Mimi nimeota zaidi yamara3 namuona nabii issa aleysalaam
@florencekioko7501Ай бұрын
Amen!niliota nikichinja ngombe halafu nikaanza kuitia watu wakuje wale 🙏🙏🙏
@JumaTalatibu2 күн бұрын
Nimewai kuota maji yanatoka baalini na upepo mkubwana ila nikajikuta soma duwa maji na upepo yakatzlia
@MungiMungi-nf5pi3 ай бұрын
Mimi naotaga nava pete alafu kisha nakua na ela nyingi sana kisha naotaga jini amenipeleka nyumbani kwake
@evelinaelesius22 сағат бұрын
Kuota unachinja kuku ni sawa na ya hao wanyama ulowataja?
@user-ju6je5em1r5 ай бұрын
Ameen lnshaallah
@user-oy1bp4vh9r8 ай бұрын
Allahumma amiin
@johnmgeta49324 ай бұрын
Amina
@OmanOma-xi3hm7 ай бұрын
Amin yarabi laalamin🥰
@HalimaNadio-uj7tj8 ай бұрын
Amiin🤲🤲🤲
@OmanOma-xi3hm7 ай бұрын
Shukran she khee❤❤❤
@aminayunis75456 ай бұрын
Allahuma amiin
@KhadijaAli-zd8jq13 күн бұрын
Aminaaa shekhe 🙏🙏
@user-to3ys2gv1s8 ай бұрын
Ameen
@BolasieNgongo-rh9wm5 ай бұрын
Amina Amina Amina
@user-ju6je5em1r5 ай бұрын
Mungu akubari
@FathmaJuma-kl5sf18 күн бұрын
Amiin yarabbi 🤲
@evanciachota35818 ай бұрын
amina
@AshimalAbdul8 ай бұрын
Amiin
@user-ju6je5em1r5 ай бұрын
Nimeamini lnshalla
@yusufgagamuhammad26748 ай бұрын
Assalamu aleikum warahmatullahi wabarakaatuhu. Sheikh mimi nime wai kuota tukiwa wengi twataka kumchinja myama ngamia mwenye mimba sasa kabla tumchije huyo ngamia akajifia kisha akamzaa yule mwanawe alioko tumboni mwake basi mimi nikamchukua huyo mtoto wa ngamia na kuanza kumlea nime mtoa katika matumbo ya uchafu kawaida ya kuzaliwa nayo mtoto wa myama nika muosha nikamkausha vizuri hadi kaka anza kusmama nika kabeba nikiwa na furaha mno hadi nikalia kwa ajili ya furaha walahi nini maana yake sheikh
@midrajtv60267 ай бұрын
walykum salaam shukran wasiliana na sheikh kwa number yake ya sm 0658073875
@user-hd4go9xk7n3 ай бұрын
Asallam alhk mm niliota ndoto kuna mwanga mkali sana unanipiga kwenye paji langu la uso hina maana gani mana nina wasiwasi kuusu hi ndoto
@midrajtv60262 ай бұрын
walykum salaam shukran wasiliana na sheikh 0658073875 atakupa maana ya hiyo ndoto
@HawaaHawaa-ke2um7 ай бұрын
AMIIN
@NoahMwasoni3 ай бұрын
Ubarikiwe 15:52
@HashmirMohaamad6 ай бұрын
Happ mm nmeota ndot kama 3 hv
@midrajtv6026Ай бұрын
Mwenyez mungu akubarik jitahid kuteleka ibada ili upate mafanikio
@MuasitiAboBakri-ew5muАй бұрын
Asalaam aleykum mim naota mala kwa mala nipo juu ya Bahari nimekaa kwenye sehemu nzuri ilokuwa kiti ambacho kipo juu ila chini bahar nzuri inang'aa mithili inamulikwa na jua lilotulivu, nimeota tena nipo Bahari kubwa sana na maji yake mazuri ila nipo juu ya mlima huo umezungukwa na hiyo Bahari je Ndoto hii inamaana gani
@midrajtv6026Ай бұрын
shukran chukua namba kwenye video kisha wasiliana na sheikh
@user-er2tn6de9o7 ай бұрын
sheikh mmi nimeota niko kati ya mbingu 7 ,kisha mbingu moja nikaona ni nzuri saana uzuri sijawahi kuona , nikashtuka
@midrajtv60267 ай бұрын
Shukran wasiliana na sheikh kwa namba yake atakupa maelekezo inshallah mtafte kwa number 0658073875
@nuramwamedy-yg6sd2 ай бұрын
Assalam waleko,mm nmeota nmeingia baharin nkawa najiulz ntatokaje mara kkaja ktu kpo kam kistul,nkakshka icho kistul kkaniokoa mpk nch kavu icho kgoda klivofk nch kavu kkawa kkubwa ina maan gn hii ndoto
@midrajtv60262 ай бұрын
shukran wasiliana na namba 0658073875 ya sheikh ili aweze kukupa maana ya ndoto uliyo ota ndoto nyengne haifai kujibiwa huku
@aminarashid174327 күн бұрын
Maana ya shuka leupe ni nini@@midrajtv6026
@HashmirMohaamad6 ай бұрын
Shekhe ukiota unampa swadaka babu ambye alishafariki n mkawa n furaha
@midrajtv60266 ай бұрын
shukran wasiliana na sheikh kwa number +255658073875
@marryceline8 ай бұрын
Je vipi ukiota uko shuleni
@midrajtv60268 ай бұрын
maana ya ndoto kuota upo shule kipind kitakacho fuata sheikh atakuja kuelezea endelea kufuatilia vipind vijavyo hapa hapa au wasiliana na sheikh kwa namba yake 0658073875 ili akupe maana ya hiyo ndoto
@mariammariamomary49114 ай бұрын
Me niliota nachota maji kwenye kisma lakin yanakauka naongeza bidii lkn yanakauka kabisa
@midrajtv60264 ай бұрын
Maana ya ndoto yako ni kwamba katka mafanikio yako kunachangamoto kila utakapo kuwa unataka kufikia mafanikio vikwazo vitakuwepo ili kuondoa hayo jihimize kwenye ufanyaji wa ibada zako kiukamilifu la pili kila hatua utakayo piga maombi muhimu kufanya
@mariammariamomary49114 ай бұрын
@@midrajtv6026 asante
@user-xg7hp4ti9m5 ай бұрын
Kama mzazi amekufa ila unaota unazungumza nae
@midrajtv60264 ай бұрын
ikiwa mzazi utamuota unazungumza nae mazingira yenu yalikuwa vp na jee mlipata kufurahi
@HermanHerman-c4hАй бұрын
Mimi hua naota nafanya mtihani shuleni
@midrajtv6026Ай бұрын
shukran wasiliana na sheikh ili akupe maana ya ndoto
@Mrsmussa-wn6kv6 ай бұрын
Shekhe je ukiota umenunua chakula kisha ukakitoa.sadaka manake nini?