Millard Ayo na wadudu wake SnS katika viwango vya kimataifa
@user-st1zs1ng2xКүн бұрын
Naomba hii vita itimie ili wote tuonje joto la jiwe 😢 .. Dhulma imevuka viwango.. 🙌💔🇸🇩
@ce-08Күн бұрын
Wapigane waarabu wote na wazungu wote waafrika tuwauze chakula tu😂
@user-st1zs1ng2xКүн бұрын
@@ce-08 itatuonja wote Dunia yote haitakua salaama.. America keshasambaza meli za kivita baharini... Unaeza kupata pic yajayo hayafurahisha
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
Hamna hii vita itakua kubwa sio bora kuomba vita watu wanateseka
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
@@ce-08tunateseka sisi mafuta mafuta yatapanda bei
@ce-08Күн бұрын
@@AliNassor-qt6fm sasa wakipigana tutatafuta njia nyingine acha waumizane na wao kwanza hapo ndiyo tutapata akili yakujitegemea maana watakuwa hawazalishi Kuna mda shida inakupa akili
@HassanRamadhanPashuaКүн бұрын
Hapa ndio naamini habari zake Big up
@HusseinMohamad-pl2cfКүн бұрын
Bas watalike kwa wa kwanza kukoment😂😂😂
@jumamussantuicheКүн бұрын
Israel awatofanya kitu uko lebanoni anaogopa.propaganda iyo kataze jwenda na israel.
@lucasbatano333Күн бұрын
Wakiwashe tu
@Supershopdubai-ck8tdКүн бұрын
Hiyotam kbs 🇧🇮💐❤️
@NdovuDentalClinic_Күн бұрын
Sinza madukani #ndovudentalclinic
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
Sio bora kuomba life is going to be more than harder
@Rey_D669Күн бұрын
Hao wote naona niwachochezi wa Vita kwani bila hatua wanazo chukua Israel wasinge pata jeuri yakushambulia rebanon kama Ben gants alivyo sema huko marekani katika ziara yake majuzi ila tunaiyombea rebanon mwisho mwema katika vita hii maana wanataka kuifanya iwe kituvo cha Vita iliyo yalemea mataifa makubwa pande zote 🙏🙏
@FridayMwassaКүн бұрын
Bila Iran pasingekuwa na vita, Iran ndiyo anagawa silaha kwa waasi
@Rey_D669Күн бұрын
@@FridayMwassa hao sio waasi utamuona ni muasi kulingana ni mpinzani wako sku zote yule uliye taka aishi kama wewe unavyo tako iwapo atapinga nayeye kuanzisha empire yake utamuona msalit na muasi ndio hawa sasa waarabu na wazungu
@MAHAN-SMARTКүн бұрын
Kwa dalili hizi vita vipo hapa wameshapanga hawa Israel kuingia vitan yetu macho acha tuone time will tell kama DJ Sma anavopenda kusema
@uwimana6533Күн бұрын
Israël kajipanga kama gaza tuone kitakachotokea 😂😂😂
@directortwicep3028Күн бұрын
Hofu nikwamba Israel wapo safi sana maangamizi ya anga na atapiga popote lazima nchi ambazo raia wake ambao wapo Lebanon watoke
@dannywillson5874Күн бұрын
Hao sio hams 😂😂hatoboi hii itakuwa vita Yao ya 3 na hajawah kushinda
@directortwicep3028Күн бұрын
@@dannywillson5874 anglia hiikzfaq.info/get/bejne/np2nnMx8uL_Wpmw.htmlsi=gHsgGzAOQrpJZi9a
@josephwilliam5813Күн бұрын
@@dannywillson5874ISRAEL ana nuclear KUMBUKA ilo
@Brunotarimo10Күн бұрын
Chama kubwa sns
@ndukulusudikucho_Күн бұрын
Mwislam mnyonge ni yule ambae hajainua silaha, vita ya mwisho ya Israeli na hawa jamaa jasho liliwatoka hadi Marekani aliingilia kati, Wapigani wote wa Kiislam wataingia Lebanon, na Hezbola watalazimisha vita iende ya ana kwa ana hapo ndipo hali itakavyokuwa mbaya kwa Israel 🇮🇱
@lakasid3860Күн бұрын
Kwaiyo hii kumbe ni vita ya waislamu?
@FridayMwassaКүн бұрын
@@lakasid3860wameshaingiza udini tayari
@FridayMwassaКүн бұрын
Kwaani Israel kuchangiwa na waislam itakuwa mara ya kwanza
@WilliamstozzoКүн бұрын
Hakuna watu waoga kama islam's
@emmadora7848Күн бұрын
Mbona wameshindwa kuwasaidia wapalestina mpaka muda huu? Wanawashangaa tu wanakufa na kuteseka au wao si waisilamu?
@user-qq6mv6vh3eКүн бұрын
Heeee moto unalipuka sasa
@user-pd5hl9di2qКүн бұрын
Waache wajifanye superior waone Lebanon ndiyo itapigwa wasiondoke Israel wataambulia majivu
@user-pd5hl9di2qКүн бұрын
Hao raia waambiwe kuondoka na Israel wasichukulie powa Israel inaweza futwa pia
@Maxpaul-oi8pw18 сағат бұрын
Is not easy
@feisalkhamis9445Күн бұрын
na vipi kwenda Israel ni salama
@Maxpaul-oi8pw18 сағат бұрын
Ndio
@omarybakunda2554Күн бұрын
Hiyo vita itakua mbaya sana
@user-lv4cx1sc5dКүн бұрын
Muwambiege hata uko Israeli waondoke acheni kujidanganya mashoga
@vibetz9991Күн бұрын
Ndo napakia apa niondoke zangu
@Rey_D669Күн бұрын
😂😂
@hamidamussa-sy4fmКүн бұрын
Mbona islaeli hawawasihi wasiende uko
@ibrahimaziz715823 сағат бұрын
Mm kama marekani hajaondoa raia wake hapo bado ni salama amini amini nawambieni marekani ndio israel na israel ndio marekani
@SalumJuma-iz2gjКүн бұрын
Sijui kwnn iziraili haiogopew kila nchi inaidindia waizirail toka waumbwe hawajawah kuish kwa amani ujue Hawa wanalaana ya milele kwakule kuwauwa mitume kwa wing mitume wengi walikua wanawauwa hawjamaa ata uyo isa wanaijifanya ndo mung pia walinfukuza wamuuwe sem mung akampaisha juu
@FridayMwassaКүн бұрын
Acha uongo wa dini yako.Taja mitume walio wauwa kama siyo uongo wako.kitabu chenu kinabumba bumba habari za kucopy kwenye biblia ili kionekane cha kweli
@emmadora7848Күн бұрын
Wenye laana ni wanaokufa kama vifaranga vyenye kidere na kuombaomba huruma ya Dunia na Dunia inawaacha wale Cha moto
@BarnabaBuhomaКүн бұрын
Tena mnasema hawa wa Israeli sio wale walioandikwa kwenye Biblia!!! Mnachanganya mambo!!!! Naf
@rumdeesonsoa1811Күн бұрын
@@emmadora7848Wanaokufa ni kina nani? Maana hata Israel watu wanakufa sana pamoja na kwamba wanapewa misaada kedekede na nchi tajiri zaidi duniani
@SalumJuma-iz2gjКүн бұрын
@@FridayMwassa unaonekana hujui chochote kwny historia mitume walio wauwa ni zakarya wali kereza kwa msumeno nabii yahya walimkata kichwa manabii karibu wote waliteremshwa iziraili lakini wali wakataa nahuyu isa wakanwita mingu hasa yan apo ndo wamempenda
@richwase6550Күн бұрын
Israel ikiingia vita saiz inaenda kuw sio taifa tena n ndio waisraeli halisi ambao n weusi(wabantu) watajulikn lkn hana namna lazm unabii utimie n ukwel ulud kwao. #MWALIM N MMOJA TU #ZOULOULA100
@user-ik4jj5gb6hКүн бұрын
Huu ni mwaka wa 100 anapigana na akikuzidi maeneo yatachukuliwa Israel aiogopi kitu wanajua ndo maana wanawazuia raia wao kwenda Lebanon akiwa na maana kwamba Lebanon itakuwa majivu
@salumabdallah2990Күн бұрын
@@user-ik4jj5gb6hvipi kuhusu taliban wanatoa jeshi lao laki moja na iraq laki moja na siria wanatoa laki moja alafu yemen wamesema watatowa jeshi laki mbili unazungumziaje hapo😂 wakati israil imeomba juzi wamepungukiwa na wanajeshi 8000
@FridayMwassaКүн бұрын
@@salumabdallah2990vita siyo uwingi wa askari bali zana na mbinu
@emmadora7848Күн бұрын
@@salumabdallah2990wameshindwa kuwatolea Wapalestina ,watawatolea Lebanon? Ujue hata Palestine Kuna watu waliwapa kiburu but now hawana pa kukaa, shule hakuna ,hospital shida na hakuna anayewasaidia
@emmadora7848Күн бұрын
Hizo sehemu zote umetaha ni maskini wa kutupwa ,halafu u think Israel atakosa wa kumuunga mkono? Ombeni amani acheni wehu
@frankbutati8343Күн бұрын
Hesebolla wamejichanganya, sasa waombe Mungu suluhu ya maongez kuliko vita
@Goldentouch_AbКүн бұрын
Fuatilia historia wamepigana mara ngap? mara ya mwisho ilikuwa 2006... israel ali retreat
@user-xc6ls9xn8hКүн бұрын
Mwisho wa Izrael umefika
@muksinimbaruku1233Күн бұрын
Pls
@hamadsheni8997Күн бұрын
SAFARI HII TUNAINGIA TELAVIV NA JERUSALEM. KUTISHA HAKUNA.
@hazygardmericho9571Күн бұрын
😄😄😄wanaowasifia ezibolaha, ndio aoao watasema lebanon inaonewa, HAYA NYIE WAPONZENI
@meckymichael1880Күн бұрын
Hii si mara ya kwanza Hezbollah kupigana na Israel na casualties zilikuepo Kwa pande zote Israel kufungua font nyingine ya vita ikiwa yupo kupigana na hamas itampa wakati mgumu
@WilliamstozzoКүн бұрын
Soo mara ya kwanza kupigana multiple front,,,and wanajiua na walishajiandaaa
@WilliamstozzoКүн бұрын
Israel hawatapigana saivi kama gaza,,,watatumia nguvu kubwa kuliko mwanzo
@user-xc6ls9xn8hКүн бұрын
Tuwone nani atapata hasara Izrael umefika mwisho wake
@JoelFortunatus-du8wwКүн бұрын
Israel 🇮🇱 hawezi kupigana na Lebanon 🇱🇧 kwa sasa Bali imetangaza wazi wazi kuwa kwa sasa lseral hatuna mda wa kupoteza kupigana na heziballa Bali tutatumia nyukilia ☢️☢️☢️ ☢️☢️ tuu
@saidiomar6642Күн бұрын
Akitumia nyuklia ndio israil imeisha
@godblesshudson1564Күн бұрын
@@saidiomar6642imeisha kivipi ebu nielekeze
@salehkhalfan7345Күн бұрын
@@saidiomar6642Kivipi labda
@ce-08Күн бұрын
@@saidiomar6642 sio kweli ikipgwa nyuklia hakuna nchi itakayo Fanya fyooo kama Haina uwezo wa nyuklia sababu na wao watajua kitakachofata nikupigwa nyuklia japo mm sidhan kama nyuklia itatumika.
@reubenbushiri1753Күн бұрын
@d255tvwatachapwa vizuri shida Kuna mkono wa marekani pale
@user-nz8bv6xn9rКүн бұрын
Kilichotokea gaza kitatokea labanon mara dufu mana hezbollah walijipendekeza wenyewe
@Goldentouch_AbКүн бұрын
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma
@JoyceSekele-n2fКүн бұрын
mnao ibeza Israel mnajidanganya Israel nitaifa lilio balikiwa na mungu na wanahakili nying xana na wanaxilaha zakixaxa hao iziblaa mtawaxikia watakoxa pakukimbilia watawaletea watoto wao majanga
@walker-96Күн бұрын
Lebanon mashoga tu .... Mda sio mrefu wataanza kupiga kelele Israeli wanaua watoto
@Goldentouch_AbКүн бұрын
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma