Dada mziwanda naombaa upost video ya kupika biriyani na sambusaa.
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Okay dear
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
Oven ni lt ngap d
@OmanOman-ky2oo2 жыл бұрын
Mashaallah Allah akupe afya njema
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@fatmahussein45632 жыл бұрын
Niliona kama umefanya rojo nzito na haijawa soft... bc mi hufanya kuwa soft ndo hujua.tayar na unga huwa sifanyi mzito hivyo. Nimejifunza
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Hilo ni kama povu na sio mzito dear,jaribu recipe hii unipe mrejesho hapa
@shabanmtengai27272 жыл бұрын
Jaman kazi nzr nimejua vitu vichache kupitia we,lkn naomba nijue upo WAP?ili nije kabisa kuchukua ujuzi vizur,mm naishi Moro,msaada wako plz.
@AsamoahjrkomboKazumali-fk8qu Жыл бұрын
Samaani una darasa wsp
@mnanaoportunity34722 жыл бұрын
Kwann keki ina nywea
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Kutingishwa is oven Kuweka kimiminika kingi zaidi
@mnanaoportunity34722 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 okay
@mnanaoportunity34722 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ivi keki inawekwaga amira
@paskalinanangay516711 ай бұрын
Darasa ni lin na hw much
@sayunichoirmpwapwadodomata622 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri,je ile mchanganyiko wa ile uko wa cake unatakiwa uwe mzito au mwepesi?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Uwe kama uji inafaa
@boniphacechacha24512 жыл бұрын
Nawezaje kupika keki kwa gharama nafuu
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Tumia keki improver
@boniphacechacha24512 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 naomba basi recipe kacost ñdogo but cake nzuriiii na quality.
@gracegodfrey49322 жыл бұрын
Mimi mbna nikifunikia na mkaa juu inapanda sana paka inapasuka pasuka shida nn
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Moto utakuwa mkali sana
@gracegodfrey49322 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ok asant
@karesmatemba7908 Жыл бұрын
Naukiwa unataka kukata zakuuza unafanyaje
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Pika kwenye chombo cha mstatili
@neemajackson76212 жыл бұрын
Mbona mim nafuata kila kitu, natumia sukari nyeupe, unga ppf, backing powder zesta, mayai kiini cheupe, nikipika keki inapandaa vzur ila mwisho inabonyea sana katikati
@beatricetv56112 жыл бұрын
Either Unafungua oven kabla keki kaijapata joto la kutosha na kupanda vizuri au Unafungua oven mara kwa mara hewa baridi inaingia ndani
@anastaziajohn63082 жыл бұрын
Hiyo margarine ndo siagi au
@neemajackson76212 жыл бұрын
@@beatricetv5611 wala Yan nikiweka keki kweny oven sifungui mpaka inaiva ila ndo inabonyea katikati, ikipanda vzur then inabonyea katikati
@beatricetv56112 жыл бұрын
@@neemajackson7621 basi huenda keki kishaiva unajisahau inapoa ndani ya oven baada ya muda wa oven kuwaka kuisha inapoa na joto la ndani ya oven otherwise kwakweli siwezi kuelezea situation kama hiyo .. ijue oven yako vizuri na endelea kufanya mazoezi utaweza kufanya kitu kizuri tu usijali
@beatricetv56112 жыл бұрын
@@anastaziajohn6308 ndio kipenzi
@user-yc1zg1yb8u11 ай бұрын
Nikifanya keki ya kilo mbna mara nyingi huwa ndni kunasababishwa na nn na moto nimeeka 180 degree