March 10 2016 Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli alikwenda kwenye benki kuu ya Tanzania kwa kushtukiza, baada ya kufika ikabidi akae kuongea na wahusika kuhusu ishu mbalimbali.
Пікірлер: 849
@wilikinsmauti55733 жыл бұрын
Wale mko hapa, Baadaya ya kifo chake nipee nilekes za JPM. He was the best president in the whole african continent. HAUKUWA RAISI WANGU, ILA SIKU ZOTE NTAKUKUMBUKA JPM. To our sister and brothers in Tanzania tutasimama nanyi siku zote! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@sponsor78823 жыл бұрын
Vp mandela
@kennirochok50673 жыл бұрын
Hivi wazazi wako walikosa jina ingine?. Rip magufuli
@diboykaman21693 жыл бұрын
xmsm
@namahegatabu88193 жыл бұрын
Pýou0mp
@florancemarealle37462 жыл бұрын
Tanzanian will d Some of them will discover letter the reality
@charxsymon19545 жыл бұрын
Rais bora kabisa afrika kama unakubali piga like
@awadhally10523 жыл бұрын
Yesiii
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
Nani apinge kwa mfanoo
@onelife78503 жыл бұрын
Pole sana hayupo tena Raisi wetu
@samuelmore29263 жыл бұрын
The best president of our time,
@sponsor78823 жыл бұрын
Nonsense
@agustomeshack40433 жыл бұрын
Tulikuhitaji sana baba yetu sema Mungu ndo ana madaraka juu ya uhai wetu pumzika kwa aman.
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@karago888 жыл бұрын
The new King of Africa is there Mr Magufuli.... God bless this president of Tanzania with more protection.
@evansnjoki67233 жыл бұрын
Such a true leader ,pan African and a son of the soil We appreciate all you did for Tanzanians and Africa ,rest well sir. Our hearts are heavy
@KIM-xl6zs2 жыл бұрын
He was not a Pan-African
@dominicmutuawamulenyu88782 жыл бұрын
This was a true leader my people!! continue resting in piece Mr President 🤦👏👏👏👏🙏🙏
@carlosmzena5482 жыл бұрын
Legend never die They lives in people's heart
@ahmedshahar7283 жыл бұрын
Kuondoka kwake...ni pengo kubwa sana kwa Tanzania na Watanzania 😢💔. RIP mzee wetu
@hassanmfaume45223 жыл бұрын
Hakuna pengo lolote aliloacha hapa nchi iko imara kuliko alivyokuwa yy nchi ilikuwa inaingia shimoni ..!
TanzanianS we Ethiopians are jealous of ur president, I don't even speak the language but I just love ur president from what I hear
@begumisaegbert35887 жыл бұрын
Our president is a good man who loves his country and all the people in it. And that is what makes the difference.
@user-hd1rd2dp5o6 жыл бұрын
Am Ethiopian but I was born in Tanzanian
@AbdulAziz-rf2ro5 жыл бұрын
I
@efpexcellentfilmingproduct70955 жыл бұрын
Hongera Raisi wangu👍
@dickaugustino22145 жыл бұрын
Be blessed ,us also we are so proud of him.
@hosearioner36373 жыл бұрын
I will forever live to remember your Good deeds to your people..Kenya will miss you too as well as mama Africa.😢😢
@jacklinemuhanika12388 жыл бұрын
Nakupenda bure my president. Mungu akulinde na kukubariki!!!
@leamgonja6805 жыл бұрын
Jaman tumkumbushe raisi wetu magufuli atembelee navijijini maana kumejaa wazembe mpk mafisadi
@gervaskadala72214 жыл бұрын
Jackline Muhanika hy.mh
@neymarmbilinyi97354 жыл бұрын
Jackline MUHANIKA nakupenda SANA naomba NAMBA yako
@steveswakei96004 жыл бұрын
Eti wampenda raisi bure?? Wacha wongo wewe
@neymarmbilinyi97354 жыл бұрын
MUKULU akipitiah koment yako ATAKUPA mkoa fulan UUSIMAMIE kwa SABAB Kuwa Mkuu Wa MKOA lazima Uwe ni MZALENDO Fulani iv kama Jackline Muhanika Ahahaa
@geophreyadrian13743 жыл бұрын
Jembe letu limeenda.....mwanga wa milele umuangazie eenh baba apumzike kwa amani #unforgetablepresident
@badmanno.16503 жыл бұрын
Hatatokea rais kama huyu Tanzania... Rest in peace
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Mungu ni mwema atatuvusha hapa alipoishia Jemedari wetu, Mungu ampe pumziko la Amani
@smukelomkhize97753 жыл бұрын
Haitotokea Tena kwa Tanzania kupata Chuma au Mfalme Kama JPM
@theopistamwayeya17642 жыл бұрын
Amen
@issakibegi93563 жыл бұрын
watanzania 2muombee du@ rais we2 magufur mungu amuweke mahali pema pepon kwa sote 2seme amin
@basiliusgiligwa71778 жыл бұрын
Huyu jamaa alikua wapi siku zote hizi? Duh, inabidi Watanzania tumuombee sana huyu jamaa. Hadi nahisi kuiona Tanzania ya miaka kumi ijayo...
@jameschacha22427 жыл бұрын
zari
@azizayassin36237 жыл бұрын
Basilius Giligwa ameen
@kenethmkumbo18597 жыл бұрын
mwanzo mwisho babaaa
@alisaleh85017 жыл бұрын
q
@piusgidion72796 жыл бұрын
hapa kazi 2 wabishi kufa
@mannievann47157 жыл бұрын
Magufuli may God bless you tremendously. We wish our Kenyan president was atleast half ur style
@mwemaesube88723 жыл бұрын
Mimi ni from DRC watanzania poleni kwa kupoteza jembe kama nailo
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Asante
@meshackotieno2223 жыл бұрын
This is why I keep shedding tears for this man
@aishajami68262 жыл бұрын
If they follow his way of leadership, they will succeed but if they don't, they will go with him!
@jacobaliet33514 жыл бұрын
This guy is the best. Kenya needs this kind of leadership.
@monicaashery18 жыл бұрын
May the blood of our Lord Jesus Christ protect you from left and right, front and back, above and below! You are a walking angel.
@tomleeabdulkadir58358 жыл бұрын
natoka kenya watanzania muombeeni mungu sana john magufuli is the right man I like him much and I will always proud of him hio bahati uchukueni ifadhini ili iwafae kesho na kizazi chenu
@azizayassin36237 жыл бұрын
Tomlee Abdulkadir ameen ameen thumma ameen
@dickaugustino22145 жыл бұрын
Good, speech
@lilcastol76993 жыл бұрын
Tunashukuru sana ndugu na sasa hatunae tena
@davidkokomushagalusa65663 жыл бұрын
My role model. Rest in power ✊🏾
@rosenamilia41408 жыл бұрын
R Mungu akupe afya njema Raisi wetu JP MAGUFULI. Wewe ndiye yule wanyonge wote Tanzania walikuwa wanakusubiria.Endelea kufunga mianya yote ya Mafisadi. Milard Ayo thanx for habari hii nzito. Keep it up Men👍☝👍👍👍👍.
@azizayassin36237 жыл бұрын
Rosena Milia ameen
@bensonirungu45474 жыл бұрын
U r Joshua to take Tanzanian to the land of promise b blessed JP
@mummyange7 жыл бұрын
Tough! man this deserves a Nobel prize! perhaps even the BEST PRESIDENT IN THE WORLD! he is certainly the price of Africa. he is not perfect, but he is sacrificing a lot to promote his noble agenda which is to serve the people who elected him... he has stayed in touch! which few leaders can manage.
@norahmgoodluck35548 жыл бұрын
Watu wamenuuuuuna,utafkiri izo sura zao zilizokunjika zinamzuia Dr kuongea ukwel. Mungu mpe uhai mrefu raisi wetu.
@azizayassin36237 жыл бұрын
Norah Goodluck M ameen
@mwendapoleee6 жыл бұрын
Norah Goodluck M wamenyamaza cheeee!
@minyugeminyuge67534 жыл бұрын
Wezi wote hao, ona sura zao!!?? wapo kwa taharuki, na nyodo zilizokua mjini’ kumbe wezi watupu. Magu dua kwa sana kwake wallah’
@lulendakamata91844 жыл бұрын
Hahahaa acha mzee wetu achape kaz
@marsum43634 жыл бұрын
@@azizayassin3623 mali instead of biwa
@mosewekesa57638 жыл бұрын
Am a Kenyan..i wish Magufuli was a Kenyan leader...our country is full of ghost workers and corruption,,,,,may God bless Tanzania
@rehemaahamadiahmadi5665 жыл бұрын
God bless you my friend your my near l love you so much am from+255
@yaedlifemedia32035 жыл бұрын
Ameen
@samwelwamalwa78225 жыл бұрын
Mdaki mosses ✊✊
@mainahwahumainah895 жыл бұрын
Absolutely ... we would be far interms of development
@edwinwanjala78125 жыл бұрын
haaaaa
@abbouramsey1548 жыл бұрын
wakipimwa presha apo ni hataree kuna ambao roho zinawadunda kama mpira wa fainali za UEFA....mtanyooka mwaka huu....MAGU sio mzee wa Msolwa
@alimakame81345 жыл бұрын
Duuuuuu
@sharifuhsharifuhh84714 жыл бұрын
hahahaaa
@ramadhanshaban32384 жыл бұрын
Taarabu jiwa
@andrewmgaya3104 жыл бұрын
😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@Almisbahy95514 жыл бұрын
Hahahhaha
@mejagenerally3748 Жыл бұрын
The real definition of a leader. I really believed in this man🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@chrismutisya8 жыл бұрын
Japo kuna tetesi za udikteta, nampenda huyu raisi. Mimi ni Mkenya lakini tunahitaji viongozi kama hawa Africa.
@dickaugustino22145 жыл бұрын
Wanaomuita dicteta ni wale waliokuwa wakila bata wakiwa serikalini matumisi ya hovyo ya pesa za walipakodi yaani wananchi wanyonge, na sasa magufuri kazipiga marufuku.what do you expect? Let them speak bad upon him, but magufuri is 1st best presedent we ever had b4 or experienced!
@cherehanitanzania85035 жыл бұрын
Safi
@zefamange72814 жыл бұрын
Wanao sema dicter ni mafisad
@lazizerujanabose88024 жыл бұрын
Christopher Mutisya sio udectater ndio ginsi ilivyo uli uongoze wezi na wadhulumati pia wala rushwa na poraji sababu akiwabembeleza hawatomuishimu nivizuri kuwa force ili kila kitu kiwe saw na ndio kazi alio ahidi waraia kipindi chakuchaguliwa kama hatimizi basi yey katili
@reubenbusanji29044 жыл бұрын
History inaonyesha mtu yeyote aliyewahi kufanya mageuzi ya kiuchumi taifa lolote hakuwahi kuwa na historia nzuri kuhusu kile kinachoitwa haki za binadamu. Fanya utafiti
@gorillaezra74487 жыл бұрын
Magufuli is real OG ,, statistically he's the best E.African President viva magufuli !!!!!!!!
@soccerilrul5 жыл бұрын
Gorilla Ezra Amen trying to end corruption
@abdullahinuh34705 жыл бұрын
Manshallah makufuli uko sawa sana
@fatmajarwan65455 жыл бұрын
👍
@davidkokomushagalusa65668 жыл бұрын
if congo had such a president it'll be one of the powerful country in the world
@reubenbusanji29044 жыл бұрын
Exactly
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
I think Congo is the richest country in Africa and the world at large.
@daudmwaipasi56723 жыл бұрын
True
@davidkokomushagalusa65663 жыл бұрын
@@nampijjanazifah6358 it’s but poor leadership has destroyed it. Congo needs its true son a patriotic leader not a puppet
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
@@davidkokomushagalusa6566 true most African countries luck patriotic leaders
@USDisdoomed3 жыл бұрын
Kila mmoja pale ndani alikua anaskia kiti kiko moto roho mkononi kweli mulipata kiongozi ndugu watanzani nikitokea kenya.... RIP#JPM kazI uliitenda kwa haki Mungu akubariki zaidi kwa moyo wako uliokua nao kwa watanzania wote🤲
@edenbaraka75333 жыл бұрын
Hapo wafanyakaz mav yaligonga chupiiii
@alawiali34753 жыл бұрын
Uhuru na yeye si anapiga kazi vizuri
@zawadimakala9333 жыл бұрын
Thanks
@connan99238 жыл бұрын
Kwa mwendo huu aongoze tu nchi to a batter day "WE DON'T NEED ELECTIONS ANY MORE WE FOUND OUR SAVIOR "
@cheupegmailcomHhcheupe8 жыл бұрын
true
@shijaomarymbaruku48718 жыл бұрын
My president you have all qualities of a leader so very exllent
@noelsanga68538 жыл бұрын
Kwa namna hii uchaguzi wa 2020 usifanyike utakuwa upotezaji wa pesa bure
@jumajuma53066 жыл бұрын
Noel Sanga mwbana arisamata matokeo ya jana ngenki
@awadhirajabu77545 жыл бұрын
Magufuri na mitandao nayo vipi ya tanzania inauza vocha rakini cha ajabu uduma zao mbaya wachunguzwe wanaofanya kazi je wameitimu shure hau kutugeuza watanzania kuwa washamba wa mawasiliano
@raziambwana21455 жыл бұрын
Noel Sanga kweli kabsa
@mengihamisi35674 жыл бұрын
Daaaa hiii safi
@mengihamisi35674 жыл бұрын
@@awadhirajabu7754 mada gani
@mentuhotepii26417 жыл бұрын
May Allah The beneficent the merciful protect and guide Rais Magufuli. This president loves his people!
@ericmdemu28768 жыл бұрын
Hakika Mama Tanzania sasa amepata Baba...si bora Baba, ila ni Baba Bora ajiaye wajibu wake na katu asomkosa juu ya miktadha kwa yale yalo kuntu! Baba alikufa pia akafariki..upweke ulidara na kuzizima, ila Ahsante kwa Yeye alojuu zaidi kwani amemrejesha tena Baba si kwa Sura ila kwa Utashi, utu wema na ukweli sanjari upendo vyote vi ndanie...Ee Mwenyeenzi na Utukufu..ninakuomba Mlinde na sitara iwe juuye yote madhila yafanye yawe Baraka kwake!.
@kennedymangongo89037 жыл бұрын
please send us this magufuli for just one year to clean Kenya thase people might soon sell our country!!!
@jessewakaba92703 жыл бұрын
pambaneni na bbi na reggae
@davidrenaldsiriwa55803 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ramamabinda50638 жыл бұрын
safi sana mtu wangu millad kwa kutusogezea mastory. mungu akupe afya nyema na ueledi zaid
@sangkibet82753 жыл бұрын
Magufuli was atrue reflection of areal leader you will forever be remembered legend RIP.
@fidelisvenance64313 жыл бұрын
HIKI KILIKUA NI KICHWA 💪💪💪
@johnsonmwise76723 жыл бұрын
R.i.p. pumuzika kwa Amani raisi wetu
@kalungawanje75267 жыл бұрын
This is a tough president. its what we need in Kenya.
@jessewakaba92703 жыл бұрын
nyinyi watu wa reggae na bbi
@immaxkiyenze62613 жыл бұрын
#Like Kama umerudia hii video baada ya kuzikwa shujaa shujaa wetu
@yasinisaidy76013 жыл бұрын
Naumia mimi jamani, hatutapata Raisi kama huyu Tanzania, pumzika kwa amani baba
@wanjirunyambura27083 жыл бұрын
It's really a huge loss to Africa as a whole. Very smart and deligent! Shine on your way our leader
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Pole dr kz ya Mungu haina makosa
@crausmasala85723 жыл бұрын
Ni huzuni kubwa sana kumpoteza rais wetu magufuli
@harounbuzohera47972 жыл бұрын
Tumempoteza mtetezi wa wanyonge. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi. AMINA.
@maretekings7 жыл бұрын
Ongeera Raisi Maufuli, how can other African Presidents and leaders learn. I envy Dr. Magufuli God bless this Man. Marete JK
@livingstonebatawe74348 жыл бұрын
Tisha sana #MyPresident nimeipenda Pia Big Up Kwa #AyoTV na crew nzima kwa Ujumla kwa Taarifa. God Bless Tanzania God Bless Africa.
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
Pumzika kwa AMANI shujaa Wetu wa Africa 😭😭😭😭
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yke mahal pema peponi
@saumusalimuhassan24993 жыл бұрын
@@ShSh-my8cw Ameeen yarrab 🙏
@bonifacemuraya92277 жыл бұрын
John Pombe Magufuli anafanya ziara ya kushtukiza kuhakikisha kazi imefanywa vilivyo.
@albertkyejo26268 жыл бұрын
Asante sana Raisi Magufuli. Tumengojea muda mrefu sana kupata kiongozi kama wewe. Ni mzalendo kama Mwalimu Nyerere. Wachunguzwe zaidi. Wapelekwe mahakamani kufuatana na ushahidi uliopatikana. Wahukumiwe, wafungwe, mali yako kutokana na wizi irudishwe kwa wananchi. Pongezi pia kwa Waziri Mkuu Majaliwa. Mungu awalinde. Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@barakagodfrey60134 жыл бұрын
in
@cosmascosmas73908 жыл бұрын
Haya yote mkapa, kikwete, mwinyi hawajawahi kufatilia hii nchi imeibiwa sana, naona saivi ndio tumekua na Raisi.. Mungu akujalie maisha marefu tupo nyuma yako.
@tongolbanguot19645 жыл бұрын
How I wish all the African Presidents were like Dr. John Pombe Magufuli #admiration
@allyfaraji9077 жыл бұрын
Ukiona mtu anamchukia rais ujue ametumbuliwa. kama si yeye bas ndugu yake mimi najisikia raha sana uyu kiongozi aogopi wale waliokua wana tusumbua na pesa za wizi. mtalima mwaka huu kudadadeeeeekiiiiiii.
@muhidinabdallah31755 жыл бұрын
unanichekesha et watalima
@zawadimakala9333 жыл бұрын
U're collectlyyyyyyy
@sakayonsakihunga34967 жыл бұрын
Amakweri inchi imepata mmiliki najivunia kua mtanzania nikiwa chini ya Raisi Magufuri nakuombea kwa M/ Mungu uishi miaka mingi yenye mafanikio na uendelee kutetea wanyonge. Ahsante
@dominicsomola4026 жыл бұрын
Sakayonsa Kihunga hahahahahaaaaa
@elishajegeje64823 жыл бұрын
Duuuh kwael jamani Baba yetu
@suleimanjenipandu25828 жыл бұрын
Hongera Mh. Rais kwa juhudi zako! sisi wengine tulipokuwa katika mchakato wa kura za maoni kuomba ridhaa ya kuwatumikia wananchi tulikuwa na nia kama hii lakini bahati mbaya watu hawajui kilichomo ndani ya nyoyo za watu! Mungu akupe maisha marefu mzee wetu!!!!!!!!!
@sunyareh8 жыл бұрын
mungu akulinde..akujaalie afya na umri mrefu ili Tanzania ijue thamani yake na inufaike. na kotekomeza unynyasaji wa wanyonge..ASANTE SANA ndugu yetu mzee wetu. na kiongozi wetu..
@hadijaangura65723 жыл бұрын
Jembe limenda jamani poleni Tz 😭😭😭
@afropanorama47308 жыл бұрын
kanyaga apoapo mh.usiinue mguu watanyooka tuu
@sifasanga78667 жыл бұрын
Magufuri I love youuuuuu......uwiiiiii yemweeeeee! walahi nilikungoja mimi.
@EdwinWachoriTV8 жыл бұрын
Proud of You Mr President, restoring sanity galore..
@alloycedisheni2328 жыл бұрын
Vizuri sana Mhe. Rais wangu kazi yako ni nzuri sana ndiyo maana tulikuchagua wewe, kiongozi wa nchi ni sawa na baba mwenyumba mwenye kutaka kujua kiasi cha akiba ya chakula na matumizi yake nyumbani ili kuwa na heshima ya kukitumia vizuri. Big up wewe ni baba wa nyumba yetu Tanzania.
@hassanturky75115 жыл бұрын
Sawa sawa mheshimiwa, na pia naomba ufute zero Moja TU ktk peze zetu za kitzn. Tutajataririka. Allah akupe imani,akuendeleze Kati nchi mpaka mwisho wapumzi zako amin
@abdulrahmansheikhadan72258 жыл бұрын
100% KUDOS MR . PRESIDENT GHOST WORKERS MUST BE PAID GHOST SALARIES. N REAL WORKERS MUST BE PAID REAL SALARIES. This what we call EXEMPLARY LEADERSHIP 👍👍👍👍👍👍👌👌👌
@Nyamolo_V4 жыл бұрын
I like that
@gedionhermanmaingi96107 жыл бұрын
Tanzanias you voted for a president
@harbinger56756 жыл бұрын
What is needed are strong institutions, credible systems and not a strong president. Kibaki proved that too well. His track record beats Magufuli hands down
@jamesotuoma91285 жыл бұрын
HEHEHE Sonko style in Nairobi.
@koimanlugata7315 жыл бұрын
@@harbinger5675 Rees a\\as
@michaelhosea2364 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa Magufuli kwa kazi nzuri Tusaidie na sisi Warundi kuleta Amani Burundi ndani ya viongozi
@bonfaceandala5850 Жыл бұрын
This man never die.He still lives on.
@2coolking3705 жыл бұрын
My most favorite President in Africa, love him so much.he's so real and ready to make Africa great again
@ramadhanmgonja16988 жыл бұрын
You are the best president Mr Magufuli, keep it up
Mzee wamezoea kula nguvu zetu hao wanajiona kama pesa zao na kutuona sisi tulowapa wadhifa mabwege hawajazoea kutuwa mikono hao wamezoea kujiongezea mazero ila mwisho wao upo allah anawona na mungu akubariki sana Rais wetu atakulipa kwa huruma yko juu ya watanzania
@thedeo4728 жыл бұрын
Mr. President, so far so good. Keep it up.👍👍
@bahelanya4 жыл бұрын
With him Pdt Magufuli, Africa must follow his style of ruling for a better and developed Africa. Viva Tanzania....
@videoyamapenzkss72995 жыл бұрын
Mh raisi hogera kwa kazi nzuri unayoifanya inapendeza kweli kwann ulichelewa kua raisi ingekua raisi awamu zilizopita tungekua mbali kimaendeleo hongera Mh Raisi wetu Mungu akuweke uzidi kututetea Ss watanzania ccm oyeeee karibu Pemba tena tunahamu uje Na Ss tunakero zetu Mh Raisi
@casineobote99898 жыл бұрын
good leadership.salute mheshimiwa rais.
@magrethbenjamin49693 жыл бұрын
Mwenyez Mungu awe pamoja na Muheshimwa Rais mama Samia Suruh awe na upeo zaid wa huu Marehem 😭other wise tutaibiwa san
@hamisizetz89423 жыл бұрын
Amna kitu. Tumepigwa
@shorimnissaha57408 жыл бұрын
rais yupo makini. akiendelea hivi tutapiga hatua
@kpetres28723 жыл бұрын
Wangapi tupo apa baada ya kifo chake😥😥
@aggyjames49373 жыл бұрын
We acha tu nalia me jaman at siamin hiki nahisi Kama ndoto
@mariethagideon6005 Жыл бұрын
RIP my best president ever, we miss you papaa.
@masabodjuma22633 жыл бұрын
Sko 🇹🇿 ila nazan mtachukuwa mda kumpata kama uyoo 🙏🇧🇮
@naimumtinda24943 жыл бұрын
Sidhani kama atapatikana tunamuomba walau aje wakufanana nae
@yudaaraphati96732 жыл бұрын
Tunanaekumbuka baba Tujuane
@jamesmwangi85982 жыл бұрын
Hongera baba ondoa ufisadi Tanzania kabisa tukimaliza ufisadi Tanzania ni tajiri mno
@leilabuisha19524 жыл бұрын
Natamani President wa Kenya awe kama Mh Magufuli' Maana kule kenya Corruption ni nyingi mno na hakuna wa kuwatetea wanyonge kule' kule hakuna haki kabsaaa na ndomana uizi umezidi sana' ma police wanapenda hongo kwa wanyonge' President Magufuli nakuombea Umri mrefu Baba na niko very proud na wewe yaani nakupenda sana.. Naona ata nitabadilisha Uraiya wa Kenya niombe kuwa raia wa Tz.😍😚
@seifrengwe25425 жыл бұрын
asante sana Raisi, tunaomba pia kwenye bunge pia turushiwe live coverage ya mambo ya bnajeti za mwaka ili wananchi kuona na kuelewa yazungumzwayo. tunataka siasa za ukweli na siyo fekifeki.Hongera raisi kwa kupigana na mambo ya rushwa yaliyojaa hapo Tanzania ambayo yanasababishwa na viongozi wezi na FekiCheki kwenye mabenki.
@oduorosiagoh28257 жыл бұрын
Magufuli, Pombe Magufuli juu tena juu sana
@rileyhigz17 жыл бұрын
woi!tuhamie tz toka kenya
@ayoubbenta44998 жыл бұрын
mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kupenda wanyonge fanya kazi tupo nyuma yako inshaalah.
@jennipherray70012 жыл бұрын
Kama kweli kifo cha Magufuli kilisababishwa na mtu Aiseeeee machozi ya watanzania hayatamuacha salama pumzika kwa amani My Hero 💔😭
@nyakujerwabiseko6974 Жыл бұрын
In my memory forever,rest in paradise siku zote my (second) president.
@munashabanimunashabani99767 жыл бұрын
uyu ndie raisi wetu baba mungu akuweke
@winiendaru12917 жыл бұрын
احمدmiziwa tuu basi مختار musiyoyajua nikama usiku waigiza shanilieni gizani mutapigana makofi wenyewe baadaye
@lotharymuhuwa69938 жыл бұрын
be blessed our dear President
@khanjanki82074 жыл бұрын
Tumchague magufuli awe president wa nchii zakiafrica zote tukifanya hivo africa itakuwa natafauti sana exspecially amtoe uhuru kwa kiti
@paulochieng42583 жыл бұрын
Niko hapa kwa akili ya nchi yangu kenya....uhuru kindly watch this clip for more lessons about intergrity,leadership and governance...rest in peace Mr. President
@josephmoseti51432 жыл бұрын
The strictness ya huyu Legend ndo ilifanya akapangiwa njama,,,,,
@someless6 ай бұрын
Magufuli forever 😢 . We will always keep your soul in our hearts♥️♥️♥️♥️
@msafiriomary893 Жыл бұрын
RAIS wetu MUNGU akuweke sehemu sarama urikuwa unatufurahisha sana wanainchiturikupenda sana,
@shemusamson42958 жыл бұрын
my president is black,my peace is back.keep it manual as usual. we don't entertain digital/3D actions! life is YOLO,so use perfectly your regime Mr preeda!
@rukiahussein97378 жыл бұрын
My Godness Mijitu ilikuwa inachota tu pesa mpka hawajui mahesabu wanayolipa maden fake 🙆
@ramadhantahila91313 жыл бұрын
Ndio wakaonawatiesumutuu jamanii ilevedio ilinilizaa Sanaa aliosema amepewasumuuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭