridi inaingia ndani
@anastaziajohn6308
@anastaziajohn6308 2 жыл бұрын
Hiyo margarine ndo siagi au
@neemajackson7621
@neemajackson7621 2 жыл бұрын
@@beatricetv5611 wala Yan nikiweka keki kweny oven sifungui mpaka inaiva ila ndo inabonyea katikati, ikipanda vzur then inabonyea katikati
@beatricetv5611
@beatricetv5611 2 жыл бұрын
@@neemajackson7621 basi huenda keki kishaiva unajisahau inapoa ndani ya oven baada ya muda wa oven kuwaka kuisha inapoa na joto la ndani ya oven otherwise kwakweli siwezi kuelezea situation kama hiyo .. ijue oven yako vizuri na endelea kufanya mazoezi utaweza kufanya kitu kizuri tu usijali
@beatricetv5611
@beatricetv5611 2 жыл бұрын
@@anastaziajohn6308 ndio kipenzi
@user-yc1zg1yb8u
@user-yc1zg1yb8u 11 ай бұрын
Nikifanya keki ya kilo mbna mara nyingi huwa ndni kunasababishwa na nn na moto nimeeka 180 degree
@user-yc1zg1yb8u
@user-yc1zg1yb8u 11 ай бұрын
Haivivi vzry
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 103 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 106 МЛН