'NI JUKUMU LANGU, NDIO MAANA NILIPOTAMKA MGONJWA AKAPELEKWA KARANTINI"-RC MAKONDA

  Рет қаралды 72,410

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 369
@lailmeeea4908
@lailmeeea4908 4 жыл бұрын
Mi naona yupo sawa tu sema sisi binadamu tu uwa tunakuza mambo sioni cha ajabu hapo kawaida tu yupo sawa mkuu wetu piga kazi baba 😍😍😘
@neemakaluwa2089
@neemakaluwa2089 4 жыл бұрын
Nimeamin watu hatueleweki ni jua au mvua. Juz nimesoma coment tumemponda Leo tunamsifu. Tuzidi kumwomba Mungu atuondoshee hii mitihani peke yetu hatuwez🙏
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 4 жыл бұрын
Wati wanafiki tu kotekote
@stevenkyanzi5622
@stevenkyanzi5622 4 жыл бұрын
Aisee muheshimiwa nabii hakubaliki nyumbani kwake leo nimeamini hongera muheshimiwa
@braitontweve170
@braitontweve170 4 жыл бұрын
Makonda nakupend sana bro kiukweli mti mzur haukos kupigw mawe mungu akubaliki san
@shollodegeorge9056
@shollodegeorge9056 4 жыл бұрын
Mh.makonda wee ni msema kweli daima ndo maana wanakuatack ila mungu atakulinda bro
@salmaayub61
@salmaayub61 4 жыл бұрын
nakupenda sana makonda sijui nikwambie nini maana unajielewa sana sana Mungu akupe maisha marefu sana maana wewe ni mkweli siku zote na wantanzania ukiwambia ukweli hawa unakuwa adui sioni kosa lako apo wewe ndie kaka mkuu wawa kuu wa mikoa yotè
@johnmligo6966
@johnmligo6966 4 жыл бұрын
Makonda keep it up.... wanakuelewa taratibu watanzania wapogo ivyooo. Mlitaka mbowe na familia yake awaambukize wake zenu ndio muweke hadharani? Watanzania janga hili halijui wewe ni nani ndo mana hata familia za hadhi ya akina mbowe wameupata..... tuache unafiki.
@raymondhaule6947
@raymondhaule6947 4 жыл бұрын
Makonda yuko sawa kabisa kwani kama Mr tembo anaumwa na amejificha ukasema nimemwona tembo amejifucha nadhani anaumwa kunakosa kwani makonda alijuwaje mtoto wa Fulani anaumwa kama siyo watu wakaribu na Fulani kumwambia kunatembo tumeambiwa anaumwa.na yeye akatuma watu wakachunguze wakamwambia nikweli timemwona tembo anaumwa mwisho tembo akachuliwa akatibiwa mwisho tumwombee mungu akapona unadhani nani. atashukuriwa yule aliye mficha au yule aliye towa tarifa na tembo akatibiwa mwisho we akapona waziri yuko sawa kujibu vile kulingana na kazi yake na mkuu wa mkoa alikuwa sawa kusema vile mbona wanao ficha watoto walemavu tunawasema na kuwaonesha mitandaoni jamani tuweni wawazi
@faizebrahim338
@faizebrahim338 4 жыл бұрын
Mama waziri ...we tuachie makonda atutajie acha kuleta siasa alichofanya makonda ni kitu cha maana ...tena kwa hili mngekua mnataja majina ili watu wajue nilishakutana na huyo mgonjwa achukue tahadhari .. we unadhani unajua wangonjwa hao wa corona walikutana na watu wangapi mpk kufikia kwenu .... au mnataka huu ugonjwa uendelee kwa kasi
@kulwakunemka3286
@kulwakunemka3286 4 жыл бұрын
Saafi saana Makonda,hua nakuelewa sana we jamaa,hao wanaokusumbua na maswali ya kichoko ni mashabiki wa Sacco's ya Mbowe tu,upo sahihi na umeeleweka sana
@shadymbuki87
@shadymbuki87 4 жыл бұрын
Asante sana mkuu, tumekuelewa zaidi ya sana kwenye hili, CHAPA KAZI.
@aggreymrema3145
@aggreymrema3145 4 жыл бұрын
Mimi sio mwanasiasa ila kwa upeo wangu nilivyokusikiliza siku ile ubungo tulikuelewa vizur hukua na nia njema
@filminamaga2385
@filminamaga2385 4 жыл бұрын
Uko vzr makonda achana na wasiojielew piga kaz baba tuko pamoja na mungu akutie nguvu.
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 4 жыл бұрын
Filmina Maga : ovyooooooooooo, wewe ni mpumbavu kama Bashite, una support ujinga,🤮🤮🤮
@abdulkalimujuma2460
@abdulkalimujuma2460 4 жыл бұрын
Madawa yameishia wapi minaona siasatu apo fala wew toa siasa ap umemuona mboetu apo we mzima? Kasome kwanza ndotutakuelewa
@gabrielmugabo9223
@gabrielmugabo9223 4 жыл бұрын
Hata kama mtaona Mh.MAKONDA kakosea kusema na kutaja jina hadharani sawa. Naomba pia mjiulize kwanini familia ya mgonjwa ilimficha ndani hadi aliposema Mh.MAKONDA ndipo ikakili nakuamua kujiweka kwenye Karantini?. Hivyo basi kwa upande wangu naona Mh.MAKONDA kafanya jambo jema kwetu wakazi wa Dar.
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 4 жыл бұрын
Hapa ndiyo naiona logic ya kusikiliza pande mbili ili kubalance story. Kama story ingeishia kwa malalamiko kutoka kwa family ya Mbowe bila kumsikiliza Makonda tunge muhukumu bure. Kumbe kama Makonda asinge sema kijana angeendelea kusambaza kirusi mtaani, Kama kweli anawajali watanzania kwanini hakujiweka karantini kama Isabella?
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud saana. Kumbe ulifanya saafii
@mfaumeulenje6734
@mfaumeulenje6734 4 жыл бұрын
Sawa makonda anamakosa yake ni kama amefanya uzalilishaji nikosa kisheria ila pia amefanya sahihi bila ya ivyo watu wengi wangeangamia kwa kujificha wangonjwa na kama ingekua kila MTU anaficha kama mbowe tungekua wapi Tanzania kuna wakati Siasa haitajiki kabisa katika maisha ya kihsalama ..baki nyumbani okoa maisha
@paschalmakondo3163
@paschalmakondo3163 4 жыл бұрын
Mbowe ni muuuaji nami siku zote na sema ni wakala wa shetani
@hassanmwakatika2129
@hassanmwakatika2129 4 жыл бұрын
mama ako ndo muuaji
@simonmgaya2644
@simonmgaya2644 4 жыл бұрын
Kama wewe uliondondosha komente hi kamamtotowamboe anacorona mbowekaukosa ? Nakamahajaukosa yupohospto gani mstudanganye sawa
@christophermlaponi534
@christophermlaponi534 4 жыл бұрын
Kuna corona za aina mbalimbali, nyingine ikikupata hauumwi, ila unajikuta tu kuropoka vitu vya ajabu ajabu !!
@deniseliuter8288
@deniseliuter8288 4 жыл бұрын
Mi c support mwanasisa yeyote kwakua wote wanatetea masilahi yao...angalia maisha ya watoto wao wanayoishi Kama sio ya ctarehe......c ccm Wala upinzani....
@josephizengo5912
@josephizengo5912 4 жыл бұрын
wee fund sana makonda big up bro
@smarthacker496
@smarthacker496 4 жыл бұрын
Kabisaaa
@lsayamapolu7516
@lsayamapolu7516 4 жыл бұрын
Makonda juu
@samwelimashaka8997
@samwelimashaka8997 4 жыл бұрын
Uko sawa mkuu
@mamavero4004
@mamavero4004 4 жыл бұрын
Sasa hapo tatizo nn jamani ukimwi mfichi na corona kwani mtu umeupata makusudi watu mnakosa uelewa hapa inavyoonekana watu wakiwaona ndugu zao na dalil za corona watawaficha mm naona bora tu kusema hakuna siri hapo huu si ukimwi jamani
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 4 жыл бұрын
Asante sana Makonda,umeliokoa Taifa.
@kelvinkawea6016
@kelvinkawea6016 4 жыл бұрын
Big up jembe piga kazi mti wa matunda ndo unapigwa mawe
@sahiltvontheline5560
@sahiltvontheline5560 4 жыл бұрын
Pauli makonda nambar 1 in Dar es salaam
@jumakondo2456
@jumakondo2456 4 жыл бұрын
Dc huko vizuri xan piga kazi tunaelewa mungu akubariki hakutie nguvu
@nicksonshoo6828
@nicksonshoo6828 4 жыл бұрын
Makonda acha kutuzuga akuna alie sawa kwa%100 kubali kushindwa mzee babaa..
@yolamshaban4387
@yolamshaban4387 4 жыл бұрын
Ipo siku tutaelewana.....kwamba Mungu ni wetu sote....
@stanleykishiwa9141
@stanleykishiwa9141 4 жыл бұрын
Sasa maswala ya kuficha mgonjwa corona ili iweje wakati ni janga la dunia nzima maana corona sio malaria au magonjwa ya zinaa acheni siasi
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 4 жыл бұрын
Safi sana mhe Makonda
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Sasa mnaopinga kumshutumu makonda je uyo mtoto wa mbowe sio mgonjwa au kwa vile kamtaja makonda wacheni chuki binafsi mbona alikuwa anauguzwa ndani baadae ndio ametolewa baada ya kutajwa
@neemauhagile702
@neemauhagile702 4 жыл бұрын
Makonda uwaziri unakungoja piga kazi baba
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Mbna ummy hataji majina ya wagonjwa?
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 4 жыл бұрын
Wel say mkuu safi sanaa
@charlskpc1103
@charlskpc1103 4 жыл бұрын
Big up kwa hili
@stanleyrububura4000
@stanleyrububura4000 4 жыл бұрын
Hahahaaa "nimewaokoeni acheni ujanja ujanja" safi sana mkuu.
@philipojmwaipopo949
@philipojmwaipopo949 4 жыл бұрын
Wabongo kwa unafiki juzi mlimponda kwenye comments zenu leo mnamwita bright man duuh aisee..viongozi endeleeni kufanya yale mnayoyaona yana faa maana cc raia wenu ni kama popo
@arafataliomar7432
@arafataliomar7432 4 жыл бұрын
Kwani walimponda wote
@mathiasalbert329
@mathiasalbert329 4 жыл бұрын
Nakubali kazi yako RC
@jactonkogoya657
@jactonkogoya657 4 жыл бұрын
Makonda upo sahihi bro, huu sio ugonjwa ni janga
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
jacton kogoya kwann ummy hataji majina ya wagonjwa
@twahayussuf8587
@twahayussuf8587 4 жыл бұрын
Mkuuu upo sawa kabisaaaa
@ErickAMinja
@ErickAMinja 4 жыл бұрын
Well done mheshimiwa ulikuwa ukitimiza majukumu yako ya kiusalama
@mathewlive1372
@mathewlive1372 4 жыл бұрын
Kama unaamini kuwa watanzania ni wanafiki gusa like apa.
@Hasnspop
@Hasnspop 4 жыл бұрын
Kama mwana f a mshamba tuu anatafuta kiki kwenye kitu siliaz
@happymboya8045
@happymboya8045 4 жыл бұрын
Siyo kidoga tunaweza pata tuzo kwajili ya unafki
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Millard Ayo Unatumiwa, Usijifanye Kumhoji Huko Makonda Kulikuwa ni Random, Wewe Unatumia Kihuni Na akina Wahuni Sabaya etc. Wewe Iko Siku Hao wanaokutumia Hutawaona. Je Ni Wagonjwa Wangapi Amewataja Wagonjwa! Huyu Mpumbavu Ni Wangapi Umewataja zaidi ya Mbowe? Millard Ayo Wewe Endeleza Umalaya wako tu!
@pascalpetro6623
@pascalpetro6623 4 жыл бұрын
Ila kiukweli ukiangalia kwa undani Makonda hana kosa
@kigogozanzibar7074
@kigogozanzibar7074 4 жыл бұрын
Makonda anaona mbali Sana
@soccertv293
@soccertv293 4 жыл бұрын
Acha ujinga ww
@hassanbakari7360
@hassanbakari7360 4 жыл бұрын
😂😂🤣kuna ni wajinga sana dah
@paulkisatulusana1142
@paulkisatulusana1142 4 жыл бұрын
Makonda upo sawaaaaa Big upo
@faizebrahim338
@faizebrahim338 4 жыл бұрын
Upo sawa kaka achana na wapumbav wanaoleta siasa kwenye gonjwa kama hili ....
@salmapossy862
@salmapossy862 4 жыл бұрын
Upo sahihi makonda
@ombenimshana9162
@ombenimshana9162 4 жыл бұрын
Sijui kama neno la ipo siku linatimiaga,likitimia ndipo tutajua ukweli watu
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
uko vizuri makonda
@felixmoses9863
@felixmoses9863 4 жыл бұрын
Hapo Brother umenena,alikaaje mtaani akati anajua anamgonjwa
@engzuberir.akilenza1764
@engzuberir.akilenza1764 4 жыл бұрын
Hapa TZ hata ukila nyama ya mtu lazima utaungwa mkono na watu kama hawa, ni bahati mbaya sana inamaana hata Mheshimiwa Waziri haumuelewi.
@marcodominico9503
@marcodominico9503 4 жыл бұрын
KAMA MLIKUWA NA UHAKIKA MLITAKIWA KUMFATA. KUTAJA MTU KWENYE MEDIA NI KUVUNJA TARATIBU ZA MAADILI
@hauledernest668
@hauledernest668 4 жыл бұрын
Makonda kama kaongea ukwel hivi
@ramadhanibakari9480
@ramadhanibakari9480 4 жыл бұрын
Mhe. RC kama mbowe alikuwa na mgonjwa nyumbani ungetumia njia nyingine kumfikishia ujumbe. Siyo kuzunguka ukimsema hadharani.
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
Achen kuficha ficha ndio maana maambukiz yana zidi 'coz kama mbowe kachanganyika na wa2 hiyo c atar lakn makonda alivyo itaja familia ya mbowe nan asie na akir una fikir ata mkaribia mbowe
@kelpeacedasenior7128
@kelpeacedasenior7128 4 жыл бұрын
Makonda yupo sawa sana sasa huyu wa mbowe alikaa ndani half akamfichua sion kam kuna tatizo ila kama angekuwa ameenda karantin half kamtj sasa hapo tungesem makonda ana shida!!!!!
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Kelpeace Da senior mbn ummy hataji majina ya wagonjwa?
@augustinomwamasinga2200
@augustinomwamasinga2200 4 жыл бұрын
Daah makonda uko sawa sanaaaaa
@mussajuma1736
@mussajuma1736 4 жыл бұрын
makonda upo sawa kabixa bila ww kusema akafanya sili dodoma mbowe angeeneza sana ugonjwa huu mungu tulinde sanaaaa.
@omarykaita43
@omarykaita43 4 жыл бұрын
Kwa maoni yangu Mh: Ummy Mwalimu yuko sahihi kwa mujibu wa kanuni za wizara ya afya lakini pia Mh: makonda naye yuko sahihi, kwa Mujibu wa ulinzi na usalama wa wananchi, ni lazima tujue Mh: mbowe ni "PUBLIC FIGURe" ambaye watu wengi huweza kumfuata na kuzungumza naye hivyo ni rahisi kuwaambukiza wengine.
@billionmaffia6562
@billionmaffia6562 4 жыл бұрын
😀😀😀😀 daaa bongo hii jamani daa sasa anyway lakini
@kudraahmad6003
@kudraahmad6003 4 жыл бұрын
Makonda nakuelewaga sana ,chapa kaz mm Niko mbali na huo mkoa lakin nakukubal baraaaa
@mrdeniskomba2596
@mrdeniskomba2596 4 жыл бұрын
Ulichemka brazaaaaa.
@hanifaalsalamy2935
@hanifaalsalamy2935 4 жыл бұрын
Mh makonda upo sahihi kwani watanzania wengi angeambukia corona ni kweli watu wengi hawana uelewa wa covid 19. Tunashukuru kwa hilo mh makonda.
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 4 жыл бұрын
Waziri acha siasa hii Corona siyo ugonjwa hili nijanga la Dunia halina kificho wafiche magonjwa ya zinaa si corona acheni
@pendoeliphas5167
@pendoeliphas5167 4 жыл бұрын
Ikili ni nywele kilamtu na zake kwanza huna adabu
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 4 жыл бұрын
Taratibu lazima zizingatiwe...kutaja idadi inatosha
@kigogozanzibar7074
@kigogozanzibar7074 4 жыл бұрын
Makonda anaona mbali sanaaaaaaaa
@eriezarichardmbeya1233
@eriezarichardmbeya1233 4 жыл бұрын
Umefika wakati wa MTU kumkataa MTU soo kikichobaki ni kubaki mungu,,,,,,jah one love,
@uledihassan6065
@uledihassan6065 4 жыл бұрын
Inshallah tujipange October katika uchaguzi huenda tukapata viongozi wenye mtazamo mpya
@charlesbaba8820
@charlesbaba8820 4 жыл бұрын
Makonda mungu akubaliki sanaaaa
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 жыл бұрын
Makonda ni mchochezi mnawakamata kina Esther Matiko. Katika chapa kazi ni huyu Dada. Keep it up.
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 4 жыл бұрын
Upo sahihi mzee baba wacha wapuuzi wapigekelelee
@juniorking7123
@juniorking7123 4 жыл бұрын
huyu jamaa ajawahi kukubali kosa
@johnmachibya4777
@johnmachibya4777 4 жыл бұрын
Yuko sahihi mkuu wa mkoa fatilieni ameongea ukweli mkubwa sana
@lsayamapolu7516
@lsayamapolu7516 4 жыл бұрын
Yuko poa sana
@mapenzi_tz1511
@mapenzi_tz1511 4 жыл бұрын
Angewaacha wafe tu watu wengine Viburi unawaacha akifa mmoja watajifunza , unaficha kwani ukimwi uwo
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 жыл бұрын
Upo sawa Makonda
@abujuhaifah7461
@abujuhaifah7461 4 жыл бұрын
Maongez yako na nia yako kwa sasa haikua sawa sawa mwanzo ulikua lengo lako ni jengine na saiz ndio wajiosha
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 4 жыл бұрын
Wewe umejuaje?
@3minutescrashes421
@3minutescrashes421 4 жыл бұрын
Mimi binafsi binafsi Kama Mimi namkubali makonda "MAKONDA BABA LAO" hampambi MTU,MAGONJWA YA MLIPUKO SIYO YA SIRI KAMA MTU BADO KAJIFICHA NDANI YA JAMII KUNA HAJA YA KUMTAJA ILI KUWALINDA WANAOMZUNGUKA,". IPO HIVI ATA ANGESEMA RAIS BADO WANGE LALAMIKA ,"MAKONDA BABA LAO"
@emmanuelmwambambale9931
@emmanuelmwambambale9931 4 жыл бұрын
Mh je ww ukienda kupima ukimwi ukagundulika unao alaf dokta akakutaja hadharani utajisikieje?
@3minutescrashes421
@3minutescrashes421 4 жыл бұрын
Hujui unachoongea @Emmanuel Mwambambale
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Kama alipewa Taarifa ya Mtoto wa Mbowe Kuwa Mgojwa akiwa Kama Nani? Mkunga au Daktari? Na kama alikuwa na Nia Njema Kwanini Taarifa Hizo asimpe waziri wa Afya? Millard Ayo wewe Malaya Utakuja Kushitakiwa Utozwe Fine Uuze Vijikamera Uchwara Hivyo, Mpaka Vichupi Ndio Utajua Kutumiwa Kuna Mipaka, Acha Kutumika.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 4 жыл бұрын
WATANZANIA TUBADILIKE KILA WAKATI MNAMSHAMBULIA MAKONDA HATA AKIFANYA JEMA. HIZO SABABU ALIZOTOA NI ZA MSINGI SANA.MAKONDA PIGA KAZI TUNAKUELEWA.
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 4 жыл бұрын
Asante Makonda Mungu akulinde nahao wabaya wako chapa kazi
@asaketom9044
@asaketom9044 4 жыл бұрын
Mbaya Ni yeye makonda ungekuwa unaenda kutajwa hadharani ungefurahia Bora ungetumia njia nyingine Kama una akili
@attunelson8828
@attunelson8828 4 жыл бұрын
Kumlinda mgonjwa so kumdhalilisha,halafu haifai kuleta siasa kwenye ugonjwa.
@emmanuelmoshi4938
@emmanuelmoshi4938 4 жыл бұрын
Attu Nelson kwann ummy hataji mjina ya wagonjwa?
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 4 жыл бұрын
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 4 жыл бұрын
Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 4 жыл бұрын
Jinsi ulivyofikisha ujumbe haikuwa nzuri
@isayamwanjisi2994
@isayamwanjisi2994 4 жыл бұрын
Sana mkuu wa mkoa mi nimekupata sana upo vzr sana swala la kikazi nakupongeza
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 4 жыл бұрын
Thus why ur a regional commission, that's fact bro Makonda , Hawa jamaaa sometimes wanajifanya hamnazo Kila kitu wanapinga , jamani tuuache kujifanya mavimpire., Hacha watukane mwisho wa siku mwenye macho , hata dar siku full adabu , hakuna Yale Mambo yazamani, ya Mimi nani..., Piga kazi confidence man.
@josephdogan7650
@josephdogan7650 4 жыл бұрын
Ndugu yangu sijajua uelewa wako juu ya Sheria maadiri na utu na taratibu zinazoendesha mambo yetu ya kila sku km taifa. Km ungekuwa unajua ,hakika usingempongeza huyu mdudu. Kifupi ni kwamba hata wazuri mwenye dhamana kamshushua kusomi na kumzodoa. Kifupi huo unaoutetea sio uchapa kz. Haupo ktk vitabu vyovyote vile vya mafundisho ya uchapa kz.. Kuchapa kz kunakoshushia watu heshima utu na kutoa Siri za watu kwenye majukwaa ni ushambenga na utoto km utoto mwingine. Labda nikwambie kitu ambacho alipaswa kufanya1alipaswa kuwasiliana na wazuri au wahusika wa sfya ambao wangeweza kwenda alipo mtoto na kufanya taratibu zote za kimamlaka kumweka karantinii. Kwamfano , kulikuwa na urazima gani wa kuhusisha mtoto wa mbowe na siasa za chadema.hv huyu mtu anawezaje kuwahadaa a Kili kiasi hk
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Jukumu gani hilo lakumuanika m2 aradhani hacha masifa piga kazi apunguze kiherehere😂😂😂
@machachedvd7750
@machachedvd7750 4 жыл бұрын
Yuko sahihi makonda fahamu hilo
@zulikeepitupstronglady9265
@zulikeepitupstronglady9265 4 жыл бұрын
Bashiteee ndio maana ulikuwa zero pale Muccobs
@stephenemuya8575
@stephenemuya8575 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mjinga tu sanaaa
@fortunatus8293
@fortunatus8293 4 жыл бұрын
fact...huwez sema unajikalantin mwenyew ...
@sameermilo2492
@sameermilo2492 4 жыл бұрын
Makonda nakukubali Ninja wetu wa DSM 💯🇹🇿
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 жыл бұрын
Hata Marekani Watu wanafanya Self Quarantine Labda awe amezidiwa. Pumbavu Huyu Millard anauza Utu Mpaka Matako zake!
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 жыл бұрын
Eeeee MUNGU 🤲🤲🤲🤲Tafadhali jibu maombi yangu mpige kofi moja huyu jeuri mtu moja ntakuomba MUNGU ili akumbuke kuna MUNGU.
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
Muungwana akivuliwa nguo huchutama....hapo kweli umeliteleza mkuu kukubalii ndo shida....😝🏃‍♀️
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Majibu mazuri kabisa ,na alikuwa anahakika na anachoongea,hii ni korona sio kisonono.
@anuaryally6177
@anuaryally6177 4 жыл бұрын
Makonda upo juu utamficha vipi kumtaja mgonjwa wee ummi vipi atanjwe tu
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 4 жыл бұрын
No point hapa wasemaji NI wauguzi na wenye jukumu la kuwaweka karantini wakipatikana +, kuongea kitu kisichokuhusu NI uropokaji wa hovyo, na c maadili.
@marygaspary199
@marygaspary199 4 жыл бұрын
Waziri yupo sahihi makonda bhana sijui ana tatizo gani akaombewe ana pepo la kuropoka !
@enockosward5813
@enockosward5813 4 жыл бұрын
Makonda ulikuwa sawa, Ila ulikosea kuvuka mipaka. Ulipaswa kufikisha taarifa ngaz za juu. Maana utaratibu ulisha tolewa.
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 4 жыл бұрын
Makonda acha kutuletea siasa,sisi tumesoma udaktar more than five years tunaelewa taratibu zetu za Kaz huwez kuropoka kama ulivyomtaja mtoto wa Mbowe.. that's why Mr President akachagua watu Makini wa kuzungumzia swala hili la covid 19 tena Makonda usituchanganye kabisa kwenye professional yetu tuache
@shijermajebela7038
@shijermajebela7038 4 жыл бұрын
Genius
@j.pproduction6615
@j.pproduction6615 4 жыл бұрын
Juz kwel watu waliponda xana lkn ni ufaham tu ndio mdogo, kwel mh mkonda some time anazinguw lkn ktk hili nampa hongera kwa huzijuw kayaokoa maisha wa watu wangap katka mzuko huo.
@shibilitimedia3312
@shibilitimedia3312 4 жыл бұрын
Haukuwa na kosa Mheshimiwa uko sahihi.
@keddlynebonny6462
@keddlynebonny6462 4 жыл бұрын
Ndo ataje mtu acha mkumbo
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 4 жыл бұрын
Kam ni wajibu wak kwann asiend na timu yak kimya kimya na kumpeleka qarantene had atangaze siyo vzur jmn tusfate mkumbo
@mwajumakassim6632
@mwajumakassim6632 4 жыл бұрын
ila hakutakiwa kutaja jina,kaenda kinyumbe ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na daktari
@jacksontulito969
@jacksontulito969 4 жыл бұрын
Wewe msenge sana Makonda huna lolote
@temkezatv4381
@temkezatv4381 4 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@vedastusjustine1423
@vedastusjustine1423 4 жыл бұрын
Ebwaneeeeeee Mh waziri makini sana huyuu sema kumbe na yy anaogopa kulifungua wazi swala la rc makonda lkn anaonekana anakitu anatamani Kama angekua na uwezo bas angesema
@mtumishipetermiselya1288
@mtumishipetermiselya1288 4 жыл бұрын
Ukipambana na makonda jiandae kUtumbuliwa mapema tu hata kama unauwezo gani katikat sekita uliyonayo
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 4 жыл бұрын
Kweli ata Ulaya ugonjwa ni siri ya Daktari na mgonjwa kweli wewe ni waziri wa Afya Mama yangu hawa watu wa kuropoka ropoka vichaa kweli manake hao.
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 4 жыл бұрын
Good Makonda
@silvangabriel3592
@silvangabriel3592 4 жыл бұрын
Bado tu unabwbwanya
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 4 жыл бұрын
Mheshimiwa waziri usiri wa mgonjwa na Dk sio kwa Ugonjwa huu wa Corona Kote tuko Sawa ila sio kwahilo Uwazi na Ukweli ndio tiba
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 1,4 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 69 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 187 МЛН
Gen-Z watoa orodha ya matakwa yao kwa serikali
3:53
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 111 М.
"MBOWE  Akapatane na Nyumba YAKE, AMECHUKUA MILIONI 600" - DC SABAYA
2:36
Global TV Online
Рет қаралды 134 М.
Rais RUTO amefanya kosa la kimkakati kufanya Round Table kipindi hiki!
30:23
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31