Pr. Nimebarikiwa sana. Mungu aendelee kukujaza hekima tele.
@catherinemogereАй бұрын
Pastor sijui kama utapata ujumbe huu lakini naomba uombee ndoa yangu imevunjika kabisa haina amani kabisa naomba Mungu anipe kazi na kusaidia Watoto wangu watatu
@catherinemogereАй бұрын
Ombea ndoa yangu na Mungu anipe kazi .
@maseaJoe86762 ай бұрын
Pastor may God use you more than here, unatutuliza saaaana barikiwa to higher levels. Amina
@DorothyKoros-bm8ko2 ай бұрын
Kabisa. Tunapata faraja ya moyo kupitia mahubiri ya Pastor 🎉
@Joycependopendo-dv2tb2 ай бұрын
Amen bwana asifiwe namshkuru Mungu Niko Salama
@RoseMonyenche2 ай бұрын
Nimepalikiwa sana pastor amen
@Visionofeagle96892 ай бұрын
Amen Amen
@beatricenyiro59132 ай бұрын
Amen na ubarikiwe mtumishi
@shaniachanceline27512 ай бұрын
Amen!❤❤❤❤❤❤❤
@joliea29562 ай бұрын
Asante mtumishi mahubiri yako yalinitowa kwenye shimo😢
@Makenzisana2 ай бұрын
Pastor naomba uniombee nipate kibari kwa mmewang nikaabudu na Mungu anijibu maombi yang
@assagiselle76352 ай бұрын
Nafurahi sana
@user-ho9cm1um8m2 ай бұрын
Pastor juzi nilikuota atiunanipigia simu nikuje nikuone
@everlyneiminza57222 ай бұрын
Aminaa, sauti ipo chini lkn nimejikamua hivo hivo singekubali nipitwe, pastor mmi niko 43yrs huwa naruka kamba maana sijaskia ukiongelea kuhusu hilo, au nitajiletea matatizo kwa kuruka kamba 😂be blessed 🙌 🙌 😇
@joelmwamukonda1322 ай бұрын
Low Frequency tone(10hz and below),kama kinanda,sauti ya upole,nyimbo za taratibu esp zetu za kisabato..zote ni njia zilizozibishwa(neuroscientifically) kupromote relaxation and bonding and enhance most areas of the brain hivo pia kupunguza misongo
@user-zs9ml2qk6u2 ай бұрын
Ukweli ni kwamba matumizi ya sukari ni mbaya sana...mimi nilipoacha sukari nafurahia afya nxuri
@mariamgonja1942 ай бұрын
Hivi Pr. Mtu alietumia dawa za wasiwasi na usingizi kwa muda kidogo anaweza kuacha?
@user-bw6rr7rp5c2 ай бұрын
Nawapata kutoka 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🙏
@user-bw6rr7rp5c2 ай бұрын
Ee pastor nisaimdie hicho ndicho kinanizumbua naishi kichwa