Mi naona yupo sawa tu sema sisi binadamu tu uwa tunakuza mambo sioni cha ajabu hapo kawaida tu yupo sawa mkuu wetu piga kazi baba 😍😍😘
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Nimeamin watu hatueleweki ni jua au mvua. Juz nimesoma coment tumemponda Leo tunamsifu. Tuzidi kumwomba Mungu atuondoshee hii mitihani peke yetu hatuwez🙏
@masakamgalla92734 жыл бұрын
Wati wanafiki tu kotekote
@stevenkyanzi56224 жыл бұрын
Aisee muheshimiwa nabii hakubaliki nyumbani kwake leo nimeamini hongera muheshimiwa
@braitontweve1704 жыл бұрын
Makonda nakupend sana bro kiukweli mti mzur haukos kupigw mawe mungu akubaliki san
@shollodegeorge90564 жыл бұрын
Mh.makonda wee ni msema kweli daima ndo maana wanakuatack ila mungu atakulinda bro
@salmaayub614 жыл бұрын
nakupenda sana makonda sijui nikwambie nini maana unajielewa sana sana Mungu akupe maisha marefu sana maana wewe ni mkweli siku zote na wantanzania ukiwambia ukweli hawa unakuwa adui sioni kosa lako apo wewe ndie kaka mkuu wawa kuu wa mikoa yotè
@johnmligo69664 жыл бұрын
Makonda keep it up.... wanakuelewa taratibu watanzania wapogo ivyooo. Mlitaka mbowe na familia yake awaambukize wake zenu ndio muweke hadharani? Watanzania janga hili halijui wewe ni nani ndo mana hata familia za hadhi ya akina mbowe wameupata..... tuache unafiki.
@raymondhaule69474 жыл бұрын
Makonda yuko sawa kabisa kwani kama Mr tembo anaumwa na amejificha ukasema nimemwona tembo amejifucha nadhani anaumwa kunakosa kwani makonda alijuwaje mtoto wa Fulani anaumwa kama siyo watu wakaribu na Fulani kumwambia kunatembo tumeambiwa anaumwa.na yeye akatuma watu wakachunguze wakamwambia nikweli timemwona tembo anaumwa mwisho tembo akachuliwa akatibiwa mwisho tumwombee mungu akapona unadhani nani. atashukuriwa yule aliye mficha au yule aliye towa tarifa na tembo akatibiwa mwisho we akapona waziri yuko sawa kujibu vile kulingana na kazi yake na mkuu wa mkoa alikuwa sawa kusema vile mbona wanao ficha watoto walemavu tunawasema na kuwaonesha mitandaoni jamani tuweni wawazi
@faizebrahim3384 жыл бұрын
Mama waziri ...we tuachie makonda atutajie acha kuleta siasa alichofanya makonda ni kitu cha maana ...tena kwa hili mngekua mnataja majina ili watu wajue nilishakutana na huyo mgonjwa achukue tahadhari .. we unadhani unajua wangonjwa hao wa corona walikutana na watu wangapi mpk kufikia kwenu .... au mnataka huu ugonjwa uendelee kwa kasi
@kulwakunemka32864 жыл бұрын
Saafi saana Makonda,hua nakuelewa sana we jamaa,hao wanaokusumbua na maswali ya kichoko ni mashabiki wa Sacco's ya Mbowe tu,upo sahihi na umeeleweka sana
@shadymbuki874 жыл бұрын
Asante sana mkuu, tumekuelewa zaidi ya sana kwenye hili, CHAPA KAZI.
@aggreymrema31454 жыл бұрын
Mimi sio mwanasiasa ila kwa upeo wangu nilivyokusikiliza siku ile ubungo tulikuelewa vizur hukua na nia njema
@filminamaga23854 жыл бұрын
Uko vzr makonda achana na wasiojielew piga kaz baba tuko pamoja na mungu akutie nguvu.
@Rashidmhedhery4 жыл бұрын
Filmina Maga : ovyooooooooooo, wewe ni mpumbavu kama Bashite, una support ujinga,🤮🤮🤮
@abdulkalimujuma24604 жыл бұрын
Madawa yameishia wapi minaona siasatu apo fala wew toa siasa ap umemuona mboetu apo we mzima? Kasome kwanza ndotutakuelewa
@gabrielmugabo92234 жыл бұрын
Hata kama mtaona Mh.MAKONDA kakosea kusema na kutaja jina hadharani sawa. Naomba pia mjiulize kwanini familia ya mgonjwa ilimficha ndani hadi aliposema Mh.MAKONDA ndipo ikakili nakuamua kujiweka kwenye Karantini?. Hivyo basi kwa upande wangu naona Mh.MAKONDA kafanya jambo jema kwetu wakazi wa Dar.
@mgawerevocatus85824 жыл бұрын
Hapa ndiyo naiona logic ya kusikiliza pande mbili ili kubalance story. Kama story ingeishia kwa malalamiko kutoka kwa family ya Mbowe bila kumsikiliza Makonda tunge muhukumu bure. Kumbe kama Makonda asinge sema kijana angeendelea kusambaza kirusi mtaani, Kama kweli anawajali watanzania kwanini hakujiweka karantini kama Isabella?
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana. Kumbe ulifanya saafii
@mfaumeulenje67344 жыл бұрын
Sawa makonda anamakosa yake ni kama amefanya uzalilishaji nikosa kisheria ila pia amefanya sahihi bila ya ivyo watu wengi wangeangamia kwa kujificha wangonjwa na kama ingekua kila MTU anaficha kama mbowe tungekua wapi Tanzania kuna wakati Siasa haitajiki kabisa katika maisha ya kihsalama ..baki nyumbani okoa maisha
@paschalmakondo31634 жыл бұрын
Mbowe ni muuuaji nami siku zote na sema ni wakala wa shetani
@hassanmwakatika21294 жыл бұрын
mama ako ndo muuaji
@simonmgaya26444 жыл бұрын
Kama wewe uliondondosha komente hi kamamtotowamboe anacorona mbowekaukosa ? Nakamahajaukosa yupohospto gani mstudanganye sawa
@christophermlaponi5344 жыл бұрын
Kuna corona za aina mbalimbali, nyingine ikikupata hauumwi, ila unajikuta tu kuropoka vitu vya ajabu ajabu !!
@deniseliuter82884 жыл бұрын
Mi c support mwanasisa yeyote kwakua wote wanatetea masilahi yao...angalia maisha ya watoto wao wanayoishi Kama sio ya ctarehe......c ccm Wala upinzani....
@josephizengo59124 жыл бұрын
wee fund sana makonda big up bro
@smarthacker4964 жыл бұрын
Kabisaaa
@lsayamapolu75164 жыл бұрын
Makonda juu
@samwelimashaka89974 жыл бұрын
Uko sawa mkuu
@mamavero40044 жыл бұрын
Sasa hapo tatizo nn jamani ukimwi mfichi na corona kwani mtu umeupata makusudi watu mnakosa uelewa hapa inavyoonekana watu wakiwaona ndugu zao na dalil za corona watawaficha mm naona bora tu kusema hakuna siri hapo huu si ukimwi jamani
@deusdebitkowa96574 жыл бұрын
Asante sana Makonda,umeliokoa Taifa.
@kelvinkawea60164 жыл бұрын
Big up jembe piga kazi mti wa matunda ndo unapigwa mawe
@sahiltvontheline55604 жыл бұрын
Pauli makonda nambar 1 in Dar es salaam
@jumakondo24564 жыл бұрын
Dc huko vizuri xan piga kazi tunaelewa mungu akubariki hakutie nguvu
Ipo siku tutaelewana.....kwamba Mungu ni wetu sote....
@stanleykishiwa91414 жыл бұрын
Sasa maswala ya kuficha mgonjwa corona ili iweje wakati ni janga la dunia nzima maana corona sio malaria au magonjwa ya zinaa acheni siasi
@kolokokoloko92764 жыл бұрын
Safi sana mhe Makonda
@anuaryally61774 жыл бұрын
Sasa mnaopinga kumshutumu makonda je uyo mtoto wa mbowe sio mgonjwa au kwa vile kamtaja makonda wacheni chuki binafsi mbona alikuwa anauguzwa ndani baadae ndio ametolewa baada ya kutajwa
@neemauhagile7024 жыл бұрын
Makonda uwaziri unakungoja piga kazi baba
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Mbna ummy hataji majina ya wagonjwa?
@abeidmayanga8094 жыл бұрын
Wel say mkuu safi sanaa
@charlskpc11034 жыл бұрын
Big up kwa hili
@stanleyrububura40004 жыл бұрын
Hahahaaa "nimewaokoeni acheni ujanja ujanja" safi sana mkuu.
@philipojmwaipopo9494 жыл бұрын
Wabongo kwa unafiki juzi mlimponda kwenye comments zenu leo mnamwita bright man duuh aisee..viongozi endeleeni kufanya yale mnayoyaona yana faa maana cc raia wenu ni kama popo
@arafataliomar74324 жыл бұрын
Kwani walimponda wote
@mathiasalbert3294 жыл бұрын
Nakubali kazi yako RC
@jactonkogoya6574 жыл бұрын
Makonda upo sahihi bro, huu sio ugonjwa ni janga
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
jacton kogoya kwann ummy hataji majina ya wagonjwa
@twahayussuf85874 жыл бұрын
Mkuuu upo sawa kabisaaaa
@ErickAMinja4 жыл бұрын
Well done mheshimiwa ulikuwa ukitimiza majukumu yako ya kiusalama
@mathewlive13724 жыл бұрын
Kama unaamini kuwa watanzania ni wanafiki gusa like apa.
@Hasnspop4 жыл бұрын
Kama mwana f a mshamba tuu anatafuta kiki kwenye kitu siliaz
@happymboya80454 жыл бұрын
Siyo kidoga tunaweza pata tuzo kwajili ya unafki
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Millard Ayo Unatumiwa, Usijifanye Kumhoji Huko Makonda Kulikuwa ni Random, Wewe Unatumia Kihuni Na akina Wahuni Sabaya etc. Wewe Iko Siku Hao wanaokutumia Hutawaona. Je Ni Wagonjwa Wangapi Amewataja Wagonjwa! Huyu Mpumbavu Ni Wangapi Umewataja zaidi ya Mbowe? Millard Ayo Wewe Endeleza Umalaya wako tu!
@pascalpetro66234 жыл бұрын
Ila kiukweli ukiangalia kwa undani Makonda hana kosa
@kigogozanzibar70744 жыл бұрын
Makonda anaona mbali Sana
@soccertv2934 жыл бұрын
Acha ujinga ww
@hassanbakari73604 жыл бұрын
😂😂🤣kuna ni wajinga sana dah
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Makonda upo sawaaaaa Big upo
@faizebrahim3384 жыл бұрын
Upo sawa kaka achana na wapumbav wanaoleta siasa kwenye gonjwa kama hili ....
@salmapossy8624 жыл бұрын
Upo sahihi makonda
@ombenimshana91624 жыл бұрын
Sijui kama neno la ipo siku linatimiaga,likitimia ndipo tutajua ukweli watu
@bebisheni43804 жыл бұрын
uko vizuri makonda
@felixmoses98634 жыл бұрын
Hapo Brother umenena,alikaaje mtaani akati anajua anamgonjwa
@engzuberir.akilenza17644 жыл бұрын
Hapa TZ hata ukila nyama ya mtu lazima utaungwa mkono na watu kama hawa, ni bahati mbaya sana inamaana hata Mheshimiwa Waziri haumuelewi.
@marcodominico95034 жыл бұрын
KAMA MLIKUWA NA UHAKIKA MLITAKIWA KUMFATA. KUTAJA MTU KWENYE MEDIA NI KUVUNJA TARATIBU ZA MAADILI
@hauledernest6684 жыл бұрын
Makonda kama kaongea ukwel hivi
@ramadhanibakari94804 жыл бұрын
Mhe. RC kama mbowe alikuwa na mgonjwa nyumbani ungetumia njia nyingine kumfikishia ujumbe. Siyo kuzunguka ukimsema hadharani.
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
Achen kuficha ficha ndio maana maambukiz yana zidi 'coz kama mbowe kachanganyika na wa2 hiyo c atar lakn makonda alivyo itaja familia ya mbowe nan asie na akir una fikir ata mkaribia mbowe
@kelpeacedasenior71284 жыл бұрын
Makonda yupo sawa sana sasa huyu wa mbowe alikaa ndani half akamfichua sion kam kuna tatizo ila kama angekuwa ameenda karantin half kamtj sasa hapo tungesem makonda ana shida!!!!!
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Kelpeace Da senior mbn ummy hataji majina ya wagonjwa?
@augustinomwamasinga22004 жыл бұрын
Daah makonda uko sawa sanaaaaa
@mussajuma17364 жыл бұрын
makonda upo sawa kabixa bila ww kusema akafanya sili dodoma mbowe angeeneza sana ugonjwa huu mungu tulinde sanaaaa.
@omarykaita434 жыл бұрын
Kwa maoni yangu Mh: Ummy Mwalimu yuko sahihi kwa mujibu wa kanuni za wizara ya afya lakini pia Mh: makonda naye yuko sahihi, kwa Mujibu wa ulinzi na usalama wa wananchi, ni lazima tujue Mh: mbowe ni "PUBLIC FIGURe" ambaye watu wengi huweza kumfuata na kuzungumza naye hivyo ni rahisi kuwaambukiza wengine.
@billionmaffia65624 жыл бұрын
😀😀😀😀 daaa bongo hii jamani daa sasa anyway lakini
@kudraahmad60034 жыл бұрын
Makonda nakuelewaga sana ,chapa kaz mm Niko mbali na huo mkoa lakin nakukubal baraaaa
@mrdeniskomba25964 жыл бұрын
Ulichemka brazaaaaa.
@hanifaalsalamy29354 жыл бұрын
Mh makonda upo sahihi kwani watanzania wengi angeambukia corona ni kweli watu wengi hawana uelewa wa covid 19. Tunashukuru kwa hilo mh makonda.
@lameckbalekere19624 жыл бұрын
Waziri acha siasa hii Corona siyo ugonjwa hili nijanga la Dunia halina kificho wafiche magonjwa ya zinaa si corona acheni
@pendoeliphas51674 жыл бұрын
Ikili ni nywele kilamtu na zake kwanza huna adabu
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
Taratibu lazima zizingatiwe...kutaja idadi inatosha
@kigogozanzibar70744 жыл бұрын
Makonda anaona mbali sanaaaaaaaa
@eriezarichardmbeya12334 жыл бұрын
Umefika wakati wa MTU kumkataa MTU soo kikichobaki ni kubaki mungu,,,,,,jah one love,
@uledihassan60654 жыл бұрын
Inshallah tujipange October katika uchaguzi huenda tukapata viongozi wenye mtazamo mpya
@charlesbaba88204 жыл бұрын
Makonda mungu akubaliki sanaaaa
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Makonda ni mchochezi mnawakamata kina Esther Matiko. Katika chapa kazi ni huyu Dada. Keep it up.
@yahyamkone56014 жыл бұрын
Upo sahihi mzee baba wacha wapuuzi wapigekelelee
@juniorking71234 жыл бұрын
huyu jamaa ajawahi kukubali kosa
@johnmachibya47774 жыл бұрын
Yuko sahihi mkuu wa mkoa fatilieni ameongea ukweli mkubwa sana
@lsayamapolu75164 жыл бұрын
Yuko poa sana
@mapenzi_tz15114 жыл бұрын
Angewaacha wafe tu watu wengine Viburi unawaacha akifa mmoja watajifunza , unaficha kwani ukimwi uwo
@halimamasai22344 жыл бұрын
Upo sawa Makonda
@abujuhaifah74614 жыл бұрын
Maongez yako na nia yako kwa sasa haikua sawa sawa mwanzo ulikua lengo lako ni jengine na saiz ndio wajiosha
@wilsonkaseha20344 жыл бұрын
Wewe umejuaje?
@3minutescrashes4214 жыл бұрын
Mimi binafsi binafsi Kama Mimi namkubali makonda "MAKONDA BABA LAO" hampambi MTU,MAGONJWA YA MLIPUKO SIYO YA SIRI KAMA MTU BADO KAJIFICHA NDANI YA JAMII KUNA HAJA YA KUMTAJA ILI KUWALINDA WANAOMZUNGUKA,". IPO HIVI ATA ANGESEMA RAIS BADO WANGE LALAMIKA ,"MAKONDA BABA LAO"
Kama alipewa Taarifa ya Mtoto wa Mbowe Kuwa Mgojwa akiwa Kama Nani? Mkunga au Daktari? Na kama alikuwa na Nia Njema Kwanini Taarifa Hizo asimpe waziri wa Afya? Millard Ayo wewe Malaya Utakuja Kushitakiwa Utozwe Fine Uuze Vijikamera Uchwara Hivyo, Mpaka Vichupi Ndio Utajua Kutumiwa Kuna Mipaka, Acha Kutumika.
@mashramadhani19894 жыл бұрын
WATANZANIA TUBADILIKE KILA WAKATI MNAMSHAMBULIA MAKONDA HATA AKIFANYA JEMA. HIZO SABABU ALIZOTOA NI ZA MSINGI SANA.MAKONDA PIGA KAZI TUNAKUELEWA.
@lameckbalekere19624 жыл бұрын
Asante Makonda Mungu akulinde nahao wabaya wako chapa kazi
@asaketom90444 жыл бұрын
Mbaya Ni yeye makonda ungekuwa unaenda kutajwa hadharani ungefurahia Bora ungetumia njia nyingine Kama una akili
@attunelson88284 жыл бұрын
Kumlinda mgonjwa so kumdhalilisha,halafu haifai kuleta siasa kwenye ugonjwa.
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Attu Nelson kwann ummy hataji mjina ya wagonjwa?
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,
@bettyrugemalila91854 жыл бұрын
Jinsi ulivyofikisha ujumbe haikuwa nzuri
@isayamwanjisi29944 жыл бұрын
Sana mkuu wa mkoa mi nimekupata sana upo vzr sana swala la kikazi nakupongeza
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Thus why ur a regional commission, that's fact bro Makonda , Hawa jamaaa sometimes wanajifanya hamnazo Kila kitu wanapinga , jamani tuuache kujifanya mavimpire., Hacha watukane mwisho wa siku mwenye macho , hata dar siku full adabu , hakuna Yale Mambo yazamani, ya Mimi nani..., Piga kazi confidence man.
@josephdogan76504 жыл бұрын
Ndugu yangu sijajua uelewa wako juu ya Sheria maadiri na utu na taratibu zinazoendesha mambo yetu ya kila sku km taifa. Km ungekuwa unajua ,hakika usingempongeza huyu mdudu. Kifupi ni kwamba hata wazuri mwenye dhamana kamshushua kusomi na kumzodoa. Kifupi huo unaoutetea sio uchapa kz. Haupo ktk vitabu vyovyote vile vya mafundisho ya uchapa kz.. Kuchapa kz kunakoshushia watu heshima utu na kutoa Siri za watu kwenye majukwaa ni ushambenga na utoto km utoto mwingine. Labda nikwambie kitu ambacho alipaswa kufanya1alipaswa kuwasiliana na wazuri au wahusika wa sfya ambao wangeweza kwenda alipo mtoto na kufanya taratibu zote za kimamlaka kumweka karantinii. Kwamfano , kulikuwa na urazima gani wa kuhusisha mtoto wa mbowe na siasa za chadema.hv huyu mtu anawezaje kuwahadaa a Kili kiasi hk
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Jukumu gani hilo lakumuanika m2 aradhani hacha masifa piga kazi apunguze kiherehere😂😂😂
@machachedvd77504 жыл бұрын
Yuko sahihi makonda fahamu hilo
@zulikeepitupstronglady92654 жыл бұрын
Bashiteee ndio maana ulikuwa zero pale Muccobs
@stephenemuya85754 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mjinga tu sanaaa
@fortunatus82934 жыл бұрын
fact...huwez sema unajikalantin mwenyew ...
@sameermilo24924 жыл бұрын
Makonda nakukubali Ninja wetu wa DSM 💯🇹🇿
@ThobiasMarandu4 жыл бұрын
Hata Marekani Watu wanafanya Self Quarantine Labda awe amezidiwa. Pumbavu Huyu Millard anauza Utu Mpaka Matako zake!
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Eeeee MUNGU 🤲🤲🤲🤲Tafadhali jibu maombi yangu mpige kofi moja huyu jeuri mtu moja ntakuomba MUNGU ili akumbuke kuna MUNGU.
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Muungwana akivuliwa nguo huchutama....hapo kweli umeliteleza mkuu kukubalii ndo shida....😝🏃♀️
@saimonmanyerezi71694 жыл бұрын
Majibu mazuri kabisa ,na alikuwa anahakika na anachoongea,hii ni korona sio kisonono.
@anuaryally61774 жыл бұрын
Makonda upo juu utamficha vipi kumtaja mgonjwa wee ummi vipi atanjwe tu
@mwasoprince34594 жыл бұрын
No point hapa wasemaji NI wauguzi na wenye jukumu la kuwaweka karantini wakipatikana +, kuongea kitu kisichokuhusu NI uropokaji wa hovyo, na c maadili.
@marygaspary1994 жыл бұрын
Waziri yupo sahihi makonda bhana sijui ana tatizo gani akaombewe ana pepo la kuropoka !
@enockosward58134 жыл бұрын
Makonda ulikuwa sawa, Ila ulikosea kuvuka mipaka. Ulipaswa kufikisha taarifa ngaz za juu. Maana utaratibu ulisha tolewa.
@emmanuelmayunga15184 жыл бұрын
Makonda acha kutuletea siasa,sisi tumesoma udaktar more than five years tunaelewa taratibu zetu za Kaz huwez kuropoka kama ulivyomtaja mtoto wa Mbowe.. that's why Mr President akachagua watu Makini wa kuzungumzia swala hili la covid 19 tena Makonda usituchanganye kabisa kwenye professional yetu tuache
@shijermajebela70384 жыл бұрын
Genius
@j.pproduction66154 жыл бұрын
Juz kwel watu waliponda xana lkn ni ufaham tu ndio mdogo, kwel mh mkonda some time anazinguw lkn ktk hili nampa hongera kwa huzijuw kayaokoa maisha wa watu wangap katka mzuko huo.
@shibilitimedia33124 жыл бұрын
Haukuwa na kosa Mheshimiwa uko sahihi.
@keddlynebonny64624 жыл бұрын
Ndo ataje mtu acha mkumbo
@villanjimmy76254 жыл бұрын
Kam ni wajibu wak kwann asiend na timu yak kimya kimya na kumpeleka qarantene had atangaze siyo vzur jmn tusfate mkumbo
@mwajumakassim66324 жыл бұрын
ila hakutakiwa kutaja jina,kaenda kinyumbe ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na daktari
@jacksontulito9694 жыл бұрын
Wewe msenge sana Makonda huna lolote
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@vedastusjustine14234 жыл бұрын
Ebwaneeeeeee Mh waziri makini sana huyuu sema kumbe na yy anaogopa kulifungua wazi swala la rc makonda lkn anaonekana anakitu anatamani Kama angekua na uwezo bas angesema
@mtumishipetermiselya12884 жыл бұрын
Ukipambana na makonda jiandae kUtumbuliwa mapema tu hata kama unauwezo gani katikat sekita uliyonayo
@machintangachibwena59224 жыл бұрын
Kweli ata Ulaya ugonjwa ni siri ya Daktari na mgonjwa kweli wewe ni waziri wa Afya Mama yangu hawa watu wa kuropoka ropoka vichaa kweli manake hao.
@enjoysoccer14 жыл бұрын
Good Makonda
@silvangabriel35924 жыл бұрын
Bado tu unabwbwanya
@jackmabirangacharles93984 жыл бұрын
Mheshimiwa waziri usiri wa mgonjwa na Dk sio kwa Ugonjwa huu wa Corona Kote tuko Sawa ila sio kwahilo Uwazi na Ukweli ndio tiba