faham tafsiri mbalimbali za ndoto za kuota unapaa angani
Пікірлер: 36
@mejumaamwachirero73243 жыл бұрын
Assalamu Alykum ustadh.kiukweli umeongea ukweli kabisa ndoto za kupaa kwangu ni nyingi sana.nakweli nimesafiri from Kenya to Austria. Nazakufukuzwa nikiwa nimepaa Pia ni nyingi lakini bahati nzuri wanaonifukuza huwa siwajuzi zaidi yangu lila Mara huwa mshindi. Alhamdulillah kwahilo.
@khajjymagele81974 жыл бұрын
Dah naona sana Mara kwa maraa sana af n kama natembea
@asiaissa9764 жыл бұрын
Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Ata mimi ndoglto za kupaa nilishaota mara nyingi
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mim nilishawi napaa sehem nisiyoijuwa lakin sijatoka nyumban kwangu
@pippipa9203 жыл бұрын
Me ni mkristo nimependa sana juu nimeona ukweli
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Hiyo ndoto ya kupaa Mara kwa mara
@danielwilliam97584 жыл бұрын
Haha haha uyu jama muongo kweli, yank ni muongo kweli
@salmakatoto38864 жыл бұрын
Mimi nimetoa napaa na ndege
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mim nilikuwa naotaga napaa aiku nyingine kwa mda
@deusmaganga43484 жыл бұрын
Mimi huwa naota napaa kwa kutumia mikono yaani Kama nina mabawa
@johnstonselestin938210 ай бұрын
Na wewe unaota kama mimi
@faoual34563 жыл бұрын
Mimi naota nafatwa na watu wanizuru nakimbiya adi napaa naota Sana ndoto ndoto naogopa kwakweri
@abrahamhaans93614 жыл бұрын
Niliota nipo katika kundi LA wapiganaji , kuna MTU nilikua karibu akapangiwa mishe ya kuuwawa, sasa wamekuja watu wawili miongoni mwa wale wapiganaji wa msituni wakata mukuua, nikamstua kua kisu iko wakamkosa. Yule mmmoja akatoa bunduki na kuweka risasi moja ambayo ili kua karibu yake na kunielikezea . kuona vile nikatoka adi nje uku nikijizungusha ili asipate shabaha kamili, adi viongozi waliona lile tukio lakini hakuna aliekuja nisaidia. Sasa inakafika pahala naisi anataka apige tu kwani niliisi alishaniweka kwenye target. Nami nianze kukwepa ingawa nilikua naendelea kujizungusha nikaamka.
@boysamson25304 жыл бұрын
Siamini mm Wenda
@KennedyGallusy-rr1se Жыл бұрын
Mm naotaga napaa napaa kwaku si Mama bila mbawa
@linetkirui55043 жыл бұрын
Please help me to understand hii dream ukiota unapaa angani na nguo nyeupe
@user-yy4rn4xh7b4 жыл бұрын
Mimi naota nikianguka kwa shimo
@mpondamedia24164 жыл бұрын
hiyo ni dalili ya kufeli katika maisha muombe mwenyezi mungu akunusuru
@zaitunichibako12144 жыл бұрын
Asalam alykum m uwa naota napaa mara kwa mara na uwa nafukuzwa na watu au ngombe wa rangi ya brown na uwa ni wakubwa sana
@kheiramour29732 жыл бұрын
Zaituni ww ni mwenzangu mana hunatofaut namm
@suzansimon52963 жыл бұрын
Naje ukiota watu wanakutafuta afu ukaanza kupaa angan nn maana yake
@juliejulie60634 жыл бұрын
Mm hua napenda kuota napaa juu nikiwa nafukuzwa na mtu mbaya, alafu nakua mwenye nashuka chini akikaribia kunishika najisukuma tena kurudi juu, alafu napambana kuamka kama ajanishika nko na hilo tatizo sana, lingine nimefamiwa na maji machafu ama nko qwenye bahari na maji inakimbia
@mpondamedia24164 жыл бұрын
maana ya hiyo ndoto ni kwamba kuna maadui wanakufuatilia ili wakudhuru nakushauri ufanye dua ya kinga inatwa *AL WIQAAYA* kama unaihitaji nitafute whatssap 0652 286 323 shukran
@evalinadickson12694 жыл бұрын
Jamani me niliota nakabidhiwa funguo na mwanamke mwenzangu Tena alikua anagombana na mwanaume, mda huo Niko kazin Kuna baadhi ya vitu akanipa nimwekee xaxa cjui maana yke ninini jaman
@habibihabibafatuma47404 жыл бұрын
Asalamu alekumu waramatulayi wabarakatu mm na ota safari ila safari akamiliki kilasiku
@mpondamedia24164 жыл бұрын
Wa alaykumu ssalaamu hiyo ni ishara ya maisha yako yatakua marefu zidi kumuomba mungu
@dastopadady24024 жыл бұрын
Mimi niliota nakimbizwa hafu Nika paaa
@paschalmanase20134 жыл бұрын
Mi nimeota nipo na marafiki zangu tunaelekea mlimani tukakutana na fisi wengi tukapaa wote na fisi wakiwa wengi wanaturukia juu alafu Mimi ikafika sehem marafiki wakapiga corna Mimi nikapitiliza alafu nilipojaribu kugeuza sikuweza kuwafikia walipo na fisi bado ananifuata ndoto ikakata hapo kwani nilishtuka
@mpondamedia24164 жыл бұрын
kuna uadui unakufuata katika maisha yako zidisha kusoma dua za kinga kila siku ili mwenyezi mungu akunusuru
@boysamson25304 жыл бұрын
Ndiyo
@mejumaamwachirero73243 жыл бұрын
Ila kunamoja sijaijua tafsiri yake.niliota nafukuzwa na polisi lakini kwenye misitu nikakimbia mpaka mwisho nikatokea kwenye jumba zuri na kubwa nikiangalia mbele naona bahari nikaona bora nikitie kwenye bahari kuliko nikae Pale wangenishika,kufika katikati mwa bahari kulishuka kitu Kama feni hivi kutoka mbinguni,numa yangu palikuwa na MTU mmoja Kama alikuwa ananilinda hivi akaniambia hicho kinachokuja kutoka juu nizawadi yako ipokee nilipokea na nikatoka Nacho nje ya bahari ile nafika tu ufuoni Nacho nikaamka
@mpondamedia24163 жыл бұрын
Sawa mejuma nimesoma comment yako ila nakuomba nitafute whatssap tuongee zaidi my whatssap no +225 652 286 323 Ahsante
@mejumaamwachirero73243 жыл бұрын
Utabiri wako niwakweli kabisa mengi ya hizo ndoto zimenifika na nimeona dalili zake.