Wallah Mtume SAW hakufundisha haya mambo, mashekhe mnawapoteza waislam, kwanamna mnavogombana wenyewe kwa wenyewe.
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@NamulyaWanamulya5 ай бұрын
Shekh salim anafaidika sana na anavuna swawabu nyingi sana kutoka kwako mana kila wakati ni kumzalilisha tu
@ibnmulika44802 жыл бұрын
Huyo sheikh mafuta anajiona anajuwa Sana na anajiona yeye ndo Kama anamiliki pepo vile.
@aminaosman331516 күн бұрын
,Ansar hakuna suna ñi zulma tupu warejeshe haki za yatima WA marehem said janjira wakamfuñgulia kesi mjane kwa haki yake wakashinda kwa zulma hakuna asiyejua lakini Allah kajiharamishia dhulma Allah atawahumu inshaallah
@abuuahmadiddi94442 жыл бұрын
Alhamdulillah
@ibrahimpesa302 жыл бұрын
Baarakallahu fiik akhuna Abul fadhwil
@omarimamboleo69902 жыл бұрын
nyote mpo kwenye miradi msiwadanganye watu
@nadiakarata89842 жыл бұрын
Miradi gani shekh wangu
@abuuqatada97912 жыл бұрын
@@nadiakarata8984 una hoja gan kuwa masalafy Wana miradi Yao binafc
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Wote walipwa na saudia kufaraqisha waisilam
@arafatsaid9206 ай бұрын
Allah akusameh@@user-kc4fv6cf8l
@user-dn3jh6oz8s6 ай бұрын
Allah atukubainisheni uovu wenu nyote kitu kimoja maslahi tuu
@athumanisese55802 жыл бұрын
Wew sheikh mafuta mnachofanya sio sahihi.
@allybungumo90928 ай бұрын
Yeye shehe salim alichofanya ni sahihi?
@user-ec9md6cp4c9 ай бұрын
Assalam alaikum nawausia waislamu waache maneno makali dhidi ya masheikh zetu,awe anaradd au anaradiwa,hayo maneno yatakuja kuangamiza watu fii naari jahannam.bora mkae kimya t ikiwa hamjui hakki ni ipi
@dullahkidofaiter54652 жыл бұрын
Mnasumbuka na mnafiqi huyu kasimu mafuta namchukia kwa ajiri ya allah bora allah amfushe analeta fitina kubwa ktk umma
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Itakurud mwenyew endapo utakua umesema uongo
@hemedahmed30942 жыл бұрын
@@mussamsuya8595 iqr'aa
@swaleheally98142 жыл бұрын
ALLAH AMUHIFADHI SHEKH ABUL FADHLI QAASIM MAFUTA QAASIM
@user-lb2lx5bq6e2 жыл бұрын
Matatizo yao ni kuwa wanapenda kujikweza sana , kila m1 kati yao anajua kuliko mwngn , hawaishi kujibizana Haielekei kusema huu nduo mfumo alikuwa akiufata Mtume , maswahaba na watu wema waliopita .
@omarimamboleo69902 жыл бұрын
masalafi kusemana miskitini ndiyo usalafi wenyewe au ndiyo sunna ya bwana mtume s a w
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Katika dhambi ambayo itakuganda mpaka mbele ya allah ni Kuugawa umma ambao mtume umma huu ameunganisha kwa tabu sana
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Kalale
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
We hujui maana kufanikisha uma nyamaza uczidishe manano ambayo hayana maana
@uledihassan60652 жыл бұрын
Huu ni ujinga mkubwa alionao mafuta Muda wote ni kutukana masheikh
@khamisjuma36572 жыл бұрын
kama kwenu bado nyumbani dawa inazidi kusonga mbele ALHAMDULILLAH, ALLAH atuthibitishe sisi na vizazi vyetu,QURAN na SUNNA kwa ufahamu wa wema waliotangulia,kwa hapa tulipofikia ALHAMDULILLAH ,tunamuomba ALLAH ailinde
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hiyi ndio akbar bidaa kuambatanisha qurani na sunah kwa ufahamu wa salaf
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hiyi ndio akbar bidaa kuambatanisha qurani na sunah kwa ufahamu wa salaf
@NamulyaWanamulya5 ай бұрын
Umri wa shekh Salim ni kama mzazi wako ilikupasa uumpe heshima kama mzazi: una mema Gani ya kumlipa kwa machafu unayomsema Na kumzalilisha !!!!!
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Masalafi ni kama manyani kwenye shamba , wakipatana hula mazao na wakigombana hufuja mazao. Hawana faida kwenye hali yoyote
@allybungumo90928 ай бұрын
Wamjua shkh barahiyan wewe shehe?
@Abutwaibah0016 ай бұрын
HASAAD KITU KIBAYA SANA, NYOYO ZENU ZIME JAA HASAAD WALA HAMUNA USALAFY NDANI YAKE.
@bombo452 жыл бұрын
Mwendelezo pls
@athumanimcharo59042 жыл бұрын
Watu WA madufu unarad mawahabi wenzako unawarad we wataka nn
@othumanmcharo9045 Жыл бұрын
Kwani huko siyo kusengenya?
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Hiii yani wewe ndo peke yako mchamungu Wengine wote wamepoteaaa Kaz kusema watu tuuuuuuu
@nadiakarata89842 жыл бұрын
Ndivyo alivyo
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Wote ao Ila wew umeamuwa kumzungumzia yeye tu lkn waangalie uyo barahiyani mwenyewe , Muhammad bachu ,Abuu iddi na wwngine halafuone Kam nao hawawasemi watu au nndo umechaguwa kumtaja yey tu sheikh Qassim
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
@@abuuqatada9791 Mawahabi tu ndio wenye tabia ya kupapura watu . Mzee idi yeye hurejesha hujma tu
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@jamalbahdela5242 жыл бұрын
Hela za Saudia gawaneni vizuri mawahabi, mtaja toana roho bureee
@nadiakarata89842 жыл бұрын
Sivyo unavyodhani shekh. Pesa ni za umini wao wala sio saudi. Mana huna ushahidi ni wivu tu
@abdulnaseerabdulhakeem93022 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀
@imranijuma69552 жыл бұрын
SHEKH KASIM NAKUKUBALI LKN UNAKOSEA BANA UNATAKA USIKILIZWE WW TUUUU NA WW UNAKOSEA KWANI VP
@abuuqatada97912 жыл бұрын
Kukosea Kam Kukosea Sheikh Qassim hatoacha kukosea maan kukosea ni moja Kati ya sifa za kibinaadam Ila kuhusu kutaka kusikilizwa basi alitakalo yey ndilo la sahihi maana anayoyasema yey kwa HAKIKA ni HAQQI na yey hutaka waislam wasisikilize yasiyikuwa ya HAQQ , lkn pia unawez unaweza kubainisha wapi Sheikh Qassim alipokosea ktka gurdumu la DAAWA ?
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
@@abuuqatada9791 Mafuta na mwalimu wake barahayanibwote ni wapotofu . Mungu awaepushe waisilam na upotofu wao
@nassorsalum91102 жыл бұрын
mwalimu lakn usisahau fadhila. maana ndie aliekulea huyoooo
@abulabbaas66892 жыл бұрын
Lete Ushahidi Wa Maneno Yako Wapi kalelewa Sheikh Kassim Mafuta Na Mudiyru *BARAHIYANI*
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
@@abulabbaas6689 Bali alikuwa ni mwanafunzi wa barahayani khasa . Hata mukikataa hicho kitu kinajulikana . Lakini Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@khamisjuma88132 жыл бұрын
Na si misikiti hiyo tu, ila mpk Masjid Farouk wa huku Mkele Znz pia wameupora kwa sababu ulikuwa ni Msikiti wa Jumuiya Ya Uamsho Na Mihadhara, baada ya vurugu zile wakaupora msikiti ule. Waliobakia walikuja pale kuudai msikiti wao lkn wakadinda. Hii kama hujui wewe uliza.
@Zainabnoor0087-ze4 ай бұрын
Hana jipya huyu kijukuu cha tamta jadidah,kpnd sheikh barahiyan anatetea Sunnah ww ulikua waimba qasida qasida
@saidmacheni-bp4cp Жыл бұрын
Inawezekana huyu Qasim anaitikadi na chembechembe za uyahudi.
@mohammedjuma55952 жыл бұрын
Ww kassim mafuta huna usheikh bora daimond n harmonize n alikiba wana umuhimu kama wwe ngedere unae ukimbilia moto
@khamissaid95862 жыл бұрын
Dah Allah akuongoze
@Ahmed-yp2si2 жыл бұрын
KUWATUKANA WATU PASI NA HAKI NI KATIKA MADHAMBI MAKUMBWA,MTUME صلا الله عليه وسلم AMESEMA"KUMTUKANA MUISLAM NI DHAMBI NZITO NA KUMUUA NI UKAFIRI" kwa hivyo fanya Tawba ndugu yangu na unaposema sema na watu kwa kwa uzuri,الله Tuongoze njia iliyonyooka
@AliMohamed-gv7nw2 жыл бұрын
Dah Allah akusameh naakuongoze maneno mabaya sana uliyo sema hatakama humkubali
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Unaropoka ovyo kalale
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Tunapata faida gani kusikiliza upuuzi kama huu kutoka kwa mwehu kama huyu??uwahabi ni uvundo wa mwisho ktk dini wallaahi
@OmariirigoHoseniomari2 ай бұрын
Hauna akili ndo mana hautoelew
@omarabdul46862 жыл бұрын
Aloo weye kunkalia kusem wa2 tuu wasbiri wa2 waongee upat uwasem je wewe umekamilik sheikh Wang Kama mwenzio kakosea mfate sio uanike aibu zake
Wananchi mweni wangalifu mambo na matendo ya ugaidi. Huyu mtu anatowa mawaidha lazima aseme ubaya na maovu ya ugaidi
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Je ndio Uislam huo kusemana mitandaoni? Nyie mnalipwa mishahara kuutukanisha Uislam? Hili ni balaa kubwa. Sub-haanallah. Hivi mnadhani Waislam wanahitaji kusikiliza ujinga wenu huu?
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Umevamia apo mafuta uwo msikiti sio wako acha uwongo
@nadiakarata89842 жыл бұрын
Shekh wa halua huyo
@nureinimohamed4499 ай бұрын
Kumjua yeye si umuhimu wanchi na manachi. Lazima yeye apambane na matendo ya ugaidi ndo atakuwa mtu wa kuaminika.
@saidifadhel97062 жыл бұрын
Utafikiri wamekutana watu wenye dini mbili tofauti, huyu muislam na mwengine myahudi. Eti ndio hawa walioambiwa kuwa waislamu ni ndugu, si juwi udugu wao hawa umeendea wapi. Tena wanadai kuwa ni masheikh hawa, eti ndio wana madaaris wanafundisha. Sasa huku sio kuufarakisha umma huku??? Kila mmoja akiwa hafikirii kwa anacho kifanya madhara yake ni makubwa sana. Mcheni Allah huko siko na masalafi hawakuwa hivyo.
@ahmedabry293 Жыл бұрын
Wallah mpaka aibu yani masheikh kukaa kusemana yani cjui tumefika wapi huku.. Imekuwa ni mipasho tu dah
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
فمن اوتي الحكمة فقد اوتي خيرا كثيرا Masalafi wanauaduwi na hekma na akili
SHEIKH SALIM TWAMJUA KWA KHERI WALA HUNA HAJA KUTUJULISHA NA UPOTEVU WENU HIZBU IBLIS KWA VAAZI LA USALAFY.
@MohamefMullah Жыл бұрын
Hakuna salafi ni kujidanganya tu ni pote la mawahabi na uwahabi ni shida kazi yao ni kujikweza na kujifanya wao ni Watu wa peponi wenziwao ni wa motoni utafikiria hiyo pepo ni ya mjamba wao, mimi nahic Salum Baraiyan na Kassim mafuta wana mambo yao binafs kwani wote wanajifanya masalafi tena wanajitukuza sasa inakuaje kupigana vijembe
@user-kc4fv6cf8l11 ай бұрын
Hawakutani mawahabi wawili ila mmoja atamkufurisha mwenzake . Si hivyo tu bali muwahabi imefika kiwango cha kujikufurisha nafsi yake
@allymahaba3425 Жыл бұрын
Sikiliza da'waa salafia hiyo!!! Eti malumbano hayo wanayatangaza mitandaoni jamani!!! Hao wote ni Mawahhabi sio Waislam wengine!!! Yaani Kassim na Barahyani. Wanatukanana. Wote wako kwenye misheni za kugombania hela hapo. Yaani wamedhulumiana!!! Hapo tena hakuna dini ni kutukanana tuuu!!!
huku kutaja watu ndio usalafi poleni sani masalafi wakarne ya 15 hijiriyyah
@mussamsuya85952 жыл бұрын
Kalale
@musashelufumo35322 жыл бұрын
Nikheri kubainisha shekhe
@hamisiselemanishekhmtupawa31762 жыл бұрын
Sisi tunomfwata mtume hattukani mtu mtajua wenyewe mnaojiona mkokwenye hak
@maulidilikata80052 жыл бұрын
Maashaallah shaykhu abulfadhli allah akupe mwisho mwema na awaongoze ktk haki wale wasiojua umuhimu wako ktk uislam tanzania amani hii tuliyonayo asbabu ni wewe na maduat wenzio wa kisalaf
@issasuleiman83092 жыл бұрын
Ninawasiwasi na elimu yako
@hashimsaid55462 жыл бұрын
Huyu sheikh sijui huwa ana matatizo gani barahiyani hajawahi kumtaja yeye kwa jina Ila yeye anamtaha kila wakati
@farhannurkey2 жыл бұрын
wewe umemskiza huyo barahiyani au unaropokwa..wewe ndio una matatizo kaangalie video zake kenge wewe
@ahmedhusseinshnoor12102 жыл бұрын
Hashim said : Wewe Ni mrongo saana Ama Ni jaahil , hujuwi kitu afadali ufunge hiyo mdhomo . Barahiyani ashamtaja jina laake mara nyingi . Na pia nataka ujuwe Si lazima attajwe jina laake , cha muhimu ni kuilinda dini yetu dhidi ahlul bidah Na ahlul baatil .. huyu jamaa barahiyaan anachanganya watu wengi kwa hivyo ndugu yetu abu fadhl Ni waajib kumradh publicly..
@saidmacheni-bp4cp Жыл бұрын
Sheikh mwenye adabu za uislam na adabu za kijamii hawezi kutoa maneno hayo nilioyasikia either anachembechembe za uyahudi au elimu yake Haina ufahamu.