Hii ndio habari ambayo nilitaka kuiskia nawapenda sana sns tupo pamoja mpaka hatua ya mwisho
@kilogreekachananawatuwasio405412 күн бұрын
DUNIANI MUOGOPE MTU ANAPIGANA VITA KUAMINI ATA AKIFA ATAKWENDA PEPONI KUNA KWENDA KUJILIPUA KAMA WAKATI WA PKK UTURUKI NISHAONA MWAKA 93 MPAKA 99 KUAMINI AKIFA KWENDA PEPONI 😢😢😢
@user-nv6wt3nx5h10 күн бұрын
Shida ya Imani frani hupatikizà chuki zaidi na sio upendo....
@user-nm5ge6dt8i8 күн бұрын
Imani ipi Sasa maana hapo ni myaudi na muislamu we upo upande upi kati ya hizo dini mbili
@user-si7kv4vl2b12 күн бұрын
Ally masud bana 😅😅😅😅 et! Drone imekustua yaan mpk ww umestuka hao wajomba ni noma sn yaan tutamgonga mhayudi na chenji atatoa 😅😅😅..
@HassanJambia12 күн бұрын
Kuna mzee anaitwa hamdun embu mtafuteni ana madini sana
@kimchi-9112 күн бұрын
Toa namba yake kaka
@HassanJambia12 күн бұрын
@@kimchi-91 nipe namba yako ww kkk ili nikupe klip umtafute
@HassanJambia12 күн бұрын
Jitahd update huyu mtu au tembelea kwa Chanel ya YUKOHAMA huko ndio anahojiw n mzenji kk embu fny chap
@ibnayub237412 күн бұрын
Myahudi hawez pigana na Shia milele eleweni hilo, Hawa n ndugu katika Iman na wote ni watoto wa marekani KISWAHILI n chepes sana Sema watu wengi hawaelew
@ibnayub237412 күн бұрын
Lebanon ni nchi iliyo vamiwa na mashia ndio pakazaliwa hizbullah
@jacobeliufoo763512 күн бұрын
Hilo jina lake dahh nasralah lina tamanishaa
@nassoroshakiru709412 күн бұрын
Kaka huyu anaitwa Sayyid Hassan Nasrullah huyu kiumbe ni hatar mzee wangu yaaani ni mwamba ukiskia mwamba
@Brunotarimo1012 күн бұрын
Uhakika Wana sns hamjawahi kutuangusha
@remijilasana338311 күн бұрын
Very informative reporting...
@SanguloRaahoo12 күн бұрын
Asante
@FahadAbubakari12 күн бұрын
Hizbu ni Chama Allah ni Mungu, so ni Chama Cha Mungu, kwa lugha ya kiarabu.
@shabanibussara845412 күн бұрын
*Jeshi la Mungu
@FahadAbubakari12 күн бұрын
@@shabanibussara8454 hizbu ni Chama jaish ndio jeshi
@braystuskibassa384212 күн бұрын
IDF anateketeza raia wengi wasio na hatia lakini mbaka sasa IDF wameanza kurudi nyuma hari itakuwa mbaya zaidi kama wataendelea na ubabe mbele ya GAZA
@Officialjidaa-sn9cs12 күн бұрын
Hao raia ndo maadui Sasa kaka hujui
@mohamedaley563212 күн бұрын
@@Officialjidaa-sn9cs adui ni ww kwnz usioweza kutumia fikra zko vzur
@Officialjidaa-sn9cs12 күн бұрын
@@mohamedaley5632 acha ujinga unahc wanaua ovyo unavyodangnywa kawasaidie Sasa tako wewe
@woah.africa9912 күн бұрын
Official we mtumwa unajua hao wakristo pumbavu ww unaitwa mtumwa na hao wazungu hao nibwauaji walingia 1946 kutoka ulaya walingia ardhi ya warabu hao sio esrael wa kale hv waje watu kutokaa ulaya waseme ardhi hi ni yetu kisha wakue ww na familia yaki ww hujui ukweli kwa hiyo hamas wakiliipiza kisasi ndio magai ila hao mashatani wanaua watoto ktk ardhi yao ni sawa hiy ni ardhi ya warabu sio wazingu leoperd ambae aliua kongo watu milioni wanafitinisha africa watu vita ilacwafrica Burkina faso na Niger wesha watoa wafaransa ww baki hujui kitu
@mohamedaley563212 күн бұрын
@@Officialjidaa-sn9cs siwez kuwa mpumbav kama ww naelewa sahihi na kupandikizwa fikra mbovu kama ulivyopandwa ww... kama hao raia ni adui wamemshikia nan silaha?
@mtulivu-ir1nq12 күн бұрын
Hivi vita vya hawa watu ni vita ya kibabe hakuna wa kuzaraupiwa
@PekeKayumbe12 күн бұрын
❤❤❤
@majidbushahu246512 күн бұрын
Yaani mm sauti yako siielewi hata kidogo Nikushauri ukale sana mayai na vitu vya kujenga sauti ikiwa pamoja na kufanya mazoezi ya kuongea kwa step bila kuludia maanenno.
Ni hatari sana kupigana vita na watu wanao shambulia bila mfumo😅
@mdmohiuddin648810 күн бұрын
Ni Chama cha mungu Ali
@user-rk6jf6zq6d9 күн бұрын
Ako kawimbo cha sns wa ha kabisa noma
@hassanpashua12 күн бұрын
Kwann wasiwe na nguvu wkt washapigana mara mbili
@user-qp5vi9yt6m12 күн бұрын
Ndo apo sasa mana watu washapigana mara mbili
@user-nk4oq4ek9y12 күн бұрын
Uyo netanyahu akuwe m bishi tu ivo zitapigwa mmpaka mwisho kwani ndo nn
@e11said2312 күн бұрын
Hii hezb.ninzuri sana hawana ubaguzi kabisa sunni wakristo yoyoye wanampokea kazi iedelee
@King_Of_Everything10 күн бұрын
👊👍✌️
@AliNassor-qt6fm12 күн бұрын
Israel ina nguvu ya lakini imeonesha udhaifu mkubwa kwa hamas hivo in ushahidi tosha kwamba ikiwa itaingia vitani na hizbollah vita hukua muda mrefu na vitakua vikubwa
Israil hamuwezi Hisbullah ataa siku 1 na wakianza vita Israil atapotezwa fasta sn aisee
@nizarrama22512 күн бұрын
@@zuricakes6817umeshamaliza kula kande 😂
@woah.africa9912 күн бұрын
@@zuricakes6817 hao hata mababu zako waliwafanya watumwa mpaka leo na kugombanisha wafrica wachukue mali zao middle east nibardhi ya warabu na pia hao sio esrael ni wameletwa na marecani kuona ardhi ina petrol na africa madini ukae ujue hao ni wezi tu sio wenyeji wenye ardhi ni phalestin kuna misikiti ya mana bee hapo ardhi takatifu sio hao wazungu na majibwa na vibukta vyao vinatembea sio utamaduni wa warabu hiyo
@AliNassor-qt6fm12 күн бұрын
Mbabe bado hajajuilikana mpka sasa @@zuricakes6817
@yusufmwangichannel669212 күн бұрын
Kama Israel walishashindwa na Hesbollah mwaka wa 2006 na 2010 sasa saa hii Israel wanaenda kumalizwa kabisa
@ce-0812 күн бұрын
😂😂 labda marekani kama hayupo
@jumakhamis22612 күн бұрын
Watasaidiwa na bwana wao mmelekani
@yusufmwangichannel669212 күн бұрын
@@ce-08 Kwani 2006 na 2010 Marekani ilikua wapi? Marekani yenyewe imekimbia mbio Lebanon kuongea na serikali ya Lebanon wawambia Hesbollah wasiingie kwenye vita na Israel
@yusufmwangichannel669212 күн бұрын
@@jumakhamis226 Kwani 2006 na 2010 Marekani ilikua wapi? Marekani yenyewe imekimbia mbio Lebanon kuongea na serikali ya Lebanon wawambia Hesbollah wasiingie kwenye vita na Israel
@ramadhanchenga460612 күн бұрын
Hivi ww wa israel unawaona ni watu wa kawaida ety kaa ujifunze kutafuta ukweli wa nguvu za israel zipo wapi kichwani ama kwenye vitu
@blueboybajos688012 күн бұрын
sawa sawa malipo nihapahapa duniani
@Aminaamina-us5yj12 күн бұрын
Sasa irani yenyewe ata ndege ya kubeba raisi hawana 😂😂kujitekenya warabu watauliwa na wataendelea kuuliwa wasipo anza kufundisha watoto new generation to grow up with fresh mind and love other wise bado sana
@enockramadhani706510 күн бұрын
We ni Mshamba tu nani alikwambia Iran ni waarabu
@user-pt8wo4ss2p12 күн бұрын
Uwezo wanao
@user-tq4lx9si1n12 күн бұрын
Nyi mnaleta ydin hadi kwenye mahisha yawatu nyiwatu wanakufa nyi mmekaliatu kushabikia vta nakupanisha
@user-qp5vi9yt6m12 күн бұрын
Ndugu mtangazaji uyo israili alishachezea kichapo na hezbulah mwaka 2006 ebu kumbuka
Huku Kim JON UN , Putin, huku Hezbollah huku Hamas, Taliban,huku Iran yaani kusingekuwa na hao viumbe Marekani angekuwa anafanya atakalo Kwa mataifa mengi , tushukuru uwepo wao maana wanawafanya Marekani na NATO wanaongea Kwa vituo
@MkhayaSogadari12 күн бұрын
Kk nakufatili sana nikiwa southa Africa tenguwa Kaulitz akuna wa isilam wakawaidi wot ni wa isilam kama vp kiristh ni mki risthu tu ulimi auna mfupa
@husseintuwa452112 күн бұрын
Maana ya Hizbullah ni KUNDI LA MWENYEZI MUNGU NA SIO JESHI LA MWENYEZI MUNGU.
@kujatwende12 күн бұрын
Wako Na uwezo mkubwa sana
@jayotv20249 күн бұрын
TITLE YA HII VIDEO AIHELEWEKI 😂😂😂😂😂😊
@Goldentouch_Ab12 күн бұрын
Ushambuzi bado sana ..unachambuaje unashindwa kuelezea vita ambavyo walishapigana ..mfano 2006??nn
@seifmiraji4312 күн бұрын
Punguza ujuaji
@mdmohiuddin648810 күн бұрын
Hisbu maana yake cha hata zanzibar kulikuwa na Chama Kanagawa hizbu
@ndizindeleti76112 күн бұрын
Malekani na jeshi lake bora katolewa na taleban
@mandeladaimu968312 күн бұрын
Leo wakwanza
@blueboybajos688012 күн бұрын
kwahio 🤷🏻♂️🤷🏻♂️
@HafidhKhamis-ph8qg7 күн бұрын
IDF watapigwa tu kwani wengi wao ni viongz wa ushoga na usagaji acha wasa nao ni mashoga
@aminielkombe6612 күн бұрын
Kama Hamas na Hothis,, dola ndani ya dola
@Jibambeshow254k12 күн бұрын
Israel wameyatimba hope watanyamazisha hawa manyau 🤦
@AbelsonGidion-vo1uj12 күн бұрын
Jidanganyee
@user-mc2zl1gj6u10 күн бұрын
Nyie wafagilieni tu hao walebanoni islael msione IPO kimya wamefanya hayo mashambullizi ndani ya islael kwa. Kushitukiza wakianza kugomgwa msi badilishe maneno kuwa wanaonewa hao ote mfadhili wao ni urusi na Irani hao wanao fanya chokocho kwa Israel dawa yao inachemka
@jumashedafa12 күн бұрын
Putin yupo nyuma yao maana wanajua wanazid kumdhoofisha marekan cz ndio mtoa silaha kwa israel....Hivy kujigawa na kutoa silaha watafel...Sasa hapa picha litokee putin na kim wampge mmarekan au watafut vikundi vingi vya kupga na marekan ad wasalimu amri na akidhoofik zaid waend wakawamalize
@omarymwaluko976510 күн бұрын
Makini
@jumashimba962011 күн бұрын
Lebonan wanapakana na nchi zipi
@canisiusibrahim985612 күн бұрын
Mbona kama ni inshu ya U.S.A hii inshu za kidini
@omarymwaluko976512 күн бұрын
Israel mashoga lazma wangamizwe
@WazirBoy-fe5ew12 күн бұрын
Hawa wanajiamini kutokana iran wanawasaidia
@FahadAbubakari12 күн бұрын
Israel hasaidiwi?
@Officialjidaa-sn9cs12 күн бұрын
Lebanon itaanza kulia pia
@user-mc6ln7ek7q12 күн бұрын
2006 Israel ilishindwa na apo ata hezzbullah haikiwa inanguvu kama sasa
Ndugu yangu wewe wafatilia habari zawapi mateka wote waisrail walioachiliwa huru wanawashukur hamasi namna walivyowatunza lakini angalia wapalestina waliotekwa na israil wengi niwanawake nawatoto nawamerudishwa wengine hawana vidole wengine hawana meno kwamateso waliyo pewa alafu nashangaa ukisema eti hmsi wameua raia na wamebaka Nduguyangu fatilia habar acha kulishwa matango pori
@zuricakes681712 күн бұрын
@@dauddavid6837 Wanawashukuru hamas walivyowatunza, kwani walikuwa na shida kabla hawajatekwa? Yaani uniteke alafu uniangalie vizuri? inahusu nini?
@radjabusuleiman648612 күн бұрын
Israel imeteka wa Palestina 12000 wako gerezani kuna wenye myaka 10,20, 25, 30, 40 wanawake kwa watoto
@ce-0812 күн бұрын
@@dauddavid6837 sasa lile tukio c watu walikufa au cku ya uvamiz ilikuwa mifugo ndyo ilkufa
@sameerbaksh9812 күн бұрын
Tatizo usifate propaganda soma vizur history utaelewa hatuna ushabik
@mozamoza396012 күн бұрын
Kwanini wasiwape mabom hamasi
@salumucharles965512 күн бұрын
Hamasii wamechoka kina kuja kikosii kipya 😂
@jkifutu793612 күн бұрын
Msulimoto bullaza
@rashidmaty782412 күн бұрын
Ww Aly n pro American,yaani ipo wazi,kitu cha hizbullah,ww uchambua ch Israel
@omarymwaluko976510 күн бұрын
Ali ana kauchoko fulan mwehu huyu
@ElijahOwino-xe2cd11 күн бұрын
Iran haiwezi kuishinda Israel kivita... Yani Iran itatandikwa vibaya... Ngoja muone kitakachowakuta Lebanon
@rashidmsuya572111 күн бұрын
Mbona hamna sehemu apo ambayo imezungumzia vita ya Iran na Israel iyo inazungumzia hezbulah na Israel stuka ww
@omarymwaluko976510 күн бұрын
Israel mashoga hawajiwez
@ElijahOwino-xe2cd10 күн бұрын
@@omarymwaluko9765 ila nchi za kiislamu zimeshindwa kumpiga.. Kila vita wanatandikwa halafu wanaanza kelele mara ooohh.. Israel isitishe vita.. Yani mfanye uchokozi halafu mkichapwa eti mnaonewa.. This time round mtatia akili
@omarymwaluko976510 күн бұрын
@@ElijahOwino-xe2cd lini Israel mashoga wameshinda vita choko ww
@ElijahOwino-xe2cd10 күн бұрын
@@omarymwaluko9765 niambie ni lini Israel imeshindwa vita
@raydanfrenk12 күн бұрын
Mchambuzi wang penda Dj s anaweka udini na ushabeki wa kijinga